Haya maandamano na hisia za Gen Z,ni dhihiri kufeli kwa itikadi mbili: 1)Ilmaniya Itikadi ilojengwa juu yake mfumo wa kibepari na nidhamu yake ya utawala demokrasia Ambapo mwanadamu,mwenye mapungufu mengi ikiwemo: 1)Ubinafsi 2)Fikra finyo isoweza kuona mustakabali 3)Kutegemea nguvu na uwezo wa binadamu kuliko muongozo kutoka kwa ALlah Swt Haya na mengi,mwanadamu,ndie alojitwika jukumu la kutunga kanuni za maisha na kumpora ALlah Swt haki Yake hio 2)Itikadi ya kanisa Ambalo tangu mwanzo ndio lilochangia pakubwa kuibuka mfumo huu,leo pia yadhihiri mapungufu yake Wanasiasa wa Kenya walihusisha kanisa pakubwa kuomba kura. Na kanisa licha kujitenga kisiasa,likawa mbele kuwapigia debe. Yale yalokuwepona kabla ya mapinduzi ya Ufaransa 1789,ambapo kanisa kwa mapungufu ya mafundisho yake,yalishindwa kuwanasihi na kuwaongoza viongozi ndio leo yajirudia. Mkoloni alipovamia Afrika,alikuja na biblia mkono mmoja na bunduki mkono wa pili Wengi wa wamisheni walikuwa majasusi wa kibepari walovaa magwandwa ya upasta na upadri Kiasi cha kusemwa ktk political science kuwa, *Where the Cross(missionaries) went,the flag(colonialists) followed* Juzi kushindwa kwa kanisa kulipelekea kuzaliwa kwa nfumo wa kibepari demokrasia Hivi sasa kushindwa kwa kanisa na mfumo wa kibepari,kwapelekea kuibuka kwa Uislam kama suluhu ya kudumu ya muozo ulozaliwa na itikadi hizo mbili. Iwe ni karibu au mbeleni.Lkn ukafiri umebainika wazi kuwa kushindwa cha kumtatulia mwanadamu matatizo yake. Jee Waislam mwachangia vipi kuwaongoza waja wa ALlah Swt kuona nuru hio?!!
@Ahmad_musa_710 сағат бұрын
Leo ustaad hassan amechemka😅. Mashallah kazi nzuri, wengine maswali yao si kuelewa bali ni kuonyesha wengine propaganda zao na kupoteza wakati. Kama "mtume ameoa mwanamke mdogo", ama "majini ni waislamu".. na wana rudia rudia tu hizo maswali. Mandiko hawana.
@zuenahassan888212 сағат бұрын
Mashaallah baarakallah
@Fumokale21 сағат бұрын
Allah akuinulie khatua za kwenda HAJJ na umrah yaarabb mjaalie salim ngugi na mashaikh wenzake waende wakahiji na kumzuru mtume wetu s.a.w.....amiin
@salimdaawah12321 сағат бұрын
Aameen ameen ameen
@chiefmkalikibz1503Күн бұрын
Haya maandamano na hisia za Gen Z,ni dhihiri kufeli kwa itikadi mbili: 1)Ilmaniya Itikadi ilojengwa juu yake mfumo wa kibepari na nidhamu yake ya utawala demokrasia Ambapo mwanadamu,mwenye mapungufu mengi ikiwemo: 1)Ubinafsi 2)Fikra finyo isoweza kuona mustakabali 3)Kutegemea nguvu na uwezo wa binadamu kuliko muongozo kutoka kwa ALlah Swt Haya na mengi,mwanadamu,ndie alojitwika jukumu la kutunga kanuni za maisha na kumpora ALlah Swt haki Yake hio 2)Itikadi ya kanisa Ambalo tangu mwanzo ndio lilochangia pakubwa kuibuka mfumo huu,leo pia yadhihiri mapungufu yake Wanasiasa wa Kenya walihusisha kanisa pakubwa kuomba kura. Na kanisa licha kujitenga kisiasa,likawa mbele kuwapigia debe. Yale yalokuwepona kabla ya mapinduzi ya Ufaransa 1789,ambapo kanisa kwa mapungufu ya mafundisho yake,yalishindwa kuwanasihi na kuwaongoza viongozi ndio leo yajirudia. Mkoloni alipovamia Afrika,alikuja na biblia mkono mmoja na bunduki mkono wa pili Wengi wa wamisheni walikuwa majasusi wa kibepari walovaa magwandwa ya upasta na upadri Kiasi cha kusemwa ktk political science kuwa, *Where the Cross(missionaries) went,the flag(colonialists) followed* Juzi kushindwa kwa kanisa kulipelekea kuzaliwa kwa nfumo wa kibepari demokrasia Hivi sasa kushindwa kwa kanisa na mfumo wa kibepari,kwapelekea kuibuka kwa Uislam kama suluhu ya kudumu ya muozo ulozaliwa na itikadi hizo mbili. Iwe ni karibu au mbeleni.Lkn ukafiri umebainika wazi kuwa kushindwa cha kumtatulia mwanadamu matatizo yake. Jee Waislam mwachangia vipi kuwaongoza waja wa ALlah Swt kuona nuru hio?!!
@samxx411Күн бұрын
Inshallah utaenda Makka kuhiji sheikh Salim na wenzio na sisi sote tulioamini Allah na mitume wake
@SalmanMughal-lq5ltКүн бұрын
SubhanaAllah.etingurue.imewakoseanini..hatari
@RAMATHANI-eu5dkКүн бұрын
Mashallah macheikh wetu.
@254trendsКүн бұрын
Mash Allah maustadh wetu kwa kazi nzuri tuonesheni view ya hio area yote si reli tu inshallah
@salimdaawah123Күн бұрын
Inn shaa Allah
@ibnass2202Күн бұрын
Eti kubatizwa ndio kuwa mkristo!!!!!
@rizikiyahya9565Күн бұрын
assalaam alaykum.Allaah awalipe mema kwa kazi nzuri munayoifanya.Kwa wale ambao wanasema hawana dini ni wapagani wafunzeni pia naona hapa ameambiwa hana swali akaondoshwa lakini mungemfunza ili akiondoka na yeye akawa ame elimika yaonekana wazi kua hajajua ashike njia ipi.
@salimdaawah123Күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah hilo tutarekebisha
@MkambaSaleh-kr7piКүн бұрын
Kwasababu gani hawa wakristo uongo wa wachunaji wanaukubali haraka kuliko ukweli wa kuraan
Barakallahu Feek Sheikh Hassan. Wabishi hio Ndio Dawa Yao, Kitabu ni chao na wanakipinga Hadharani Subhan'Allah. Kitaeleweka tuu.
@Sal.0Күн бұрын
Ustad Salim na Team mzima, May Allah bless you all with a trip to Mecca! Ameeen.
@salimdaawah123Күн бұрын
Aameen ameen ameen
@Sal.0Күн бұрын
Mafundisho Makali, yet again! MashaAllah. Huyu jamaa ame somewa the FULL HISTORY ya biblia ku TUNGWA na ku andikwa na MaKAFIRI na WaPAGANI wa Mji wa ANTIOCH, lakini BADO ana fikiria eti Biblia ni kitabu cha Mungu??? Sasa Sijui kama WaFRIKA ni Ma KURUTU, au Kicha Ngumu, au wako na NUSU Bongo, whereby HAWANA capacity yaku jua Biblia ni STORYBOOK tuu, ya WaZungu! Na kwani hawa jui ANTIOCH is in a different World from Yesu, na ni 950km away, from Jerusalem?? Na ya kwamba, Antioch uli kuwa MJI KUU wa Ma CRUSADERS, walio tumwa kuwa IBIA WaARABU mali zao kwenye CARAVANS zao from China? Ai, people, wake up. I simply do not understand these Guys! TabarakAllah Team na Wa bebaji Vitabu.
@ibnusleyyum9743Күн бұрын
MashaaAllahu
@josemu870Күн бұрын
Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni
@hashimswaibu9827Күн бұрын
Hasani punguza jazba then Majibu vizuri
@hashimswaibu9827Күн бұрын
Hasani hujawatendea haki waulizaji maswali wazuri ila huwapi Majibu mazuri
@KhamisJuma-ni1vkКүн бұрын
Masha Allah Masheikh
@abdalaauame3863Күн бұрын
Mashalla ustaz salimo wanhugue
@MaajidabdillahКүн бұрын
Tangia nifatilie channel yako cjawah pitwa na siku bila kuangalia video zenu mnafanya kazi kubwa Allah awalipe ujira mwema In shaa Allah
@salimdaawah123Күн бұрын
Aameen ameen ameen sote pia wewe Allah akupe umri mrefu wenye baraka
@MaajidabdillahКүн бұрын
@@salimdaawah123 aamin
@mohagurey22142 күн бұрын
Anasema yeye hajui na wewe uambie maana ya tu umoja, kisha ukitaka kuambia anaruka tena
@salimdaawah1232 күн бұрын
Hawa wengi wao hawajui kama hawajui na hawajui
@mohamednurmohamed88122 күн бұрын
Mash ALLAH alhamdulilah Neema ❤❤❤
@salimdaawah1232 күн бұрын
Alhamdulillah
@jawadimwalim36342 күн бұрын
Sheikh Salim , Na kitu watu wengi Hawajuwi nikwa katika Inchi ya Greece 🇬🇷 the greeks Language Wao wanatambuwa kuwa Bibilia nikitabu Chochote yani hata kitabu cha History wao wanaita Biblia History, Biblia Mathematics, Biblia Geographi, ukienda Greece usije kwenda Shop ukauliza Biblia 😂 watakuuliza gani ya History Ao Geographi 😂
@salimdaawah1232 күн бұрын
😂🤣😂🤣😂 hapo umegonga ndipo
@Sal.0Күн бұрын
Hio Kali na Ukweli!
@aburaasmedia36822 күн бұрын
Maasha Allah.
@user-rc7oi2hp8l2 күн бұрын
Allah amzidishie juhudi elimu hekma na afya mtagaze lailaha ila Allah
@salimdaawah1232 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@user-pg9bv9rr4p2 күн бұрын
Mansha Allah.. This is one of the best of sheikh salim clips.. Mungu aku linde. With alot of love from Leeds 'uk
@salimdaawah1232 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@daidibrahimadam4822 күн бұрын
MASHALLAH. LEO KUMECHEMKA.
@salimdaawah1232 күн бұрын
Kabisa wataelewa tu inn shaa Allah
@Idysalim2 күн бұрын
Masomo ya leo imeeleweka kabisa Ma-Sha-Allah, Allah awaongoze awafungue mioyo yao wakaielewa dmna kujua njia ya haki
@salimdaawah1232 күн бұрын
Inn shaa Allah
@jrmr75172 күн бұрын
as salaam aleykum warahmatullah wabarqatuh? shekh salim kuna swali nilikuuliza whatsapp hukunijib
@salimdaawah1232 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh swali gani hilo
@jamilaomari24442 күн бұрын
MashaAllah tabarkallah sheikh Salim.
@salimdaawah1232 күн бұрын
Alhamdulillah kindogo kindogo wataelewa tu inn shaa Allah
@adrisshagi12552 күн бұрын
Naa Süleyman asw. Maqdis
@mohamedmubarak78982 күн бұрын
Sheikh salim ngugi masha Allah. All the way from denver colorado usa
@salimdaawah1232 күн бұрын
Masha Allah alhamdulillah
@mwangimuhammad-sx9hb2 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...moto sana leo ndani ya field,,,Allah awahifadhi nawapenda sana
Assalamualaikum sheikh Salim jee huoni itakua Bora mfano swali kama nani ameiandika QURAAN urudishe swali kwake nani ameiandika biblia
@salimdaawah1232 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah
@abdallahazizi9992 күн бұрын
Naitwa Abdurahman Mustafa Muhammad Mwenyezi Mungu awahifazi awape uvumili
@abdallahazizi9992 күн бұрын
Mwenyezi Mungu awape uvumilivu ili muwavumilie viumbe wa allah
@salimdaawah1232 күн бұрын
Aameen ameen ameen
@aishahazary40972 күн бұрын
Maasha Allah..Vipenz vya ALLAH na MTUME wake Swala na Salaam ziwe juu yake.ALLAH awanyweshe maji siku yenye kiu kali kutokana na kukauka makoo kwa ajili yake.
@salimdaawah1232 күн бұрын
Aameen ameen ameen sote
@bahsansheikh60422 күн бұрын
ALHAMDULILLAH
@salimdaawah1232 күн бұрын
Masha Allah
@Shilangadi2 күн бұрын
Mashaallah
@MashoAbdi-m6n2 күн бұрын
Ya leo imewaka 🔥MashaAllah
@salimdaawah1232 күн бұрын
Wataelewa tu inn shaa Allah
@Jingajinga642 күн бұрын
Assalamu Alaykum sheikh. Huyo asiye na dini kazi ni ndogo kwake kwa sababu ashasema lailaha amebakisha illallah.
@salimdaawah1232 күн бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh yeah Allah ampe hidaya
@spinicahakama45002 күн бұрын
Mashallah Leo nmefika mapema ❤❤
@salimdaawah1232 күн бұрын
Masha Allah
@collinstogoch7612 күн бұрын
Mashallah
@abdiidaawah-yv9bg2 күн бұрын
Kimeeleweka
@spinicahakama45002 күн бұрын
Mashallah Leo nmefika mapema❤❤
@jasminmohamed61452 күн бұрын
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek