Pamoj pamoja sana MSN tanzania mnatufanya tunaenjoy popote tulipo
@josephngaila258312 күн бұрын
Mwalimu tuko pamoja
@Mashwishwitv-q6x12 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@josephngaila258315 күн бұрын
Atariii sana
@HusnaJoseph-s5s17 күн бұрын
Apo Joseph 👍👍
@HusnaJoseph-s5s17 күн бұрын
MSN 🔥🔥🔥🔥
@HusnaJoseph-s5s17 күн бұрын
Joseph aongeze juhud ❤
@HusnaJoseph-s5s17 күн бұрын
Joseph anaongea point sana ila anaongea mda mfupi aongeza juhudi atakua vizuri
@josephngaila258317 күн бұрын
Koch katishaaa sanaaa
@SimonBaran-q4n24 күн бұрын
Hatariiii
@JessieJustineАй бұрын
Mungu awapandishe zaidi viwango vya utukufu...,nice song❤😇mmebarikiwaa
@mussamtewele4844Ай бұрын
Mgodi unaotembea
@erickprotace9463Ай бұрын
Waandishi mnajadili tukio lilivyoenda kuhusu LAMECK LAWI, inajulikana makubaliano yalikuwepo mnashindwa kuelimisha na kuelezea juu ya njia za kusitisha makubaliano kama zilifatwa kwa mashabiki. Kama walivyofanya coastal ndo hivyo haina haja ya kujadili mengi. Elimisha mwisho wa makubaliano na si walizingumza vipi.
@GodfreyJames-zt6igАй бұрын
Usiwe unaojiwa na midia za kisenge kama hzo ambazo Wala hazjulikani tz hapa
@AmidaNdeuАй бұрын
Duh!
@AmidaNdeuАй бұрын
Duh!
@AmidaNdeuАй бұрын
Duh!
@user-db4cg5mh5bАй бұрын
Namkumbuka sana uyo jitu ra mabana hilo kacheza sana dumila magole pia walikuwa wana elewana sana na EDGA CHAZ MFUMAKULE BONGE LA STEKA NAMKUMBUKA SANA SANA UYO
@user-ek7tp2fg8tАй бұрын
Tatizo LA simba ndiy mahana wanatolew wachesaji
@muddsaid-kn2dq2 ай бұрын
mtanagazaji unaulizaaswali ya kitoto sana jezi nini sasa kwenye ishu ya utambulisho
@muddsaid-kn2dq2 ай бұрын
pesa tarehe 10 barua tarehe 17 tumesha yakanyaga tuangalieni mambo mengine mkataba umeisha iyo ni mali ya simba
@AmanaAmos-hv3yz2 ай бұрын
Yes pambana tu uongeze juudi
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts2 ай бұрын
Uyu kaka nimukeli sana juu ayo majini waliya nunuwa kwake ndio sababu anajuwa vyote kuusu mayele
@JohnJoseph-qq7ow2 ай бұрын
Sisi simba tuna akili kubwa huwezi linganisha na yanga kikwete ni yanga miaka kumi alifanya nini angalia magufuli NI simba miaka mitano kazi kubwA simba tuna akili kubwa
@seydouside40812 ай бұрын
Mchezsji wako tena..Jamaa anaota chama ni mwanamchi bro..imeisha hiyo
@msntanzania2 ай бұрын
😂😆
@user-qi3wv8sf5j2 ай бұрын
Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule
@msntanzania2 ай бұрын
Big up
@abubakarishariff84892 ай бұрын
Ndio tutachukua club bingwa kwa wachezaji ao
@GEORGEMsigara2 ай бұрын
Hongera Mourinho
@mwanangusana2 ай бұрын
😂😂😂 hiv hawa mashabiki wa ubuntu wanakula chakula gani ?? Maana ukiwasililiza kwa umakini utagundua ni wapiga kelele sanaa 😂😂😂
@msntanzania2 ай бұрын
😂😆
@user-iz3hs8jl5p2 ай бұрын
mkubwa kuliko aziz ki matakooi
@godfreymabula68582 ай бұрын
Kama mlikubaliana tarehe 31 why mlipe tarehe 10??? Klabu kubwa kama Simba kiliwashinda nn?? SIMBA MMETAWALIWA NA VIONGOZI WAHUNI 😂😂😂😂
@ismailhassan52092 ай бұрын
Godfrey mwamnyeto alipochelewa kulipwa mbona hapakuwa na malumbano Haya we yamekuzidi funga domo lako
@saidalbakry19902 ай бұрын
😮@@ismailhassan5209r800
@user-bt6ep3yb2h2 ай бұрын
Huyo naye wakuhojiwa kweli?.
@HABIBHASSAN-wf5mr2 ай бұрын
MANENO HAYO YOTE YA NN ? YANGA AINAGA WATU WAJINGA
@msntanzania2 ай бұрын
😂
@user-iz3hs8jl5p2 ай бұрын
ndo nashangaa kelele za chura 2 izo 2muige makolo kwa lipi
@user-iz3hs8jl5p2 ай бұрын
weee chama sio ws shirikisho weee
@mwanangusana2 ай бұрын
@@user-iz3hs8jl5p😂😂😂 chama kubwa
@wimranpatrick2 ай бұрын
Huuu mongoli kae kimya we mfungwa
@msntanzania2 ай бұрын
😂
@msangya60manyanki272 ай бұрын
kwann cmba hawakutii mkataba wa kulipa kwa wakati trh 31/5/24?
@msntanzania2 ай бұрын
😂😆
@marymoshi5722 ай бұрын
Captain la boli
@msntanzania2 ай бұрын
🙏
@CharlesNdaki-mb5kt2 ай бұрын
Kumbe MDA mwingine unahakili eee
@CharlesNdaki-mb5kt2 ай бұрын
Kumbe MDA mwingine unahakili eee
@CharlesNdaki-mb5kt2 ай бұрын
Sasa leyo ndo umezungumza 😂😂😂
@msntanzania2 ай бұрын
🤣😂
@Esterkomba-ef7eb2 ай бұрын
Walasiyo muhanga unimwana Simba kindaki ndaki
@msntanzania2 ай бұрын
🙏🙏
@ismailmohamed5022 ай бұрын
Bakari walifanya makubaliano na siyo janja janja
@NassibuMussa-lu3vf2 ай бұрын
Usajiri wa kijanjajanja lawi sio beki wa kihivyo kiki 2
@jumanakamo55032 ай бұрын
KWA NINI WALIPOKEA HIYO PESA TAREHE 30 HUKU WAKIJUA WAMECHELEWA MDA WA KULIPA? KWA NINI WASINGEKATAA?