KZ
faq
Негізгі бет
Қазірдің өзінде танымал
Тікелей эфир
Ұнаған бейнелер
Қайтадан қараңыз
Жазылымдар
Кіру
Тіркелу
Ең жақсы KZfaq
Фильм және анимация
Автокөліктер мен көлік құралдары
Музыка
Үй жануарлары мен аңдар
Спорт
Ойындар
Комедия
Ойын-сауық
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
Ғылым және технология
Жазылу
MAVUNO TIME
6:28
UMUHIMU WA KUTENGANISHA MBUZI NA KONDOO | #MAVUNO_TIME
Жыл бұрын
1:24
MBUZI MWENYE MAPACHA 3 | UKARIBISHO #MAVUNO_FARM
Жыл бұрын
4:34
USAFI WA BANDA LA MBUZI NA JINSI YA KULITUNZA | #MAVUTO_TIME
Жыл бұрын
1:33
JIFUNZE DALILI AU HALI HATARISHI KWA MNYAMA WAKO, ZINAZO ASHIRIA UGONYWA AU MAGONJWA.
2 жыл бұрын
2:25
FAHAMU UMUHIMU WA JOSHO, NA FAIDA ZAKE KATIKA SHAMBA LA MIFUGO.
2 жыл бұрын
8:23
ZIFAHAMU AINA ZA CHANJO KWA MBUZI.. | MAVUNOTIME
2 жыл бұрын
15:50
YAFAHAMU MAGONJWA YANAYO WAKUMBA MBUZI: #MAVUNOTIMES
2 жыл бұрын
8:44
AINA ZA MBUZI: JINSI YA KUCHAGUA MBUZI WA KUFUGA NA WA NYAMA.. | #MAVUNO_TIME
2 жыл бұрын
10:15
JINSI YA KUANZA UFUGAJI WA MBUZI | #MAVUNOTIMES
2 жыл бұрын
3:33
AINA ZA UCHOMAJI WA SINDANO KWA MIFUGO | #MAVUNO_TIME
2 жыл бұрын
1:00
MCHONGO MPYA MJINI, WAKULIMA / WAFUGAJI HII NIYENU TENA | #MAVUNO_TIME
2 жыл бұрын
Пікірлер
@raphaelikisaka3259
7 күн бұрын
🎉
@mirajiramadhani3318
10 күн бұрын
Weka namba ya simu
@msevenfokoro94
19 күн бұрын
Nitapataje mbegu unapatikana wapi
@raymondfrancis7921
20 күн бұрын
Ramani ya banda naijua, lkn nmependa material mlizotumia mnenifunza cheap options.
@hemedhussein2045
Ай бұрын
Mnapatikana wapi?
@ahmadnyamwelu5597
Ай бұрын
Mie nataka kuanza Na mbuzi Mia tano Kwa heka Mia mbili itatosha heka hizo
@user-kd8ys3xp3b
Ай бұрын
Naomba no zako nahitaji mbuzi Idiolo au galla
@ismailbatenga5115
Ай бұрын
Asante sana bro..pamoja ktk ufugaji
@ismailbatenga5115
Ай бұрын
Hilo banda lina ukubwa gani? pia kama nafugia Dar linaweza kunigharimu shs ngapi.. Asante
@cresensiankwera1776
Ай бұрын
Amina Naombakuuliza mimi natakakulima hao mbuzi wa nyama unaitwaje?
@MohamedRajab-im6zv
Ай бұрын
Kiongoz naomba ututumie no ya sim
@Mohamed-md7pl
2 ай бұрын
Asante Kwa elimu 👍
@jumbemkilla9556
2 ай бұрын
Huwezi kuchanganya ukafuga pamoja kondoo na mbuzi?
@user-gj5nv8sj6l
2 ай бұрын
Asante sana kwa elimu yenu na hiyo ndio ndoto yangu ya 2025
@mebumohammed6844
2 ай бұрын
Kaka nipe number tufanye mawasiliano
@nkwabimagembe5286
3 ай бұрын
Maua yko dokta
@jumbemkilla9556
3 ай бұрын
Naomba vipimo vya banda hilo lakini kama hutojali namba namba ya fundi wako shukran.
@SayyidAhmadBaalawy
2 ай бұрын
Vipimo nikujikisia tu mwenyewe urefu upana wake. Hilo ukiangalia nikama miguu 15kwa 7 na urefu wajuu 15"
@eradolyamuya3929
3 ай бұрын
Asante sana kwa elimu nzuri ya ufugaji na mbegu bora za mbuzi
@PaskaliCharles-pz8ds
3 ай бұрын
Asante kwa elimu
@esthermasunga1602
3 ай бұрын
naomba kujuwa bei ya kondoo aina ya Dopper kwa TZ .wanapatikana wapi kaka? me nipo mwanza
@RosemaryKasuka
3 ай бұрын
Safi sana Tajiri
@eustacemgawe5454
4 ай бұрын
Nashukuru kwa darasa lenye hamasa kwa sisi tusio na asili ya ufugaji.
@MakeleleAboubakarr
4 ай бұрын
asante sana kwaushauri Na Mimi napenda sana ufugaji mbuzi nanimiongoni mwandoto zangu
@emanuelyohana3049
4 ай бұрын
docto naomba namba zako
@user-em5fo1wh5n
4 ай бұрын
Nataka kununua mbuzi bora kwa ajili ya kufuga naomba namba yenu
@williamkishiva9446
5 ай бұрын
Natafuta kitabu cha Muongozo wa ufugaji wa mbuzi
@GoodchanceMamuya
5 ай бұрын
Nitafika nkuranga
@AHMADYANICHANNEL-fy2kv
6 ай бұрын
mantap
@user-ks6xb9yc6d
6 ай бұрын
Naitaji mamba zako docta
@esthermasunga1602
6 ай бұрын
Napenda sana kufuga kondoo. je kondoo anazaa mara ngapi kwa mwaka. na kondoo aliyezaliwa anachukuwa mda gani nayeye kuzaa?
@esthermasunga1602
6 ай бұрын
Asante sana kwa somo nzuri, nimeelewa na ninapenda ufugaji wa kondoo. Je kondoo wana zaa mara ngapi kwa mwaka ? (within 12 months)
@abufirdaus4254
Ай бұрын
Mara mbili ndan ya miezi kumi na tatu
@user-oh9pl9bw3n
6 ай бұрын
Asante Sana kweli nimefurahi
@chazy7ya216
7 ай бұрын
Nataka boa goat
@priscashairock2679
7 ай бұрын
Nimejifunza Zaid ..see me at the top😂
@shaaharzard5611
7 ай бұрын
Vp hao Boer mnauza
@AredFered
7 ай бұрын
Tupe contact bas
@hassaniibrahim300
8 ай бұрын
Number yako daktar utuandikie Please
@user-gj4jy7gy9v
9 ай бұрын
Ili mfugo uingie katika orodha ya mifugo bora mfugo huo uwe na sifa zipi?
@user-kh9sy9jk7m
10 ай бұрын
Gala goat dume kwako unauza kiasi gan kaka ?
@gasukasombokasultanmasuga8792
10 ай бұрын
❤ kaz zuli sana niwapata mm kutoka bunda mara
@QueenLega
10 ай бұрын
Asante sana ❤
@chakandoro8243
11 ай бұрын
Mbuzi wanahema nakufura tumbo ni dawa gani nawe wapa
@musafirbaba2100
11 ай бұрын
Inamana mbuz anapata stress 😂
@user-km9yx1or9o
Жыл бұрын
nimeipenda hii, wingi wa mifugo haimaanishi wewe mfugaji mzuri lkn Ubora wa mifugo ndio kitu cha msingi
@christophermwageni2026
Жыл бұрын
Yes mkuu. Definetly 😀
@kaittheleast
Жыл бұрын
Interested with Kalahari na boer goats
@ahmadkimwaga6645
Жыл бұрын
Sawa kiongozi
@leonardkabadi3981
Жыл бұрын
Kwa mbuzi anayetoa kg10 baada ya kuchinjwa unamuuza sh ngapi kiongozi?
@amiriamosi1713
Жыл бұрын
👏👏👏
@thommatinda4584
Жыл бұрын
Namba yenu ya sim
@SinzotumaNoah-cu8el
Жыл бұрын
Asante sana kwa ufunzo wako❤🎉