Kamati ya harusi ikikabidhi zawadi kwa maharusi Billnass na Nandy
Пікірлер: 67
@ahmaduun65232 жыл бұрын
watanzania wana hela, heshima, wana imani, mioyo ya huruma, wanapendana na pia kupenda kusaidiana mashaallah. Mola awazidishie na Mola aibariki tanzania. Love you sana from mombasa kenya..💘💝💛💟
@theresiamagnius15032 жыл бұрын
Jamani mmejitolea sana kamati,bilnas namkeo waoneni watu walivowaitika kwenye harusi yenu mkaidumishe ndoa yenu,nanyinyi pia mkashiliki na wenzenu kwenye Mambo tofaut, hongereni wote
@yhasintakalenyula9702 жыл бұрын
Jamani jamani,mkakae kwa kutulia.Mpendane kwelikweli na mvumiliane haswa.Maana muwaonee huruma ambao mko nao day one kwenye shughuli zenu za maandalizi walivyojitoa muda wao na hela zao.Please Billnas na mkeo.
@gres11822 жыл бұрын
Hii harusi ya nandy haijawahi kutokea tz hongeran nandy and nenga
@shineforever19952 жыл бұрын
Woooi imagine baada ya ndoa wana mamilioni ivo wakati wengineafter ndoa kuna madeni kama yote
@shukranzakaria32042 жыл бұрын
Jaman mmetisha mungu awe nanyi
@beatricemwagike35192 жыл бұрын
Hongereni Sana
@salamakaliasi93582 жыл бұрын
Hapa Nandi alivaa nguo sahihi lakin ile nyingne mmh, yote kwa yote hongera kamati
@hawasaidy8352 жыл бұрын
Nandy mkaitunze ndoa yenu
@jacklynemutuli97932 жыл бұрын
Mungu aibariki hii ndoa idumu milele.....Amina
@rahmamarumuthuma20712 жыл бұрын
Hogera da nandi Allah awajalie na maelewano ishaallah kwenye ndoa