Shetani anamtanguliza Mungu katika kila neno analoongea. Ama kweli Mungu ni zaidi ya shetani, na shetani mwenyewe huyu hapa katuonesha ukuu wa Mungu 😂😂
@AminaTmooКүн бұрын
Aweee
@BONGOLANDTANZANIA-ux7uoКүн бұрын
TAREHE 8️⃣ SIO MBALI by M'BONGO
@danielleonard32592 күн бұрын
Mnazingua sanaaaaaa😢😢😢mnatuletea upigaji Sana yaani ingekua mnabomoa mnajenga upya tungewaelewa lakini inabiti serikali ijitasimini
@chiefnumborecords48193 күн бұрын
Sisi tunakufunga mdomo Kwa kuwashona magoli mengi ili ukimbie kama unavyokimbiaga na mwaka huu utajifisha wiki mzima wewe ngoja muda ufike domo Hilo litakuwa kimyaaaaa
@chiefnumborecords48193 күн бұрын
NA TUNAWASUBIRIA TAREHE NANEEEEE MAANA WEWE KAZI KUTUBANIA PUA TUU
@chiefnumborecords48193 күн бұрын
Kwenye kununua tiketi mashabiki Wa SIMBA awana mashaka je wewe msemaji Wao ukisha whi kuwahaidi mambo mazuri wakayapata maana timu yenu mbovuuu huna LOLOTE wewe watu wanaitaji ubunifu WA Hali ya juuuu siyo Kila siku msanii huyo huyo nyimbo hiyo hiyo aaaaah mnaboa bhana
@marymoshi5723 күн бұрын
Yani leo umeongea point moja ya kisomi sana
@MRCARGOTZ3 күн бұрын
Ubaya ubwela
@BakaryOmally3 күн бұрын
Hapo nimekuelewa japo mi ni yanga ila msanii asipitilize ktk ushabiki
@empafricatv3 күн бұрын
Waache Siasa😂😂😂
@josepahatmargwe65044 күн бұрын
SUPU FC mnateseka , APR ni buridani hatumtaki kuamsha misuli
@empafricatv4 күн бұрын
Ila Ahmed 😂
@SidatiKulanatz4 күн бұрын
Kikeke
@dubai85945 күн бұрын
MRUDISHEMI MZEE BABA KIUMANE FASTAR KIUFUPI NIMEMIS MTU WANGU WA MOYONI MR MZEE BABA JPM😢😢😢😢😢
@loishiyesamwel13745 күн бұрын
Ohoo huu Utakuwa msala kwa hawa Azam washereheshaji
@thadeylyimo97725 күн бұрын
Azam @ atatoboa kweli kwenye CAF
@johnlucasmalekana11895 күн бұрын
😂😂😂 wawe makini sisi tunasubir kiwacheka tu
@DenisRukangula5 күн бұрын
Yaani simba mmekosa timu Hadi mmechukua hiyo APR
@InnocentMwakyange5 күн бұрын
Sasa kama simba ni mbovu kuliko Apr basi ifungeni gori hata kumi kwa 0,maneno yako weka na akiba
@user-yh3dv2bl7u5 күн бұрын
Karbu Simba tuko tayar kwamapambano na Apiara
@user-kz6ib1hf6l5 күн бұрын
Kwa hiyo wanaweza simba wakachukua mkono au imekaaje hapo semaji
@romanambelle63565 күн бұрын
Kwa hiyo mmeshazoeana haya😂
@Kelvinjoseph-jz7kq5 күн бұрын
Zanzibar inapendelew san Na bad hawakubl muungano.,,Na wa2 wake wacahche san,lkn nyerere angeyajua haya musoma 2singekuw nyuma ivo,
@Kelvinjoseph-jz7kq5 күн бұрын
Angekuepo jpm afcon ingefanyika Tanzania2,,,viwanja vingejengwa chap
@Kelvinjoseph-jz7kq5 күн бұрын
Angekuepo jpm afcon ingefanyika Tanzania2,,,viwanja vingejengwa chap
@Kelvinjoseph-jz7kq5 күн бұрын
Imekuaje bara ujengw uwanja 1,,,na Zanzibar 1,,, Kun mwanza inawa2 weng kuliko Zanzibar Au mmelenga utalii2,,,mnamahotel Zanzibar Na arush yafaidike hayo2?
@masumbukomaganga4386 күн бұрын
Nchi hii watu wanavisingizio sana kama vipi hao simba na yanga waambieni wasiutumie ili mmalize haraka, nyie bwana porojo tu, angalia uwanja wa Rwanda umejengwa kwa viwango vya kimataifa yaani saizi afrika mashariki uwanja bora ni wa Rwanda halafu nyie mnabaki na visingizio tu daaah😂😂😂😂
@user-zu8ou2oe4c6 күн бұрын
Hzo ni propaganda tumezizoea mnaongez muda kwenye mirad yote hata kama hakuna dharura
@dahlainismail68378 күн бұрын
Utapeli tu kuoga aaah
@salminasalim56309 күн бұрын
Safi sana mko sehemu gani ya DSM?
@jumannemohamedy14569 күн бұрын
Je na ile eneo lilio tengwaga pale Dodoma la uwanja mkubwa ulikuwa ujengwe mmefikia wqpi
@dittolytotz42859 күн бұрын
Wa kwanza kulike jamani mnipe maua yangu
@helenarhobi125010 күн бұрын
Ila Salim nikwambie ukweli wewe ni kipenzi changu tangu ukiwa BBC ila kusema ukweli hayo madevu yamekuharibu vikubwa bro kwani umekuwa Kama Alkaida yaani unatisha badala ya kuvutia kiukweli!!!!
@tupikepamoja984510 күн бұрын
HIYO YA DIASPORA IMEANZA LINI? NA NINI UNATAKIWA KUFANYA
@empafricatv11 күн бұрын
Fundi kikeke
@tanzanite994412 күн бұрын
Ule uwanja wa DoDoma wa capacity ya 100,000 ungefanikiwa kujengwa ingeipaisha TAnzania sana kimichezo.
@tanzanite994412 күн бұрын
Uwanja wa Arusha uoongezwe Capacity kufikia 60,000 na sio 30,000 ya sasa. Atu waangalie mbele kuwa population inaongeeka sio kwamba itabaki milioni 62,000
@wilsonjaphet55474 күн бұрын
Wameangalia mhamko wa Mpira Kwa Arusha, ni kawaida Sana
@sleifikhajjir26213 күн бұрын
AIBU HAMUNA MZANZIBAR HATA MMOJA KISHA MUNAJIITA TANZANIA ACHENI UBAGUZI UO.
@user-vv9wb9he2x14 күн бұрын
Wewe ni family Respect
@JohnIshabakaki14 күн бұрын
Aise vp watu wengine wanaweza kutambulisha kampuni zao kupitia hii Ni Tar nfapi hili tukio
@user-je7gr4jv8o15 күн бұрын
Acheni utapeli tengenezeni viwanja
@honestyerasto15 күн бұрын
Hivi ni kwanini huu uwanja utumike wakati kuna viwanja vingine. Kwani kabla ya uwanja huo mbona yanga na simba walikuwa wanacheza.
@George-dw7fu15 күн бұрын
Siasa tu mkilala mkiamka mnajiuuliza leo tukawandanganye vipi hawa wajinga otatizo michezo inachezwa hapo uwanjani kwanini msijenge viwanja vyakutosha mfano kilumba kwanini msiukalabati ukakizi vigezo kisha hizo timu unazosema zinacha hapo mkapa zikahamishwa mpaka ukabati ukamilike shida ya nchi hii viongozi huwa wanawaza kuiba mali kuliko kulitumikia taifa
@user-pw7xj2fn8l15 күн бұрын
Huo uwanja badoo mbovuu njee una sura mbaya km zizi la ng'ombe na umepaukaa sana..kaangalieni amahoro rwanda 🇷🇼 na mandela uganda 🇺🇬 walivyo up grade their stadium...apa tz B31 zimepgwa kweupee...tz bado kichwa cha mwendawazimu..achenii siasa
@gibrilmongi564616 күн бұрын
Karibu mkuu, PUNGUZA KUJIELEZA KAMILISHENI UKARABATI, SISI NI SOKA ,KAMA KUNA VIKWAZO, MHE RAIS WETU SSH AJULISHWE , SISI TUNATAKA MPIRA KWENYE VIWANJA BORA
@Tee-King16 күн бұрын
Tatzo kubwa la wakandarasi wa TZ 😅. Kila kitu lazima kichukue miaka na kiwe nusu. Mwendokasi,maharaja,barabara,majengo yani kila kitu lazima miaka 2 mpaka 5.
@batromeokolora62216 күн бұрын
Mwanza kanda ya ziwa ndiyo kunaidadi kubwa ya watu mikoa mwanza kagera geita tabora kgoma
@abdulyhassan374217 күн бұрын
Shida ya Tanzania ni siasa vitendo hamna maneno mengi shame on you
@VedastusMathew17 күн бұрын
Ongeze viwanja vya kutosha ligi yetu imeshakua kubwa