No video

ANAPOISHI BI MWENDA/WALINIPIGA KARIAKOO/WANANIZOMEA WACHAWI WAMENIUMIZA MIGUU

  Рет қаралды 55,958

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZfaq channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 177
@AminaOthman-b4f
@AminaOthman-b4f Ай бұрын
Nyumba nzuri.mashallah...hongera bi mwenda, Allah atazidi kukubarik Inshallah.
@mohamedmwinjuma
@mohamedmwinjuma Ай бұрын
Bibi mwenda kajitahidi sana nyumba nzuri sana hongera bibi mwenda
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Nimefurahi sana .maana naumiaga wanavyoaga dunia hawana kitu wakati wamefanya makubwa .wanazurumiwa sana
@Nuru9568
@Nuru9568 Ай бұрын
Mashallah Zuu collection inaonekana anampenda sana Bi Mwenda❤
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Ай бұрын
Bi mwenda yupo vizuri ❤❤❤❤salehe kafika😂😂😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Watt wangap na wajukuu wangap,,,umekuja kwenye sensa😂😂😂
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 13 сағат бұрын
Mashaaalah b mwenda amvalishe mke sketi ya shule,
@patchomwamba9529
@patchomwamba9529 Ай бұрын
Mweeee bi mwenda kanikumbusha bibi yangu alikua mcheshi Kama wewe pumzika amani bibi yangu 😭😭😭😭
@TumsifuMbamba
@TumsifuMbamba Ай бұрын
Inapendeza big up dada kumletea zawadi bi mwenda, ila sarehe kaja mikono mitupu
@user-pd2fk6kt5i
@user-pd2fk6kt5i Ай бұрын
Saheleh siku moja wende na kwa Hamisa mobeto
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Ай бұрын
I like this mummy may Allah protect her more ❤❤❤❤
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Ай бұрын
Ameen Yarabbi Amin
@hopegwimile53
@hopegwimile53 7 күн бұрын
Mkiwatembelea wasanii kama Bi Mwenda na wengine mpeleke fedha taslim kama mnavyopeleka kwa wazazi wenu. OLD IS GOLD.TUNU HAWA MFANO WA KUIGA.
@panadomadola3064
@panadomadola3064 Ай бұрын
Ongera sana bi Mwenda, ulikuwa ukinifurahisha pale unapo igiza kama mchawi, mpaka baadhi ya watu walidhani wewe ni mchawi, wakati wewe siyo mchawi, bali ni fani tu. Ujaliwe maisha marefu
@minnahhers7437
@minnahhers7437 Ай бұрын
Ma shaa Allaah nilikuwa napenda kumfatilia wakati wa Kaole
@nancywanjiku1554
@nancywanjiku1554 Ай бұрын
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪 bi si kitu..🫂 🫂
@agripinagaudence7744
@agripinagaudence7744 Ай бұрын
Sasa huu ndiyo uhalisia wa maisha ya wasanii wa bongo movie....japo bongo movie wengi wanafake sana....big up bi mwenda
@chikujuma18
@chikujuma18 Ай бұрын
❤❤❤😂😂 Nampenda bibi anajua kuigiza sanaaaaa
@anathjuma6813
@anathjuma6813 Ай бұрын
Kuwa na kwako Raha jamaniii
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 Ай бұрын
Mungu ni mwema atimae bibi mwenda ametoka kwenye kibanda cha mabati na matope pale airport njiapanda 😢 Mungu akutunze.
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA Ай бұрын
Kwan alikuwa anakaa kwenye kibanda au
@MaryNdondole
@MaryNdondole Ай бұрын
Alikuwq anauza mafuta ya taa
@DavidDavidmaleko
@DavidDavidmaleko Ай бұрын
Namkubali sana bb mwendaa ❤❤
@junioremmanuel1695
@junioremmanuel1695 Ай бұрын
Mwenyez Mungu akuweke bib mwenda
@maureenmgeni
@maureenmgeni Ай бұрын
Hongera sana Bi Mwenda.
@user-un9eh6xn6c
@user-un9eh6xn6c Ай бұрын
Nakupenda bi mwenda mungu hakutunze❤❤❤😂🎉😅
@KenechiUdeh-zd3tu
@KenechiUdeh-zd3tu Ай бұрын
My wifi penda Sana wewe kipenzi changu maisha marefu mpenzi bi kwenda Fatuma Makongoro
@sirahchocolate8508
@sirahchocolate8508 Ай бұрын
Bimwenda sio bi kwenda khaa😅
@MwanaishaSalim-pg3kq
@MwanaishaSalim-pg3kq Ай бұрын
😂😂😂​@@sirahchocolate8508
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk Ай бұрын
Kukosea n kawaida ya smart phone😁😁​@@sirahchocolate8508
@zainab8251
@zainab8251 Ай бұрын
Salehe leo cha pilau hongera sana mama uko vizuri
@btylove1870
@btylove1870 Ай бұрын
Mtangazaji jifunze kuwapa pole unaowahoji wanapo kwambia wamefiwa na familia zao
@mrlongrichlongrichagent1929
@mrlongrichlongrichagent1929 Ай бұрын
Kweli anawaza kula tu😅
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 Ай бұрын
😂😂😂​@@mrlongrichlongrichagent1929
@ZakiaDeogratious
@ZakiaDeogratious Ай бұрын
Nakupenda sana bi mwenda​@@mrlongrichlongrichagent1929
@gloryjimson9831
@gloryjimson9831 Ай бұрын
Kweli aiiiseeee
@mayasamissanga3736
@mayasamissanga3736 Ай бұрын
Arooo ni kweli kbs yuko tu ok ok sio busara
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 4 күн бұрын
Mashaallah bibi
@mamodelmam
@mamodelmam Ай бұрын
Saleh em jifunze kusema pole na wewe khaaaaa!
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Upo saii kabisa mtu kafiwa na mume n wtt anasema ok af anadakia swal lengne
@ZenaChuo
@ZenaChuo Ай бұрын
Zuu nakupenda cc
@hamidambonea1826
@hamidambonea1826 Ай бұрын
Salehe leo umepata kiboko yakooooooo❤😂😂😂😂
@patelokoh5828
@patelokoh5828 Ай бұрын
Always old is gold.
@Zainab_salat
@Zainab_salat Ай бұрын
Salehe umepatikana😂😂😂😂😂 bibi anamajibu😂😂😂😂
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri Ай бұрын
MashaaAllah bibi Allah azid kumuweka
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 9 күн бұрын
Mashalah ❤❤❤❤ bi mwenda
@SabraKisanya
@SabraKisanya Ай бұрын
Nimependa anaonekan c mchoyoo na zuu ni rafiki yak mwaya ongera saan tunamic kua na bibi na cc😢
@esthermichael3221
@esthermichael3221 Ай бұрын
Kweli mafanikio hayana umri usikate tamaa katika kupambania ndoto zako Mchawi afya njema ya akili na mwili na kumtanguliza Mungu kwa kila jambo
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg Ай бұрын
Eti zinaingia na kutoka❤❤❤
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Ай бұрын
Pamoja na kuhesabu kwa vidole umekosa ni miaka nane
@MegaNasri-bv7tc
@MegaNasri-bv7tc 2 күн бұрын
Mcheshi adi raha 😅😅😅😅 ishi maisha marefu bibi
@p.kasongot979
@p.kasongot979 Ай бұрын
Nampenda sana uyu bibi jamani 😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@HijaSalimu
@HijaSalimu Күн бұрын
Bi Mwenda karibu Kilimanjaro
@Hapygideon
@Hapygideon Ай бұрын
Salehe, salehe,salehe siku watakupa chakula uharisheeeeeeee😅😅😅😅😅shauri yako
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Nampenda sana bi mwenda❤🎉
@rukiyamohammed2945
@rukiyamohammed2945 Ай бұрын
Nimekuniss sana bi mwenda kwenye game
@hamischilinga6706
@hamischilinga6706 16 сағат бұрын
Bi mwenda kaweka Tango katika friji kwa kujisevia
@khadijahhussan182
@khadijahhussan182 Ай бұрын
UKipewa taarifa ya msiba Sema pole sio eeh
@WinnieKasambala
@WinnieKasambala Ай бұрын
Kabisa,ye ndo anashangiliya eti
@salhamrishoi4943
@salhamrishoi4943 Ай бұрын
Sema innalillah wainalilllah rajiuon
@mariamkibindo1741
@mariamkibindo1741 Ай бұрын
Atajifunza kupitia comments kama nimsomaji,
@LeylaHamisi-qh3kb
@LeylaHamisi-qh3kb Ай бұрын
Salehe dusa dusa😂😂
@bintmrisho3526
@bintmrisho3526 Ай бұрын
Kivule frem kumi napapenda sana
@MerinaChrispini-vy9wc
@MerinaChrispini-vy9wc Ай бұрын
Bibi Yuko vzr
@sabinaleonce8243
@sabinaleonce8243 Ай бұрын
Hongera sana dada
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 9 күн бұрын
Hujafa hujaumbika umenikumbusha mbali bi mwenda Mashaka kumbe kafa😢 Jaman na kisa alkua mzuri eiwaa lkn Mlemavu😢sana ilitrend itv long time ulvosema nikawakumbuka
@nicholauspeter9454
@nicholauspeter9454 Ай бұрын
amejitahid sana mama
@aishandayishimiye5127
@aishandayishimiye5127 Ай бұрын
Mashaallah ❤❤❤
@hanifaa1487
@hanifaa1487 Ай бұрын
Mashallah mashallah
@sifandayisaba9360
@sifandayisaba9360 Ай бұрын
Bi mwenda mkwe wangu iyo mimba ya mbumba bado tu haija zaliwa tu??😂😂😂
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 Ай бұрын
Mtangazaji wacha kusema Ehhh . Sema . Mashallah
@user-qs7lj7kj1k
@user-qs7lj7kj1k Ай бұрын
Saleh tunaomba joti😂😂
@user-ll7np8td7x
@user-ll7np8td7x Ай бұрын
Wote Tunawependa kaka sarehe na bibi mwenda na wote apo
@malila4582
@malila4582 Ай бұрын
Salehe napenda sana kz zako ww kijana
@user-hn8un5fz2n
@user-hn8un5fz2n Ай бұрын
Mashaallah ❤
@LisarahMsangi
@LisarahMsangi Ай бұрын
😂😂😂 unekuja kwenye sensa
@user-ho1fl1eg8n
@user-ho1fl1eg8n Ай бұрын
Sale kwa kula😅😅😅😅
@FaudhiaMchunga
@FaudhiaMchunga Ай бұрын
Waah
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 Ай бұрын
Eti gari imeenda barabarani 😂😂
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 Ай бұрын
❤❤❤🎉🎉huyu zuu ndio Naira au amefanana tu
@user-jh9si3dx7i
@user-jh9si3dx7i Ай бұрын
amn mumy zuu mwngn zayliss mwngine
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 Ай бұрын
@@user-jh9si3dx7i ok umefanana kidgo
@latifahkarim9774
@latifahkarim9774 Ай бұрын
Umekuja kwenye sensa
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg Ай бұрын
😂😂😂😂😂❤❤❤bi Wenda
@Zainab-qg6xv
@Zainab-qg6xv Ай бұрын
😂😂
@khamisimtame7848
@khamisimtame7848 Ай бұрын
@hopemremy1160
@hopemremy1160 Ай бұрын
❤❤❤
@sarahhassan1323
@sarahhassan1323 5 күн бұрын
Huyu mama mstaatabu saba zaman kbsa alikuaga anatembeza sabun alikua akikukuta bar atakubembeleza mpka utanunua
@ayubuzayumba
@ayubuzayumba Ай бұрын
Kauzuuuu bibi
@kennedymuro1008
@kennedymuro1008 Ай бұрын
Macho ya bi mwenda bhana...akikuangaliaa kwa mara ya kwanza lazima uogope
@festusabramary-bz4ef
@festusabramary-bz4ef Ай бұрын
ujui kufanya interview mzee
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@carolineoyugi7771
@carolineoyugi7771 Ай бұрын
Salehe acha usenge mtu anakwmabia kapoteza mtoto na mume hata pole hakuna 😏😏😏
@MacrinaLameck-yv2mu
@MacrinaLameck-yv2mu Ай бұрын
Yaani kanikela kazi kuchekacheka tuu kama baamed kaachiwa chenji...
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
Bibi 🎉
@Truheta
@Truheta Ай бұрын
Wap camera man😂😂😂
@hamisimanda1310
@hamisimanda1310 Ай бұрын
Salehee unapenda kula 😅
@franknzowa22
@franknzowa22 Ай бұрын
Mbona humpi hata pole mzee,..mwenzio anakushirikisha watu wake walioenda mbele za haki...unaitikia tu kama unapewa taarifa ya kawaida kaka daaah. Ulipaswa utamke neno.
@rosenaheka5137
@rosenaheka5137 Ай бұрын
Yani utafikiri ameambiwa wamepata kipaimara
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Ай бұрын
Pole sio nzuri unafany mtu anakuwa dhaifu
@user-ey5mv1yz3s
@user-ey5mv1yz3s Ай бұрын
Kweli hapo TU kakosea
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Ni huzun heshima mbov kijana
@MacrinaLameck-yv2mu
@MacrinaLameck-yv2mu Ай бұрын
Hajielewiii
@FaudhiaMchunga
@FaudhiaMchunga Ай бұрын
Ewa
@user-sb3bp9yz5v
@user-sb3bp9yz5v Ай бұрын
Muonekano wke kama ana chembe cha uchawi au mwanga
@hamidawamba
@hamidawamba 9 күн бұрын
Mh wew
@evanceeva6599
@evanceeva6599 Ай бұрын
Kaka Salehe naomba no ya Zuu jamany
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 9 күн бұрын
Bi.mwenda sio mchoyo
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 Ай бұрын
Salehe hajui kukataa 😂😂😂uwe unakataaga bas wenzio bajeti salehe kwangu ukija huli nakwambia
@user-tw7qm5mw4b
@user-tw7qm5mw4b Ай бұрын
😍
@mohamedmwinjuma
@mohamedmwinjuma Ай бұрын
Salehe kwakupenda kula kula nimemvulia kofia
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 Ай бұрын
Ila salehe huyu kwan anaendaga kuhoji au kula duh😮
@hamidawamba
@hamidawamba 9 күн бұрын
Acha kuonyesha tabia yako hapa ni aibu ko asile ?
@adammveyange9638
@adammveyange9638 Ай бұрын
Magugufuli hakwepek kidogo amtajee.
@mawlodafarida
@mawlodafarida Ай бұрын
❤❤ 😂😂😂😂😂
@RonnieBertin
@RonnieBertin 19 күн бұрын
Huyu salehe ni msenge
@sabinaleonce8243
@sabinaleonce8243 Ай бұрын
Bi SI kitu jamani
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g Ай бұрын
Nilisikia hana nyumba kweli lakuambiwa ulilivalie kijora bali nguo nyingine
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt Ай бұрын
Cameraman amekula kweli
@RachelEmid-jq6eo
@RachelEmid-jq6eo Ай бұрын
Jmn huyo mtoto mbna kamwangalia Bibi yake hvyo sjui ndo anabinua mdomo au anamng'ong'a😢
@Mina.15
@Mina.15 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@HawaAkida
@HawaAkida Ай бұрын
Ata mm Nmeona kamuangalia saleh alimshika kichwa
@rosenaheka5137
@rosenaheka5137 Ай бұрын
Anakiburi sana
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 Ай бұрын
Umeshaaambiwa mwanajeshi 😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
​@@rosemaryrwabibi5908af askiii😂😂😂
@frankngonyani2540
@frankngonyani2540 Ай бұрын
Saleh kama vp kamcheki na young d
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 Ай бұрын
Tangu.. Kaolew 😢😢mama ake kanumba
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 Ай бұрын
Saleh mwambie bi mwenda aende kwa wachina wa ETERNAL,,watamsaidia hiyo miguu!!Nina ushuhuda!
@GlorydavidJeremiah
@GlorydavidJeremiah Ай бұрын
Niwapi
@RonnieBertin
@RonnieBertin 19 күн бұрын
Vidumu vya pembeni😂😂😂😂😅
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 Ай бұрын
Ameeza shule 65 mama angu kazaliwa 68 Alf mama ana ata mjukuu mmoja 😅😅kheee
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
Mmechelewa kumpatia labda ama yy kachelewa wapata ninyi kina Jack
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Ай бұрын
Bibi tumaia black seeded its good
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Ай бұрын
Hee ngoja nijiokotee matibabu ya Mama yangu hapa. Black seed anajipaka kwenye maimivu au anakunywa kidogo kidogo
@khadijahhussan182
@khadijahhussan182 Ай бұрын
Kwaiyo camera man ye Hali salehe unakula ww tu
@user-cx7rh6jt6y
@user-cx7rh6jt6y 28 күн бұрын
Bi Mwenda punguza uzito ndo maana miguu inauma
@namsamson3443
@namsamson3443 Ай бұрын
Huyu Salehe kila nyumba anaingia lazina ale
@ashuramanya9282
@ashuramanya9282 Ай бұрын
😂😂😂😂
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂anapenda hatar
@winnieseba2257
@winnieseba2257 Ай бұрын
😂😂😂😂 anabariki nyumba
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Ай бұрын
😂😂😂😂
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 7 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 19 МЛН
The Joker kisses Harley Quinn underwater!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 16 МЛН
KIKAO CHA WAJAWAZITO WITH GLADNESS KIFALUKA - EPISODE 12
31:59
MUME WA RAIS SAMIA  KWENYE SWALA YA EID.
0:37
Coconut Fm Zanzibar
Рет қаралды 42 М.
WALIMDHARAU KWASABABU YA KINYAGO KUMBE NI MTOTO WA MFALME | MOVIE KWA KISWAHILI
28:46
English or Spanish 🤣
00:16
GL Show
Рет қаралды 7 МЛН