Nchi hii ni mabingwa Sana WA kuongea (too much talking) lakini inapofikia utekelezaji 05/100 and thar makes no sense at all. Tatizo kubwa ni siasa mabovu ambazo haziangalii strategic interests za taifa.Shame on us
@juliusbaynit10604 сағат бұрын
Keep it up
@msongojumbe48621 сағат бұрын
Viongozi gani hawa?
@danielishigita242323 сағат бұрын
Wenye akili wapo ila tu tatizo CC-
@eaglecrown1101Күн бұрын
Amen
@johnlongoy7952Күн бұрын
jamaa anamwaga point kuna miwatu imevaa sare za majani inasinzia posho isha ingia
@timurmauga6559Күн бұрын
Muongo mkubwa, nchi yetu inapeleka watu Harvard. Ila ni watoto wa vigogo ambao ni div 0 na wakifika huko wanadisco. Watoto wa wakulima wenye div 1 ndo wanaenda udsm, ifm, udom, nk. Na hakuna elimu bora humo. Matokeo yake nchi hupoteza vipaji. Uongozi mkuu (rais, waziri mkuu, etc) waanzishe mifumo iliyo merit based na waisimamie kikweli. Hamtashangaa depo za majeshi zimejaa watoto wa line na barracks.
@festokemibala5832Күн бұрын
Ofisa umepiga nondo kali. Ni kweli ufikiri na weledi wetu ni mdogo ktk issues za kimataifa ndo maana nyingi za mikataba yetu inatugeuka hivyo kushitakiwa na kushindwa na kulipa mabilioni ya $. Tumekuwa watu wa kuwazalishia hela wazungu kupitia mikataba ya kinyonyaji
@lucymsheshi5871Күн бұрын
😢serikali ya kijani itatuma maoni makali kama hiiii
@mussamuna900Күн бұрын
Huyu rais ampe hatar wizara ya fedha mwingulu apumzike
@medlucas5686Күн бұрын
Nisawa unachoongea lakin Dira ya Haifa inasemaje
@apolinaryprimus5542Күн бұрын
Full pack!!!
@mathiasmuhochi435Күн бұрын
Hongera Cosmas....nimekuelewa, good idea Kwa maendeleo ya Taifa
@paulbaharia410Күн бұрын
Kumbe bado tunahazina ya wasomi na wenye uelewa mzuri kama huyu ndugu jamani tuwatumie wawezekulinogesha Taifa letu pendwa.
@novathmsanyamsanya7702Күн бұрын
Sehemu aliyo delivery haya mazo siyo sahihi,
@rashidinakumbya8613Күн бұрын
Kwani huyu ni Nani ,kwa Sasa anashughulika na nn?
@josiapeter58942 күн бұрын
Ubarkiwe Sanaa pastor j mwenga
@ericrukamba68022 күн бұрын
Huyu jamaa angepewa Uwazili wa,Fetha,yuko vizuli sana, kumbe kuna,Watanzania wenye vichwa,hawapewi kazi wanapewa watu wa ajabu mpaka nchi inakwenda mrama 😂😂😂
@chalokalunde94292 күн бұрын
Jamani kumekuwa hali ya kuwachukia watu wanaoonekana extraordinary na kuwatendea vibaya.Tukikosa watu kama Hawa lazima tutakuja kutawaliwa.
@simonejengo92732 күн бұрын
He is talking to a wrong crowd. See their faces, completely bemused 😢! Ukiwauliza meza Kuu wamepata nini cha kufanyiwa kazi, utashangaa. Jiulize, with such brains, anafanya Nini desk la biashara wilayani? Jafo anamjua huyu?
@gulalakitinya76152 күн бұрын
Positive ideas to a system which does not need them. These ideas have been presented a many times in the past but the system which was to utilise for economic growth so that the country could have made developments fell in the deaf ears, thus the best brains this country has end up unutilised.
@albertomwapinga45652 күн бұрын
Hongera sana ndugu
@kibobomanguvu2 күн бұрын
Hizi ndio akili zinazohitajika tatizo huwa zinagopeka badala ya kulindwa ukinihitaji kwenye utafiti nipo brother
@mariahaule2972 күн бұрын
Naomba mawasiliano ya huyu wakala
@njbtv29822 күн бұрын
Nipigie 0766880828
@humphreyhassan81972 күн бұрын
Kama ni habari za kweli ni njema sana
@KhamisChaz-td4nz2 күн бұрын
Hawa ndio watu wa kupewa nafasi kwenye kamati kuu ya maendeo Taifa mawazo kama haya ni dhahabu watanzania tumefanywa machinga wa kuuza bidhaa za wazungu faida wanapata wao halafu bado tunakwenda kukopa kwao
@user-eq9lw9ju1l2 күн бұрын
Hii kichwa inafaa kusaidia mipango ya kusukuma taifa rais mpe nafasi ya mipango ya juu ya nchi. Kinamanaibu na wengine walioshika nyadhifa Sasa wanauwezo mdogo sana na hawanatija ndani yanchi toa hao wanatipotezea muda nakurafedha za nchi bila faida.
@westerntanganyika2 күн бұрын
Msukuma akielimishwa umelielimisha taifa
@user-fj4kj8xc5x2 күн бұрын
Asante kwa uwezo wako katika kuhuisha fikra zilizo kufa na kuleta mtazamo Chanya kwa maendeleo ya taifa letu
@mwasoprince34592 күн бұрын
Huyu jamaaa utafikiri amesoma uchumi, very worth ideas
@mwasoprince34592 күн бұрын
Nimesoma biashara huyu jamaaa anamawazo yenye faida mnooo
@peterbalyagati78342 күн бұрын
Swara la pili, biashara ni kipaji kama unavyoona mwana michezo nk, hicho kipaji lazima kiwe rohoni mwako, sio kitu cha kujifunza, kujifunza kunatakiwa kwa asilimia 30 tu
@peterbalyagati78342 күн бұрын
Maoni mazuri,maoni yangu mambo 2, nimetafautiana na wewe, swala la viwanda, vigezo na mashariti ya kukuza viwanda mfano umeme, rasilimali watu, sheria gandamizi kuhusu viwanda, hazikupi kufanya kazi kwa huru
@innocentlusajo93033 күн бұрын
Farao akawaambia watumwa wake, Tupate wapi mtu kama huyu, mwenye roho ya Mungu ndani yake?
@selemanmussa34593 күн бұрын
Nchi za kiafrika tabaka la uongozi limesheheni watu wasio na uwezo wala maono. Kwakifupi nchi hizi zingekuwa hazijawekewa mifumo ya utawala na wakoloni zingekuwa zimeshajifia na kupotea. Kuna muda unatamani wakoloni warudi tena maana vitu walivyoviacha ndio vinatumika hadi leo. Waliacha madini chungu nzima ila leo tunagawa na kufilisi bila kujali kesho itakuwaje. Mamlaka zinaharibu biashara za watu kwa utitiri wa kodi 2:36. Hadi unajiuliza hivi kwa akili ya kawaida tu ukiua biashara ya mlipa kodi kwa matozo na makodi hata yasiyo fikirika utatoza wapi tena kodi? Vijana wengi wanatamani kufungua biashara ila fungua uone balaa la kodi na tozo hadi za kuvuta hewa. Watu wanasema, wanalalamika, wanashauri lakini hawasikilizwi wala kuzingatiwa. Tunajiuliza au ndio shida ya watawala kufanya biashara wakiwa madarakani? Ngoja tuone mwisho tutaishia wapi. Nchi za wenzetu tunaowaiga na kuwatolea mfano wanalinda biashara za watu zisife kwasababu zimeajili na zinalipa kodi. Sisi tunahangaika kuangusha biashara hizo. Jamaa anaongea kwasababu ana exposure ya maisha, ametembea akaona na kuthibitisha mifumo ya Elimu kwa nchi zetu ina makosa na inatakiwa ifanyiwe marekebisho makubwa na ya lazima ambayo ni shirikishi, siyo watu wanajifungia ndani wanaanzisha tahasusi za dini, dini ya kigeni inakusaidia nini karne hii? Tumerogwa na aliyeturoga ameshakufa.
Ki ufupi huyu mtu amenigusa mawazo yangu niliyonayo, niliwahi kumwambia mtu aliekuwa anasema yeye ni msomi na muda huo akiwa ameajiliwa, nilimwambia hivi, akanitafutie professor yeyote wa kitanzania ambaye ana maarifa na ujuzi wa kutosha kwamba nikitoa button ya remote halafu professor huyo kwa kutumia elimu yake akatafute material sio ya kununua ayatafute na atengeneze hiyo button ya remote, akiweza aje nimpe milioni Moja, mpaka Leo hajawahi kurudi kuniambia huyo professor amepatikana, kiufupi tunahitaji sera imara ya elimu, biashara, teknolojia na Sheria za nchi zenye kulinda mifumo ya biashara na ulipaji sahihi wa Kodi.
@ConradMbuya-hl7nq3 күн бұрын
Mawazo chanja sana haya.Je, tuna masikio na nia ya kuyatekeleza?
@danielshimora53153 күн бұрын
Mpango mzuri Sana 2025_2050, watanzania tuelimike tuache polojo. Twende Kwa vitendo Mama Samia Hoyee,
@njbtv29823 күн бұрын
Hii kazi huwa inanibariki sana
@njbtv29823 күн бұрын
Yes keep on sharing this content
@peterchristopher52163 күн бұрын
Point nzuri ila siku nyingine chana nywele mzee.
@fahadfaraj64742 күн бұрын
Unaona sasa fikra zakichawi na kijinga unaacha kusikiliza vitu vya maana unaanza angalia vitu ambavyo havina msingi kuchana Kwake nywele kungebadili nini alichosema, Kuna vichaa wangapi wanaovaa suti na kuchana nywele jee imewafanya wawe wazima
@user-wj6zj1ly4e3 күн бұрын
Huyu jamaa nimuweke wizara gan ili aweze kutunga sera na mipango ya kulikomboa taifa kiuchumi, naomba mawazo ya wanainchi ili nimuweke awe katibu wa wizara au wazri.
@innocentmushi30363 күн бұрын
Watu wenye mitazamo ya kimapinduzi kama hawa ndio wanatakiwa wamshauri Raisi sio hawa machawa na vishoiya wengine.
@athanaskipeto5723 күн бұрын
Kumbe watu wenye upeo na mayo wa uzalendo bado wapo shida ni kuwa ona na kuwa tumia
@section8ight1743 күн бұрын
IQ HAS BEEN PROVEN TO BE FAKE YEARS AGO!! HOW YA’LL USING THAT AS A CRITERIA FOR INTELLIGENCE IS WORRISOME!!
@siphermfalamagoha80003 күн бұрын
Kazi iendeleeee
@obedmasaki35653 күн бұрын
Namshukuru MUNGU Kwa watu kama hawa ktk nchi yetu, kadri wanavyoongezeka nchi yetu itabadilika. Waondoke watu wenye fikra mgando ktk uongozi na wabinafsi Nchi na Taifa tupone.
@saviomlelwa4 күн бұрын
Huyu jamaa ana maono na ushauri mzuri sana kuhusu nchi. Apewe nafasi kubwa katika nchi anaweza akaleta mabadiliko makubwa kwa mawazo iliyonayo kama ana commitment nzuri. Ni mtu muhimu.
@mossyfimbo35772 күн бұрын
Kama na yeye hajawa mwizi kama wezi wengine kwani hayo anayoshauri unafikiri hawayajui wanajua saana ila wameshikwa na mapepo ya wizi na hofu ya Mungu imewatoka hata apewe sasa hivi hamna atalofanya ujikaa na wezi na wewe utakuwa mwizi vile vile Mama anatia Imani masikini kasema wizi mpaka kachoka hakuna hata aliyekamatwa Mama yeye kasema watendaji walitenda kimya mpaka leo