Пікірлер
@LeonardSummaye-k2i
@LeonardSummaye-k2i Күн бұрын
Yanga wapige 3 hao
@alisalmin512
@alisalmin512 3 күн бұрын
Huenda kibu na modi walishaongea kila kitu hio ni siri yao. Ndio akaondoka kutafta kazi ikishindikana anarudi simba. Mpira ni biashara sawa. Akipata dili kibu na simba itafaidika pakubwa.
@Jumannemalua
@Jumannemalua 6 күн бұрын
Huyo ni hovyooo
@HamisiAdamMwanyello
@HamisiAdamMwanyello 8 күн бұрын
Usiondoke
@user-or4oq3pr4v
@user-or4oq3pr4v 8 күн бұрын
Usiondoke manara mkorogaji
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y 10 күн бұрын
Safi sana❤❤❤ Simba ya Elie Mpanzu Moodewji fanya jweri huyo ni funga kaziiiiiii
@magondzamadeveka7878
@magondzamadeveka7878 11 күн бұрын
Duke inatamkwa 'Dyuuk' Duke ni kiingereza inamaana sawa na chief
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p 12 күн бұрын
yaani nyie waandishi
@danielimalaki
@danielimalaki 12 күн бұрын
Huyo awe mfano abanwe kabisa
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 17 күн бұрын
Ubaya ubwela lazima kieleweke
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 17 күн бұрын
Mmerudishiwa fedha si mumua he? Kwani hakuna wachezaji wengine nyie ni matapeli awesu poa mmepelekwa TFF piaa
@user-fi6hb3lp5y
@user-fi6hb3lp5y 3 күн бұрын
Hivi kwa akili zako tu yule Awesu ni mjinga mpaka apelekeshwe na utipolo Kama lawi? Mnawatia fitna wachezaji mkiona tu anakuja Simba mnamsababisha migogoro ili Simba wamkose Awesu kawajua mmefeli
@abuuaisha9095
@abuuaisha9095 17 күн бұрын
Sijaelewa unaposema wachezaji wametoka ligi za madaraja ya Kati..!!Ina maana hawajatoka ligi za daraja la kwanza..? Kwa kauli hii tu inadhihirisha kwamba hakuna unachokijua pamoja na kusifiwa kwamba mchambuzi..!!Mchambuzi gani hajui hata wachezaji..? Daaah...!! Jifunze kwanza kujua wachezaji wanapotoka bro..!!
@chriskudilla5355
@chriskudilla5355 17 күн бұрын
Muongo bana
@rajabually8894
@rajabually8894 17 күн бұрын
Unaumwa ww
@abdulmsofe8017
@abdulmsofe8017 17 күн бұрын
Naona huyo Mchambuzi Ameishiwa cha Kuongea Unaweza ukashiriki Ligi ya Mabingwa Na ukatolewa Hatua ya Mwanzo ss Utaonekana Wapi? Hapo kinachoongea Ni Pesa Muwe Mtafuta Wachambuzi wenye zupeo kwa Hiyo Viongozi wa Simba Na Scout yake ni ZIRO ww Ndiye Mwenye Ufahamu Mkubwa?
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 17 күн бұрын
Simba huwa wachezaji wakubwa hatuwawezi mifano halisi ipo tuliwashindwa wafuatao 1. Adebayo 2. Aziz Ki 3. Manzoki 4. Sergie Pokue 5. Elie Mpanzu Sasa tutajiitaje club kubwa kama hatuwezi kusajili wachezaji wakubwa. Hatuwezi kuvunja mikataba tunataka wachezaji ambao wako free!!! Mbona Yanga na Azam wanaweza. Mimi nimesikitika kurudisha Onana Hana tofauti na Jobe wote hawana impact uwanjani tuwe serious tusipoangalia tutachezea vichapo Kwa Yanga. Mimi naamini ili kuidhibiti Yanga tulipaswa kuwa na Joshua Mutale upande mmoja na mwingine awepo Elie Mpanzu. Hapo Yanga asingeweza kufurukuta lakini Kwa Onana hakuna kitu.
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 17 күн бұрын
Simba kwanini hawapendi kuvunja mkataba? Kwani tunapenda chelezo. Kama kweli sisi ni timu kubwa tuvunje mkataba. Deal la Manzoki lilikufa hivyo hivyo. Onana hatatufikisha popote.
@robertjohn835
@robertjohn835 17 күн бұрын
Mo jitahidi utuletee Mpanzu.
@AmaniKasekwa-uw8hp
@AmaniKasekwa-uw8hp 17 күн бұрын
Viongozi wetu Wana shindwa kutowa milioni 660 kweli mpila ni pesa wavunje benk wamuletee mpanzu
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 17 күн бұрын
SIMBA WAVUNJE KIBUBU. KWA MPANZU AU WAMCHUKUE MAYELE MO UMEFELI WAPI KWA MPANZU?KM ULIWEZA KWA MICKISONUNASHINDWA VPI?VIONGOZIACHENI HBAHILI WAKUTOA HELA ZA SAJILI.
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 17 күн бұрын
Mzee magoma alikuwepo kwenye mkutano Ndani ya ukumbi mpaka mzee kikwete anaondoka ukumbini kwa dharula wakati magoma akitaka kuhoji jambo lakini hakupewa nafasi... Magoma alikuwepo mkutanoni
@hassankumba6938
@hassankumba6938 17 күн бұрын
Magoma alinyamaza kimya na hukumu (ujanja) akisubiri muda wa kukata rufaa upite, kabla njama yaowkujulikana na Yanga.
@hassankumba6938
@hassankumba6938 17 күн бұрын
Muulizeni Magoma hiyo Katiba yake ya 1968/2010 inamfanya yeye kuwa Mwanachama hai maisha? Kama anadai Wanachama wenzake wa sasa ni batili, akipewa Yanga, ataiendesha bila Wanachama?
@YohanaHeneriko
@YohanaHeneriko 18 күн бұрын
Mnatisha sana
@gye9975
@gye9975 18 күн бұрын
Ubaya ubwela
@SalimAl-mahrooqi
@SalimAl-mahrooqi 18 күн бұрын
😂na ubwela ubaya . Tabu mpaka Leo kesi haijaesha bado hiyu enajulikana huyu tayari ni mchezaji WA simba.
@drallan6879
@drallan6879 20 күн бұрын
hiyo headline kuna ukweli?
@bongostoriestv
@bongostoriestv 20 күн бұрын
@@drallan6879 Ndio
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 20 күн бұрын
Uzuri wenu ninyi hamuwekii ushabiki kazini. Mko neutral kama kazi yenu inavyotakiwa kuwa. Ur very good. Keep it up.
@charleskuyeko1660
@charleskuyeko1660 20 күн бұрын
Channel yenu ni Channel ya Ukweli na Uwazi. Nawapongeza sana. Endeleeni kuwa wakweli siyo kama hawa wachambuzi wa mchongo. Mungu awabariki.
@GabrielAmma-jp1oo
@GabrielAmma-jp1oo 21 күн бұрын
Simba waachane na hiyo sajili 1 ya kimataifa endapo wameshindwa kumtoa cramo kwa mkopo kwa muda mfupi imeshindikana wabaki na cramo
@OmaryHabibu-en1iy
@OmaryHabibu-en1iy 22 күн бұрын
😂😂
@mitinjemaziku
@mitinjemaziku 22 күн бұрын
Ivi bongo tumekosa Cha kufanya eti au Kwa kuwa ni kiangazi ndo maana
@murshidyabdallah1356
@murshidyabdallah1356 23 күн бұрын
nyote akili hamna
@user-bl1tx8fc9v
@user-bl1tx8fc9v 23 күн бұрын
Huyu alionaje hilo ziwa jmn eeh
@EvaristNgoge
@EvaristNgoge 24 күн бұрын
Oy
@HajiSimai-pp9cm
@HajiSimai-pp9cm 24 күн бұрын
Siyo watafute cha kutueleza bado tunatakiwa tuwapemuda.
@alexchiwenda9540
@alexchiwenda9540 24 күн бұрын
Ni usajiri bora sana. Karibu sana Duke.
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u 25 күн бұрын
Duke. Abuya. Karibu. Sanna. Jangwani. Utimize. Majukumu. Husika
@MikidadiKambinda-tr6rl
@MikidadiKambinda-tr6rl 25 күн бұрын
Asante. Karibu. Sana. Jangwani. Duke. Abuya. Karibu. Timu. La. Makombe. Bingwa. Mara. 30
@christianbernad-ge2nz
@christianbernad-ge2nz 26 күн бұрын
Yanga lahaaa jaman aziz kabaki daaaah siamin
@user-ze2bf7mh5m
@user-ze2bf7mh5m Ай бұрын
Vp feitoto kashashuka unyamani
@bushiringamba6971
@bushiringamba6971 Ай бұрын
Kramo asiachwe simba.tafadharini viongozi
@user-vm5og4np4k
@user-vm5og4np4k Ай бұрын
Acha tuone panapovuja
@rashiditekway3242
@rashiditekway3242 Ай бұрын
Chama aondoke tu anasumbua sana kila msimu ukifika
@BarakaKayange-cj8ud
@BarakaKayange-cj8ud Ай бұрын
We chama asiondoke
@georgegregory8414
@georgegregory8414 Ай бұрын
Viongozi kubalini kiachana na chama huyu hawezi kuleta tena kitu simba mwacheni aende huko, simba ni kubwa kuliko chama
@georgegregory8414
@georgegregory8414 Ай бұрын
Mwacheni aende huko anakotumikaga viongozi msiogope chama ni kirusi hii miaka mitatu amefanya nini leteni wachezaji wengine tujenge simba yetu.
@alfoncekasanyi6584
@alfoncekasanyi6584 Ай бұрын
Kumwacha Chama aende Yanga Ni sawa na kumuuzia adui silaha.Hatukatai Chama kuondoka lakini siyo kwenda Yanga.Mnaosema Chama ni msaliti hamko sahihi.Wasaliti wa Simba wanafahamika lakini siyo Chama tuwe wakweli.Ametoa Assist nyingi lakini wafungaji hatuna pia amekuwa akifunga magoli muhimu.Tusimkashifu kwakuwa anaondoka au kwa namna yoyote si busara.
@YussuphHaji-oc9rk
@YussuphHaji-oc9rk Ай бұрын
Mm ni mpenzi mkubwa wa Simba nachomba kwa rais wa Simba SC ili ni moo afanye juhudi ya kumbakisha chama kikosini asiende yanga kabisa
@michaelashery3444
@michaelashery3444 Ай бұрын
Chama anawatikisa sana simba.na wanaogopa kumuachia kisa ataenda yanga.sasa anataka milioni 700 Kwa umri ule.pia ni msariti.mwacheni
@SaidMana-dp4et
@SaidMana-dp4et Ай бұрын
Hivi moo umelogwa na chama?tunakuomba moo muache chama usimbembeleze muache aondoke sisi simba hatumtaki chama usiwasikilize waandishi wa habari chama kazeeka sasa hivi hatufai tafuta vijana usipoteze pesa zako bure kwa chama chama ndiyo kiini cha utovu wa nidhamu simba hatufai muache aondoke hatumtaki