Wewe Mzee wa upako vaa kanzu na kofia jeupe alafu ungana na wapinga Kristo wenzako waislamu 😢😢😢 nakusikitikia maana unapotea tu ukiona mzee Lusakelo
@mosesmwatika5281a3 күн бұрын
Mzee wa upako wewe ndo haujui kabisa BIBILIA 😢, tubu na uwache chuki ya kuwachukia wazungu
@mosesmwatika5281a3 күн бұрын
WEWE TAYARI UNAMKATAA MUNGU 😢 JE UTAENDA WAPI SIKU YAKO IKIJA FIKA MWISHOO😢
@fordmasnyenga_kiuyangulyri74094 күн бұрын
Ni kweli mzee wa upako Yesu ni kristo
@ClemenceMushi-d8x4 күн бұрын
Kama wayaudi walikwenda misri,huko misri siwalijaamiana na wenyeji kwa hiyo huko misri kuna wayaudi nikiwa na maana kwamba walichanganya damu siyo? Huko nyumba ulisema kwamba wayaudi Wana elimu kubwa na ujuzi pia,kwahiyo wamisri wamekuwa na ujuzi na maendeleo kwa sababu ya wayaudi?
@ClemenceMushi-d8x4 күн бұрын
Kwanini misri ilitumika kama sehemu ya kutesa,kuelimisha viongozi na kama sehemu ambayoviongozi wengi walipatiwa uwezo huko?
@ClemenceMushi-d8x4 күн бұрын
Kwanini misri ilitumika kama sehemu ya kutesa,kuelimisha viongozi na kama sehemu ambayoviongozi wengi walipatiwa uwezo huko?
@ClemenceMushi-d8x4 күн бұрын
Mimi nauliza kwanini Israeli inatumika sana kuelimisha dunia? Sasa kiulemeshaji Israeli ndo 'kinanani Sasa?
@TarqAzizi5 күн бұрын
Una erim kumzid yey
@NassorKhamis-l6r5 күн бұрын
Mimi muislam mafundisho ya mzee wa upako na askofu Hananja nawapenda sana na mafundisho Yao Hawa watu wanajua Bibilia vizur sana pia Wana hekma mkubwa.
@PaulNgalomba6 күн бұрын
AMEEEN BABA
@ErnestLule-z7t6 күн бұрын
2 Wakorintho 6:14-18 14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. 18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
@ErnestLule-z7t6 күн бұрын
Yohana 17:3-12 3 Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma. 4 Mimi nimekutukuza duniani, hali nimeimaliza kazi ile uliyonipa niifanye. 5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako. 6 Jina lako nimewadhihirishia watu wale ulionipa katika ulimwengu; walikuwa wako, ukanipa mimi, na neno lako wamelishika. 7 Sasa wamejua ya kuwa yote uliyonipa yatoka kwako. 8 Kwa kuwa maneno uliyonipa nimewapa wao; nao wakayapokea, wakajua hakika ya kuwa nalitoka kwako, wakasadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma. 9 Mimi nawaombea hao; siuombei ulimwengu; bali hao ulionipa, kwa kuwa hao ni wako; 10 na wote walio wangu ni wako, na walio wako ni wangu; nami nimetukuzwa ndani yao. 11 Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako. Baba mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. 12 Nilipokuwapo pamoja nao, mimi naliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.
@MassaweHamisi6 күн бұрын
MUNGU ni WA watu wote Hana ubaguzi na ameweka tofauti kati ya tajiri na maskini Ili upendo udhihirishwe kati ya wanadamu Tudumu imara katika IMANI.
@ErnestLule-z7t6 күн бұрын
Yesu ndiye njia kweli na uzima, mtu haendi kwa Mungu bila kupitia kwa Yesu, so Imani ya wakristo imejengwa kwenye msingi mwamba Yesu, mtu asipojenga juu ya mwamba uchukuliwa na kila aina ya elimu
@ErnestLule-z7t6 күн бұрын
Wagalatia 5:19-21 19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, 20 ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
@ErnestLule-z7t6 күн бұрын
1 Timotheo 3:16 Na bila shaka siri ya utauwa ni kuu. Mungu alidhihirishwa katika mwili, Akajulika kuwa na haki katika roho, Akaonekana na malaika, Akahubiriwa katika mataifa, Akaaminiwa katika ulimwengu, Akachukuliwa juu katika utukufu.
@WestonMbuba-ff4jk7 күн бұрын
Anapingana na Mungu
@mbejmukadi38907 күн бұрын
To begin the topic is not proper , its like you are saying the mango tree is not a mango while mango has a mango tree seed within it , let us preach what is important
@stevenialbert50337 күн бұрын
Pepo huyu anatimiza mandko kwel biblia n kitabu cha kwl
@user-gx3jp6uk2f7 күн бұрын
Wakati wa Yesu hapakuwa na misikiti. Yesu hakuingia msikitini. Uislamu ulikuja miaka 600 baadaye
@EliazariFrank7 күн бұрын
Uko vizr na unaijua biblia
@eunicekiilu74859 күн бұрын
Baba muombee nabii Dominick kanisa lifunguliwe😭😭😭😭🙆🙆🙆🙆
@MaombiIshmaeli10 күн бұрын
Jaman msitow sadaka mtajiunganisha na namiugu
@NgebaSumahili10 күн бұрын
Mbona ampigi makofi tena
@user-gr8sh5hl1m10 күн бұрын
Watu wangu wamekua kondoo waliopotea wana wachungaji wao wamewapoteza
@godlovemalekela1710 күн бұрын
YESU Ni MUNGU
@PaulNgalomba11 күн бұрын
AMEEEN BABA
@judithkinyoni389312 күн бұрын
Mungu akutunze baba
@lukafbbwebelof387412 күн бұрын
Uwongo mtupu 😂😂
@gerkombo651212 күн бұрын
Kwa kweli sisi hatuna la kusema zaidi tushikeni jembe tukalime. Well said
@BenjaminKabebo12 күн бұрын
Hata shetani alikuwa mbinguni na hakumjua Yesu ni nani . Kwa kweli pole sana. Mi nakushangaa sana tena sana. Huwa najiuliza tangu miaka ya 80 mpaka leo huna makanisa mangapi Tanzania uo upako wa mtu mmoja kwa nini usisambae nchi nzima? Kumbukumbu la Torati 8:10-11 [10]Nawe utakula ushibe, utamshukuru BWANA, Mungu wako, kwa nchi nzuri aliyokupa. [11]Jihadhari, usije ukamsahau BWANA
@lilyg213412 күн бұрын
MPINGA KRISTO HUYU
@user-fq1pl7nt1s13 күн бұрын
Amen
@Jenestabenedkitor15 күн бұрын
naitwa mosses bingileki niko bukoba kagera mzee nakukubali sana waambiee hao matapeli mungu akupe maisha malefu katkika jina la yesu kristo mwana wa mungu aliye ahi
@JoshuaMutesa15 күн бұрын
Mzee huyu tuwe nae Makin Sana
@AnthonyKiwango15 күн бұрын
SO YUKO MUNGU NA PIA YUKO YESU MWANA WA BABA
@AnthonyKiwango15 күн бұрын
YESU NI MUNGU KWA SABABU AMETOKA KWA MUNGU ILA KWA ASILI YESU NI MWANA MZALIWA PEKEE WA MUNGU NI SAWA NA MTU ALIYEZALIWA NA MTU SI MTU: ILA MUNGU AMBAYE NI MMOJA MWENYE NAFSI MOJA NI BABA(YEHOVA)
@hamisially-c4x15 күн бұрын
Huyu Mzee anaongea ukweli ndiyomaana wengi hawamkubali
@barakaayubu612615 күн бұрын
Uko sahihi Sana mzee
@ndolepeter277016 күн бұрын
mhh achen utapeli jaman mnawakamua waumin hadi basi kuen na huruma.
@AziziPonera16 күн бұрын
Karibu kwenye dini ya kweli Uislam ndio dini ya Allah
@ErastoNzibonera16 күн бұрын
Nimekuelewa
@gdswai447917 күн бұрын
NIWASAIDIE MUSLIM'S ZINGATIENI HILI :- BIBLE HAIKUTOKANA NA HADITH NA HATUSOMI KWA UWEZO WA AKILI AU ELIMU YA DARASANI. INAITAJI KWANZA UWE NA [ROHO MTAKATIFU ] NDIPO UELEWE NENO LA MUNGU SO HAKUNA MTU ANAYESEMA AMWAMINI YESU KRISTO NA KUSEMA KUWA ANAHOJA ZA KUPINGA UKRISTO IMPOSSIBLE. WATU WA DINI ISIYO YA KRISTO LAZIMA KUNYAMAZA KIMYA KABISAA --- KWASABABU HAMNA NGUVU YAKULIJUA NENO. Ukitaka kupata hii nguvu lazima. UZALIWE MARA YA PILI(KUOKOKA) = KUZALIWA KATIKA NENO NA KUZALIWA KATIKA ROHO WA KRISTO. UKIFANYA HIVI UTAKUWA NA LEGITIMACY YAKULISEMA NENO NA KUWASAIDIA WATU. NB :_ BIBLE IS NOT A STORY BOOK that anyone can read and speak you must have sufficient power of the spirit of Jesus christ then you can talk.
@gdswai447917 күн бұрын
Kama una roho mtakatifu utaweza kujua kuwa jina la Yesu ni (Kristo Yesu or YESU KRISTO) Hivi ndivyo ukamilifu wa jina Hilo ikimaanisha kuwa Jina Yesu = ni mwili alioupata kutoka kwa Mariamu ambao ndio ulimpa kristo uwezo na uwalali wakufanya kazi duniani na ndio uliotumika kumshinda Dunia na mambo dhambi zake. Kristo ni roho iliyotoka kwa BABA NA YANI NAFSI YA MWANA. Ambapo hii nafsi inayoitwa Kristo sasa ndio iliyokuwa ikitenda kazi ndani ya mwili unaoitwa Yesu. Sasa. NB: kwakuwa ni nafsi ya MUNGU (Kristo) iliyokuwa inatenda KAZI ndani ya mwili unaoitwa (Yesu) sasa YESU KRISTO NI MUNGU. UKISOMA BIBLE NAYO INASEMA WAZI HAPA 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; Tito 2:13
@gdswai447917 күн бұрын
Ukileta hoja yoyote inayomhusu Yesu kristo lazima huwe na ushahidi kamili wa kwenye Bible sio kusema vile unavyowaza hiyo nimbaya na upotoshaji wa Neno la Mungu. ANGALIA = 13 tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu; (Tito 2:13)
@zxcvbnmmkh17 күн бұрын
Hapa hakuna kushinda maana yeye mwenyewe ameshashindwa, ukimkana Yesu kuwa si mwana wa Mungu maana yake mahubiri yako yoote ni bure. 😢😢 Kweli nyakati za mwisho kuna mambo. Ila hili ni fundisho kwa waumini wake , wanatakiwa kuchukua hatua maana kiongozi wao anahubiri mafundisho ya uongo je wameshadanganywa kwa kiasi gani? Pole wenye imani haba mliacha makanisa yenu mkaja kwa mfilisti huyu sasa ameanza kujiweka wazi kwamba hana upako zaidi ya ulevi na kuwarubuni achukue pesa zenu kama sadaka tu. Bado mapema amueni kabla mlango haujafungwa mtaangamia pamoja nae.😅😅😅