Huu wimbo Kara ya maji ninaukubari sana , hasa mpangilio wa Sauti ya Max Bushoke, na Hamis Juma (Maalim Kinyasi) na Max Bushoke,, na Drums zimepigwa vizuri na Chipembele Said
@jumammbaga99742 күн бұрын
Aisee Namkumbuka Marehemu baba
@sangomamourice35393 күн бұрын
Juwata hatimaye msondo asanteni kwa maisha ya waimbaji kitu pekee tulichobakiza ni kusikiliza tungo hizi kujisahaulisha kodi za mama samia
@GeoffreyNgonda-bx8me3 күн бұрын
Fitina zilianza long time
@GeoffreyNgonda-bx8me4 күн бұрын
Zamani sio Leo tungo mubashalaah
@GeoffreyNgonda-bx8me4 күн бұрын
Zamani sio Leo Yani natamani kulima
@mchelumohamed29764 күн бұрын
Mali adimu sana hii
@danielmsuya7204 күн бұрын
Ni wimbo nzuri sana
@alexshaka11025 күн бұрын
Hayo ndo maudhui, ama kweli, aiseee!!!!
@IssaMrisho-o9c6 күн бұрын
Mbaraka mushee
@MashavuDonatus6 күн бұрын
Vijana jaz Bujumbura
@Dj_Alvin.6 күн бұрын
2024😂 nani ako?
@sketchbabu7 күн бұрын
Miaka ya utoto wangu baba akiwa Bado yu hai.
@NdigaWilkinson-rm4pq7 күн бұрын
Jameni msondo juwata wameacha urithi mkubwa katika nyiimbo hizi na nyingine . Lakini vijana wa leo Wana shindwa kufata nyayo za watangulizi wao.
@humphreyagrey794010 күн бұрын
Mziki huu utadumu milele, walikuwa wanatunga nyimbo kweli kweli sauti,nzuri zilizopangwa,huwa napata Raha sana kusikiliza ngoma zao Hawa jamaa@2024
@alisheemaka188410 күн бұрын
Nilikuwa mdogo mjini Muheza Tanzania mkoa wa Tanga.
@YahyaMbega11 күн бұрын
USIKOSE KUMWITA TOMATOMA NA MWANAEDI EZI ZA KINA KASALOO
@YahyaMbega11 күн бұрын
ASANTE SANA WEWE UNATISHA KWA HIZI ZAKALE NIPO KIDATU MKAMBA MR KILOMBELO
@YahyaMbega11 күн бұрын
ÀSANTE JUMA MRISHO UNGA WA PULENDA MBOGA DAGA
@philipachikindubi512811 күн бұрын
real music
@sangomamourice353913 күн бұрын
Na kweli penzi halina umaarufu
@MwedadiMwedamsangi13 күн бұрын
Unanikumbusha mbali sana
@allyzakaria690213 күн бұрын
Chua ngoma ...Marehemu Michael Vicent kwenye Solo Rithym Churchill si mch
@HarunaOmari-e8o14 күн бұрын
Solo Michael Vicent ridhim Ezekiel Mazanda waimbaji jumaMr 0:30 isho 0:30
@kamanyolabilajasho383314 күн бұрын
Kuna mtu amenitibua kweli nikaukumbuka wimbo huu enzi za ujana wetu..nikaweka nia kuutafuta nimtumie ujumbe uliomo ajifunze mali ya wengine si yakuringia kweli! Eeh! Jamani waimbaji wa zamani walikuwa na ujumbe katika jamii...RIP.
@veebway115 күн бұрын
Hii nyimbo ilikuwa ukiisikia asubuhi na bado upo nyumbani ujuwe tayari ushachelewa skuli mikwaju mlangoni inakusubiri
@erastosanga169416 күн бұрын
Aaa police mulikuwa munajua sana hadi basi
@mbarakamwakivuma285816 күн бұрын
old is gold
@machaku17 күн бұрын
Old is gold
@sangomamourice353917 күн бұрын
Asante sana vijana jazz hakika maisha ni nafasi
@philipshija365117 күн бұрын
Hii nyimbo inanikumbusha tukio fulani la kifo lilitokea mjini kwetu Mwanza nikiwa nasoma Lake Secondary School kuna Mwanamke mmoja baada ya kufiwa na Mumewe aliekua Manager wa kampuni fulani,alidhulumiwa kila kitu na ndugu wa mumewe. Ilikua gumzo kuubwa saana Mwanza mjini miaka ile ya 1980s
@hebelmlagala584717 күн бұрын
Huu wimbo ni Part 3 ya wimbo mzee said. Part 2 ni Masudi amekuwa jambazi
@dotogede19 күн бұрын
Sina la kusema nipo la sita 1979 msata shule ya msingi
@KubojaMashsuri20 күн бұрын
Good 👍
@EmmanuelCharles-d6x21 күн бұрын
Inakumbusha wakati maqis du Zaire
@EmmanuelCharles-d6x21 күн бұрын
Vijana wa sasa wanatamani vitu vyetu huu ni ujumbe 🎉🎉🎉🎉🎉
@EmmanuelCharles-d6x21 күн бұрын
Nakumbuka sana 😂😂😂😂
@djsjefrolet21 күн бұрын
Loooove this! Anybody has a good recording of the album?
@jumakiduka462522 күн бұрын
It gives me memories of youth
@raphaelmwamakimbula964222 күн бұрын
Mwenda pole hajikwai,nitasafiri Kila pande Ili nifanikiwe! Napata Raha zaidi magitaa na hizo saxophone vinapojibizana💯🔊🎶👏
@amossambu305322 күн бұрын
Muziki wa adabu huu. Memories of childhood laid bear
@suzanarupia648423 күн бұрын
Nyimbo hizo nakumbuka DDC tukicheza na zina mahana zake kweli hujana haurudi one lv
@ombwayoodiero280623 күн бұрын
Zilipendua bado tuko bwanae kumbuka Tanzania Police na wimbo yao ya Leo na tuma salamu zangu nyinyi mlio mbali na mimi.
@alisabatia861224 күн бұрын
Mothers spoil their last borne children and make them miserable and unsuccessful.