Oscar bado Sana upo slow Mno na hauwez kumsoma mpinzan ulingon unaendaenda tu
@benjamachimo6424Күн бұрын
Nakubal mwanangu dragon
@UKCTVКүн бұрын
Kazkaz ndugu yangu banjamin
@davidkwisi8231Күн бұрын
Kamanda anajua kuongea vizuri sana.my support.
@UKCTVКүн бұрын
Kweli kaka mkubwa kwisi
@saiddgsmgКүн бұрын
Acha unafiki ,roho mbaya tu ndo imekujaa yani ibra crass awe juu kuliko mwakinyo,roho mbaya itakuangamiza.
@ogenylaurent7961Күн бұрын
Halafu we jamaa unawashobokea Nakozi au kuna Bwana yako hapo
@user-it2yv8dl4bКүн бұрын
Nakoz Chama kubwa ❤
@emmanuelmayunga1518Күн бұрын
Kumbe nawew umeona,ni Mke wa mfaume huyo
@ogenylaurent7961Күн бұрын
@@emmanuelmayunga1518 atakuwa mke mke wa mfaume kweli
@ogenylaurent7961Күн бұрын
Sasa wewe unamuuliza eti anaridhika na maamuzi ya Majaji kwahiyo unataka aseme hajaamini wakati amepigwa bondia wako
@nassorosaid-rp4dnКүн бұрын
Huyu bado sana yaani huyo Bwanga anamzungumzia lakini hamuezi hata majiha au juma choki bado sio level zake ajipange sana
@ogenylaurent7961Күн бұрын
Wewe ngumi umeza kuzijua jana bwanga bondia wa kawaida sana
@PaulCharles-ox9pg4 күн бұрын
Nipo mm
@Jumajumanne2926 күн бұрын
Msenge maneno mengi alaph i fait mbona haipo you tube
@YusuphSemvua8 күн бұрын
Bado tunamtambua Kiongozi wetu Chaurembo Palasa...ametufikisha mbali ktk ngumi za kulipwa Tz
@CharlesMbise-hc2sz8 күн бұрын
Tatizo lako wew una wivu na mwakinyo sana lkn atarudi kwenye top 1 mda c mrefu
@BESTMOVIES-fz8dt8 күн бұрын
Pigano la abeid zugo na kimario video inapatikana wapi
@selemanismail4241Күн бұрын
Hawataki kuiposti 😅
@user-ch8ly8lq8w8 күн бұрын
Tanzania bad sana
@philiphokoson12728 күн бұрын
UKC upo vizuri sana uchawi sio vitu vya kuviamini wanao amini ni wao safi sana
@UKCTV8 күн бұрын
Ahsante ndugu kwa kunielewa
@newfacie8 күн бұрын
🔥🔥🔥 interview kali Sana
@mwlpierre12 күн бұрын
Safi sana Champion Attanas
@user-pr5is9jb9f13 күн бұрын
Tutaingea
@user-md5bu5md2c13 күн бұрын
Umeshinda mapambano 15 alafu unaanguka kama boya ww zugo jau tu
@amisiSalumu-u2q13 күн бұрын
Nakubali champion
@EagleShotokanTz14 күн бұрын
Ongela sana UKC Tv kwa Habari za Uwakika 👊
@UKCTV14 күн бұрын
Ahsante
@user-ih7nl5nv3c14 күн бұрын
Kama auja smamia aki yako bongo hakuna wakukusmamia na ukiismamia wanakuona jeuli
@user-ih7nl5nv3c14 күн бұрын
Mwakinyo akiongeaga mnamuonaga afai
@user-ih7nl5nv3c14 күн бұрын
Bongo bado sana
@mohammedlipindula541514 күн бұрын
Hao jamaa waache tamaa dogo kauza uhai wake ulingoni wao wanaleta tamaa wapande wao ulingoni wapigane wasipende vyabure
@UKCTV14 күн бұрын
Kweli kabisaa
@user-ff7ls1xj1q14 күн бұрын
Naqubal sana champion mdudu,tunaelewa uwezo wako nenda katuwakilishe vyema ngome boxing 🥊 na Tz nzima,Kwa mazoezin Yale phiri lazima apigike
@FatimaFati-pu4lb14 күн бұрын
Kanifurahisha Sana kocha yatakikana hivyo
@FatimaFati-pu4lb14 күн бұрын
Tz wajinga Kwann wasimpe mkanda wake
@shaabansulaymaan447814 күн бұрын
Manjiha,manjia ndo nan??
@ramadhankhatwib856114 күн бұрын
Zugo kumbe ni maneno tu huyu kimario alipigana na bwanabucha na pambano lilikuwa nzur mno
@AWADHIHEMED-y1c14 күн бұрын
Shelia ifwate mkondo wake
@user-ms1xg1fp4v14 күн бұрын
Hii weight kweli ni yake?
@UKCTV14 күн бұрын
Alishuka na alipungua sana
@saididuri351814 күн бұрын
km kuna watu wameekeza ela zao kwako hawajui wanachotaka wew huwez kuwa bondia maybe km mtaendelea ku edit ngumi km unavofanya kiukwel kwa uwezo wako huna uwezo wa kumpiga bondio yyte wa uzito wako hapa nchini acheni drama kwenye boxing na km utaendelea wallah utakuja kufa kwenye ringi
@davidkwisi823114 күн бұрын
Nimeangalia had mwisho lakini sijajua matokeo ninini
@masoudabdoul844714 күн бұрын
Toka bn
@masoudabdoul844714 күн бұрын
Ukimsikia sasa akiwa anachambua mapambano ya wenzie😂😂😂. Bondia mwepesi kama karatasi
@didamugya603915 күн бұрын
ᴅᴏɢ ғɪɢʜᴛ
@rashidabdallah485616 күн бұрын
Kapigwa kama Begi Abeid daaah
@BESTMOVIES-fz8dt15 күн бұрын
Iyo video iko wapi
@carolfelix307516 күн бұрын
Smart talk Zeno
@athanasmgungusi999614 күн бұрын
Thanks Brother CFelix , I appreciate kaka
@daudimatelot933917 күн бұрын
Kaza mdogo wng Tiger
@daudimatelot933917 күн бұрын
Stopper
@JamiliJuma17 күн бұрын
Acha ubwege ww mwanga mwakinyo namba moja kama unabisha wakutanishe na huyo fadhir wako uone kazi mwanga ww
@UKCTV17 күн бұрын
Hawawezi kukutana ndugu yangu sababu wanachezq uzito tofauti ila fadhili ndio bondia namba1 Tanzania nzima
@twaibumikidadi737717 күн бұрын
saf sana ila mnachelewa kutupia video mjitahidi
@UKCTV17 күн бұрын
Kweli lakini changamoto wakati mwingine tunapokua mikoani mtando ni shidah sana