Sasa hiyo mbolea ni ya kitu gani?inalia kama mchanga
@user-ls2uj3fl1oАй бұрын
Asante kwa somo zuri naomba no yako
@MATIKO96402 ай бұрын
Unapoteza radha kwa msikilizaji
@salamsabdullah-st9pt2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-fk1fd8on6e2 ай бұрын
I love you too njombe
@AraphaHamisi-tu9vr2 ай бұрын
Tunaomba no yko boss
@nikkimbishiunju24022 ай бұрын
The Hague inasomwa THE HEGI sio The HAGYU.
@nikkimbishiunju24022 ай бұрын
Yaani jina moja unalitamka namna zaidi ya nne tofauti...Kanjanja
@nikkimbishiunju24022 ай бұрын
Soma kwa makini HABARIYAMA ndio nani?
@user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын
Naomba namba yako tafadhali
@user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын
Hongera sn mdogo umejiongeza sn
@user-uz9mw1ie6z3 ай бұрын
Asante kaka kwa taarifa njema. Naomba namba Yako tafadhali
@hadijashabani15643 ай бұрын
Shida yake hapokei simu aisee ni changamoto sana
@hildakimaro55293 ай бұрын
Je songea
@andydoly68824 ай бұрын
Ardhi ya kichuguu naweza panda mipara chichi
@fidelfidel-jz4iw4 ай бұрын
Hongera sanaa lakini mwafrica huwa anawaza kuowa wake badala kufungua kiwanda hilo ndilo tuliloshindiwa wakati zao hilo linapendwa sanaa
@sebastiansalamba3134 ай бұрын
Waongo tu mngetuonesha sasa
@jescamuijsers42064 ай бұрын
Nimekuelewa👍💯
@user-pg8jn6ig4u4 ай бұрын
Mbona elungunje sana
@user-qh5yr3yx5b5 ай бұрын
watu na njombe yetu
@edkains5 ай бұрын
wd like to get those paper bags for planting like that way
@user-qw4pm2xe4j5 ай бұрын
Kumbe kwel
@aloycemassawe86525 ай бұрын
Tunaomba namba zemu.
@user-pq6yn3fn2k6 ай бұрын
safi sana kwa kilimo kizuru
@user-dy3wi2jm5u6 ай бұрын
Hiki ni chuma kinatoka lini
@claudianokiwone89987 ай бұрын
Namba ya.taalamu wa mfumo wa umwagiliaji haionekani tuandikie kwenye massage
@AcksonJackson-yp4pk7 ай бұрын
.
@JeskaMboya-tr9hm7 ай бұрын
Samahan naomba kupata nanba please
@mbiseadvocates95287 ай бұрын
Shkamoo parachichi Hakika umetusaidia wengi.Hongera sana mpambanaji
@tianarest7 ай бұрын
Mikoa ya joto je yanafanya vizur au mbona kila mtu njombe mbeya
@ildephoncentanchuti11768 ай бұрын
Wow! So nice to be honest I like it .
@severina34298 ай бұрын
Waishio nje ya njombe tunapaje Miche ?
@willzcrank8 ай бұрын
Mbona hamna picha za humo ndani?
@yuvvommy78718 ай бұрын
SO POA
@happinessedward56968 ай бұрын
Asante kwa somo zuri. Je hiyo miche mizuri tutaipataje. Mimi niko Dar
@PastorsTz2 ай бұрын
Inapatikana kwa nemes njombe
@PastorsTz2 ай бұрын
Na mashamba pia yapo
@godfreymwenesho1770Ай бұрын
Mashamba yanauzwaje heka 1
@JacobErnest-vk7me9 ай бұрын
Good
@khadijamnayahe43149 ай бұрын
Ahsante mkulima naomba ya simu yako nipate kikuuliza
@stevenselehaj18409 ай бұрын
Niliingiaga hapo niliinjoy sana
@user-um4fk5ls3v9 ай бұрын
Nivizuri sana hadiraha kweli wewe kufananishwa na Alikiba musanii mukumbwa Tanzania 🇹🇿🇹🇿
@jameschengwali105110 ай бұрын
Tutalaumu wakoloni kama chanzo cha uovu huu mkubwa, lakini pia wanyaruanda mlikosa muelekeo kabisa, ilifikaje mkawa wakinga kiasi cha kukubali kuuana hivi jamani! Huu ujinga ukome kabisa na iwe funzo kwa kwenu
@katherinasamwel393710 ай бұрын
Jee mimi nahitaji shamba huko njombe naweza kupata namimi nilime palashishi
@EdwardEmanuel-vm5tq2 ай бұрын
Bado unihitaji shamba
@gwakisamwakyusa751910 ай бұрын
Naomba nijue namna ya kupata mbegu ya papai
@yusuphmwamlima290211 ай бұрын
Macadamia ?
@yusuphmwamlima290211 ай бұрын
Hekoooo
@Lunanilo11 ай бұрын
Is karanga miti macadamia nuts?
@MalechelaSamwelmdima-xy1pr11 ай бұрын
Nipo Tanzania IPO siku mungu atalipa Leo simjui Babu Wala bibi Wala shangazi inaniuma sana basi tu mungu yupo
@yusuphmwamlima2902 Жыл бұрын
Sawa sawa
@yusuphmwamlima2902 Жыл бұрын
Nyenzo nzur san
@khamidukipira9039 Жыл бұрын
Bwana Nemes unasema utapata laki NNE kwa mti he mti huo utatoa parachichi ngapi?