chanal yetu inatembelea vijiji mbali mbali tarafani fizi ukihitaji uone kwenu kwa asili, manyumba ulio jengesha,mashamba,nakazalika utayaona.
@Shabaleyfb14 күн бұрын
na wewe ulie namoyo waku saidia matatizo ya kwenu tuma mzigo wako ataikiwa niwembe utahiona nakusema fulani ndio ametuma.
@Shabaleyfb14 күн бұрын
Asante sana watazamaji wetu wa M'munga ML TV .tuna wasalimu wote. tuna hitaji sapoti yenu ilituboreshe chanal yetu.hapo akuna uongo niutahalamu.
@william.GMJ388715 күн бұрын
Wavuvi poleni sana
@user-fk7rt6rz4i15 күн бұрын
Mimi nawapenda lakini mkianza uongo uongo hivyo eti studio yenu iko hivyo, Mimi niliguswa na video yenu ile ya shule ambayo Haina paa ya juu, hivyo nilitaka kuamisisha watu huku USA tufanye angalau tunachoweza ili angalau tupate bandari kazaa za mabati ili watoto wasome mahali salama ila nimegundua nyie ni waongo waongo tu
@Shabaleyfb14 күн бұрын
Asante sana mtazamaji wetu kwaku fatilia Channel yetu M'munga ML TV swahili. kama unania yakusaidia kwenye shule au cho chote.kutoka kwetu fizi kitafika bilashida.
@Shabaleyfb14 күн бұрын
yote utakayo ya hona nikweli tuko Congo ubembe fizi kazimia atuta kuonyesha hata sikumoja kitu cha uongo.
@Shabaleyfb14 күн бұрын
na ukituma atawembe Yako kwenye ML TV tutakuonyesha naku sema fulani ndio ametuma.iyo nimambo ya utahalmu baba hamasisha ndugu zetu wasaidie walio manyumbani. sapoti Yako itatusogeza mbele asante. Mtangazaji wako shabaley.
@user-fk7rt6rz4i15 күн бұрын
Acheni ku edit studio za uongo , fanyeni vitu vya uhalisia huko mlipo hamna jengo lipo hivyo
@MmungaMLTV14 күн бұрын
Studio 🎙 haina tatitzo yoyote,na haiwezi zuhiya mtu kufanya anachotaka kufanya. Kwahiyo kile ambacho unataka ukione utaonyeshwa nakile kinacho hitaji studio 🎙 yetu kitafanyika ndani ya studio kama unavyo hiyona hapo. Hata zile studio za PRESSE zingine zote wana editi,usifikiri unavyo ziona ndivyo zilivyo hapana. Wewe tekeleza kile unacho fikiria kusaidia ndugu zako. Asante sana kwa moyo mwema wakufikiria jamii yako studio isiwe kizuhizi cha kukuzuhiya hapana. Asante sana nduguyangu na MUNGU akubariki.
@KWAYATV16 күн бұрын
Pole sana kwa wavuvi kuhuziwa vyeti bandiya,
@Shabaleyfb16 күн бұрын
Pole sana kwa huo utapeli wa vitambulisho vyauongo na ninafikiria siyo hiyo service tu
@melchiadehishakiye863917 күн бұрын
Jamani naona mambo siyo Sawa hapo zaleka .nawapa msg wa Burundi warudi kwao Burundi mambo ni fresh kabisa
@Shabaleyfb17 күн бұрын
Asante sana watazamaji wetu kwaku fatilia chaneli yetu.msaada wako unahitajika kwakusogeza kazimbele. pia weye mkongomani mwenye uchungu saidia ulicho nacho.
@WillyDieudonne-ze9lv18 күн бұрын
Vraiment nakumbuka apo kabisa njo niliko someya mimi apo en sixième année des humanités
@MwajumaTanganyika18 күн бұрын
Pole sana. Serekali isaidie kabisa.
@CONGOINTHEPICTURE18 күн бұрын
Wapandishe kidogo niveau ya budongo
@user-it5gj7ls8t18 күн бұрын
2.uchawi na wivu atuwezi kuendelea kwasababu ya uchawi uliko ndani ya wa bembe akili zetu zipo apo kuhuwana sana .........
@user-it5gj7ls8t18 күн бұрын
Was bombe tunashindwa kupendeza kwasababu 1,unzurumati wa pesa wa ndungu Walioko Africa 🌍
@rexricardo57318 күн бұрын
Hiyo Ecole ya Institut Masisa hipo wapi, yaani location yake, mtu anaweza hitafutiya wapi?
@Shabaleyfb17 күн бұрын
kazimia kutoka kanisa katolika kuna Barabara yakushuka site malkia unaikuta hapo.asante.
@musafiriassuman391118 күн бұрын
Poleni sana
@TangacaVrainzoto18 күн бұрын
shule kama hii nisawa kabisa
@musafiriassuman391119 күн бұрын
Tuko pamoja
@CONGOINTHEPICTURE19 күн бұрын
Wabembe wengi wanafika Marekani walishawekwa akili za ukimbizi. Na wengi wao hawana ujuzi katika maswala ya maendeleo. Utakutana Mubembe anashahuku ya kuendelesha kwao Fizi ila Hana ule ujuzi wa kujuwa namna Gani kuendelesha Fizi. Wabembe wainje ya Fizi wanahitaji kufunzwa zaidi na kutowa zile akili Zaki kimbizi na kujiweka akili za maendeleo
@AbediAmuriPastor-sp2us19 күн бұрын
🤝🤝🤝🤝
@MwajumaTanganyika19 күн бұрын
Uko sahii kaka wagu.
@kingblack56719 күн бұрын
⌚️⌚️
@SuleimanRaymond26 күн бұрын
Saut ya maroc n1 hyo t
@KWAYATV26 күн бұрын
Nice.
@user-ii1ym5fe7j27 күн бұрын
Napaona kbs
@william.GMJ388727 күн бұрын
Poa❤
@KWAYATV29 күн бұрын
Nice.
@Chrisbanzaking-on1clАй бұрын
Beautiful place
@william.GMJ3887Ай бұрын
❤kazi nzuri kbs ,tunasubiri full movie
@zalingajoseph9926Ай бұрын
This is nice
@EmmanuelBunogaАй бұрын
Bnjr chers collègues. Merci pour le travail dur que vous fête. Alors essayer un peu lors d'entretien débat d'augmenter l'espace entre vous et votre visiteur ou inviter.
@CONGOINTHEPICTUREАй бұрын
Niko intéressé na maendeleo ya Kazimiya
@AmisiHassaniTygoАй бұрын
Sakata linaendelea, mwakole
@ShabaleyfbАй бұрын
Pole sana.
@ShabaleyfbАй бұрын
Hongreni sana vijana.
@ShabaleyfbАй бұрын
Pole sana.
@ShabaleyfbАй бұрын
Port nzuri sana hiyo.
@ShabaleyfbАй бұрын
Mungu asaidiye kazi ziende vizuri.
@ShabaleyfbАй бұрын
Poleni sana kwa soko kutekwa naziwa Tanganyika.
@ShabaleyfbАй бұрын
Asante sana MMUNGA ML TV kwakutujuza yanayo jiri ulimwenguni.