Kinachonishangaza pamoja na hayo yote watu wetu wataendelea kusongamana kwa Mwamposa na wengine wote wanaouzavitu hivyo, tatizo wengi hatusomi meno
@PASTORPETERMKIPAYAWORDOFLIFE3 сағат бұрын
Ni kweli kabisa.
@zawadielisikay3 сағат бұрын
Mungu aturehemu naona sasahivy wapentecoste kufanya jambo nzr na ya msingi
@leutnatmisana51643 сағат бұрын
Amen❤
@user-fw6dp9iy4i3 сағат бұрын
Baraza halijaongea sakata na hofu iliyopo ya watu kutekwa, watoto hasa Zama hizi kuelekea uchaguzi??
@user-fw6dp9iy4i4 сағат бұрын
Uchaguzi bila katiba mpya tume huru ya uchaguzi, na CCM kuacha kuwa chama Dola,,, mengine yote ni porojo,utalindaje Taifa ,unahubirije Amani bila kuhubiri haki,,,,
@loserianfrankmoitha2354 сағат бұрын
Mungu akuweke much❤️
@AllamyKassy4 сағат бұрын
Viongozi wetu wa cpct mko vizuri hongereni sana. Dumisheni umoja huo.
@MuyaHappy-j8y6 сағат бұрын
Ubarikiwe sn mtumishi wa Mungu
@user-bh2yy6jm6z6 сағат бұрын
Maswala Muhimu kama Bandari, Watu kutekwa, Madini kuchimbwa kwenye hifadhi za wanyama mko kimyaa! Mnahangaika na visaidizi vya upako? Are you serious?
@elibarikimollel71497 сағат бұрын
Visaidizi sio viambatisho vya wakati wote,na kwa watu wote bali kwa wakati maalum,na watu maalum kulingana na jambo husika la maombezi na uponyaji wala haviuzwi.
@pastormalitiushuhuda99657 сағат бұрын
Mbarikiwe sana kwa sifa
@elibarikimollel71497 сағат бұрын
Mwenyekiti wa baraza changa la CPCT kwa niaba ya Kanisa, tunamshukuru sana Mungu kwa hotuba yako nzuri sana uliyoitoa yenye ujumbe mahususi wa kusisitiza haki,na uchaguzi huru kwa serikali,na wajibu wetu wananchi wote tukaboreshe daftari la wapiga kura tukahakiki na kuhuisha ili tukapige kura wote. Mungu akubariki sana katika utumishi wako. Kujiandikisha ndio alama na wajibu wa mpiga kura yeyote ili akafanye maamuzi badala ya kuacha kupiga kura,alafu uanze kulalamika juu ya kiongozi ambaye hukumchagua! Mungu libariki Kanisa, ibariki Tanzania, Ibariki Afrika.
@mathewmbukwa97317 сағат бұрын
Good
@shadymoses58138 сағат бұрын
Naomba Muundo wa kutambua na kusajili kanisa uwe hapa nchini uwe kama inavyokuwa kwa viongozi wa kisiasa (Yaani wawe wanachama wa chama husika ndo aruhusiwe kugombea nafasi ya kisiasa)hivyo, Sharti la msingi la kusajiliwa kanisa, kuwe ni lazima kanisa husika liwe mwanachama haya mabaraza CCT, TEC, CPCT, then haya mabaraza yasimamie practices za haya makanisa. Na yeyote anayekiuka, aonywe au ikiwezekana kusistishiwa uanachama na hivyo kupoteza sifa ya kusajiliwa hapa nchini. Hii itasaidia kukuza jamii inayopata mafundisho sahihi kwa utukufu wa Kristo Yesu. Muumini
@FridaLisu9 сағат бұрын
Ameeeen,katazeni hii maana linakua kama ni upentecoste kumbe sio kweli
@FridaLisu9 сағат бұрын
Mungu awape hekima zaidii
@frolianhulubano63589 сағат бұрын
Hapa naomba kutoa ushauri, watumishi wa Mungu wa kweli hawa watumishi wa uongo washitaki kwa Mungu sio kwa serikali alafu tafuta nguvu za Mungu muache kula sadaka Bila kuifanyia kazi ili hata hawa wanaotafuta viambata wapate kufurahishwa au kuuona ukuu wa Mungu mnayemtumikia
@asherimtonga63354 сағат бұрын
Nimeipenda hii ubarikiwe saana Wana KAZI ya kusema tuu hawaoneshi njia
@josephineruttashobya10 сағат бұрын
Amen, mtumishi wa Mungu. Umenibariki sana. Jiwe walilo likataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembe!
@kauyemhando10710 сағат бұрын
Hizi ni siku za mwisho mwenye masikio wasikie mwenzetu kakimbia kuzimu wengine wa natamani kwenda hatuelewi?
@ChapChap-z2s10 сағат бұрын
Barikiwa Sanaa Baba , klb songwe pia
@MichaelKingazi-wm7xj11 сағат бұрын
Khasim majaliwa man of God with higher fear of God. God bless you too. Eimen
@gabriellyadam941511 сағат бұрын
Kwakwel Biblia kichaka. Wasaidieni watu sasa
@Theironrod937311 сағат бұрын
Mwenye akili anashitaki kwa mungu, na sio kwa wanadamu..AMELAANIWA KILA ANAYEMTEGEMEA MWANADAMU…Nabii Eliya alipeleka malalamiko kwa mungu sio kwa mfalme Ahabu.. sasa nyie cpct kwa nini mnalalamika kwa serekali.. mmenikasirisha sana!! HUO NI UDHAIFU WA KIIMANI
@vicentgodda335713 сағат бұрын
ASANTE SANA VIONGOZI WETU WA BARAZA KWA MWONGOZO NA TAMKO HILI LA KULIPONYA KANISA LA YESU KRISTO. KANISA LAZIMA LIREJEE KWENYE MAFUNDISHO YA KANISA LA KWANZA KARNE YA KWANZA NA YA PILI KABLA YA CONSTANTINE ALIPOLIPOTOSHA KANISA NA KUONDOA UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU. MUNGU AJITETEE
@peterkaji755213 сағат бұрын
Safi sana sana tumechoka na hayo mambo ya uzushi wa manabii feki.
@user-et9wm7vq4l15 сағат бұрын
Mbarikiwe sanaaaaa Mungu wa mbinguni awe nanyi
@princessprecious699516 сағат бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@DastanDisimas17 сағат бұрын
Hakika MUNGU akubaliki kwakusema ukweri MUNGU akupe siku nyingi
@fredmyinga900718 сағат бұрын
This far God have helped us. Mungu asimame na kanisa hili la mwisho
@ThomasNghwani-nw6rx18 сағат бұрын
Hotuba njema sana. Mungu awabariki.
@kitwanajohn823720 сағат бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa BWANA
@deniskimario928820 сағат бұрын
Kulizungumza hili jambo mbele ya viongozi wa kisiasa ni uchawi mwingine.
@stevenmfumbilwa210921 сағат бұрын
Powerful MSG got you be blessed indeed with your ministry
@kennedysiyame4087Күн бұрын
Tunakua Chumvi vipi na ulinzi uko wapi kama watu wanatekwa, wanauawa, wanapotezwa halafu viongozi hamkemei. Waziri amekiri kwamba ushindi haupatikani kwenye Sanduku la kura na viongozi hamjakemea hilo. Tunaelekea wapi?. Mbona mnaleta Siasa kwenye Kanisa?. Hii sio sawa.
@EvarineMdakiКүн бұрын
Be blessed.
@user-qk9iz5lt8qКүн бұрын
AMENI MT.WA MUNGU
@davidsimbeye1548Күн бұрын
Duh 🙄 taasisi kubwa kama CPCT hilo jambo muhimu sana la kuieleza serikali? Wakati mambo haya yangeweza kusomwa kwenye vya habari. Kuna vitu vya msingi kama vile makanisa ya CPCT kutengwa kwenye shughuli za uapisho wa viongozi wa nchi, kuna swala TBC kutumiwa na baadhi ya makanisa kurusha ibada ibada huku wapentekosti tukiwa tumenyimwa fursa hiyo. Kuna wimbi kubwa la mmonyoko wa maadili kama vile mambo ya ushoga na usagaji hayo hamhayaona? Hao wanaofanya hayo ya kuuza vifaa vya upako asilimia kubwa ni watoto wenu wa kiroho ambao mna uwezo wa kuwaita na kuwaonya kuhusu mambo wanayoyafanya kuliko kuiambia serikali serikali itafanya nini? Tanzania haina Ila watu wake ndiyo wanadini.
@winnifridasimba7257Күн бұрын
Mungu akubariki sana Mch
@user-be2dm9zf9wКүн бұрын
Amen, Mungu awabariki.
@YustongaoLoseroКүн бұрын
Mungu atosha visaidizi vipotelee kwa waganga wa kienyeji
@JonathanMahelaКүн бұрын
Wivu unawasumbua.Umoja wenu hautoi. Viwango vya kwenda mbinguni Hubirini injili tu na sio kuwahubir watu.
@user-ic8od4el4cКүн бұрын
Wivu wa injili
@mwessamkala8051Күн бұрын
Mmeshikwa pabaya hamuna inshu mungemuuliza yesu kwanini alitema mate na kufinyanga udongo na akamuponya bathromeo nyinyi hangaikeni tu
@trophywilson7211Күн бұрын
Havifanani na Kuuza Visaidizi ,Yesu alifanya mara moja tu kuonyesha Anaweza kukitumiq chochote ,Na si kila Siku Yesu hakuvitumia wakati wote
MUNGU awabariki sana wabeba maono wetu kwa tamko nzito hii ni sauti ya MUNGU kabisa
@mwessamkala8051Күн бұрын
Hawa cpct bangi nyingi kwa kuwa mmezidiwa mbinu koo mumeamua kutoa sauti hakuna aliye kuja na imani amini unachokiaamini mandiko mmeyaona nia wapi neno kujirudia kwa visaidizi ka mfano nyakati za elia,na mengine
@GilgariMinistryTanzaniaКүн бұрын
@@mwessamkala8051 wambie wajinga hao Hana mbinu wanataka huruma ya serikali acha tuwanyooshe waumin wao wote wajinga hao na mahubili Yao ya kishamba
@GilgariMinistryTanzaniaКүн бұрын
@@mwessamkala8051 Tena mbichi bangi
@damasmkisi1835Күн бұрын
🙏🙏🙏📌
@GilgariMinistryTanzaniaКүн бұрын
Acha ujinga wako ww na waliokutuma usome hujielewi hata usemaje Mwaposa baba yao fitina na chuki inawatesa nyie
@GilgariMinistryTanzaniaКүн бұрын
Kwa hiyo nyie mafuta na maji na chumvi ndio mnaona dhambi hamjielewi kabisaa