Mfaume Ana kitu chochote maneno mengi kama anaimba taarabu...
@shukurumgaya59503 сағат бұрын
Leo umeongea point
@allymwashambwa59203 сағат бұрын
jembe huwa ni jembe kabisa
@saidalhinai11314 сағат бұрын
Alikua anafanya mgomo wakati yuko simba hata magoli matano yy na inonga na golikipa basi ni bora aende
@user-rr3qb5oi9e9 сағат бұрын
Mpak onyang 😂😂😂
@AbouhSix-wm2bx9 сағат бұрын
Jamaa uchambuziiii aweziiu hat kidgoooo
@user-sf6gz2zt2x9 сағат бұрын
Anataka kupigana n'a nani huyo jamaa?
@Amonationtv455110 сағат бұрын
🎉
@FaustineTango11 сағат бұрын
Kaka Saleh sijajua ushabiki wake ila ningetaman sana kumwona kwenye board ya wakurugenzi ya simba
@GibsonNtamamilo2 сағат бұрын
Nakuunga Mkono asilomia 💯
@RashidiSaidi-p5t11 сағат бұрын
Hiz swaga za chama watu wasishi kuhusu huyu mwamba twangalie usajili wetu pamoja na huyu kocha mbona hawamtangazi
@user-pj4mx2ro4h11 сағат бұрын
Mzee saleh jembe ulipaswa kuwepo CROWN SPORT MEDIA.lakin kwa wale looohhh kazi ipo
@mbwanakarata47011 сағат бұрын
Kuma ww huna maneno
@kamazimamuganyizi693212 сағат бұрын
Kwa vile kamsifia chama apo unaona huyu ni mtu mzuri, angekua kamwongelea tofauti ungeshusha matusi
@user-qo1sg1zd7c12 сағат бұрын
Hamna kitu hapo yeye ni shabiki wa simba😢😢
@elimbotoraphael39403 сағат бұрын
Shida ipo wapi akiwa simba
@nasseraljahwri6310Сағат бұрын
Wewe ndio hamnazo, Saleh Jembe huwa anaongea facts.......😂 Unaleta ushabiki ndezi
@jonathansirkintungi743412 сағат бұрын
Salehe huyo mwandishi ni mjinga hata kama anapewa vibahasha hapaswi kuidharau simba. Hivi anajua simba ni ya ngapi afrika na yanga ni yanga ni ya ngapi?" Eti simba haina uwezo wa kuvutia wachezaji wa kubwa. Huyo ni mbumbumbu. Hajui wachezaji wakubwa hawaangalii simba ni ya ngapi tz wanaangalia ni ya ngapi afrika. Salehe ni mchambuzi mwalimu mungu akulinde ya ache machumia tumbo.
@mckobatz586111 сағат бұрын
Mwenda wazimu huyu bro amekuwa mtu mzima hovyo sana... Anataka kutuambia whydad imeshika nafasi ya sita Morocco ni team isiyo na mvuto kwa wachezaji wakubwa? Besides Simba inajitengeneza hivyo nafasi ya mchezaji mkubwa haipo tunahitaji wachezaji wadogo wenye vipaji na njaa ya mafanikio ili ktk kutimiza malengo yao ndio faida kwetu sasa chezaji kubwa lishachukua hadi ubingwa wa Africa mara tatu au nne unalileta Simba linakuja kufanya nini?
@shaameshaame28374 сағат бұрын
Hata ulaya mchezaji anaangalia timu ipo club bingwa? Co historia ya miaka iliyopita wanaangalia muda uliopo ndo maana huoni mchezaji mkubwa akienda Newcastel kwamba iliwahi kubeba ubingwa
@deniseliuter3002Сағат бұрын
Huo Ni uongo man city iliyokua mbovu misimu ya nyuma ilikuaje wakasuka kikosi Bora cha kushindania vikombe.usiongee kiushabiki mpira wa Leo watu wanaangalia fedha@@shaameshaame2837
@emmanuelnkwabi861012 сағат бұрын
Mm huwa nakukubali kaka
@mussakidabu423213 сағат бұрын
Saleh jembe ww ni jembe unajua mzee ww sio mchambuzi mandazi napenda unaongeaga ukweli piga kazi mzee
Mpige mpaka umuuwe mana sasa hivi shangingi yeye😂😂uyo mfaume 😅😅
@erickmasumbuko38412 күн бұрын
Amekua mpole😂😂😂leo 😅😅😅😅
@jumbeojaso57672 күн бұрын
Global in downfalls everyday
@andrewmuya72122 күн бұрын
Jembe mnaferi kichwa Cha habari tofauti na habari yenyewe
@ombenikweka72222 күн бұрын
Acheni uongo bora mfungiwe unachoandika ni tofauti na unachokiongelea
@jeromejulius2382 күн бұрын
Hovyo kabisa
@ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын
SITA ZA YANGA MSIMU UJAO KAMA VILE TUMETULIA NA TUNAPIMWA SUTI, (AZIZ, PACOMe ,CHAMA, ZENGEL, HEEEE!!!!,
@proisolution71662 күн бұрын
MUTALE SIZE YAKE FARID NDIYO MAANA TUMTANGAZA
@philemornmutta15972 күн бұрын
Pitieni habari zenu kabla ya kupost hiki ni kitu Cha hovyo
@mlyangwe2 күн бұрын
Nafikiri muanzirishi alikuwa ni George Mpondela
@thehustlerafrica43682 күн бұрын
Safi sana
@eddsonjeremiah66692 күн бұрын
Bondia mdomo mwingi mapambano machache😂😂😂😂😂
@michaelmwamanda84183 күн бұрын
Wewe ulipigwa hata Mimi nimeona kwamba umepigwa na tatizo mwenzako wakati anahaika kuscow wewe ulikuwa unalemba sijui ulikuwa unasubiri .nini kwasababu mwishoni ndio ulianza kuhangaika kutafuta point
@KhadijaMnuhemba3 күн бұрын
mogadishu
@abuuthauran99333 күн бұрын
Mogadisho 😮😮😮
@robertadolf5623 күн бұрын
ukapasuane sasa na kiduku. sio unakwepa kwa kutaka mkwanja mrefu
@chiefnumborecords48193 күн бұрын
Wewe Mwakinyo sisi watanzabia tunataka upambane na watanzabia wenzako ili tujue KWELI wewe ni champion Kwa hapa bongo uwezi jiita champez ikiwa ujawahi kumpiga mbongo ata mmoja jitambue Mwakinyo TUNAITAJI Pambano na mbongo yeyote unaye mtaka wewe fanya hivyo watanzania tumechoka Kwa porojo zako
@BonifasiYohana3 күн бұрын
Apana kachapwa kiharari
@user-ze8hp1ls6t3 күн бұрын
Kaka yule ludiana nae tena ataona umeshinda Kwa kubaatisha pili ataona unamuogopa