Nimesikia cm inaita huyo ni nani alikua mshua humo ndani😅😅,, Nyerere wew ni mtu na nusu umeipatia nchi aman bila machafuko mungu akulinde akupunguzie adhabu ya kabli
@SiyaweziManchareАй бұрын
I think anyleadership needs to be accombined with brave, smartmind, patriotism and vission
@princemimi20902 ай бұрын
miaka 27 baadae tuna raisi mzanzibar
@MuhanedSusu2 ай бұрын
Nina penda mafuso lamwalim j
@MuhanedSusu2 ай бұрын
❤ilikead
@annexkamuche85584 ай бұрын
He was very wise.
@jacksonkihongosi28625 ай бұрын
When he died the country cried like a kid 😢
@godwinmwakibibi2745 ай бұрын
Kuna viongozi bando linaweza kuisha kwa kumsikiliza ingewezekan serilikali na mitandao basi waweke free kuwasikiliza Hawa watu ni elimu tosha kwa Rais
@careyorege68696 ай бұрын
Tanzanians, you got something priceless from Mwalimu which has eluded all other African leaders past and present ….elimination of tribalism. A great leader indeed. RIP
@angelomfilinge86626 ай бұрын
the man was so wise. The current leaders should learn the philosophy of this man
@angelomfilinge86626 ай бұрын
Mwalimu wetu na Baba yetu wa Taifa Bado Fikra zake zinaishi. Na tuendelee kumuenzi kwa fikra zake
@user-qb2fh8ph6g7 ай бұрын
Mungu tusaidie,tumebaki wakiwa.
@jumakapilima72957 ай бұрын
When you were President, did you give freedom of speech to your people?
@semakulagodfrey81498 ай бұрын
TRUE AFRICAN LEADER R.I.P.
@andrewassey51088 ай бұрын
You deserve to be called saint. God be with you. Mtumishi wa Mungu Mwl JKNyerere.
@NdigaWilkinson-rm4pq9 ай бұрын
Mwalimu alisheheni uzalendo wa kikweli kweli.Mwingine sawa naye tumpate wapi enzi hizi zetu.
@KibonaKibona-gf7bq10 ай бұрын
Ukifufuka leo!!! Italian Sana!!!😂😂😂😂
@user-cp6kj5ne1t10 ай бұрын
Mweee Takukuru fanyeni kazi yenu kukomesha RUSHWA.
@hassankunjoku247910 ай бұрын
Dhambi yau aguzi. 😊
@AgnesSania-he2hl11 ай бұрын
Vraiment tu as de mérite.
@haggairaywer700211 ай бұрын
I miss him.He was one of my political heroes in Africa.
@user-ve2zn2zg1f11 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@samsonhamery380911 ай бұрын
Katika hotuba hii ya Baba wa Taifa ya mwaka 1995 katika ukumbi wa Kilimanjari hotel Dar es salaamu Mwalimu,anaitaja Tanganyika kwa ujasiri anasema "Rais atatoka ama Tanganyika ama Zanzibar"Vipi Leo ninyi Viongozi wa Serikali toka Tanganyika mnaona aibu kuitaja Tanganyika? Mbona wenzetu wa Zanzibar bado Wana ujasiri wa kuitaja Zanzibar yao?!!! Sisi Tanganyika tumepatwa na Nini?
@ngugidaniel1030 Жыл бұрын
I wish we could copy and paste such genius..
@sesservicekateshmanyara5381 Жыл бұрын
Nyimbo ya mungu ibariki iwe mashuleni hata kwenye sherehee yoyote 5:51
@sesservicekateshmanyara5381 Жыл бұрын
**********!..…****** respectfully 2:19
@MuunganoKamwisire-lf9si Жыл бұрын
Mh,
@user-xk1xw5qo5v Жыл бұрын
I Like speech father country bring long time
@HansMoses-ml7oh Жыл бұрын
Najivunia kuwa mtanzania❤❤❤
@twinamatsikogodfrey77 Жыл бұрын
And the listerners were just laughing... Instead of crying..!!!... cry beloved Africa
@watsonnyaisa567 Жыл бұрын
Father of nation hakuna kama wewe mwenyezi mungu akusamehe dhambi zako raha ya milele akupe eeeh bwana na mwanga wa milelele umwangalizie apumzike kwa amani mwl julius kambarage nyerere
@PeterMwicigi Жыл бұрын
Tanzania yetu
@MohdNassor-bo1ke Жыл бұрын
Maneno yanayoishi
@nathancoleman8413 Жыл бұрын
Julius Nyerere(1922-1999)RIP
@BonifaceSambo-ze6jh Жыл бұрын
Kumbe ktk katiba kuna kifungu Cha kumshtaki Rais,kama alivyosema mwl nyerere,kuwa tutachagua dini zote hata asiye na dini ili akivunja sheria ashtakiwe.
@RenaldaZeramula Жыл бұрын
Wazanzibara ni wengi.mnoo
@COSMASEZEKIEL Жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele
@hassaniibrahim300 Жыл бұрын
R IP
@hassaniibrahim300 Жыл бұрын
Baba wa Afrika ameongea kama SHEHE ama Padri simba wa Afrika
@josephgomalo41 Жыл бұрын
Samia anapenda hizo kero ..anatengeneza pesa kwa kero.. zake!
@samuelnyaachi7094 Жыл бұрын
This man was blessed with deep in wisdom.
@anthonygikuri Жыл бұрын
Tanzania tulibahatika kupata kiongozi. Hakuwa mkamilifu 100%, lakini tukikosa shukrani, 😢
Ccm wamekula nyama ya mtu wameiba mpaka imekuwa tabia
@HafswaSheiza-ed1ky Жыл бұрын
0ppp0p⁰z0🇦🇨
@raismalingumutz8473 Жыл бұрын
Hamufati Seria baba wa taifa wa katiba , tusichangue Tena chama tawala tubadilishe chama wananchi tunateseka Sana hatujali vitu vimepanda vyakula juu maisha magumu , tusiwape kura Tena , watanzania amkani
@xaixaiobrigado4846 Жыл бұрын
Mgiriki alitakiwa apelekwe mahakamani ili ahojiwe aeleze aliiwekaje sirikalli mfukoni. Kumfukuza ilikuwa kufunika kombe!
@xaixaiobrigado4846 Жыл бұрын
He! Mtu katiwa hatiani na mahakama>>mara viboko! Rufaa hakuna? Unyanyasi!
@xaixaiobrigado4846 Жыл бұрын
Ee mwl jamani! Kwamba rais akikiuka katiba,ashtakiwe! Mbona Katiba iyo ya 1977,ndo inasema rais akitenda makosa akiwa rais,au baada ya kustaafu,HAWEZI kushtakiwa Au....!