Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:- Facebook : / gospeltvshow Instagram : / chomozanews KZfaq : kzfaq.info?su... #ChomozaTv#2021
Пікірлер: 42
@josephinajosephu6859 Жыл бұрын
Mungu aendelee kukuinua hakika unanibarik Sana na kupitia nyimbo zako nakua kiiman ❤️❤️
@mzirayshangwe8224 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu. Umenigusa sana na nyimbo ya fungua neema yako watu wakujue Mungu. Haleluya
@angelalyaruu7196 Жыл бұрын
Very humble and annointed woman of God.. you songs are really annointed, zinatouch souls.❤
@DanielMeshack-zu3kz3 ай бұрын
Ubarikiwe Zaid dadaangu
@consolatamedard6593 Жыл бұрын
Endlea kunyenyekea hivo hivo ili Mungu akuinue zaid ya hapo usikubar kushare utukufu na Mungu siunajua Mungu alivo na wivu
@zico81310 ай бұрын
Barikiwa sana sana
@jonathanjeremia31252 жыл бұрын
Yan nakupenda bule dada lehema naliaga nikiweka nyimbo zako
@damsonmsalangi3900 Жыл бұрын
Mdada aliyepakwa mafutaa very anointed, humble, respective
@solangebagal34962 жыл бұрын
Amina rehema yani Mungu kaku rehemu kweli kweli
@patiencemambo2996 Жыл бұрын
Mungu akubariki dada
@hasanishija5213 Жыл бұрын
Nilishausikiliza huo wa chanzo chauhai wangu niwimbo mzuri sana ata hizo zingine zipo vizuri
@jaligawesa Жыл бұрын
Wow! Kigogo KKKT! Awesome!🎉
@mapitoproduction Жыл бұрын
hongera Sana Rehema simfukwe. kwa kumtumikia Mungu kwa kiwango hicho, mimi ni Simtowe nipo Sumbawanga kwenu
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Haleluyaaa Njoooni Kwa Yesuuu Yesu ni njia
@royjuma2851 Жыл бұрын
Pokea upendo kutoka Nairobi Kenya. Mwenyezi Mungu akuzidishie neema. Nyimbo lako lime vunja mipaka, na mabano. Ume sababisha sifa kwa Mungu kwa wakati mgumu, kutoka roho wangu wa ndani. Ubarikiwe Kwa kazi njema na utumishi.
@evamon9547 Жыл бұрын
Barikiwa sana Rehema nyimbo zako zinanipa nguvu ya kusimama katika uimbaji...karibu kenya sana
@emmerentiennenyawenda5395 Жыл бұрын
Nampenda sana Rehema
@ulimbakisyalaston6311 Жыл бұрын
Hongera sana Mungu ni mwema zidi kumtumikia
@JofreySimfukwe-dz8ew9 ай бұрын
Dada yangu kweli mungu akupake mafuta san tumatoka wakina sifmfukwe
@barikimiliki2857 Жыл бұрын
barikiwa saana madam Mungu azidi kuinua
@mariamanyika71532 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dada rey
@pocoleebrown77129 ай бұрын
Wewe nishuja
@marcelinemalembs53972 жыл бұрын
I've come to love this girl God bless u
@healingclinic978 Жыл бұрын
Sasa unauelewa ule wimbo wako mimina neema yako familia yanu ikujue
@julieluziga10952 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukuinua mtumishi wa Mungu. Nyimbo zako zinabariki sana!
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Ana sauti sana Hongera
@amanibugondo2 жыл бұрын
She’s humble
@dennisevarist2 жыл бұрын
Moja kati ya wimbo wangu pendwa
@user-vc2fn5xg3d10 ай бұрын
Mom
@priscachangoma3333 жыл бұрын
Barikiwa saanaa
@annaosward32012 жыл бұрын
Ubalikiwe rehema mama umenikumbusha mbal kigogo luhanga kanisan
@ibzanruheta Жыл бұрын
Rehema
@joygoko Жыл бұрын
Oh. Wow
@verafatuma16242 жыл бұрын
Amen
@catherinemzurikwao32652 жыл бұрын
Mtangazaji jifunze kutofautisha R na L inakera
@angelalyaruu7196 Жыл бұрын
😅
@princenelsonsinko52373 жыл бұрын
Hatunaga waislamu kwenye kabila letu kama hilo...
@elizabethfrolence43442 жыл бұрын
Wapo bhn ila ni nadra sana kumkuta mnyamwanga wa dini tofauti
@edsonsilumbe7582 жыл бұрын
Mm mwenyewe nilikuwa sijui kwamba kuna wanyamwanga waislamu
@yesuarankunda44923 жыл бұрын
Sasa nikitu gani kimebadilika kwa mwili wako au ndani ya roho yako ili tujuwe kwamba kweli umeokoka??wanapenda kusema Yesu alakini ndani ya moyo hawana uwo Yesu😏😏😏😏
@christsflowe.r2 жыл бұрын
nani alikueka uwe unaangalia ndani ya roho za watu au miili yao kuwa mtu ameokoka au lah? Focus on your heart and spirit kama huyu Yesu yupo ndani yako au hayupo, acha kusumbuka na roho za watu!!!!
@zico81310 ай бұрын
Je hapa wokovu wako wewe umefanya nn ?Yeye ameimba ninibada tosha na wengi tumebarikiwa.Wewe unaye sema nn kimebadilika umefanya nn?Biblia inasema hata mjinga akikaa kimya huesabiwa hekima.Learn to shut up if you don’t have anything important to say.Kaaa Kimya.Mithali 17:28.