karibuni nyote
4:17
28 күн бұрын
WAISLAMU KUTUMIA MAJINI NI HALALI
1:34
1 June 2024
0:49
28 күн бұрын
1 June 2024
1:03
28 күн бұрын
Francis ndacha GATIBA +254705602959
0:43
May 21, 2024
2:30
Ай бұрын
May 4, 2024
4:17
Ай бұрын
April 24, 2024
3:47
2 ай бұрын
April 18, 2024
1:26:27
2 ай бұрын
MUNGU WA BIBLIA NI NANI?
53:12
2 ай бұрын
March 25, 2024
5:42
3 ай бұрын
March 24, 2024
7:24
3 ай бұрын
March 20, 2024
1:04
3 ай бұрын
kumekucha
10:58
4 ай бұрын
Manabii sio Waislamu
8:59
6 ай бұрын
WELCOME  BIBLIA NURU YA DUNIA 2024
0:33
TAREHE 16:17 DECEMBER
17:11
7 ай бұрын
November 20, 2023(2)
10:25
7 ай бұрын
November 20, 2023(1)
1:22
7 ай бұрын
Пікірлер
@didasmajor9288
@didasmajor9288 27 минут бұрын
Nimependa sana mdahalo huu, barikiweni nyote kwa elimu nzuri
@IsackMntaji
@IsackMntaji 49 минут бұрын
Mch,ndacher,punguza munkari ninyi wote ni wakristo,nakuomba uongozwe na roho wa bwana kama mwenzako danieri ili tuwaelewe vizuri mbona danieri tunamuelewa?
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 Сағат бұрын
Kwahiyo hapo Myahudi ni nani na asiye Myahudi ni nani? 😢Yesu tuhurumie imeshindikana kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi? Ninachoona hapa ni kuumana na kulana woiii 😢 bytheway MWALIMU MWANKEMWA SIKUELEWI KWENYE HII MADA.
@costantineevarist5110
@costantineevarist5110 Сағат бұрын
Barikiwa mtumshi .Tuko pamoja kwa kazi Ya Mungu
@Sindato-xy3xu
@Sindato-xy3xu Сағат бұрын
Amen sana mtumishi wa mungu akubariki
@daudmtoba191
@daudmtoba191 2 сағат бұрын
Jameni usiku kuamkia Leo tarehe 30/06/2024 Kuna njozi imenitokea niliona kitu kikiwa kina Toka Juu angani kika piga ndani ya bahari baada ya muda kidogo kutazama Juu pale icho kitu kilipo tokea Nikaona mbingu zina funguka Nika ona kundi kubwa wamepanda farasi wame vaa mavazi meupe na kiongoz alikua na taji kichwani ya dhahabu ilikua iking'a baada ya muda kidogo Nika ona kiumbe Kwa mbali kime simama angani kina umbo la kibinadamu kinang'aa sana angani mwanga mkubwa ukawa una mlika duniani watu wakawa Wana kimbia kimbia Nika shituka usingizini najiuliza maswali sipati majibu
@navokisembo
@navokisembo 6 сағат бұрын
Ndacha Mungu akulinde baba
@benardmwamboneke9612
@benardmwamboneke9612 6 сағат бұрын
Hekima alionayo mzee wa neema si ya kidunia niyaulimwengu mpya kwani ajigambi ila anaekima ya kimungu hivyo ndivyo anaitaji mungu tufundishane mfanye mwenzio kuwa bora ndo mana amesamini uwepo wa ndacha nakumpenda, ndacha wewe ni bonge la mwalimu ila nakuomba kuwa endelea kudadisi utapata majibu kuwa torati ni kivuli cha neema
@ServantofGod-tg8hn
@ServantofGod-tg8hn 10 сағат бұрын
Amen 🙌
@ephraimkanyambo4829
@ephraimkanyambo4829 13 сағат бұрын
Musa alioa baada ya Sipora kufariki
@DimaDaro-ts1kq
@DimaDaro-ts1kq 14 сағат бұрын
Danieli wewe hueleweki kabisa
@KelvinKachikulu
@KelvinKachikulu 16 сағат бұрын
Mwalim ndach fundisha na mda yakuusu nyimbo ambazo znapaswa kuimbwa kanisan
@daudmtoba191
@daudmtoba191 17 сағат бұрын
Hakika wew ni mtumishi wa Mungu
@BONIFACEANANIA
@BONIFACEANANIA 17 сағат бұрын
Barikiwa mtumishi
@BONIFACEANANIA
@BONIFACEANANIA 17 сағат бұрын
Barikiwa mtumishi
@BONIFACEANANIA
@BONIFACEANANIA 17 сағат бұрын
Barikiwa mtumishi
@puretruthministry2017
@puretruthministry2017 18 сағат бұрын
Afadhali ukufe ukitetea yahshua means WA Yahweh..kuliko kufa ukitetea uongo uliowazi
@thadeombani7869
@thadeombani7869 21 сағат бұрын
Ndacha wewe ni kiboko unajua sana mtumishi❤
@ShabaniAlly-de5kf
@ShabaniAlly-de5kf 22 сағат бұрын
Ndacha usiwe unawachokoza waislam wanakushinda maandiko
@ShabaniAlly-de5kf
@ShabaniAlly-de5kf 22 сағат бұрын
Ndacha zidikusoma utaelewa
@ChandeDaudi
@ChandeDaudi Күн бұрын
Mwankemwa imefeli na ndacha umefeli kipofu akimwongoza kipofu mwenzake watatumbuiza wote shimoni
@ChandeDaudi
@ChandeDaudi Күн бұрын
Yesu ni mtume kwa wana wa israel
@ChandeDaudi
@ChandeDaudi Күн бұрын
Mwenyezi Mungu ni mmoja tu ni muumba wa mbingu na nchi na vitu vyote nae ni ALLAH sio yesu
@bensonkiarie3352
@bensonkiarie3352 Күн бұрын
Amen
@martinmkoba361
@martinmkoba361 Күн бұрын
Shafii yeye kazi yake kusikiliza mada kisha anakuja kuongea badae😂😂😂
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n Күн бұрын
Mwalim ndacha na mwalim mwakemwa hao wawili ni cimba yetu wakristo wakinguruma tu waislamu wanaingia baridi hakika mungu ni mkuu anatupenda wakristo kwa kutupea waalimu wenye hekima mungu awlinde na awape maisha marefu,
@BakangayaBantaba
@BakangayaBantaba Күн бұрын
Sasa unapaswa ubatizwe kwa jina gani
@user-mg9pc6ig2g
@user-mg9pc6ig2g Күн бұрын
MWALIMU Mungu akubariki
@JojoSrena
@JojoSrena Күн бұрын
Waislam. Wanajuwa sana kwamba majini wanashiliki noa. Ila hawataki ijulikane kwawatu maana ikijulikana watu hawata silim
@JojoSrena
@JojoSrena Күн бұрын
Nakupenda sana mwalimu Ndacha ww nijasili sana. Umefunguwa macho ya watu wengi mungu akutangulie kwakira jambo. Usiogopi
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n Күн бұрын
Amina
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 Күн бұрын
Quran 114 :1- 6 mungu anatupa maelekezo yakujikingu nauovu kati ya majini na binadam
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Күн бұрын
Unajikinga aje na ndugu zenu majini waliosilimu?
@user-go1rl6bb1z
@user-go1rl6bb1z Күн бұрын
Mwalim mungu akupe nguvu ya kuifanya kazi ya mungu.
@eiddykenga5816
@eiddykenga5816 Күн бұрын
Nawakati unamtumikia iblis..kwani hujielewi waomba Mungu,ama iblisi..ila upande mkubwa wakristo niushetani sasa ndacha NI agent WA shetani..unaabudu katika kanisa lilioanzisha na kahaba
@StephenMwijage
@StephenMwijage Күн бұрын
Unasumbuliwa na mila unaingilia utendaji wa Roho wa Mungu ktk siku za mwisho. Mdo 2: 17- 18, 1Kor 12 : 11
@jjtm164
@jjtm164 Күн бұрын
Yesu alimeza siku ya sabato
@shepherd1x84
@shepherd1x84 Күн бұрын
We will support the Work of God usiworry bro..na sisi hatutishwi na ukorofi wa Ndugu zetu .
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Күн бұрын
walinzi wetu ni wengi kuliko wananavyona wao yesu wetu ni jeshi kuuu s
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Күн бұрын
waislamu wanaokataa majini ni waisilamu hafifu juu majini ndio huwafikishia ujumbe Kaa Kwa mkristo roho mtakatifu ndiye huleta ujumbe
@user-mb6ob5fx3l
@user-mb6ob5fx3l Күн бұрын
Ni kweli awa watu ni wanafiki sana
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Күн бұрын
Mjadala mtamu
@mbalilax162
@mbalilax162 Күн бұрын
Barikiwa sana
@abangaabanga4677
@abangaabanga4677 Күн бұрын
Amen pastor 🙏🏿
@estachkm824
@estachkm824 Күн бұрын
Amen barikiwa
@furahag3098
@furahag3098 Күн бұрын
Amen mtumishi ndacha barikiwa sana
@CharlesMbise-hc2sz
@CharlesMbise-hc2sz Күн бұрын
Mimi ni mmoja wapo kaka ndacha nipo tayari kukusaport kwa hali na mali kwa namna yeyote
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 Күн бұрын
Ninacho kuomba simamia ukweli na unapoona ukweli ktk uislam kubali usiwembishi najua unakiu ya kutaka kujua ukweli ili uingie katika uislam tukopamoja
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Күн бұрын
Eti uislamu ni dini ya kweli? Kwa andiko gani?
@winnieofutare5324
@winnieofutare5324 Күн бұрын
Hio ni ukweli mtupu mwalimu Ndacha,mm niko uarabuni na naweza sema hii nyumba niko kina majini maana kuna kijana mkubwa sana miaka 33 ni mwendawazimu(majnun)kwa kiarabu, na huyo kijana nina miaka mbili hapa lakini hajawahitolewa nnje,yy amefungiwa tu kwa room moja
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Күн бұрын
ii ni dini yamajini
@user-tz8zu2gt6u
@user-tz8zu2gt6u Күн бұрын
mwalimu , shafiii Hana elimu yeyote atlist unaweza fanya mdahalo na mazinge na sule shafiii hana elimu yeyote hajui kuwa majini kwao nikaa Roho mtakatifu kwa wakristo
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 Күн бұрын
Nikweli badhi yaviongozi wetu wadini ndokaziyao wamechagua hayo bilahofu ya mungu
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 Күн бұрын
Nilitegemea kwamba utowe aya au hadith muhammad anasema tuabudu majini waislam tumekatazwa kabisa quran 114- 1- 6 mungu ametupa tusome kujiepusha na viumbe hao
@user-dt5wp5qo4n
@user-dt5wp5qo4n Күн бұрын
Wewe ndio huwelewi,hadi dk sule amefundisha majini niwazuri,anatumia majini kujinufaisha na kupata pesa na utajiri kutoka kwa majini na wanaenda msikitini mkisali pamoja na sasa ww unakat ww ni mnafiki were ushindwe kwa jina layesu
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Күн бұрын
Hivi hao maiji na shetani waliosilimu wakisoma Quran wanajikinga aje kwa nani?
@opujejoshmahjoshmah1432
@opujejoshmahjoshmah1432 23 сағат бұрын
Basi tufunze kwa hii aya Q72:1-14
@JanethAnton-fx1mk
@JanethAnton-fx1mk 15 сағат бұрын
Asa utajiepushaje nao na wapo wengine waislamu Katka 72: 14 Quran na waislamu wote Ni ndugu
@bustedislam3578
@bustedislam3578 15 сағат бұрын
@@JanethAnton-fx1mk sasa waislamu watu na waislamu majini wote wataingia peponi pamoja? Na huko waislamu watapewa wanawake wengi. Je, majini pia watapewa wanawake?