,Ansar NI watu zulma wakiongozwa kiongozi wao ndie mwenyewe kaushika msahafu na kuapa uongo Allah atawahumu kwa kuwadhulumu yatima WA said janjira na kumfungulia kesi mjane kuwa NI mvamizi wametia yatima kwenye maisha magimu Allah yupo
@user-yj5on8cz3e16 күн бұрын
Jazakum llahu khaira shekhe allah akubariki
@MasaiIbrahim19 күн бұрын
Mashallah
@user-iz1er8vg7u21 күн бұрын
Mashallah jibu yaeleweka
@abakibibi991722 күн бұрын
MMEREKODI KATIKA MFUMO SIO MZURI KELELE ZAIDI KULIKO UZUNGUMZAJI
@user-ig2td7kk6c22 күн бұрын
شكرن جزيرا
@OthumanHamisi23 күн бұрын
Mashaaallanh shekhe islamu hizi kometi wakiziona ilijaa bs wataumwa na vichwa
@sharifgojo87824 күн бұрын
Mwalim wangu kiroboto Allah akufanyie sahala Kila penye uzito inshaa Allah baarakallah fiyka
@AbdallahMbunda-x2r24 күн бұрын
Munguakupe umri mrefu ufe ukiwa na shahadia kwa m.mungu
@ramadhanirajabu877425 күн бұрын
darsa nzur hizi MashaAllah
@zahraismail989725 күн бұрын
Allah akuhifadhi katika kheri zaydi
@IssaSimbilla-hw9ev25 күн бұрын
Dawatu hizbiyah 😂
@SaidIssa-tq3yv25 күн бұрын
Wacha ujinga we mzee Muhammad abdulwahab alikuwa ni kibaraka wa mngereza kule Hijaz yy na abdulaziz saud . Usiwafanye watukufu katika uislamu ni wanasiasa tuu . Vibaraka wa wakoloni wa mngereza. Parts of Zionist.1935-2024.
@user-ug8hc4yh5k29 күн бұрын
Shukran sana sheikh zuberi
@SuleimaneMfaume-db2vw29 күн бұрын
Mashaallah
@SuleimaneMfaume-db2vw29 күн бұрын
😢😢😢😢
@NaadiriTV29 күн бұрын
Kwel??
@AishaNgwayaАй бұрын
Mashaallah Allah akupemwisho mwem
@safiaothman5175Ай бұрын
Aamiin
@MuhidiniNassorАй бұрын
Bid.a Mtume (S.A.W) hakufanya
@safiaothman5175Ай бұрын
Jazak Allahu Khairaan Kathiraan kwa ukumbusho muhimu sana.
@alimau7939Ай бұрын
Assalam alaikum warahmatullah mbona mashekh wengi wanatafsiri Neno amani kilugha tu
@user-iz1er8vg7uАй бұрын
Mashallah Dr Islam
@saidimkwinzu9106Ай бұрын
MshaAllah
@NyotaMikidadiАй бұрын
Allah awalipe Kila ya kheri mliohudhuria tanga
@NaadiriTVАй бұрын
Poleni sana mashekhe
@AishaNgwayaАй бұрын
Allah awalipekira yakher shekh Salim barahiyan Allah ajaliwe tuwezekukutana sikuyakiama hivhiv
@AbdulkarimBwanakaiАй бұрын
Hii ni bidaa haikufanywa na mtume Muhammad.كل بدعة ضلالة...haya jamaaaa
@hassanallyy9761Ай бұрын
Au sio
@hassanallyy9761Ай бұрын
Wew jadida au
@alimau7939Ай бұрын
Kufanya Daura sio bidaa?
@alimau7939Ай бұрын
Jambo la kushangaza ni kuwa ndani ya Tanzania waislamu ni wengi lkn uislamu wetu hauna nguvu ni kwa nini ? tumekuwa wingi wa povu
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
mashallah Allah awape nguv ktk kutangaza sunnahh
@JumaamsagatyАй бұрын
Almubajjal
@MasaiIbrahimАй бұрын
Mashallah
@sharifgojo878Ай бұрын
Mashaa allah
@JumaMvungi-ot4efАй бұрын
Al mubajal
@hawahamis4176Ай бұрын
Jazaak ALLAHU khayr shekh Allah akujaalie jannah
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Shekhe umesema kwwli hawa watu wa sasa walozuka kujiita salafi wanavurugu sana ni kutoelewa nini maana ya usalagfi wanachuoni wameandika hadi vitabu kuhusu kikundi hiki mfano shekhe utheimeeny nae ndo kakieeka kikundi hiki katika vikunndi vya bidaah vvilivyo zuka zama hizi ndani ya ahlsunnah
@iddimutua420Ай бұрын
YUSUF DIWANI NA SHAFFII BASALIIM NDUGU MOJA MGAGANGA NA MSHIA ALAFU WOTE WAOGA WA KUUKABILI UKWELI NDIO MAANA WANAFUNGA COMMENTS SECTION.
@hassanrangambo8007Ай бұрын
Kumbe bado mungu wala mtume au maswahaba hawakuelekeza hivyo ni fasri za watu (jitihada tu za wasomi)
@user-oc8uo9rl3uАй бұрын
MAWAHABI CHECHEIIII.......!!?
@user-ug8hc4yh5kАй бұрын
Uyu Yusuf diwani mganga wa kienyeji mpiga vipande amefunga comment Kwasababu ulimwengu wote umemuwelewa kama yeye Yusuf diwani ni mshirikina
@yangayanga1553Ай бұрын
Yusufu Balozi sio Diwani Mganga wa tunguli hana Hoja maana wala sio msomi
@user-od1xx3tk9yАй бұрын
Tatizo masufi Hawasomi tawhid wala hawasomesh tawhid ndio maana wanakua watu wafelek sana waganga watupu na kuvaa mapete
@user-yj5on8cz3eАй бұрын
Shekhe muhammadi allah akujaalie kumuelimishe yule mganga diwani hana hojja anachuki na ahlsuna tuu, ndomana anajibu matusi ndo walivyo watu wa batwili diniani wakishindwa hojjja huja na matusi lakini sisi allah anatutia nguvu tunalingania kwa dalili
@SeifSalim-qm5boАй бұрын
Tunakupenda kwa ajili ya Allah na zaid una hekima Allah akubariki sheikh
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Siso tumeshamuona Diwan mdaaa sana Hana elimu alicheleqa kusoma dini kwa kupoteza mda kusoma uganga! Hi madaa hajaijbu hajakusa kitabu hata kimoja kuhusu Tawheed Shekh Is'haka umesoma vitabu aya na maneno tafsir zinazoenesha watafsir wanavyoxigawa tawheed tatu zaid y vitabu sita vinavyoonesha tawheed 3 Yy amekomaa na kitab cha Kishiaa! na biblia 😮😮 Kwa elim yake yy alijua kuwa ndiokitab hiko hiko hakuna vingnebe , kumbe Kuna vitab toka yy aanze elim yake ya dini hakuviona !! sasa shekh unampa somo tena unamtajia mpaka ukurusa .. hatarii sana! Sasa anabikia kuhanyahanya , Kama diwan ww unaelim toavitabu zaid ya 2 tu vinavyosema kama usemavyo Au Rudi uje kupinga vitabu na tafsir ya Aya ulizopewa na Shekh is'haka , useme hivyo vitabu hakuna na tafsir hiyo hakuna , Hapo ndipo tuseme kweli elimu ipo. mbona mwenzako aanaaoma vitabuuu ving tu na Aya zilivyotafsiriwa kwa kutaja na kuonesha tawheed 3???? kwann wewe video zako zote mwanzo mwisho husomi hata Aya inayopinga Tawheed au tafsir usema hakuna Tawheed 3!!!??? Jua kuwa watu wanazidi kukujua kuwa elimu ubongo wa mengi maneno mengiii tu!!! Mwenzako Mbogo kashindwa hata kuisoma dua ya kuingia choooni! Halafu anajiita shekhh 😂😂😂😂😂 watu wa kigoma mnachekesha sana! Sabas Alkubra naye kashndwa kutetea Barzanji wakat anasoma kila siku!! Acheni kupoteza mda kusoma ugangu , uislam cio uganga uislam ni TAWHEED .
@OmarAlly-iz8otАй бұрын
Huyu diwani nilimshangaa sana pamoja na yule jaahil mwenzie, yani mnakuja kumtukana Mtu mzima na kumdharau eti ndio da'wa hio, badala ya kujibu hoja, wakaja na matusi, mpaka nilihisi kuchefukwa na moyo, na nikasema wanaokubali kuibiwa Dini yao, wanaibiwa kweli, yani kama hii ndio da'wa kuwatukana watu wazima wenye maarifa zaidi yako, na kumtupia mtu aibu asio husika nayo!!! Lakin nashkuru sana Shekh Muhammad Is-haqa hakuja na matusi, na matusi ni dira ya wazushi wote duniani, nasio ahlissunnati wal-athar. Allaah akulipe kheri Shekh Muhammad
@MashangoHamissiАй бұрын
Wew nawe umzuka ivyoo uwoni kama uyu mzee nimtupu ajuwi ata kusoma matin ayo hajui kukaa kwenye mada
@jumamussantuicheАй бұрын
@@MashangoHamissisimama kwenye haki.
@user-dn3jh6oz8sАй бұрын
Kwa hiyo siku hiyo hukuswsli adhuhuri
@twaibumikidadi7377Ай бұрын
Diwan n mganga Hapa dhrkh kasoms bitab vıp chını ya 5 kuonesha tawheed 3 Haya diwani 1- lete vitab 3 tu binavyosema uwahab n tawi la katolik 2- Njo ma hoja kuwa hivi vitabu havijasema hivi ( au haun????)😅😅😅😅😅😅😅