Naona mpira unaenda kupoteza ladha Bora tuamiye katiba na siasa maana tff wanataka tunune tuu haujui mpira na VIONJO vyake duh ACHA tuhamie upande mwengine maana maishaagumu pesa ziro tozo nyingi huku kidogo kukitupoza lkn ndo hivyo
@user-wk2bg8zf3l45 минут бұрын
TOKA MANARA SISI MASHABIKI WA YANGA HATUKUPENDI TOKA ZAKO😂😂😂
@lovegodmunisi1006Сағат бұрын
Yanga mmejiloga kumpa haji kazi ya huyu jamaa,. Waliendana na Hamed ila nyie mmekosea
@MichaelkahemelaСағат бұрын
Msitupangie
@barakamusapolekidoti957Сағат бұрын
Ali kamwe anafaa kuwa msemaji wa yanga akiwa na mohamed Ally msemaji wa simba wananogesha utani wao ila sio mzungu pori
@jarufuyahaya3338Күн бұрын
Nyani aoni kundule je Simba akupewa penati ya mchongo
@ismailyaru679Күн бұрын
Hawa marefa Hatuwataki tuna taka ligi iwe ya haki
@ismailyaru679Күн бұрын
Mwamuzi huyu hafai kabisa hata kuchezeasha ndondo Tff mungalieni Asije kutuharibia ligi
@MumewanguКүн бұрын
Ameongea vizuri
@saadomar2480Күн бұрын
WANASHINDA HADI WAPEWE CARD NYEKUNDU.
@Ibrahim-ne3inКүн бұрын
Uyu jamaa sio mnafki anapiga tu jez yake
@maestro9618Күн бұрын
Na hajifichiii
@davidwatson6821Күн бұрын
Kazi nyekundu, penart ! Kituko kweli!
@LeahMwemeziКүн бұрын
Sio ww tu ata mm ninaondoka na mwamuzi kazi ngua sana kaalibu bonanza lawatu kachezesha kisiasa na kishabiki
@allyally1077Күн бұрын
Ww unajua
@abubakarishariff8489Күн бұрын
Ubaya ubwela Simba nguvu mmoja yanga wamebebwa
@user-xd4lu1xl6cКүн бұрын
Mwamuzi ni gsm
@user-xd4lu1xl6cКүн бұрын
Chama supu imemlevia
@KhayruniMussaКүн бұрын
Nakubali sana farhani kiam
@mdanzihoseni7250Күн бұрын
Safi sana well say.
@emmanuelmayunga1518Күн бұрын
Machaaaaa😅😂😂😂😂
@NaomiMichael-lr2nyКүн бұрын
Macha😂😂😂
@RaymondLuvingaКүн бұрын
Ubaya ubwela
@mtmarchcontempoКүн бұрын
Kama Semaji wew kwa vile tangu uingie hapo Simba timu haijapata hata Kikombbe cha Kahawa. Content hakuna kwa hiyo 90% ni Comedy
@jascinthakameleki1042 күн бұрын
Hakuna jipya kiukweli. Sioni shamrashamra.
@WaridiErasmo2 күн бұрын
Akuna chochote utopolo tu
@lethisiapatrice24812 күн бұрын
Leo kitanuka 😂,👍💪
@SamwelCreator2 күн бұрын
Hakuna mpya matapishi ya maji ya supu. Na vitenge basiii😅😅😅
@LennyJay-nk4ot2 күн бұрын
From Kenya....hongera yanga#azizi ki
@rashidmziray2 күн бұрын
Hatuna muda na m 0:03 ashoga
@rashidmziray2 күн бұрын
Jana my wetu mmemaga leo madume tunawalika mje kula karamu solooo
@user-eg9ri8ph1f2 күн бұрын
We huogop
@samwelikessy2 күн бұрын
mh mtapoa tuu
@ShabaniMwaijulu2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@EriudMpita2 күн бұрын
Kwanin simba jamani mnataka kutuua au simutwambie jamani
@AsiaMohamedy-w6o2 күн бұрын
❤❤
@alexmasinde24712 күн бұрын
UBAYA UBWELA 💪💪💪💪💪🦁🦁🦁🦁🦁🦁
@JumaChikota2 күн бұрын
Nauwanjn inabdi ufanye hayamamb kk
@KissaMwakilembe3 күн бұрын
simba nguvu moja❤
@KissaMwakilembe3 күн бұрын
simba nguvu moja❤
@KissaMwakilembe3 күн бұрын
simba nguvu moja❤
@IbrahimNgolwe3 күн бұрын
Wap0
@user-tg7vq3ty8p3 күн бұрын
Kuna jitu linauliza hiyo sold out mbona kuna viti viko empty. Mfundisheni aone ni muda gani (saa ngapi) hii picha ilipigwa na muda yeye anapoiangalia. Halafu atazame nyomi la watu walio nje ya uwanja waliojipanga foleni kuingia ndani ya uwanja.
@JuhudiJotham3 күн бұрын
Hakika mtani umeitendea siku yako vema,hongera
@user-sn9nm1wu9j3 күн бұрын
kwani uwanja unaingia watazamaji milioni 80 mbona viti vipo vitupu
@nuratothman5443 күн бұрын
Kwani saa ngapi pila jamani tunawapata kutokea omani❤❤
@AbdullrazackHussein3 күн бұрын
Hiyo ndy maana halisi ya ubaya ubwela kama umekubali gonga like hapa
@nuratothman5443 күн бұрын
Ubaya ubwelaaa ❤❤❤
@arafatmaneno28383 күн бұрын
Kama hauamini sold out ingia mtandaoni ununu tiketi, jukumu la kujaza uwanja wanalijua wanasimba wenyewe nyinyi UTOPOLO kazi yenu nongwa kutaka kushindana na kila kinachofanywa na Simba, matamasha tumeanzisha sisi nyinyi fuateni tunapopita tu