Oh bwana Yesu napokea unabii huu na kuamani uneituma kwangu kwa kusudi kubwa na nzuri. Asante Yesu kwa kuwa nimeambatana na maneno haya nashukuru kwa kuvuta kila kyokote kibaya kwangu na familia yangu. Asaaaaaaaaaante Yesu kwa muda mkubwa Kama na huu Ubarikiwe mama na Mungu akuzidishie
@claricengena623024 күн бұрын
Amen amen mama
@fedhajoseph768724 күн бұрын
Amen Amen kubwa.
@fedhajoseph768725 күн бұрын
Amen Amen
@user-tz5xm2ey7f27 күн бұрын
Amena Amena Amena MUNGU awabariki saaaana watumishi kwakazi zuri
@fedhajoseph768727 күн бұрын
@@user-tz5xm2ey7f ubarikiwe zaidi kwakutusikiliza pia.
@vumiliawambula171628 күн бұрын
Amen Amen Sana 🙏
@mwajumanondo6511Ай бұрын
Munapatikana wapi
@fedhajoseph7687Ай бұрын
UBARIKIWE SANA SANA MAMA YETU SHUJAA KWAKUTUSIKILIZA TUNAPATIKANA 2195 RUE SAINT PIERRE O SAINT HYANCITHE QUÉBEC CANADA KARIBU SANA USHIRIKI PAMOJA NASI.
@Random_NC1Ай бұрын
Ni kweli Maman, Mbingu ni ya binafsi. Kwa Mungu hakuna kujitetea hakuna visababu. Kila mmoja akaze mwendo kwa kupambana. Ubarikiwe kwa ujumbe Maman.
@fedhajoseph7687Ай бұрын
Barikiwa zaidi kwakutusikiliza.
@SalimaJuma-en8kmАй бұрын
Amen kubwa umeninariki sana Mungu akuongeze mafuta mabichitena
@fedhajoseph7687Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@SalimaJuma-en8kmАй бұрын
Amen ubarikiwe sana
@SalimaJuma-en8kmАй бұрын
Mungu akubari sana dada umeningusa mimi ni mmojawapo kwa kurundi nyuma
@fedhajoseph7687Ай бұрын
Ubarikiwe zaidi mama shujaa kwakutusikiliza na Mungu akuwezeshe katika yote na kukutia nguvu ili usimame tena.
@leontinebinlydi9459Ай бұрын
Mungu Hawabariki ❤
@user-rg3hs5mv8jАй бұрын
Ameena
@fedhajoseph7687Ай бұрын
Amina kubwa utukufu kwa Yesu kristo alie hai tunashukuru kwa huduma hii ya moto.
@Random_NC1Ай бұрын
Atawale maisha yetu na huduma zetu. Utawala wake unadumu hata milele. Mubarikiwe watumishi wa Mungu kwa huduma
@apolinaayebacanadienne7188Ай бұрын
Mungu apewe Sifa 🙏
@apolinaayebacanadienne7188Ай бұрын
Amène ❤mbona ni kafupi
@ngrofcanada4913Ай бұрын
Amen 🙏
@barutikhamis6971Ай бұрын
Amen Amen
@barutikhamis6971Ай бұрын
Amen
@Random_NC1Ай бұрын
Mubarikiwe watumishi wa Mungu
@Random_NC1Ай бұрын
Sifa ni za Yesu milele yote.
@Random_NC1Ай бұрын
Sifa zake anastahili kuabudiwa
@Random_NC1Ай бұрын
Amen amen amen, tuapokeya uponyaji kwa jina la Yesu Kristo
@Random_NC1Ай бұрын
Mtetezi wangu yuhai daima
@Random_NC1Ай бұрын
Hatutakufa tutaishi na kushuhudia matendo ya Mungu. Mungu akuzidishiye
@Random_NC1Ай бұрын
Amen amen Maman yangu tunashukuru sana kwa ujumbe wa Neno la Mungu la kuhimiza. Kweli fadhili zake ni za milele daima.
@fedhajoseph7687Ай бұрын
Amen Amen kubwa Mungu atuwezeshe na kutusaidia katika safari hii ya imani.