Du dunia hii mungu atupe mwisho mwema to inshallah pole sana bab
@festinamwakipale39193 күн бұрын
Watakamatwa mapepo
@neyjohn9233 күн бұрын
Pole sana hizo ni dalili za ugonjwa wa akili.asaidiwe matibabu
@manmaster5364 күн бұрын
Kazi ipo
@TamalyMichael5 күн бұрын
Ooh mzee wetu jaman😢😢
@Gsamir6945 күн бұрын
Tunamuomba Sana mh docta tulia ackson awasaidie matibabu haraka
@Gsamir6945 күн бұрын
Tunamuomba Sana mh docta tulia ackson awasaidie zaidi
@Gsamir6945 күн бұрын
Safi Sana
@user-help0465 күн бұрын
Utaushi maisha marefu bonny mwenye kufanya hivo anafanya mungu akuogeshe maisha ya kuishi dunian sana tunakupenda sana wakenya 🇰🇪 🇰🇪 ❤❤❤❤❤❤❤
@dignakanje45085 күн бұрын
Hyo anadamu yawizi tu,jmn mkiwafinga wanatoka tu,nikuwapoteza tu wapungue.wanatesa sana jamiii.Wanauwa sana raia.
@annanamuyala5 күн бұрын
Mumewadekeza ndiyo maana wanafanya hivo kumutamukia mtu kifo nimbaya sana
@godfreyobadiah78925 күн бұрын
Ni kuwapuuza tu ndio dawa yao !
@godfreyobadiah78925 күн бұрын
Dunia gunia !
@VennyMussa5 күн бұрын
Poleni familia ya kahawa
@EmancipateGodfreyKishimbo5 күн бұрын
Ushauri wangu waimbaji nyimbo za injili ongeze kiwang o Cha kumtafuta Mungu uwepo
@EmancipateGodfreyKishimbo5 күн бұрын
Nipo kenya Watu wamestuka sana Mimi nishangaa sana mama na baba poleni namshutuko bony
@RAIVONMWAKALANJE6 күн бұрын
Mungu amsaidie aendele kuishi salama
@OMEGATVTANZANIA6 күн бұрын
1:26 washindwe kwa jina la Yesu kumzulia mabaya kaka angu
@VumiDavid-lo1cl6 күн бұрын
Waimbaji Muombeni sana mungu awainue kiloho kufa sio kimwilili tu hata kiroho, hao wanao wazushia kifo fungeni na kuwaombea mungu atawajibu katika maisha yao vita vyetu si vya damu nanyama bali ni vya kiloho.
@judithtitomalyeta40006 күн бұрын
Kwann awakamatwi mwenye dhamana shughulika nayo jamani
@mwaupinailejeyetu6 күн бұрын
walaniwe nimelia mpaka basi
@wambuievelynwaithira6 күн бұрын
Bonnie ataishi maisha marefu
@KilonzoJohn-mg7cw6 күн бұрын
Kumbe mbea bado mko nyuma kiasi hiki ee yesu okoaa taafa hili mungu okoa watu hawa
@KilonzoJohn-mg7cw6 күн бұрын
Huyo babu ni chawa tuu hana chochote mnatapeliwa
@KilonzoJohn-mg7cw6 күн бұрын
Muambieni atoee hayo manyele niaabu kama mnaviongozi wanamna hii mmeisha mbea
@KilonzoJohn-mg7cw6 күн бұрын
Sasa huyu ni kiongozi gani mbona tanzania tuna ujinga mbona mbeya mmesoma mnakua na watu wa namna hii sasa huyo mbona nikama kichaa mbeya mmekuaje huyo ni chifu wa kuzimu
@user-cp9wp4qy3n7 күн бұрын
Mungu ni mwaminifu 🎉🎉
@shukrangideon29817 күн бұрын
Ingieni kumuombea na kufuta maneno yanaumba
@WilykistaMasas7 күн бұрын
Pole sn kaka mungu akutie.nguvu
@RoseKasichana7 күн бұрын
Hii niroho ya mauti na nilipepo lichafu sana uzae kwa uchungu tena uje uwaue akky inauma kwa Mungu kunausalama natuwe pole sote
@Aminmwansile-we8vn7 күн бұрын
Pole sana mzee mungu amwongezee maisha marefu boni mwaitege
@user-mz5mo9gz1h7 күн бұрын
Pole sana kaka
@user-sx1xi4yb2z7 күн бұрын
No comment,,zaid ya kuwapa pole tuu
@user-cq5ox6uo6o7 күн бұрын
mh makubwaaaa
@KidaNtandu7 күн бұрын
Duuh
@twiseghekisilu88457 күн бұрын
Wazazi msikae na watoto wakiume wakishakuwa watu wazima kesi za mauaji ni mengi
@SumaiyaWambui35007 күн бұрын
hyo c kawaida something is behind this 😢😢mungu awafariji