Пікірлер
@allidehunter3223
@allidehunter3223 29 минут бұрын
dah asante. mungu- nilikua ni miongoni mwa haooo wanao apa hapoo
@oonyuali7530
@oonyuali7530 Күн бұрын
hapa ndo sem ya ujenzi ya makanda...... huyu kamanda wangu 2021
@ThaniaHaji-zx8nn
@ThaniaHaji-zx8nn 2 күн бұрын
Live au vipi
@sibomanaandrew3933
@sibomanaandrew3933 2 күн бұрын
Waende Kwa nini wakwepe,
@MgishaBoaz
@MgishaBoaz 2 күн бұрын
Poreni makamanda wa jwtz nafamilia yake
@johnalexandermushi6720
@johnalexandermushi6720 3 күн бұрын
RIP Brig Gen.
@andrewmcha-jf3go
@andrewmcha-jf3go Күн бұрын
pumzika kwa amani wajina
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg 3 күн бұрын
Uturehemu ee bwana
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 3 күн бұрын
😢poleni sana makanda wangu! Hakika,kifo kipo na Hana atakayekikwepa maana ni agizo la Mungu kwetu baada ya Babu na bibi yetu Adamu na Hawa kumkwaza kupita kiasi.Mungu atujalie rehema yake😭
@innocentpaulchillu1512
@innocentpaulchillu1512 3 күн бұрын
Rip brg.general
@venancemiyeji6804
@venancemiyeji6804 3 күн бұрын
Hongera kwa kutuletea huduma ya Afya kwa Wananchi
@YusuphuMakange
@YusuphuMakange 3 күн бұрын
Wazi afande
@yoelgohage
@yoelgohage 7 күн бұрын
Mhhhhhhh hii ni nafasi nzuri kwao Mwaka Jana 2023 sisi tulifukuzwa baada ya kuchelewa kuripoti kutokana na sababu zilizokuwa juu ya uwezo wetu na tulikuwa na Nia ya kujenga taifa okay anyway
@halidishabani1307
@halidishabani1307 7 күн бұрын
Me nlipata mafunzo msange jkt 823kj,,op kikwete,sio mchezo lazma uwe mkakamavu
@JohnsonMpweza
@JohnsonMpweza 7 күн бұрын
Nilikuwa napenda sana ila nilikosa kampani
@BeatusKLeon
@BeatusKLeon 9 күн бұрын
Salamu imetulia. Ni JAMBO AFANDE!
@NdakiBenedicko-rh7sp
@NdakiBenedicko-rh7sp 9 күн бұрын
Ndaki
@user-pz5pw8lu6s
@user-pz5pw8lu6s 10 күн бұрын
Jamani mwanangu yuko dalasa la 5 lakni ananiambia anataka akasome shule ya jeshi sababu anapenda kuwa mwanajeshi alafu sijui ni wapi shule iliko
@RamadhanMdumya-ue5rp
@RamadhanMdumya-ue5rp 10 күн бұрын
ii foot drill noma sanaa!!
@MusaVedastus
@MusaVedastus 11 күн бұрын
Respect kwako❤
@MusaVedastus
@MusaVedastus 11 күн бұрын
Respect to you❤
@MusaVedastus
@MusaVedastus 11 күн бұрын
Respect kwanu viongozi❤
@MusaVedastus
@MusaVedastus 11 күн бұрын
@MusaVedastus
@MusaVedastus 11 күн бұрын
@MusaVedastus
@MusaVedastus 12 күн бұрын
One day yes nitakuwa mwanajeshi❤
@MusaVedastus
@MusaVedastus 12 күн бұрын
Like sana jeshi la kujenga taifa ❤
@MusaVedastus
@MusaVedastus 12 күн бұрын
Respect nguvu kazi ya taifa❤
@MusaVedastus
@MusaVedastus 12 күн бұрын
Hongera sana vijana tegemezi la kesho nguvu ya taifa
@user-zq5ld5px6u
@user-zq5ld5px6u 12 күн бұрын
Congratulations..
@josephlorri431
@josephlorri431 12 күн бұрын
Majeshi ni watu bora sana,hawana baya.. namna yao ya kuongea inafanana..wanachuja maneno
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 11 күн бұрын
That's military language: "umoja"
@user-cn9br7en7w
@user-cn9br7en7w 12 күн бұрын
Natamani sana kulitumikia taifa lango katika vyombo vya ulinzi na usalama na bado Nina miaka 21
@JumaLufega
@JumaLufega 14 күн бұрын
Yameiva baba afand ee
@gracemartin3379
@gracemartin3379 15 күн бұрын
Kwa kweli nimefurahi Sana kuona kukamilika kwa kamandi ya jeshi letu la akiba Kwan mmi piah no mmoja was Askari wa jeshi la akiba lakini nimehuzunishwa kutokuona askari wenzangu hapo wa jeshi la akiba/mgambo katika video picha hii haileti afya kwakua hatuwaoni wenzetu wanao tuwakilisha kwa hili mmetukosea Sana mnapaswa kutuomba msaha kwakweli
@zachariakonyanza2259
@zachariakonyanza2259 16 күн бұрын
Kazi nzuri sana proud to be among
@AndrewKayombo-wm8bw
@AndrewKayombo-wm8bw 17 күн бұрын
Hongera sana Kwa viongozi wetu wote kwa Kazi nzuri
@user-zq5ld5px6u
@user-zq5ld5px6u 17 күн бұрын
Mmi ni mwihitim wa kdato cha nne 2022,, ama kwa majina naitwa Joseph Alex nmemaliza Kizuka High School... nina vgezo vyote,,, nawezaje kujiunga na Chama cha Jeshi
@arafathussein7910
@arafathussein7910 5 күн бұрын
Jeshi sio chama,kama unataka kujiunga na chama vipo kama CCM,CHADEMA,CUF,ACT N.K..karibu tena kijana.
@georgejoachim1414
@georgejoachim1414 18 күн бұрын
🙏
@PaulFaida-io2zk
@PaulFaida-io2zk 18 күн бұрын
Mngu awabaliki kwmazoezi mema❤😂😂😢😅😅😅
@HaniferMwiru-wn9wq
@HaniferMwiru-wn9wq 20 күн бұрын
❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@petromilanzi3219
@petromilanzi3219 22 күн бұрын
Good approach
@innocentrichard2945
@innocentrichard2945 22 күн бұрын
Camera stabilizer bado kiongoz
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 25 күн бұрын
Kazi ya kiume bado sijaiona kwanza tanzania kijesh inatakiwa tuwe juu sfrika masharik tuwe juu sana tusiwe wakilinganiswa makenya wala uganda hao wana uchumi wa kuombaomba
@mvungiqualityproducts1473
@mvungiqualityproducts1473 25 күн бұрын
Hongera sana Tanzania samahani Mimi ni fundi viatu je mnauzaga soli za wiatu?
@Esquire266
@Esquire266 26 күн бұрын
Hawa wanasarakasi,wanajeshi wa mchongo
@umrathhassani
@umrathhassani 27 күн бұрын
Mpo vzr Allah awawekeee wepec
@FakihiAlly-kb7ss
@FakihiAlly-kb7ss 27 күн бұрын
GENERAL MBOMA
@FakihiAlly-kb7ss
@FakihiAlly-kb7ss 27 күн бұрын
UTAMBUZI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@umrathhassani
@umrathhassani Ай бұрын
Hongera xana madam mmeendelea
@AllyKafungwa
@AllyKafungwa Ай бұрын
Nimependa sanaaa kuwepo kwa KAMBI YA KAMANDI YA JESHILETU LA AKIBA ila ninapenda sana namimi ningekuwa mmoja wa jwtz moja kwamoja napenda hata nisipolipwa jamani dah c.r.f oyeeee
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Ай бұрын
Safi
@TwahaRashid
@TwahaRashid Ай бұрын
Ila mungu yupo, tunagalamikia watoto wetu wanaenda kujitolea mafunzo ya awali kijana anamaliza, Tena bila shida yoyote, wanaenda ujasiliamali unakuta kijana anapata shida anawaaga kabisa , haya amefika nyumbani Tena sehemu alipo makambi ya jeshi ni mpaka apande basi haya nyumbani kunachangamoto yakifamilia kuuguliwa mzazi au kufiwa , haya mnajaribu kupiga cm unaambiwa mhusika mkuu hayupo , mwisho wake unafanikisha hata nauli ili aondoke na ni mkoa wa mbali kambi ilipo anafika anaambiwa ameshafukuzwa tayari, umehangaika Kama mzazi , lakini wanashindwa kujua kabisa Kuna familia zinashida kiasi gani, tumeumia sana