Hii video kidogo niache kuingalia lakini umenifundisha vizuri nimekuelewa vizuri
@mindsettinginitiative3 күн бұрын
Ahsante sana @leoncealex kwa kusikiliza na zaidi zaidi kwa kutupatia mrejesho. Bless you greatly!!
@ivomatee99664 күн бұрын
Very interesting session, swali langu ni taratibu zipi zakufanya ilikuwa sehemu ya block trade katika soko la hisa DSE?
@mindsettinginitiative4 күн бұрын
Inaweza ikatokea kuna mteja anataka kununua kiasi kikubwa sana cha idadi ya hisa, ama kuna kikundi cha watu wanataka kununua kwa pamoja. Katika case hii, inaitwa block trade na huwa na faida ya kuwa na nafasi ya 'negotiation' kwenye bei ya hisa.
@mindsettinginitiative4 күн бұрын
Ili kupata specific ni kwa ukubwa gani, nitaforward hili swali kwa Mr. Ammi na Mr. Fortius.
@ivomatee99664 күн бұрын
@@mindsettinginitiative Nilitaka kufahamu kiwango cha chini cha kushiriki block trade
@DpN-rk8xz4 күн бұрын
Asante sana mnasimu ya whatapp nataka kunuanua bond niko nje nchi nitashukuru
@mindsettinginitiative4 күн бұрын
Haya ni mawasiliano ya Ammi. Unaweza. Check nae. +255 747 138 101
@ericbalige17814 күн бұрын
Asante sana kaka Ezekiel na Orbit securities kwa kipindi kizuri sana,huwa siwezi kulala siku Ijumaa bila kuangalia hii program. Napenda pia kumkumbusha kaka Ammi kuhusu Afriprise idadi ya share ili double baada ya ile rights issue,kwa hiyo ile hesabu ya price to book value ajaribu kuipitia tena
@mindsettinginitiative4 күн бұрын
Shukrani sana Mr. Eric. Hii ni insight moja muhimu sana.
@LucyStephano-d3l4 күн бұрын
yangu pia haifunguki
@mindsettinginitiative4 күн бұрын
Nini haifunguki?
@LucyStephano-d3l4 күн бұрын
jana acc imefunguka asante
@AZAM_MEDIA8 күн бұрын
Nnajiungaje na group?
@mindsettinginitiative7 күн бұрын
chat.whatsapp.com/EZ8nzHS7BXV1pBCBO4uAww
@mindsettinginitiative7 күн бұрын
Tumia link hiyo hapo juu kiongozi
@AZAM_MEDIA7 күн бұрын
@@mindsettinginitiative Asante brother
@AZAM_MEDIA8 күн бұрын
Keep pushing great content brother 👍🏽
@mindsettinginitiative7 күн бұрын
Shukrani sana nkuu kwa kufuatilia na kunipa moyo.
@echohelpfoundation8 күн бұрын
Hongera na Asante kwa kazi nzuri Kaka ya Kutuelimisha. Kwa kuongezea kidogo katika Swali la Mfuko Gani Awekeze ili aweze kupata gawio, Mfuko Mwingine unaotoa Gawio ni Mfuko wa Hati Fungani (Bond Fund). Huu Unatoa Gawio kwa Kila Mwezi kwa Mwekezaji ambaye ameshaweka kufikia Kiasi cha Milioni 10 na kuendelea. Pia Unatoa Gawio kwa Kila Baada ya Miezi 6 kwa Mwekezaji ambaye amefikisha kiasi cha Sh. Milioni 5. Ila, ni unatakiwa uwajulishe lengo hilo kwa njia ya barua au simu.
@mindsettinginitiative8 күн бұрын
Ahsante sana kwa kujazia. Point muhimu sana. Tuendelee kuelimisha na kuelimishana. Hivi ndivyo ambavyo tutavuka
@echohelpfoundation8 күн бұрын
@@mindsettinginitiative Ni kweli Kaka.
@sindabahabwoyaanacret66010 күн бұрын
Sorry unaweza ni link na ammi
@mindsettinginitiative10 күн бұрын
Inawezekana kabisa kiongozi. Mcheki kwa namba hii: +255 747 138 101
@sindabahabwoyaanacret66010 күн бұрын
@@mindsettinginitiative Asante sana,chief ngoja nimcheck japo sijui kama kisharudi Nchi
@mindsettinginitiative10 күн бұрын
@@sindabahabwoyaanacret660 sawa sawa. Kila la kheri
@sindabahabwoyaanacret66011 күн бұрын
I'm your funs
@mindsettinginitiative11 күн бұрын
Nashukuru sana! 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@gastoronesphorytarimo976313 күн бұрын
Kaka Bado nimekwama, labda kama Kuna njia nyingine ya kunitumia
@mindsettinginitiative13 күн бұрын
Pole sana. Nitumie email address yako (WhatsApp): +358 417578763
@gastoronesphorytarimo976314 күн бұрын
Usisahau kutuma link kaka
@mindsettinginitiative14 күн бұрын
Ahsante kwa kunikumbusha. Natuma sasa hivi.
@mindsettinginitiative14 күн бұрын
forms.gle/EVbVXmfZRkwMrduVA
@gastoronesphorytarimo976314 күн бұрын
@@mindsettinginitiative Bado napata shida, nimejitahidi mara nyingi bila mafanikio
@judithsawala16 күн бұрын
Naomba kujua endapo nimenunua vipande kwa miezi miwili, nitajuaje thamani ya vipande vyangu kwa miezi hii miwili.
@mindsettinginitiative16 күн бұрын
Thamani za vipande kwa mifuko yote huwekwa kwenye website ya UTT Amis, kwenye tablet inaitwa Ufanisi wa mifuko. Ili kupata hizo taarifa za ufanisi angalia hii video tena kuanzia dakika ya 10.
@user-jf7ys7rw1m16 күн бұрын
Iam intrested,but how
@mindsettinginitiative16 күн бұрын
Thank you so much. I will get in touch🙏🙏
@BusinessOne-mf5dj16 күн бұрын
Wow, bro. Imenigusa.....
@mindsettinginitiative16 күн бұрын
Ahsante sana brother!
@ericbalige178118 күн бұрын
asante sana Ammi kwa insights kuhusu nala na amsons. Ningeomba pia utupe madini kuhusu Selcom amboyo iko dse kwenye Endeleza program, hivi karibuni ili acquires access microfinance.Vipi kunaweza kuwa na listing ya hawa jamaa karibuni
@mindsettinginitiative18 күн бұрын
Ahsante sana Mr. Eric. Nitaforward hili swali kwa Mr. Ammi. Anaweza akajibu hapa ama tukarejea kwenye session ijayo. Endelea kuweka maswali zaidi.
@SAMISAI.18 күн бұрын
Thanks for this information
@mindsettinginitiative18 күн бұрын
Ahsante sana kwa kufuatilia na kwa mrejesho
@SAMISAI.18 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥💯
@mindsettinginitiative18 күн бұрын
🙏🙏🙏🙏
@user-we9ut9ih6m19 күн бұрын
Kwanini wachina wana new year yao?
@mindsettinginitiative19 күн бұрын
Nimesikia kumekuwa na kalenda tofauti za mwaka toka muda hadi muda. Hii kalenda ya sasa inayotumika na wengi imeonekana kuwa na dosari fulani. Wao wachina wanatumia kalenda ya tofauti na ile ambayo imekubalika na wengi.
@user-we9ut9ih6m19 күн бұрын
Hayo ni masaa yetu ya kiswahili, saa moja inaanza hasubui, na kuna saa moja usiku... my mimi mama yangu saa yake amei set kwa kiswahili
@mindsettinginitiative19 күн бұрын
Ni kweli siku inaanza asubuhi, lakini kwa nini ukiambiwa useme hiyo saa moja asubuhi kwa kiingereza utasema 7am, badala ya 1am?
@LULUEZEKIA24 күн бұрын
Mbona mm leo account yangu haifunguk 😢
@mindsettinginitiative23 күн бұрын
Aisee pole sana. Hakikisha vizuri particulars zako. Ikiwa ziko sahihi, fanya kujaribu tena baadae ama kesho. Ikishindikana kabisa basi itabidi kuwasiliana na ofisi ya UTT AMIS
@LULUEZEKIA16 күн бұрын
Tayari 😂 @@mindsettinginitiative
@mindsettinginitiative16 күн бұрын
@@LULUEZEKIA safiiii.. kila la kheri
@LULUEZEKIA15 күн бұрын
@@mindsettinginitiative 🙏🙏👋
@edwinmoshi163924 күн бұрын
Nice brother ungetuambia na ibachukuwa miezi mingapi kwa Kila kipindi
@mindsettinginitiative24 күн бұрын
@Mr. Edwin kila kipindi cha majira kinachukua miezi mitatu: Winter: December - February Spring: March - May Summer: June - August Autumn: September - November
@seifazizz416028 күн бұрын
Name Dalali it’s so dangers Ukosahihi Mr.
@mindsettinginitiative28 күн бұрын
😂😂😃😃
@seifazizz416021 күн бұрын
Orbits mm nashkur sana Elim uliyo kuwa n muendlez w Kuitoa ukishikian n kina Ammi na fortunes imenip uelew mkubw sna 🎉🎉🎉
@mindsettinginitiative21 күн бұрын
@@seifazizz4160 ahsante sana kwa kufuatilia na kwa kutupatia mrejesho. Tunathamini sana hili jambo.
@yusuphmaganga8193Ай бұрын
@Mr Ammi, kwa nini mashirika ya Serikali kama Tanzania telecommunication company limited hazijawa listed DSE.
@yusuphmaganga8193Ай бұрын
Swali la 1.Je naweza kuuza hatifungani ya Kampuni binafsi endapo nitakuwa nahitaji fedha? swali la 2. je Kila mtu anaruhusiwa kushiriki katika mnada wa awamu ya kwanza na wapili?
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Mr. Yusuph kwa maswali mazuri. Katika session ijayo tutayarejea yote.
@drghuhenmtaita5524Ай бұрын
Nilikuwq kwenye AGM ya Twiga mauzo pia yaliadhiriwa na Mvua za Muda mrefu za elnino sababu zingine ni hizo zilizosemwa
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Dr. Mtaita kwa 'insights'. Tafadhali endelea ku'share' more insights katika session zetu zote. Hizi ni insights muhimu sana kwa muwekezaji.
@dkalbertoanyasime9357Ай бұрын
Rejesha tena Maada ya think out the box
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Dr. Alberto, shukrani sana. Hili ni wazo zuri. Safari hii nadhani nitatafuta mwongeaji mwingine na kufanya nae majadiliano.
@dkalbertoanyasime9357Ай бұрын
Big up sana jembe langu
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Shukrani sana..🙏🙏🙏
@gastoronesphorytarimo9763Ай бұрын
Ni factor gan mwekezaji wa hisa anapaswa kuiangalia katika kuchagua broker?
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Swali zuri sana hili. Ninalihifadhi na tutawauliza Ammi na Fortius kwenye session ijayo kama muda ukipatikana.
@abdlhaleem8380Ай бұрын
Appreciate brother 🙏
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Abdlhaleem kwa kufuatilia session
@MaishaNiKuthubutuPodcastАй бұрын
ahsante sana kwa elimu ya wali kuhusu uwekezaji wa hisa na hatifungani nimekuelewa vema. naendelelea kupata msasa ili niwe boa eneno hili kiundani na nianze kuwekeza kwenye hisa na hatifungani, tayari nimeanza kufanya uwekezaji utt amis plc
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana na hongera sana. Hilo ni jambo jema sana.
@bronykenzie2322Ай бұрын
Can we be taught a little bit kuhusu ways za kukuza portifolio za mtu . Mfano dollar cost averaging and so on. Pia nilituma form zangu za crdb dividend mda ila response sijawahi pata adi sasa hivi. Nimejulisha broker, nimekua nikituma regular kwenye emails lakini no response. Nifanyaje?
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Mr. Brony kwa maoni. Hilo ni pendekezo muhimu sana. Nitaliongeza kwenye list ya topics za kujadili. Kuhusiana na dividend, tafadhali wasiliana na Ammi moja kwa moja anaweza kukusaidia njia za kufanya (+255 747 138 101)
@MaishaNiKuthubutuPodcastАй бұрын
Umeleza vizuri sana
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana @MaishaNiKuthubutuPodcast. Tuendelee kuelimisha watanzania kwa pamoja.
@jichofoundationtv6893Ай бұрын
Hongera sana UTTAMIS, nimeona mfuko wa UKWASI umepaa sanaaa mpka billion 🎉
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Kwa kweli hongera nyingi kwao UTT Amis. Hii inaonesha ubora wa usimamizi wao juu ya hii dhamana, lakini pia kwa watanzania wawekezaji wanaoonesha imani zaidi kwa uongozi wa UTT Amis. Ila zaidi, hongera kwa waelimishaji wa elimu ya uwekezaji. Hivi ndivyo taifa linaweza kusonga mbele.
@MaishaNiKuthubutuPodcastАй бұрын
Mpaka trillion moja ni mfuko ambao unafanya vizuri pamoja na ule wa umoja. Mfuko wa kujikimu na wenyewe unakuja kwa kasi na ule wa wtoto maana thamani ya kipande inakuwa siku hadi siku
@gilbertmani9432Ай бұрын
Je Kama mtu sio mtanzania anaruhusiwa kuwekeza?
@mindsettinginitiativeАй бұрын
@@gilbertmani9432 swali zuri sana. Katika maelezo yao hawasema, ila ninalihifadhi na nitauliza. Endelea kufuatilia pamoja na mimi.
@AcrusioraymondmakombeRaymond29 күн бұрын
Tatizo wanachelewesha malipo pale unapokuwa umeuza vipande kwa mfano mfuko huu wa ukwasi wanakuambia siku tatu za kazi baada ya maombi yako ya kuuza kupokelewa siyo kweli hadi wiki inapita
@rehemawalters8226Ай бұрын
This channel should go viral aseeee Haya ni madini matupu Hongeren sana waandaaji
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Rehema ❤️❤️❤️
@BusinessOne-mf5djАй бұрын
Ofcourse.
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Kabisa. Na ni bahati mbaya wale wachache walioingia mapema hawafunguki kuhusu fursa zilizopo pande hizi.
@eddyology7304Ай бұрын
Asante sana kwa hizi sessions wakuu. Elimu ya bure kabisa hii. Ni sisi tu kuitumia katika kuwekeza
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Nashukuru sana Mr. Eddy kwanza kwa kufuatilia session, ila zaidi kwa kutambua mchango wetu. Ubarikiwe! Na ukafanikiwe!
@francismlotemalekela2029Ай бұрын
Thank you bro
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana brother Francis
@DOCTORSINGANOАй бұрын
Nikitak kubadili broker nafanyaje
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Habari Dr. Singano. Ili kubadili broker, wasiliana na broker wako wa sasa na umweleze hiyo nia. Utachopaswa kufanya ni kuandika barua kwa huyo broker wako wa sasa kuelezea nia ya kuamia kwa broker mpya., na kuelezea hapo jina la broker mpya. Ukihitaji msaada zaidi nijulishe nikuunganishe na Orbit Securities kwa maelekezo zaidi.
@rehemawalters8226Ай бұрын
Asante sana kwa elimu brother
@rehemawalters8226Ай бұрын
Na mimi naomba nikutafute Kwa namba yako
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Nashukuru sana Rehema kwa kufuatilia session na zaidi kwa mrejesho.
@user-we9ut9ih6mАй бұрын
Pesa ya shule ungeiweka utt amis mfuko wa ukwasi, ukihitaji ndani ya siku tatu unaipata...
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana kwa hii taarifa. Ni muhimu sana.
@bronykenzie2322Ай бұрын
Tell us more about DCB bank mr proches, nimeanzia kWa CEO history na cv kwa kwely ni promising lakin tell us more about the bank. Your thoughts in general
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana kwa comment Brony Kenzie. Anaitwa Mr. Fortius. Nitafikisha swali lako kwake, na anaweza akajibu hapa ama tukajibu kwenye session ijayo.
@ditrickluhaga8764Ай бұрын
Awesome , kweli hii ni mind setting
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Nashukuru sana Ditrick kwa kuwa supporter wetu wa karibu sana.
@welluschiwanga8445Ай бұрын
Vizur
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Shukrani sana
@Anti-socialSocialClubАй бұрын
Habari wadau. Kwanza Biggup yourselves for the awesome work, i follow ALL your sessions. Lakini bado natafuta link ya WhatsApp group lenu. Naomba mshare link. Asanteni sana.
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana kwa kuwa supporter wetu. Link ya group la WhatsApp hii hapa: chat.whatsapp.com/C6PxbFI1K6jHAizMaMVNa7 Ikikupa shida, nenda eneo la description na utaona contact details za Fortius na Ammi. Zitumie zile kuwasiliana nao moja kwa moja.
@Anti-socialSocialClubАй бұрын
@@mindsettinginitiative when i click the link it says "you can't join this group because this invite link has been reset"... Maybe you should create a new invite link, if that link is an old one Alafu hakuna eneo la description wala nini
@mindsettinginitiativeАй бұрын
@@Anti-socialSocialClub Haya ni mawasiliano ya Fortius na Ammi: +255 620 650 616; [email protected]; [email protected]: Fanya kuwacheck.
@Anti-socialSocialClubАй бұрын
@@mindsettinginitiative asante sana chief !
@mindsettinginitiativeАй бұрын
@@Anti-socialSocialClub pamoja sana mkuu!
@Squash20Ай бұрын
Interview nyingine mwachie mgeni awe anapresent alichokuja nacho.... Bernard alikua na notes zake alikua ameandaa, lakini hukumpa muda wa kuzipresent, alivyorudi mara ya pili umemuuliza za kwako tu.
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Shukrani sana Squash kwa kufuatilia session na ushauri. Nimeupokea na nitaufanyia kazi.
@samsonswere2405Ай бұрын
I also noticed that and didn't like it, I believe atasahihisha for the upcoming sessions interaction with guests.
@ditrickluhaga8764Ай бұрын
Maswali: 1. Platform gani ya kununua share za kimataifa mfano hisa za EABL, KCB? 2. Dip ya share za BRK-A waren buffet company by 99%, WHY this fall? 3. Who is roaring kitty vs GME SHARES? Effect yake kwenye Newyork stock exchange na masoko mengine?
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Ditrick kwa maswali. Nitayafikisha kwa wataalamu watupatie majibu. Wasipoweza kujibu hapa basi kwenye session ijayo, kipindi cha maswali tutaanza na haya.
@Squash20Ай бұрын
Jibu la swali la pili, ilikua ni technical problem tu, ila NYSE wameshaitatua, na walionunua shares kwa bei ya chini kabisa, trades zao zimesitishwa na watarudishwa pesa zao
@mindsettinginitiativeАй бұрын
@@Squash20ahsante sana kwa contribution. Please, endelea kufuatilia na kutoa mchango pale unapoona inafaa na inawezekana. Tunathamini mchango wako.
@noelashoo6043Ай бұрын
Kwanini share za CRDB zinapanda ila gawio lao ni dogo sana
@mindsettinginitiativeАй бұрын
Ahsante sana Noela kwa kufuatilia mjadala na kwa swali moja muhimu sana. Nitajibu kifupi, ila pia kwenye session ijayo nitajitajidi kukumbuka kuwauliza wataalamu wetu waongezee. Ulipaji wa dividend unazingatia mambo mengi ikiwemo, uzaaji wa faida wa kampuni husika, mikakati ya ukuzaji wa kampuni, ama sera za kampuni ili kutoa nafasi ya kampuni kuwa na mtaji mkubwa zaidi ili kuongeza kiwango cha faida. Kwa CRDB, imekuwa ikitanua wigo wake kijeografia na hii yawezekana imepelekea wao kuwa na sera ya kutotoa kiwango kikubwa cha dividends.
@ditrickluhaga87642 ай бұрын
shukrani sana
@mindsettinginitiative2 ай бұрын
Karibu sana Ditrick, na ahsante kwa kufuatilia session.