sasa kati ya QASSIM MAFUTA na TAALIBAN nani wamenyooka ?!! Watu wamesimamisha KITABU na SUNNA na wameshika DOLA, wamepigana na AMERIKA miaka 20. Utajifananisha nao ww QASSIM MAFUTA jasusi.
@YusuphSadikiКүн бұрын
Komeni masufi nyinyi ni wazee wa ubwabwa hakunakitu hap na nimajitu mavivu na utayajua kwenye mauridi
@HemedAbdullaSuleimanКүн бұрын
Sasa iyo Qur-an na Hadithi tufuate kwa ufahamu wako? 😂😂 Lazima tufuate kwa ufahamu wa wanawavyuoni... Kwa iyo ikitokea wanawavyuoni wamekhitillafiana hata uyo unaemfuata wewe anaweza akawa ndio amekosea... Ndio mana mnatoa hukmu za ajabu ajabu
@ABUUBAAZNYUNGUКүн бұрын
Sio kila muda wanachuoni wanapatia....kuna muda mwanachuoni anaweza akatumia akili yake,akiwa labda hajui hadithi husika....Kwo kuna haja kubwa ya kurudi katika Quran na Sunnah kama kuna Ikhtilafu......Kama wote wametumia dalili basi hapo ndo inaweza ikapatikana udhuru wa kila mtu kufuata kile anachokiamin
@ABUUBAAZNYUNGUКүн бұрын
Mfano hakuna dalili inayoonesha kuwa Maulid ina Swihi...sasa unapokuja kusema kuwa hilo swala lina ikhtilaf wakat hakuna dalili lazima tukurudishe katika Quran na sunnah
@YusuphSadikiКүн бұрын
Mashaallah ya akh eee ndo waache ushabiki ktk dini hao masufi@@ABUUBAAZNYUNGU
@KaramaKarama-jm7qoКүн бұрын
Mashaallah Sheikh Abdallah,hawa masufi wana mapya mapya kila siku.Dah enyi masufi niwaulize HAMUCHOKI KUZUA?
@mhusinigau32312 күн бұрын
Huyu ni jaahili murakabu hakuna shehe hapa ila Kuna jitu jinga
@user-mf5xp1nf4j2 күн бұрын
Huyo salafi gani😂 wata kauli ya swahaba ambayo iko muyawatir kwa kufata kauli ya ibnu koyyim ambae ni mwanachuoni wa karni ya 8-9
@mafiatv54792 күн бұрын
Huyo kila siku vijembe tu, tushakuchoka fitna mjinga wewe,,, bas umesoma wewe, watu wote hawakuaoma wewe peke yako una ilimu dunia mzima
@pavillioncry52412 күн бұрын
Nenda uko
@j4amas53 күн бұрын
Huyu ndio Abuu Hashim aliyetolewa makosa ustadhi Muhammad Bachu?
Wewe nae uko mbali na masaail ya dini, kwa hiyo mpaka leo hii hujui kama talibaan wako katika twariqa ya kisufi? Au unadhani twariqa ya kisufi mpaka ufanye tawassul, khitma na mawlid?
@nyatya1993 күн бұрын
Baadhi ya watu hawajielewi pamoja na kusoma kwao , hebu msikize huyu Jamaa anavyotapika
@ahmedalamoudy67803 күн бұрын
Lazimaa tulete wazi ma sheikh ambao wanadhalalisha watu na wanawapotezaa kama sheikh yusuf Abdi na Dr.islam na wengine ..Siku hizi imekuwa kurekibisha waislam wenzaku ngumu zaidi kuliko kusilimisha kafir
@sultanmohammed41574 күн бұрын
Huyu anae zungumza sio shekhe ni mtusi hawa ndio want tutia moto na kututoa pep0ni.Mjinga katika dini yake.
@user-cy1od5xr8x4 күн бұрын
Ukiona mtu anajifanya anajua Kila kitu ujue hajui maana hakuna mtu aenajua Kila kitu kama masalafy hakika Hawa ni majahili wa zama hizi wanaowapoteza watu wasiojua kitu na hizi zama ni zama za fitna na fitna kubwa Hawa masalafy na maanswari kazi Yao wao matusi na kashfa na kujiona na kutamba kuwa wanajua Kila kitu wao maadui zao wakubwa ni waislam kuliko Mayahudi na wakristo na washirikina
@loveyourneighbor2045 күн бұрын
Watu Hawa khatari mno Wapata wapi ujasiri wa kuogea maneno ya uwongo Allah atunusuru
@AlhajiMswaki-de3kb5 күн бұрын
Duh nyie mawahabi mtihan
@KishkitvAhmad6 күн бұрын
Deixem o nosso sheikh em paz se bem você estudou então procura a ele,para se enderretar
@KishkitvAhmad6 күн бұрын
Wewe ndio sie soma kishki kasoma,zaidi paada ya kumtafuta,jadiday mbayae usie fundinza adabu,muache sheikh wetu kishki usitie dosari.from Moçambique 🇲🇿🇲🇿
@abulhakim22946 күн бұрын
Alafu mtume s.a.w. asema mtu mnafiq katika alama zake moja wapo akiongea ni lazma aonge uongo na ww unaonekana nikatika haao wanafiq. Mm sijawahi hata siku1 kumuona sheikh yusuf akisoma maulid, japo hana vita na watu wa maulid wola hana vita na watu walio ikhtalifiana na yy. Nahii nikuonesha huyu mtu anajua adabu za kukhtalifiana na wenzake. Ikhtilafu sio vita wola chuki. Ww unachuki na sheikh yusuf hadi unaongea uongo na kusema yy ni mtu wa maulidi astaghfirullah
@abulhakim22946 күн бұрын
: أَمْ يَحْسُدُونَ ٱلنَّاسَ عَلَىٰ مَآ ءَاتَىٰهُمُ ٱللَّهُ مِن فَضْلِهِۦ ۖ فَقَدْ ءَاتَيْنَآ ءَالَ إِبْرَٰهِيمَ ٱلْكِتَٰبَ وَٱلْحِكْمَةَ وَءَاتَيْنَٰهُم مُّلْكًا عَظِيمًا Hasad ndio zawa sumbua nyie , mwenzengu sheikh yusuf Abdi watu wamempenda kwasabbu ya mapenz ya mngu, nyny ni vikundi va kishetani munao jiita Ahlu sunnah au salafii, hakuna sunnah ya kutusi watu , mtume s.a.w. hajawahi mtusi hta kafiri wacha muislamu au mtu anae fanya daa,wah ati mwajiita mashekhe shekhe gn anatusi watu , dunia ya leo nani hajui kama sheikh yusuf ni msomi, mm cjawahi onana na yy ana kwa ana na niko hapa hapa kenya lkn Alhamdullah mngu amenipa mapenz ya kupenda watu wema na mashekhe ikiwa sheikh yusuf ni moja waao kati ninao wapenda.
@RamaIssac6 күн бұрын
Shehe ww ndo unakosea usimwambie mwenzio hajasoma icho chako ni kibri unachofanya yaani tukuone ww ndo umesoma kumbuka dharau mbaya sote tunaimani moja kwa Allah sasa ww unatuletea nn tukuelewe
@coyancodavao40046 күн бұрын
Wewe ndio mjinga kabisa
@coyancodavao40046 күн бұрын
Umadhehebu
@rushu12326 күн бұрын
Nisunnah sio fardhi yaweza kuwa sunnah muaqada laki I sio fardhi musipoteze watu.
@Thabitilubunani6 күн бұрын
Kasome kunyowa ndowa haifai unaingia kwenye milango ya sunna
@rushu12326 күн бұрын
@@Thabitilubunani hakuna mahali hata pamoja imandikwa ni fardhi ukiweka utapata thawabu na ukinyowa hupati dhambi.
@ismailmohamed416 күн бұрын
ALLAH ATUPE HIDAYA SOTE. SUNNA NI MAAMRISHO YA MTUME AMBAO NI WAHYI. WEMA WOTE HAWA KUWA WAKINYOA NDEVU KWA SABABU NI DHAMBI. FUNGA NDEVU NDIYO SURRA YA MWANAUME NA UPATE UJIRA KWA ALLAH. BARAKA ALLAH LAKUM
@rushu12326 күн бұрын
@@ismailmohamed41 mimi nafunga ndevu nafuata sunnah Alhamdulliah lakini haqqi lazima ifahamishwe kuwa ni sunnah na sunnah sio ndevu tu yawzekana asieweka ndevu akawa na sunnah zengine nyingi kushinda anaeweka ndevu twendeni na humu ya jambo.
@mhusinigau32316 күн бұрын
Wema wote walikuwa wanasunna nyingi sana lkn hiyo imekuwa km alama ya vijana wa kiwahabiya na mashehe zao lkn Sunna nyingi na Kuna nyingine hufanyi sasa wewe unachagua Sunna za kufanya!????@@ismailmohamed41
@Saidy-eu1hc7 күн бұрын
Ww shekhe haupo sawa msafi sana kaambae upo pepon
@Hunger3887 күн бұрын
Sasa huu ni ufudhuli kumwita sh Izudiin sh wa Jamaica hu ina inaonesha ukosefu wa Adabu na kutomfuata mtume muislaamu hafaai kutukaana wa la kuvunjia watu hishima kama ni kimkosowa mtu basi fanya kwa hishima wala sio kwa kumtukana kumvunjia heshima na Kum kejeli natumai mtafahamu bi iznillah
@AllyAllyKupaza7 күн бұрын
Wahabi bwana nimtihani pole sana sheikh
@azizaj7767 күн бұрын
WOTE washirikina hata Salafi na kiskish WOTE washirikina
@KhadijaAlly-wf6wx7 күн бұрын
Subhanaallah Allah akuhifadhi nilikuchukiaga lkn asaiv Nakupenda kwaajili ya Allah
@bakarimwerangi-zu9bs7 күн бұрын
Walatajassasu
@KhadijaAlly-wf6wx7 күн бұрын
ALHAMDULILLAH KWA ALLAH KUNIJAALIA KUFUATA NJIA YA WEMA WALIO TANGULIA
@abunajreenELSESANY7 күн бұрын
QASSIM MAFUTA ni mtu wa QIBR, ni mtu wa KUJIKWEZA na ni mtu wa FITNA.
@abunajreenELSESANY7 күн бұрын
KADRI Siku zinavyozidi kwenda ndivyo nazidi KUMDHARAU QASSIM MAFUTA
@misbahukhalifa32168 күн бұрын
حسبنا الله ونعم الوكيل ولاحول ولاقوة الابالله العلي العظيم. Kutukana watu ndio Dini na Dunia. Tieni akili ustadh usijimakinishe .
@abusabirhassan18448 күн бұрын
فلا تزكو أنفسكم هو أعلم بمن التقى
@KASSIMSAMAMBO8 күн бұрын
Allah anaweza kytuondosha soote na alete viumbe wapya
@KASSIMSAMAMBO8 күн бұрын
Yan sufi huyo ni mjinga wa mwisho anaetegemea watu kua bila wao hatuishi mbwa yeye hafikirii vizuri anahisi allaah hawezi kuumba watu wengine ni nani
@ABUUALLY-ch5jr8 күн бұрын
Kwahiyoo akiwa hakusoma dini wala Dunia sisi tukufanye Nini ? Basi mpe mkeo amsomeshe dini mbwaa wewe wa kiwahabii
@salimobeid14709 күн бұрын
We ndo ulosoma kwa sample hio hasara yako ndugu yngu ogopa Allah we acha dunia isikughuri usione kua Allah anakufurahia rudi katika njia we usivunje hishma ya mtu
@suuahmed719 күн бұрын
Mawahabi ndio wale alowasema MTUME s.a.w ni vizazi va yule Swahaba aitwae Dhulkhuweswira. Alie mkosea adabu MTUME s.a.w kumwambia MTUME s.a.w hafanyi.uadilifu. ndio hawa wenye kukosea adabu mashekhe
@habibswaleh_tv87679 күн бұрын
Hamuna kazi za kufanya....tena nyinyi ndio munaitwa masheikh balaa sana
@user-ie3lw9eb6p9 күн бұрын
Saaa wewe wenye ulisoma unamzidi nini bona wewe ndiye unaonekana hujasoma .ungekuwa umesoma ungemutafuta mkaongeya kisiri . Abdi yusuf John ni mzima kuliko wewe .chuki yako kwake ndio inasababisha useme urongo wenye hauna kichwa na migu . Nashanga watu wenye wanakufataga wewe Abuu hashim
@huseintajo811310 күн бұрын
masufi ni watu wazushi na wenye kupotosha umma katika uisilamu
@khamisothman115410 күн бұрын
Hii sio raddi bali ni mashambulizi binafsi
@hasinaalrahbi668110 күн бұрын
NAHISI KAMA WEWE UNATAFUTA UMAARUFU KUPITIA JINA LAKE. MASHAALLAH ALLAH KAMPA NAFASI.ANA BIDII YA KUITAFUTA ELIMU.WEWE UNAEJUWA ELIMU BIRA UKAITAFUYE ELIM VIZURI.HUWEZI KUMKASHIFU MWENZAKO NAMNA HIYO. HAIJUZU KABISA KUTOWA MANENO KAMA HAYO KWENYE MITANDAO. ALLAH AMLINDE.MTI MTUPU HAIFATILIWI ILA MTI WENYE MATUNDA NDO UNA FATILIWA SANA.
@awadhmchaki656710 күн бұрын
MaashaAllah Allah akuhifadh Shekhe wetu Abuu Hashim tunakukubali sana ukweli umewafikishia tukana lkn huo ndiyo ukweli kitawauma sana na bado .
@mafiatv54792 күн бұрын
hawezi akamuhifadhi ikiwa hajamstiri muislamu mwenzake, huo ni ushenzi na ukike na usenge alokua nao mbwa tu hy
@awadhmchaki656710 күн бұрын
MaashaAllah sheikh Allah akuzidishie Umri na nguvu na akulipe kheri nyingi Alhamdulillah