Pastor may our Good Lord bless you.am really blessed
@ReaganMwansile-ph2sf22 күн бұрын
Yesu anarudi tena tunaomwamini na kumtegemea Mungu Muumbaji wa Mbingu na nchi tuwe macho
@eliyahclay446123 күн бұрын
Mungu atusaidie wakristo wa Leo tusiuze uzaliwa wetu kwa mambo ya dunia hii (pastor Warumbe ujumbe huu unatutafakarisha sana MUNGU azidi kukutumia katika siku hizi ambapo ni siku za miisho ya nyakati
@eliyahclay446124 күн бұрын
Hakika ujumbe wa Leo ni ujumbe ugusao maisha yetu ya kiroho kwa Asilimia 💯 Mungu akubarikiwa pr WARUMBE
@m_x293324 күн бұрын
Hakuna kuchokaaaaa katika jina la Yesu🙏
@LizzybNaftaly24 күн бұрын
barikiw sana pastor
@AmmyIsaya-df5ku25 күн бұрын
Blessing 🙏
@magesagambajr354626 күн бұрын
Amen 🙏
@Deborahosward26 күн бұрын
Mungu atukuzwe milele zote
@jozebayo730127 күн бұрын
Aminaa!! Mungu Atukuzwe
@hamisishabani433328 күн бұрын
Mungu atakuaazibu kwauongo wako
@user-pg2pe6ye4i2 ай бұрын
Fundisha siri zao pastor tu fahamu kwanini Hawa watu wana siri sana wakati kwa mungu aitakiwi kuwa hivo.
@adorateurpaulbukuru68643 ай бұрын
Stay blessed Dr Yohana OMARI, Unatufunza vizuri iyo Qu'ran mbovu na upotevu wake kwa Watu wenye akili finyo. Mungu ailinde Nafsi yangu, maana sijawai kua na hata 1% ya kuja kuamini ISLAMIC kama DINI ya Mungu wa mbinguni❎🚫 GodSavemySoul. alellujah to SHILOH of the Bible📖
@andrewmarko17083 ай бұрын
Amen pastor wang
@magesagambajr35463 ай бұрын
Nimebarikiwa na somo lako pr
@eliyahclay44613 ай бұрын
Nimebarikiwa sana na ushauri wa kujenga kwakweli pr barikiwa sana
@user-rr5qr7tx1q3 ай бұрын
Amina pr mbarikiwe watu wa temeke
@eliyahclay44613 ай бұрын
Temeke MUNGU ametupendelea juma letu linaendeshwa na mkurugenzi wetu wa vijana sec BINAFSI na Barikiwa sana hasa somo la leo kuhusu upweke
@sondasamame23005 ай бұрын
Hiyo sio maana ya makambi
@fredykatabei55166 ай бұрын
Amina
@aminamichael19796 ай бұрын
Amen
@msemakweli2436 ай бұрын
Mwalimu wakumbushe mafalisayo ndo waisilamu waleo
@ibrahimgwasma12237 ай бұрын
Mchungaji nimekuelewa sana
@jeanpaulkwizera32167 ай бұрын
bwana Yohani temberey Bujumbura uwambiye. awo wahihisrima kadanganya watu uko
@user-nt8sr1vu5c7 ай бұрын
🎉
@AnnaBituro-hd8lv4 ай бұрын
Amen
@bigmanfish63468 ай бұрын
Wacha kudanganya wakiristo mzee
@damjoma118 ай бұрын
Amina sanaa
@cleopatrakiondo89228 ай бұрын
Mungu ni mwema ni farijika mno
@MarymizemoMary-xx8sg8 ай бұрын
Amina
@jobondieki33458 ай бұрын
Mtu anitafutie number ya Yohana huyu mtumishi
@MagesaStephano-vu4gu8 ай бұрын
Barikiwa
@zakariaomary49069 ай бұрын
Mungu azidi kutukuzwa na kuinua vijana wake mbaeikiwe
@ruthmaivaji19739 ай бұрын
Safi sana
@jacobomayalla53029 ай бұрын
Nikikumbuka hii, machozi yananitoka!!!
@noahfilimoni47039 ай бұрын
Watoto Temeke superb sana
@lidyaemmanuel98859 ай бұрын
I blessed a lot
@JxJ-vh3ft9 ай бұрын
Mungu awabariki sana, napenda sana nyimbo za wasabato. msonge mbele
@ThefinalwarningTv9 ай бұрын
Huu ndio ujumbe wa malaika yule wa tatu?????😰😰 Wachungaji badala ya kuhubiri ujumbe wa wakati tuliopewa(ujumbe wa malaika wa tatu) wanahubiri mafanikio (injili ya kilokole) Sunday Law inakuja waumini ndio kwanza wamelala na wanakoroma MIJINI kabisaaaa!! Mungu wa mbinguni utuamshe! “Many will stand in our pulpits with the torch of false prophecy in their hands, kindled from the hellish torch of Satan.... Ministers and doctors may depart from the faith, as the Word declares they will, and as the messages that God has given His servant declare they will.” Last Day Events, pg. 179
@maitali44489 ай бұрын
Huyu mch kened ni mtu wa Mungu alir hai anaongea ukwrli akionya wachungaji,wazee,waumini tumepoteza aina hiii ya wachungaji
@maitali44489 ай бұрын
Wachungaji wa namna hii.wachache sana wanaotaja dhambi kwa majina yao tunamuombea katibu aiponye temeke
@sebastiansondo20319 ай бұрын
Tunawapata Mubasharaa kabisaa
@michaelsmithman65519 ай бұрын
Tunabarikiwa nasi pia Kwa makambi hapo Temeke
@michaelsmithman65519 ай бұрын
Hakika tunabarikiwa na makambi toka hapo Temeke.
@shukranjulius95269 ай бұрын
Barikiwa pastor nimebarikiwa sana 🙏
@MARYPAUL-zt6yb9 ай бұрын
Nazidi kubarikiwa sana Mungu azidi kutumua watumishi kutulisha kiroho
@EliaKomba-tw7hu9 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@MARYPAUL-zt6yb9 ай бұрын
Ameen nabarikiwa sana nafuatilia utube makambi ya mtaa wangu roho WA Mungu atawale hili kambi
@temekesdachurch9 ай бұрын
Amina
@lenardkenedy5429 ай бұрын
Sasa Nyinyi kama Anasema Uongo tuekee Ukweli wako sema apa sio ivyo ni ivi ila kama unasema TU bila usibitisho Bc ww ndio utakua muongo na Unatakiwa ubishe kwa oja