Lillian Mwasha na Dr Elly wameamua kuzungumzia mada nzito kiasi - Kifo. Kuna mengi ya kujifunza japo yanaweza kukuacha kichwa kikiuma kutokana na uzito wake
Пікірлер: 85
@luluvictor57695 жыл бұрын
If you like this show gonga like
@fikiriseleman3460 Жыл бұрын
Huyu dada anazinguwa , atulie tusikilize, sio rahis kumwelewa Dr.
@estermgaya58165 жыл бұрын
Yani doctor unajibu yarohoni pia yamwili Mungu akubaliki sana🙏🙏
@longstonebizzempire6755 жыл бұрын
Huyu dokta anavutu vikubwa sana tunavyohitaji kuvifaham
@khadijak30655 жыл бұрын
Subhaallah safii dct maelezo elimu nzuri nimeipenda
@T1tanGamingCsgoMore5 жыл бұрын
Dr. Ellie is a genius person i have never seen before. God bless yoy
@neemaalphonce13335 жыл бұрын
Kuelewa inabidi utulie uconcentrate haswaa 🙌🙌.
@kelvintz76844 жыл бұрын
Huyu jamaa kabra hajafa nitamfaidi sana kwa concept zake
@joventmushwaimi36814 жыл бұрын
Nadhani Dk Leo umezidi kunipa madini na nikushukuru Sana kwa maana nimebadilika sana kifikra mpk sasa na we ndo ulikuwa chanzo na mpk sasa najitahidi kusoma vitabu kdhaa vya wakali kama ww ,Asante sana ,na Dada Lilian hebu Fanya kama wiki tatu mfululizo hapo watu waelewe maana hizi imani zimewaumiza sana watu
@dominickalume28915 жыл бұрын
Very sensitive... Lilian wee wee Binadamu Tunayapenda Maisha Bwana Tunaposkia kifo Sote Ni Balaa Hatuchukulii poa kabisa Kiukweli All in all Sote Inatuhusu#WomenMatters#SnS•√
@shabanrichard92694 жыл бұрын
Ndoto za hatima yako ni zile taarifa ulizokusanya tokea unazaliwa..lily nakuomba umlete tena doctor aongelee somo la changamoto kwa upana wake aweze kuwasaidia waliokwisha kata tamaa na maisha.
@hajatihajati53572 жыл бұрын
Merci beaucoup Doctor de vos bonnes experiences et avec une tré haute explication
@khadijak30655 жыл бұрын
Safii sana LiLyan kwa maswali mazuri nimekipenda kipindi
@erickmakundi97605 жыл бұрын
Jamani wawekeeni hawa wageni wazungumzaji maji ya kunywa.
@sifajacky77792 жыл бұрын
Subhanah Allah! you are right Dr Elly. mutu alie poteza ufahamu anasikia. I experienced that feeling I have testimony for that. by the way it long story.
@madetetv65762 жыл бұрын
Tell us in shortly
@sidikgold19125 жыл бұрын
Les francais (wafaransa ) tujuane hapa #TeamDrElly
@khadijak30655 жыл бұрын
Hakika wanao kupinga wanakuletea changamoto daa nzuri sana
@chidiomari.655 жыл бұрын
Maisha marefu Kwa Doctor uyo ni genius
@felisterjohn4934 жыл бұрын
Shida ya huyo Dada muuliza maswali anakera Sana huwa anakuwa na papara Sana awe anaacha doctor anaeleza then anauliza lkn anarukia rukia tu kipindi ni kizuri but huyo Dada huwa anaharaka zimazoboa
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Ukiona ivo anakua haelewi
@sharonndowo69225 жыл бұрын
Uwiii jamani huyu Doctor
@halimatanzani85875 жыл бұрын
Sawa safi sana
@mjroyaltz83222 жыл бұрын
Asanteee xan dokta Elie 🙏🙏🙏
@godwinmsigwa703711 ай бұрын
Mtu hafi kinachokufa ni mwili asantee! Dr ellie
@davidone47055 жыл бұрын
Napenda,,sana anavyo ongea dr,,,anafanya kitu kikubwa sana
@berthaleonardbihondo11415 жыл бұрын
Anaongea vizuri mnooooo. He knows what he says
@MELODTZMEDIATV5 жыл бұрын
Fact
@sabrinaali97505 жыл бұрын
Nakupenda lily
@leahavyarimana37314 жыл бұрын
Deja vue :exactement docteur
@fauziyaomar7090 Жыл бұрын
Dr hebu mungu usimfananishe na kitu zungumza kifotu
@blessdmum.73805 жыл бұрын
From +254 I'm educated though it's a hard topic we need on being educated ndio tuweze kuelewa what is death.
@lukona58214 жыл бұрын
Mbona mwendelezo wa hii siupti Sis Lilly
@raheemamkambha60135 жыл бұрын
Mpo juu🔥🔥
@jeremiahmwasapilicharlie29265 жыл бұрын
asanteni
@agnesspetro66952 жыл бұрын
Asee I love it
@kaiemujaya76974 жыл бұрын
Eee..! Hii ni akili kubwa MNO, natafakari.
@nibiziblandina44104 жыл бұрын
Hivi Hugo docta ni mkongo ?
@lilianjeremia10245 жыл бұрын
Achana watu wenye phd zao dr🙌🙌🙌yaan du mpk nimeogop kifo da
@hamisiramadhani86612 жыл бұрын
Dar, mungu nimshindi
@neynaomagwari94412 жыл бұрын
Abarikiwe Dkt
@a.8565 жыл бұрын
Kila nafsi itaonja mauti
@rashidisabina53562 жыл бұрын
Dr. Vous maîtriser les langues internationales vraiment. Vos analyses sont très deep
@kilalakaila97622 жыл бұрын
Fact🙏
@HappyGoddy-vp6un Жыл бұрын
Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua
@felisterjohn4934 жыл бұрын
Kuwa mama aunt sadaka baby sky na wengine wanaokuwepo
@rebeccaleonard42654 жыл бұрын
🖐
@anamichal23455 жыл бұрын
Huyu babajamani mi naomba niolewe nae nampenda mpka sielewi jamani yani no.reason anaakili mpka anatisha
@zara18924 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joventmushwaimi36814 жыл бұрын
Kashaoa bana tulia teh teh teh teh teh teh
@asfdodoma73734 жыл бұрын
Mko wengi sana mnaotaka kuolewa nae ila keshaowa tayari
@jamesobedy39402 жыл бұрын
🤔🤔🤔🤔
@paulsimba2786 Жыл бұрын
daaah hakika nimepata ahuweni ktk hili simo kwani nilikuwa naumia sana mke wangu kuacha mwili na mimi na watoto wake na nduguzake niliumia sana
@fatumahengo68495 жыл бұрын
Huyu docta kiboko sasa naanza kuvuta taswira
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Hii neti ya kuishi ni hapa hapa au kwengine
@josephkadeghe47202 жыл бұрын
Tatizo Dr anaeleza kana kwamba hakuna wachawi wala shetani
@lucyjohn33342 жыл бұрын
That's is Philosophy Brother.
@fortnataangelo48054 жыл бұрын
Wapendwa ninashida sana, natamani kupata msaada , natamani kama, kuna mtu anajua ofis zake ziko wapi, huyo dr Elie waminian,
@asfdodoma73734 жыл бұрын
Mcheki Lilian mwasha atakuunganisha nae yupo hapahapa daresalam ana ofs zake
@neynaomagwari94412 жыл бұрын
mimi nauliza mtu alie kufa unawezamuombea toba kwa mungu
@bahatimlowe11664 жыл бұрын
Docter, thanks to every thing, nilkuwa juma sana kuhusu mtu kufa.
@julienneinamuco25053 жыл бұрын
j aimerais avoir le numero de ce monsieur dr Elie
@selfaakinyi5125 жыл бұрын
Nikweli Dr juu nakumbuka mamangu alikuwa akiongea na nyanya yangu ila nyanya alikuwa kitambo. Nyanya alikuwa akimwambia mamaa mbona amepotea kumbe nyanya alikuwa nampa mama ujumbe aende kijiji akajenge. Tangu mamaa ajenge nyanya haja wai Kumjia tena . sasa nimekuelewa vyema Dr . ubarikiwe
@selfaakinyi5125 жыл бұрын
Kenyan watching from qatar
@evaregislachinguile78394 жыл бұрын
Ongeeni kiswahili ili watu wote tufahamu vizuri
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Kuzaliwa mipango ya Nani?
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Kablla hujazaliwa ulikuwa wapi?
@mussaathumani7595 Жыл бұрын
Binadamu akifa roho yake hateseki tena?
@kelvintz76844 жыл бұрын
Kukata roho haikuhusu
@rashidsmalik2460 Жыл бұрын
Ilitakiwa apatikane alie na ufahamu zaidi ya huyu mdada hajui kila kitu huyu
@hawahawa81665 жыл бұрын
Mafunzo mazur san
@zuhuramike13994 жыл бұрын
.
@dionisiabarnabas964 жыл бұрын
Madam jitaidi kubadilika unaboa
@khadijak30655 жыл бұрын
Jee dct mfano mtu kafariki halafu ukamota anakupa pesa jee nitakuwa maskini au tajiri naomba unifafanulie
@yehoshafatimayala45633 жыл бұрын
Tafuta hela
@agnesspetro66952 жыл бұрын
@@yehoshafatimayala4563 Hahaha acha ukorofi
@rehemamajaliwa Жыл бұрын
@@yehoshafatimayala4563 kabisa🤣🤣
@rehemamajaliwa Жыл бұрын
Fanya kazi acha uvivu🤣
@mauvaisecompagnie9514 жыл бұрын
Wewe msichana mtangazaji ..ur useless with ur haaaaa...haaaaaaa....haaaaaaaa
@rehemamajaliwa Жыл бұрын
😂😂😂
@immanuelmwaipopo16053 жыл бұрын
Duh huyu doctor anaongea kiswahili kabisa lkn nashindwa kumuelewa anaongea kiswahili kigumu balaa
@madetetv65762 жыл бұрын
Umezoea kinyakyusa tatizo
@rehemamajaliwa Жыл бұрын
@@madetetv6576 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@HappyGoddy-vp6un Жыл бұрын
Nazidi barikiwa na vipindi vyenu, naomba umlete tena dr aongelee kua je ni sahii ukiona mambo hayaendi uombewe ili ya kwende au kusomewa dua