No video

AUCHO ALIVYOPIGA TIZI LA NGUVU BAADA YA KURUDI | MUSONDA GARI LIMEWAKA

  Рет қаралды 102,327

Yanga TV

Yanga TV

Күн бұрын

Пікірлер: 431
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 Ай бұрын
Nimefurahi sana viongoz wetu kwa kuwa wasikivu na kumbakisha Kennedy musonda ni miongon mwa wachezaji wanaoweza kukusaidia kwenye mechi ngumu za maamuzi big up Eng kwa hilo
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Ай бұрын
Safi sanA timu yangu
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 Ай бұрын
The tears of joy streaming on my face....I'm so happy to my lovely team...love you so much all my players
@ramamabinda5063
@ramamabinda5063 Ай бұрын
Daah aisee kuna bonge moja la raha kwa wachezaji wa yanga. Mwenyez Mungu awajaalie nguvu uwezo na nafasi ya kutimiza malengo ya tim inshallah
@iddymohammed1890
@iddymohammed1890 Ай бұрын
yani mwanang hao jamaa wanaenjoy sana yan mpk nimejikuta na mm natabasam mda wote..
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Ай бұрын
​@@iddymohammed1890sana harafu naona kama chama ndio furaha imezidi kanawili yanı anaonekana hata usoni anafuraha moyoni
@salmagodfrey4043
@salmagodfrey4043 Ай бұрын
Hakika kaka wanaupendo sana wenyw kw wenyew
@dickMassawe
@dickMassawe Ай бұрын
Daah noma,, had raha
@saumbakar7643
@saumbakar7643 Ай бұрын
Inshaallah💚💛💛
@user-kd9tc4tl5f
@user-kd9tc4tl5f Ай бұрын
Mwenyezi mungu azidi kuwapigania wachezaji wetu. Furaha walionayo imenifanya niwe mwenye furaha sana siku ya Leo.Asante mungu kwa Kila kitu🇹🇿🙏
@gililwise
@gililwise Ай бұрын
Yaani wachezaji na mashabiki wa yanga wanakuwaga na amani sana.ukiwa na amani na furaha lazima utakuwa na mafanikio. All the best timu wananchi
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Ай бұрын
Hata baba na mama mkiwa naishi na furaha kwa upendo mungu anawapa watoto wenye furaha na upendo
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f Ай бұрын
Kenny boy & Aucho I love you guys 🥂 welcome back our legends 💚🟡🟢
@abdulsaidy3358
@abdulsaidy3358 Ай бұрын
Musonda is back💪🔥🔥
@user-cd6zy2sr9g
@user-cd6zy2sr9g Ай бұрын
Ligi ikiaza Kuna watu wata tafuta Kwa kujificha😅😅😂
@tishomaryomary-ps2xv
@tishomaryomary-ps2xv Ай бұрын
Nimefurahi sana kumuona Dr. Aucho tunaomba astaaf akiwa Yanga sc ili tumfanyie sherehe Dr.💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
@AdamSadick-ik5jg
@AdamSadick-ik5jg Ай бұрын
An naitazama hii video mwanzo mwisho natabasam tu😌😌
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro Ай бұрын
Young Africans Le Equipe Monene na Kati ya Afrique💥💥🇹🇿🇨🇩
@suleimanjokoro
@suleimanjokoro Ай бұрын
Le Champion du champion 💪💪💥🇹🇿
@EliasHassan9
@EliasHassan9 Ай бұрын
Yanga digital platform mpewe 💐💐💐 yenu an picha bora and amazing voice
@dastopadady2402
@dastopadady2402 Ай бұрын
Katika fulaha yangu nikimuona muxonda kusalia na timu welcome muxonda welcome alid aucho pacha wangu mitaani wananiita alid aucho Mungu ujalie timu yetu izidi kuwa juu mbele yao nyuma kwao daima mbele nyuma mwiko🎉❤❤❤
@HalimaIssa-pu4yt
@HalimaIssa-pu4yt Ай бұрын
Niliumia Sana baada ya kusikia Musonda atapewa Thank you. Nawapenda wachezaji wote na ninaimani mtafanya vizuri kwa uwezo wa Mungu.
@DavisSongolo
@DavisSongolo Ай бұрын
Welcome back the Tank 💪💪🔥🔥🔥
@presidentihsanofficial5929ok8
@presidentihsanofficial5929ok8 Ай бұрын
Duh nimefrah kumuona musonda alivo kutana na triple c
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@MkakileRamadhan
@MkakileRamadhan Ай бұрын
Hata Mimi nmefurah sana
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 Ай бұрын
Sana sana! Kuna watu walizusha eti Musonda tunamuacha daaah
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 Ай бұрын
Mimi pia, nikikumbuka magoli yake dah!!
@pappilonfar
@pappilonfar Ай бұрын
Wachambuz wabongo wapumbavu kila sku wanaongelea musonda apewe thank you
@user-dn9xs6gx3v
@user-dn9xs6gx3v Ай бұрын
Leo nacoment kwaajili ya Musondaaa🌹🌹 Naipenda sana Yangaaa
@Carolina-sm5zt
@Carolina-sm5zt Ай бұрын
Mungu awajalie umoja wenu upendo wenu uendelee kudumu siku zote katika maisha yenu 🎉🎉🎉
@sumairahjohn-jt4qy
@sumairahjohn-jt4qy Ай бұрын
Nani kamuona mkude😂😂😂
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Ай бұрын
Yupo mbona kila siku mazoezini wachambuzi njaaa niwambea
@user-bw1hs2nd8p
@user-bw1hs2nd8p Ай бұрын
Yan hii Hali ya upendo waliyonayo wachezaji, benchi la ufundi dah.... I feel like crying 😭😭😭😭, chozi la furaha. Mungu aendelee kukupeni nguvu, afya na kupambana kwa dhati kubwa kwa ajili ya time yetu!!!❤❤❤❤❤❤
@seiphomary834
@seiphomary834 Ай бұрын
The tank aucho ## hii timu tumebak ss mashabk tu ushaur kila game nje kuwe na sehemu ya kujisajil mashabk tu kwan shabk mpaka uwe na tawi #
@deogratiuspaul3663
@deogratiuspaul3663 Ай бұрын
Hii kwelii
@EsterMbilo
@EsterMbilo Ай бұрын
Musonda is back ,hakika huyu mwamba ni hatari kwenye mechi za kimataifa
@amaniomar1755
@amaniomar1755 Ай бұрын
The doctor himself is back 🎉🎉🎉🎉🎉 alongside Kennedy The remedy welcome beck our warriors
@bahatimohamedi3680
@bahatimohamedi3680 Ай бұрын
Asante kwakulejea doctor wampira
@jacksonlyimo1491
@jacksonlyimo1491 Ай бұрын
Safii snaa Mungu ibariki Timu yeti Young African, ikawe Timu tishio na pendwa Africa na Dunia na Tanzania ikaheshimiwe kupitia Yanga🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@SwigoJr-vy3gv
@SwigoJr-vy3gv Ай бұрын
Ameen 💛💚💚🙏
@zaishanga1622
@zaishanga1622 Ай бұрын
Injinia Asante baba kumbakisha msonda kipenzi cha mama angu Bi atuwa wa tandale nina imani ameongeza uhai wake tena mungu akubarik bb❤
@fadhilinsemwa2687
@fadhilinsemwa2687 Ай бұрын
there is so much love between the squad lookin at the reception of the players coming back from leave, damn that chemistry is beautiful
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg Ай бұрын
Nimefurahi saana tena mno kumuona musonda!.
@SylvesterSafari-nf4fy
@SylvesterSafari-nf4fy Ай бұрын
Doctor welcome back
@danielbrunomasaga-tv3oq
@danielbrunomasaga-tv3oq Ай бұрын
Hadi sisi wenye yanga yetu tunaiogopa hii team kwa kweli 🙌🙌🙌🙌🙌
@songombingo108
@songombingo108 Ай бұрын
Yanga wanapendana na wanajuana sana... Lakini kule kwa Madunduka inabidi wachezaji watembee na Pasport ili wajuane.😂😂
@godlistengodlisten7552
@godlistengodlisten7552 Ай бұрын
Halafu Hakuna Wachawi Tena Alikua Amebakia Metacha,🤣🤣🤣
@abdul.mahighway
@abdul.mahighway Ай бұрын
😅maku kweli
@flavianajohn5250
@flavianajohn5250 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j Ай бұрын
​@@godlistengodlisten7552😅
@ZainabuMandova-br5qq
@ZainabuMandova-br5qq Ай бұрын
😅😅😅
@paulmwanyika7622
@paulmwanyika7622 Ай бұрын
Chama na Musonda wamekutana 🙌🙌
@chingjr1741
@chingjr1741 Ай бұрын
Chama anamumbia musonda akabadilishe nguo fasta anapoteza muda 😂😂😂😂
@user-bm2wo7hh3b
@user-bm2wo7hh3b Ай бұрын
Mungu azidishe upendo ndani ya team yetu ❤❤❤❤
@user-ug1nv3xl4d
@user-ug1nv3xl4d Ай бұрын
Nyie hii YANGA hii acheni tu kweli wanaitaji ubingwa wa Africa kwa kikosi hiki warahi wote tuseme inshallah.
@user-yy8xt3sh5s
@user-yy8xt3sh5s Ай бұрын
InshAllah
@upendoomary1921
@upendoomary1921 Ай бұрын
Inshallah
@saumbakar7643
@saumbakar7643 Ай бұрын
Inshallah
@kilalak2932
@kilalak2932 Ай бұрын
Isha Allah
@user-cj7lx5ze4d
@user-cj7lx5ze4d Ай бұрын
Yana raha sana. Mungu wabarik wachezaji wetu ibariki yanga wabaliki viongozi pamoja na bench LA ufundi na ibariki Tanzania
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 Ай бұрын
Kwahyo umeona ukiombea na simba utakatika pumbu😮
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Ай бұрын
Fundi wa mpira Dr Khalid aucho welcome mwamba 🎉🎉
@lilianchambua5839
@lilianchambua5839 Ай бұрын
Nawapenda sana wachezaji wetu wa Yanga mungu akawape nguvu kila mmoja wenu
@Mrishohaji-sw1fr
@Mrishohaji-sw1fr Ай бұрын
Wa kwanza mm ❤❤❤
@bbanyikwa
@bbanyikwa Ай бұрын
Hakuna kitu kilikuwa kinaniuma kama kusikia musonda anaachwa Nimefurahi sana kumuona💛💛💛💚💛💛💛🤲
@claratango9262
@claratango9262 Ай бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@oscarjohnson9013
@oscarjohnson9013 Ай бұрын
Maa bingwa doctor & doctor
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Ай бұрын
Hongera injinia hersi hongera 🎉🎉🎉🎉🎉🎉like ya injinia
@johnwallace9842
@johnwallace9842 Ай бұрын
Mungu tuzidishie amani ya nchi na uwalinde wachezaji wetu
@user-br7fz4zd5x
@user-br7fz4zd5x Ай бұрын
Alhamdulilah jamani hawa watu wamerejea
@faidha23
@faidha23 Ай бұрын
Welcome musonda❤❤
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Ай бұрын
Huenda msonda kamshawishi mwamba wa Lusaka 🎉🎉🎉
@rogersiddy
@rogersiddy Ай бұрын
😂😂😂😂utani wao bhana Aucho na Denisi Nkane amemkuja Denis Nkane nakumsogeza pembeni kama upepo😂😂😂😂🙌
@YohanaCharles-ry1kh
@YohanaCharles-ry1kh Ай бұрын
Yangaaaaa, jaman rahaa sanaaa daaah najiskia aman sanaa ninavyoona upendo mkubwa sanaa hvy kwa kwel god bless all the time aman
@stevenobure8241
@stevenobure8241 Ай бұрын
GSM JUNIOR YANGA BINGWA #NBC PREMIER LEAGUE #LIGI KUU #USAJILI#PRE-SEASON #UBINGWA UENDELEE 💚💚💚💚💛💛💛💛💛
@Mwinyi_yanga
@Mwinyi_yanga Ай бұрын
Yanga Africa raha sana😅😅😅
@GoodluckLoserian
@GoodluckLoserian Ай бұрын
Apo kazi imeisha musonda namkubali sana mwamba uyo
@jairatu688
@jairatu688 Ай бұрын
Ma shaa allah......Allah azidi kuwalinda
@LadslausJohn-kq4qz
@LadslausJohn-kq4qz Ай бұрын
Mpaka raha daaah😊
@user-eh5il7pw2f
@user-eh5il7pw2f Ай бұрын
Wazambia hao,au Aucho aligoma mpaka Musonda arudishwe 😂😅😅maana hao ni vipenzi sana
@user-qo8bb4he7i
@user-qo8bb4he7i Ай бұрын
Yawezekana maana wte wapenda mziki na mibishoo flan hivi
@AziziAbdala-tw6uf
@AziziAbdala-tw6uf Ай бұрын
aucho mganda
@user-kt7sx5rk2o
@user-kt7sx5rk2o Ай бұрын
Mtapiga lamri mpaka mchoke mwaka huu😂😂😂😂😂😂
@user-rc8sv9dg2l
@user-rc8sv9dg2l Ай бұрын
😂😂😂😂​@@user-kt7sx5rk2o
@user-eh5il7pw2f
@user-eh5il7pw2f Ай бұрын
@@AziziAbdala-tw6uf ndiyo ni mganda ila Musonda na Chama ni wazambia
@AbdiSele-94
@AbdiSele-94 Ай бұрын
Ndio maaana yanga sihamii upendo kama huu unazani utaupata wapiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Ай бұрын
Daah mbona Musonda anaangalia namba ya jezi ya Chama alafu anacheka 😂😂😂 maji mtaita mma
@HezironDomincko
@HezironDomincko Ай бұрын
nimefulahi yanga njisi wanavyo ishi kama ndungu❤❤❤
@AbaidiiniNgweti
@AbaidiiniNgweti Ай бұрын
Hii ndio yanga bhn
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 Ай бұрын
Nilikuwa nawaza msonda ila Sasa roho yangu imetulia🎉🎉😊😊😊
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Nkane mkatibishe huyo Mkenya vizuri. Naona atachukua mida mrefu kujichanganya. Uzuri kiswahili anakijua.
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 Ай бұрын
Auchooooo ,, musondaaaaaaaa , Aziziiiiiiii,, dubeeeeeeee, chamaaaaaaaaa, haaaaaaaa watu watatafutana
@user-ut3pb2pf5u
@user-ut3pb2pf5u Ай бұрын
jamàní tuwé tu màkiñí maña mana wàtàtúlóga
@RashidiMalik
@RashidiMalik Ай бұрын
Oya😂😂 noma
@Mhappy5
@Mhappy5 Ай бұрын
Atleast amerud nipate dp mpya... Musonda❤
@faithaction2505
@faithaction2505 Ай бұрын
Weka hata yangu tu
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo Ай бұрын
Musonda tunaomba abakie yang africans
@SuzanIkwabe
@SuzanIkwabe Ай бұрын
Ndo huyo sasa kabaki 😂😂
@FaustineElias-f5q
@FaustineElias-f5q Ай бұрын
Aisee kuwa mwana yanga raha sana namkubalia aucho
@MathiasFungavyema
@MathiasFungavyema Ай бұрын
Yan yanga wanaishi zaidi ya ndugu😢💛💚💛💚
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Ай бұрын
Dah....nimefrahi kumuona Muda...magoli ya jioooooni!!! Love u more my team💚💛
@user-ut9uo6dc9d
@user-ut9uo6dc9d Ай бұрын
sasa waje kusema tunanunua mechi yanga jaman. tutamshika mtu vinyanya mshenzi msimu huu. 💚💚💚💚🔥🔥
@ArnoldRwegasira-hp9gt
@ArnoldRwegasira-hp9gt Ай бұрын
Karibu musonda kemuzo
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 Ай бұрын
MASIKINI SIMBA ....MBONA HURUMA.
@flavianajohn5250
@flavianajohn5250 Ай бұрын
😂🤣😅😂nyau wewe
@Mary-fs4mc
@Mary-fs4mc Ай бұрын
Wanaye Debora we huogopi😂😂😂😂
@RamiaMavengu
@RamiaMavengu Ай бұрын
Kwangu mm mungu njia uliotupitisha mwanzo ktk mafanikio ya klabu yetu tunakuomba utubadilishie njia ikawe njema na yenye upendo lakwako likatimie kwa utukufu wa jina lako na ubigwa ukawe kabra ya mechi 10 🤲
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Ай бұрын
Yanga 🎉🎉🎉🎉🎉
@Anderson-yq2we
@Anderson-yq2we Ай бұрын
Bleessiinngg barki Tanzania brk young Afrika club
@dengahmediatz1230
@dengahmediatz1230 Ай бұрын
Hii yanga inanifanya nichelewe kuoa kabisaa sio kwa raha hizi
@Safina-qg9gv
@Safina-qg9gv Ай бұрын
Alhamdulillah ninafuraha kumuona kenedy musonda yani kwetu raha tu 💚💚💛💛
@GrantNgombe
@GrantNgombe Ай бұрын
Nimefulahi sana kumwona musonda yanga daima
@idarousomar1
@idarousomar1 Ай бұрын
Nisingewaelewa kabisa kama mngemuacha Musonda
@ZainabuNdunde-lq2jz
@ZainabuNdunde-lq2jz Ай бұрын
Chama he's happy to see musonda see that bond bana😊😊adi nmefeel❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-fg3we4pi4w
@user-fg3we4pi4w Ай бұрын
Yeeees doctor aucho Nilikuwa na mawazo nilikuwa simuoni jembe langu .
@ntakakasendebayi9992
@ntakakasendebayi9992 Ай бұрын
Yanga ya mwaka huu itatupa raha sana sana 💛💚🔰
@user-yn6wf7qq7s
@user-yn6wf7qq7s Ай бұрын
Furaha kumuona musonda💚💚💚💚yangaaa
@AnonymousGang-eq7jb
@AnonymousGang-eq7jb Ай бұрын
Wangapi wamefurahi kumwona Musonda Kama Mimi?
@user-px6if1wy1n
@user-px6if1wy1n Ай бұрын
Naona upendo mkubwa sana Mungu awabariki
@agapeemmanuel
@agapeemmanuel Ай бұрын
Raha sana jamani mungu ibariki yanga
@AbeidRamadhan
@AbeidRamadhan Ай бұрын
Hii timu itachukuwa makombe mpaka ichoke maana upendo wanaooneshana hakuna timu tz inakuwa hivi mungu ibariki yanga
@godfreyelibarikilaizer6178
@godfreyelibarikilaizer6178 Ай бұрын
Kama ni upendo Basi YANGA Ina upendo kwa ujumla na kila jambo linalofanyika ni la faida Lina kua na muendelezo na matunda yanaonekana Mimi sisemi kishabiki lakini nasema YANGA inajua kufanya jambo kulingana na wakati husika YANGA ninayoiyona mbeleni ni YANGA isiokua na migogoro na ni timu itakayofunza wengi naipenda team yangu 🩸💯
@abuu-hx3ru
@abuu-hx3ru Ай бұрын
Ukisikia mtu hatoleta timu uwanjan Kwa Busta hiliiiii tusubili ligi iyanze mtu ale 10😂😂😂😂 yanga forever 💛💛💛💛💚💚💚💚✅✅✅
@DjFae.b255
@DjFae.b255 Ай бұрын
Yanga 💚💛 nimegundua wachezaj wanapenda a sana
@patridabernard9148
@patridabernard9148 Ай бұрын
Naipenda YANGA kuliko kula
@pambaboniface1199
@pambaboniface1199 Ай бұрын
Taabu Iko pale pale walijua hamtarudi....kudadeki Mwanangu Mkude naye yupo?? Safi sana
@NestoryMapunda-gq3kb
@NestoryMapunda-gq3kb Ай бұрын
Daaa kwel aucho na msonda kopi san hi wasije tengn ongeza mkatab msonda
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n Ай бұрын
Heshima kwaza mbele Aucho shikamoo Enginer ya YANGA
@FaustinMagwala
@FaustinMagwala Ай бұрын
Furaha kubwa moyoni kwangu
@wilsongeorge1353
@wilsongeorge1353 Ай бұрын
Musinda KALIBU sana kaka
@Sumaiyafisoo
@Sumaiyafisoo Ай бұрын
Karibu msond🎉🎉🎉🎉
@patridabernard9148
@patridabernard9148 Ай бұрын
Safiiiii sana vijana kazi kazi tuu
@kolosii4351
@kolosii4351 Ай бұрын
Hapa Gift Fred naona absent.
@petro8010
@petro8010 Ай бұрын
Yupo na alishaanza mazoezi 3:27
@chollejr_
@chollejr_ Ай бұрын
😂😂😂😂ila kankane kadogo bhana check aucho alivyokakwida
@ZondwaEmmanuel
@ZondwaEmmanuel Ай бұрын
Dah yanga raha sana
@lwzmangulu7532
@lwzmangulu7532 Ай бұрын
Bhna hii ndo tim ya wanainch frahaa Kama yote wachezaji wanamisiana mnoo kipind Cha likizo💚💚💚💚💚💚🙏🙏🙏🇹🇿🔥🔥
@miriamfrimini6357
@miriamfrimini6357 Ай бұрын
Nimefurahi kumwona musonda❤
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu Ай бұрын
Musonda anaondoka anaondoka kiko wapi waandishi uchwala mwaka huu jitu litakula 10
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 10 МЛН
SPONGEBOB POWER-UPS IN BRAWL STARS!!!
08:35
Brawl Stars
Рет қаралды 21 МЛН
Пройди игру и получи 5 чупа-чупсов (2024)
00:49
Екатерина Ковалева
Рет қаралды 4,3 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 85 МЛН
HII YANGA BALAA TAZAMA MAGOLI YALIVYO INGIA
5:20
Mlela Digital
Рет қаралды 6 М.
The Match That Made Zinedine Zidane Retire
14:37
BR7 Football
Рет қаралды 1,8 МЛН
Unveiling my winning secret to defeating Maxim!😎| Free Fire Official
00:14
Garena Free Fire Global
Рет қаралды 10 МЛН