Nakukubali miaka elf kumi...endelea kutufungua masikio bro ww ndo jembe la upizani
@talibsaid80814 жыл бұрын
Jamani huyu kalewa nn manake mambo yote yanofanyika Tanzania hayaoni , kisha anasema hakuna democracy
@faridmohamed2034 жыл бұрын
kwa utajiri tuliokuwa nao sisi tanzania tulikuwa ndo tuwakopeshe bank kuu ya dunia sioni haja ya tanzania kukopa
@meshackmlyuka84993 жыл бұрын
MTU akiielewa serikr hap ntamwit mbumbumbu!!!!!
@emmanuelmoshi49384 жыл бұрын
Kam wanapinga watuambia 2015 den lilikuwa kias gan n saiv 2020 n kias gan
@maxgerad50834 жыл бұрын
We mwenyewe unadaiwa mkopo huko bungeni lipaa
@tyniertemba11014 жыл бұрын
Nakuona zito ukisoma notc kwa projecta....nani kagundua kama mimi nipe like
@aceotz25794 жыл бұрын
Tunampenda Rais wetu❤❤
@mataamiry67204 жыл бұрын
Matahira nyie
@clintongaspa92684 жыл бұрын
Hujaendaaa shule anaongelea rahis uyo kichaaa
@clintongaspa92684 жыл бұрын
We n kichaaa mpende mama ako pia
@mataamiry67204 жыл бұрын
@@clintongaspa9268 achana nao hao wajinga wasiojua chochote wao kazi kusifia ujinga wanasahau kwamba nchi inaendeshwa kawa misingi ya katiba na sheria sasa uchumi unavyoyumba
@clintongaspa92684 жыл бұрын
@@mataamiry6720 hahaha wanaweka siasa kwnyw Mambo ya kitaifa n kile kilicho andikwa tunaaangamia kwa kukosa maarifa
@torymedia77734 жыл бұрын
Duuuuh aseee kumbe mm ni wakwanza
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Utajiri mlokuwa nao wapi?? Wanasiasa wanakopa humohumo wanapiga!!! Ndo maana kila kitu siri hawasemi !! Bunge linafichwa!! Mkaguzi wa ukweli prof. Asad alipohoji mapungufu ya pesa nakulitaka bunge lifanye kazi yake lisionekane dhaifu wakamuondoa kijingakijinga!! Hivi watanzania mnapataje ujasiri wa kushabikia serikali kama hii?? Yaani ndani ya miaka mnne wamekopa pesa zaidi ya kiwango kilichokopwa na serikali ya kikwete kw miaka 10. Mbaya zaidi hawatowi maelezo!!! Mtaani pesa hakuna, hajira hakuna!! Bata hatuli!! Sasa hizo pesa ziko wapi?? Mnatuibia!! Mtatuuuwa haki ya Mungu afu unakuta mijitu mingine serikali hii idumu milele!! Duh! Sijui nihamie nchi gani!! Natamani kuwa na raia wenye uwezo wa kuuona ukweli!! Tunauzwa!! Ndo maana serikali kali kama pilipili haitaki kuhojiwa!! Wanaohoji wametishwa vya kutosha!!
@raphaelsamwel26404 жыл бұрын
Unaiaminije serikali isiotaka kujiendesha kwa uwazi?? Tutapigwa sana!!! Trillion zaidi ya 58 ?? No Magufuli is going to set a bad and shameful economic destruction!!! Sector binafsi imetengwa!!! Madeni ya ndani hayalipwi!!! Viwanda viko wapi?? Million 50 kila mtaa na kijiji ziko wapi?? Siasa za kijinga hatwezi kuendelea kama nchi!! Huu unafiki watukuza ujinga na wajinga ukome!! Serikali inaua nchi!!!
@anethsubeth99894 жыл бұрын
Nenda huko tumeshakuchoka
@meshackmlyuka84993 жыл бұрын
Kwadeni hilo MTU akisem sijui ccm fyoooo ooo!!! Namuona mbumbumbu!!!!
@salmadalaquimane23644 жыл бұрын
We mzee wa utopolo una ongea kwa maslahi yako binafs una llote
@mataamiry67204 жыл бұрын
Wanaokutukana sijui wanafikili nini kwadababu kila unachoongea kipo wazi, yeye mwanzo aligoma kwamba hataki misaada sasa nashangaa deni la taifa linaoanda kulikohata wakat wa kikwete,
@ahmadnassor73754 жыл бұрын
Wacha tu Deni likue . Maana hao wanaotudai na wao wanadaiwa
@shabanfitnesstv39774 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Napita kusoma comments jaman ila hii imenifurahisha
@nikhatkhan83624 жыл бұрын
Tz inakopa duh ila tumezidi sisi Tz halafu wanasema kuna maendeleo Tz
@meshackmlyuka84993 жыл бұрын
Huu ni ujinga kabisa halaf utaskia kimtu kiko kiko ccm fyooooooo,kipumbavu hicho loo!!!!!
@maryrweyemamu78254 жыл бұрын
Jesus coming spoon.
@mtakamaonline77484 жыл бұрын
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0764325083/0654362426.
@salimliemba34584 жыл бұрын
Kwa mjomba magu hiyo trn 55 ndogo tutalipa Sema jengine
@mohamedturanardan88714 жыл бұрын
lipeni,
@meshackmlyuka84993 жыл бұрын
Akil huna kama kiongz fulan hiv alivo tairaaaaaaaaa
@edgarkibas94274 жыл бұрын
Hatar
@SonofNyanda4 жыл бұрын
What zitto Kabwe doesn’t understand is the end justifies the means so and an economist the benefits are tangible second is he is making this person and him as a politician is losing followers and finally magufuli’s method works so if it’s not broken don’t fix it.
@ashasaidi18954 жыл бұрын
Unaposema deni la taifa limeongezeka useme na ongezeko la hospital vituo vya afya na zahanat namashule pia serikali kuhamia dodoma
@bahatidavid8104 жыл бұрын
Kwahiyo kama wamekopa tusiseme🤷🏻♀️🤷🏻♀️ kisa wamejenga huo uchafu🤣🤣🤣
@pharespuma11054 жыл бұрын
Kama Sheria zinaruhusu basi mshitaki
@johannesmaloda82094 жыл бұрын
Ukiwa raisi tunaomba ulipunguze
@torymedia77734 жыл бұрын
Kutazama video zngu bofya hapa👇👇👇👇 kzfaq.info/get/bejne/as2WlM2fmNqriHk.html
@yuzzomoro53064 жыл бұрын
Mh ..
@eliezereliot10484 жыл бұрын
Ivi kigoma unaisaidia nini wewe
@gilbertmtoshu43344 жыл бұрын
Nakwelewa mtanzania mwenzangu
@universalcliptv48714 жыл бұрын
King wa wanafiq huyo!
@masoudsalum95144 жыл бұрын
watu wanapinga kwa hoja sio matusi
@sawayangoma3154 жыл бұрын
Yes, pinga kwa hoja nac vihoja heshimu watu jiheshimu pia.
@universalcliptv48714 жыл бұрын
Ukweli una choma haswa!....nuneni mpaka mpasuke!.....CCM OYOOOOO!!!
@mosog51714 жыл бұрын
@@universalcliptv4871 Mnafiki ni baba na mama Ako walikuzaa kizazi cha nyoka matako wewe umetmwa
@tinyaanosiatha11184 жыл бұрын
Wewe zito ni mkongo ya tanzania hayakusu. Umekuja tanzania kama mkimbizi ukapewa urai Leo unaka kuvurunga tanzania . Rudi kwenu kongo usituhalibia nchi nyooo
@bashibashiphotographer38744 жыл бұрын
Na bado tutakoma maana watanzania tunajifanya hatuelewi
@mathewtwimanye924 жыл бұрын
Ha ha ha sasa unaishitaki serikali kwa nani naona kama upunguani vile serikali ipi haikopi? Mtu binafsi anakopa sembuse serikali zito so unataka tufanyenini sasa tuandamane au tuishitaki serikali wewe binafsi hudaiwi? Ulisoma uchumi wapi? Huo ni ushamba ulio na chuki binafsi serikali zote duniani zinakopa, bro sasa kichwani huna kitu kisisa umeferi sana these days kila Kiki inakataa watu washasahau we ni mbunge wa jimbo lipi pia mie sijui naomba mnisaidie kujua jimbo lake au ni mbunge wa jimbo la tanzania, rudi ktk biashara tu
@qonquererqanquerer17814 жыл бұрын
Huyu jamaa Ni Mwizi Atatumaliza Awamu Ya 5 imetopea Ufisadi
@mosog51714 жыл бұрын
@@mathewtwimanye92 Upeo umeishia hapo kfikiri ndio maana huoni cha kfanya nikwasababu2 Akiri zako zimejificha kama mkundu kati kati ya matako
@anethsubeth99894 жыл бұрын
Kafie mbele wewe,kwenda huko
@faustinemavere14504 жыл бұрын
Wewe inakuhusu nini wewe ndo utalipa au!!umeaibika kule benk ya dunia umeanza kulopoka tena hilo domo huwa linawasha?duh
@bashibashiphotographer38744 жыл бұрын
Faustine mavere,,zitto kabwe ni msomi tena wa uchumi na hicho anachokiongea ndio somo lake anajaribu kukuonesha wewe ili ujue km pesa zako za kodi haziingii ktk ujenzi wa inch bali inch inajengwa kwa mikopo.
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Anaupenda URAIS huyu Muha / Mbembe hatari , hapo anaigiza na anajipima sauti itapendeza akiwa anahutubia kama Rais ?? Anataka atekenywe na jeshi la Polisi aitangazie dunia kapigwa tunyimwe mikopo , Zitto huna nyota tena , watu washachoka mikelele yenu , kwanza tuko busy na CORONA hebu tupumzisheni basi . Tuna maumivu ya CORONA unatuletea stress za " Deni la Taifa "" ?? Uliona nani kafungwa sababu anadaiwa ?? Tutalipa taratibu bana usituchoshe , Kwani tungekuchagua wewe usingekopa Benki ya Dunia au taasisi nyingine za fedha ?? hebu tuache tuangalie hii CORONA kwanza , kama huwezi kuishi nchi inayodaiwa hama nchi , nenda kwa wazungu wanaokulipa ubwabwaje kila kukicha , utekenywe uitangazie dunia Tanzania hakuna utawala wa sheria . Hebu Kaa chiniiii .
@faustinemavere14504 жыл бұрын
@@bashibashiphotographer3874 kumbe unajua nchi inajengwa kwa mikopo ana bwabwaja nini hana lolote msomi akiwa mjinga wa kuisemea mabaya nchi yake hata aongee zuri ni mpuuzi tu na usomi wake tumechoka na domo lake
@chayogasperi97834 жыл бұрын
@@bashibashiphotographer3874 Hana lolote mnafiki tu huyo , mpe yeye Urais tuone ataleta maajabu gani , Ni Nyerere na Mzee Mandela tu waliimaanisha wanayoyasema , hawa wengine wa miaka hii ni wachumia tumbo tu , usidanganyike .
@chayogasperi97834 жыл бұрын
@@faustinemavere1450 Sijawahi kusikia anapayuka Serikali inapofanya vizuri , yeye katumwa na wazungu kusema mabaya tu ya Tanzania yetu , huyu M- bembe / Muha ana roho mbayaaaa .