Asante baba kwa makala nzuri, umetufungua macho kile ambacho tulikuwa hatukijui ,ila kwa Tz tulikuwa tumefungwa kwenye gereza la giza la sheria na kufungwa kamba humu , Mungu tuinulie wengine wengi wataosaidiana na Kaka yetu Mwambukusi ili tufike sehemu nzuri ya kujikomboa kutoka kwenye giza hili . Ee Mwenyezi Mungu tusaidie
@eunicemligo529016 сағат бұрын
Hongera sana Mr . Ngurumo! Maneno ya Zaburi hii yananibariki sana daima na kunitia nguvu for real! Melodia imetulia mno!! You are talented! Mungu akutunze sana🙏🙏
@viaurfk17 сағат бұрын
Asante kwa mwaliko.
@audaxbizimana808418 сағат бұрын
❤❤❤❤❤
@user-kl8xf1yk2b18 сағат бұрын
Leo wa wakwanza ngurumo
@KhadijaHussein-qn2ge20 сағат бұрын
Nduguyangu ulouliza mbendera ya tanganyika. Nihiyo ya tanzania ndo bendera yenu angalia pale nyerere alipopata uhuru panabendera gani ukiangalia nihiyo ya tanzania ndobendera yenu tafuteni tanganyika yenu mana ss wazanzibari hatuutaki mungano mnatulazimisha tumechoka ss simasikini bali mnatutia umasikini
@KhadijaHussein-qn2ge20 сағат бұрын
Act haipo madarakani nisawa na wabunge wa chadema waliokuepo bungeni bali esitii tunataka madaraka ili kila nchi iwe huru kila mmoja andeshe mamboyake mwenyewe na sio zanziba tukitaka kitu twende tukaombe ruhusa tanganyika kivuli tanzania tunataka zanziba huru jina lisiwe tanzania
@MathiasSongoyiКүн бұрын
Mwambukusi anaaminika kwani kunakundi lilikuwa linafanyadhuruma,kumbe walikuwa hawajui kuwa wanamtengenezea nji ya ushindi Sasa wanabwabwaja na midomo kuwa wazi,mwambukusi anasimamia ukweli na apindishi Sheria,ndio maana walimunyofolea uwakili na wameshindwa.
@user-qe5cb7vy6o2 күн бұрын
USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA MUNGU MWENYE HAKI.MENYE KUPINGA WATAAIBIKA MCHANA KWEUPE.
@user-qe5cb7vy6o2 күн бұрын
USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WAUMMA NI USHINDI WA WATANGANYIKA.
@user-qe5cb7vy6o2 күн бұрын
NKUBA NENDA KAKATE RUFAA MAKAMANI UAIBIKE MWIZI NA HAKI MUNGU ANASIMAMIA HAKI.WACHA INYESHE TUONE PANAPOVUJA. MWABUKUSI OYEEEE3
@user-zn7vw3pj6p2 күн бұрын
Hongera mwambukusi.hakika tusiojua sheria tunaimaninawewe.tumepatamtuwauhakika ninyotayetu watanzaniawote.
@ZabronJonathan-b5s2 күн бұрын
Mungu ambarikina kumlinda.
@Kwarasi2 күн бұрын
Katiba yetu inapiga marufuku kuuza aidhi Kwa watu wa nje
@Gahii-s5q2 күн бұрын
Mi naamn waliotufikisha apa tulipo ni viongozi wa dini kukaka upande wa ccm wote. Kwa sababu ya matumbo yao
@Gahii-s5q2 күн бұрын
Viongoz, wa dini ni machawa ccm, cjui we shee umeweza je kuchomoka uko!
@AbuuMtamike2 күн бұрын
Hakuna giza lililo shinda nuru hata waludie mara 10 Mungu yupo pamoja na Mwabukusi(Musa dhidi ya farao)
@Joseph-lu4yj3 күн бұрын
Mwambukusi ni mtu na nusu Taifa linaenda kukombolewa tunakuamini 100%
@bonifacerobert29603 күн бұрын
Utamu wa madaraka umeipofusha CCM, umeyafisha masikio yao. CCM haioni, haisikii tena. Ni kama maiti. Sasa inanuka. Lazima izikwe.
@workmantiktok3 күн бұрын
yani we kondoo nakuchukia kama kinyesi kila kitu unajifanya unajua kenge wewe kama akili yako
@AnsbertNgurumo3 күн бұрын
@@workmantiktok Karibu! Asante kwa maoni yako. Kutojua kwako si sifa ya kujivunia. Tuendelee kujielimisha.
@workmantiktok3 күн бұрын
@@AnsbertNgurumo wazee matahira
@ChristerKoku3 күн бұрын
Kusoma,sio kuelimika.
@AlphaMagomba3 күн бұрын
Mungu awape nguvu za kuelimisha watanzania na awape afya njema
@hamisially-c4x3 күн бұрын
Gd sana
@user-jc1do5gf3w3 күн бұрын
Hongera sana Mwabukusi,ushindi wako ni wa Watanzania wote,piga kazi Taifa hili tunahitaji kiongozi kama wewe.Hongera sana,sana
@jimmymushi23573 күн бұрын
Mtu wa maana sana ww
@dbamwenzaki3 күн бұрын
Sasa tunaomba katiba mpya ya Jaji Warioba.
@veronicanabina33803 күн бұрын
Sijapiga kura ila naona nimeshinda, maana niliyekuwa natamani na kumuombea kwa Mungu ashinde ameshinda . ASANTE SANA MUNGU
@simonnaivasha63933 күн бұрын
Hongera SK media kwa kutoa Elimu. Tutakukumbuka kama Lucky Dube wa Tanzanian, keep it up!!
@ibrahimaziz71583 күн бұрын
Kwaiyo raisi wa tls ni chadomo patachimbika mwaka huu
@AnsbertNgurumo3 күн бұрын
@@ibrahimaziz7158 Aliyekwambia hivyo ni nani? Tafiti upya.
@JoyceKabula-in1sh4 күн бұрын
Asante baba
@AnteloSanga4 күн бұрын
Mungu yu mwema tumepokwa vyakutosha wameona aibu hadharani.
@EzekiaKabuje4 күн бұрын
Nimemuona mungu hapa kweli ametenda yale yamoyoni unajua mungu anaongea naloho zake ushindihuu mungu ameanza moja badae lingine hutashindana namngu binadam ww unyang.anyae haki zawatu
@karolinchimani53164 күн бұрын
Congratulations Mwabukusi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@mabondolawrence18124 күн бұрын
Mmh ipo tofauti kubwa sana kati ya taaluma ya Sheria na taaluma ya Wahandisi Makandarasi
@RebeccaKamwela4 күн бұрын
😅😅😅kuna mmoja wao hapo kakaaa kichawa kabisa
@user-su3zd6mz6d4 күн бұрын
Huyu mpumbavu anaekataa matokeo waende kwenye uchaguzi wakiwa wawili aone huo moto
Wanasheria wa nchi hii wakisimama kizalendo, hakutakuwa mikataba mibaya kwa sirikali hata mingine inavunjwa kiholela nchi inalipa mapesa kibao kwa wazungu huko, inauma sana kwangu mtanzania mvuja jasho, ninayekatwa tozo kila pahali katika kuuza na kununua kila kitu.😭😭😭🇹🇿
@MonicaTimotheo4 күн бұрын
VIVA MWABUKUSI VIVA TANZANIA
@MonicaTimotheo4 күн бұрын
KWELI USHINDI WA MWABUKUSI NI USHINDI WA UMA WOTE WA WATANZANIA HASA WANYONGE AMBAO WAMEBANWA NA MFUMO MBOVU WA HILA ZA WADAU WA CHAMA KIMOJA WANAONG'ANG'ANIA UTAWALA KWA MBINU ZOTE LAKINI WAJUE PIA UKOMBOZI UTAKUJA KWA NJIA ZOTE NA TUTASHINDA TU