Mashaallah shk jazakumllahu khairan 🙏 Allah akujaze nyingi heri kwa hayo unatufundisha. Shukran sana shk . Tumekumbwa na mazito sana shk. Namuomba Allah akuzidishie umri mrefu , afya na uzima uzidikutupa alicho kupa Allah subhhana wataala. Santa sana shk 🙏🥰🥰🥰🎉💯.
@ZuhuraMuarabu6 сағат бұрын
Mashallah Allah
@saeedsaeed73817 сағат бұрын
Masha Allah lovely show as always, BarakAllah feek 🙏🙏🙏
@user-lr9zc1yx2t10 сағат бұрын
Nikweli sheikh Muhammad tunae kwenda kurudi
@user-ck6ur1vk1f11 сағат бұрын
Ni kweli sekhe yangu Mimi nilijtolea niwe Nampa bibi yangu mzaa baba kile nnachokipata lakini niliambulia kufungwa mzunguko wangu wa mwezi
@user-ck6ur1vk1f11 сағат бұрын
Ma_ashallah! Hakika shekhe Nakupenda kwa ajili ya Allah maana hata nimekasilika najikuta nafsi yangu ng' aa kwa mawaiza yako❤❤
@shamissuleyman489412 сағат бұрын
Jee wale wanao tafuta riziki pembeni mwa barabarani sahivi wanabomolewa vp rais anayo habari kwa kazi anayofanya mazuri nahisi hajui kuvunjiwa kwa hao wanaovunjiwa
@mahfoudhally287920 сағат бұрын
Maendeleo makubwa kavunja shule tano mjini kajenga maduka na mahoteli na ajira zote kwa wageni jua kali imekua ya wamasai hongera sana
@abrahmanhmd255723 сағат бұрын
Achaneni na majisifu ya kifisadi
@FamilyVideos-pt1moКүн бұрын
Shukran zinjibar tv kutuletea changamoto hizi
@FamilyVideos-pt1moКүн бұрын
17:40 jamaa kaeleza ukweli mtupu 😂😂😂
@FamilyVideos-pt1moКүн бұрын
Hizi comments zinanifurahisha- hawa wote walohojiwa wanasifu kisha wanatoa changamoto hapo hapo 😂
@FabianoJumaneeКүн бұрын
asante dada
@ChristinaKimathКүн бұрын
Tunaomba matumizi ya kifumbazi na matumizi
@ChristinaKimathКүн бұрын
Matumiz
@ChristinaKimathКүн бұрын
Tunaomba atuelezee matumizi
@tanzanite9944Күн бұрын
Mwinyi Anapasiwa Pesa kutoka Bara kwa Samia kama hamjui ndio mjue leo. Huko Zanzibar pesa zinatoka wapi? Mbona hamjiulizi hayo? Mapato gani ya Zanzibar ya kujenga Barabara kilomita 50-100, Mashule ya maghorofa, mahospitali na mataa, hamjiulizi?
@alzawahirabdallah2299Күн бұрын
Bibi kashapewa ubale wa kanga tatizo pesa mfukoni hakuna vyakula vimepanda bei
@Abdul-oc1ulКүн бұрын
Muongo kumamayo mulipanga karume na nyerere muwauwe masheikh na waarabu kwa roho mby mmeona znzibar twenge faidi hivi leo waznzbr kuwa watumwa na muarabu ni bora kutumwa na mtngnyika mwnye njaa nmkumbuka nyerere aliwahi kusema nawachukia wznznbr na akasema anachukia tujifny waislamu karume kumamayo huko uliko mbwa ww
@themasimbi22 күн бұрын
Kujenga Unguja t ila Pemba Aaah
@Samsungjprime-ww9ve2 күн бұрын
MASHAALLAH
@allykhatib6602 күн бұрын
Uyo mama mshamba sana Hao walopita na hawakufanya kitu je tuwazungumzieje Uwo ni ulazima wa serikali naniela zetu wenyewe
@cornelytv28392 күн бұрын
Congratulations 🎉🎉🎉
@HashimSalim-qj7zn2 күн бұрын
JAMANI HII NJAA WATU HAWAIONI AU NI MIMI TU NAONA HAWASEMI RAISI AKASIKIA
@abrahmanhmd255723 сағат бұрын
Waswmaji ndio wajinga kama hawa wanazidi kusifia upumbavu
@user-oj8bk5xn8n3 күн бұрын
Hawa ni watoto zanzibar hawaijuwi ukionabarabara inajengwe nikodi yako husein mwinyi yup miakamingi na kalelewa akilakodi zawanzibari kasoma kwakodi zawazanzibar mpaka kawawaziri waulinzi fazilayake akatuma Jeshi kujakutuua wewe unazarau roho unasifu barabara
@KauochuMamy-b3h3 күн бұрын
Sheik kama umeniona na mm ila nishachok kusem nyumban km Nina matatizo hay lkn nitagom kuolewa kwa Hali hiyo.
@kadhyajuma34713 күн бұрын
Nampenda mwinyi piga kazi usizijali fitna na maneno ya mkosaji
@mangofish90793 күн бұрын
Kwani na hao waliopita akina Shein na wenzake si walisifiwa kwa maendeleo hivyo hivyo au mbona binadam tunasahau mapema sana na ataekuja mwengine atasifiwa kuliko huyu aliepo sasa.
@HashimJuma-en8je3 күн бұрын
mashallaa Bachu Alla akuhifadhi
@natafutamatatizo43823 күн бұрын
HATA MKIMSIFU HUYO DR MWINYI JAMBAZI LA MKURANGA, LAKINI WAZANZIBARI HAWATAKI MAANA NI MWIZI NA JAMBAZIIIII👁️👁️
@abedomar51833 күн бұрын
Nonsense
@AbdulSaid-bn2gi3 күн бұрын
Ulaya ikiyoona tu utashangaa tu haijafanana kabisa na Zanzibar
@AbdulSaid-bn2gi3 күн бұрын
Sasa tunatembea bara bara ila tuna njaaa Kali tutakula hizo bara bara
@mangofish90793 күн бұрын
Hizo barabara alianza kujenga alau kwa kiasi chake kidogo Amani Karume wa ccm halafu munakaa miaka 20 na ushee munamsifu rais wa ccm tena kwa hizo hizo barabara sasa hayo mengine yatafanywa kwa karne ngapi?
@labunaabouna61223 күн бұрын
Safi sana na cctv mitaani itakua sawa sana ila Nyanya miaka 30 lol 😆 hio hamna km museven na kagame lol ila wazanzibar wana sura mbili
@saidrakwe87273 күн бұрын
Munasema munaona kama muko ulaya mtu anatoa mfano huo mara hata nairobi hajafika 😂
@saidrakwe87273 күн бұрын
10 years only by law
@saidrakwe87273 күн бұрын
Miaka 30 😂😂😂 bibi vipi ushaonja!!!!
@karyori693 күн бұрын
Barabara bila lanea demarcation ni chini ya kiwango!
@nassorseif79073 күн бұрын
Yajayo ni njaaa tupu Wallah
@rashidomar27713 күн бұрын
Hatari kweli,,au ndio ile hadithi ya kipofu,,alieona jogoo,akadhani hakuna mnyama mkubwa kuliko jogoo Yaani chawa kila pahala,,
@funnysmile86663 күн бұрын
naona wana sifuu tuu hakuna alie zungumziaa kuusu skuliya buyu na changa motozakee kiwanja pia kisha uzwa mm nimkaazii wabuyuu kiwanja chetu cha shule ya buyu kime sha uzwaa na wapiga jiii
@Nassor23773 күн бұрын
Huo niwajibu wa serekali sio ajabu ni kodi zetu kwahio miaka 60 leo ndio tunafurahia baadhi ya barara mtihani ...kajitahidi mwinyi na shukran zote mama samia suluhu hassan kutuangali wazanzibar
@Zubaiba3 күн бұрын
Mungu.akuzidishie kila la kher
@aliyaaliya72134 күн бұрын
Zenyibar tunaomba uje kibele na sisi tupatee kupaza sauti kupitia nyinyi kuhusu changamoto ya barabara
@surusuru19944 күн бұрын
Mash Allah Tanzania 🤲 ❤
@surusuru19944 күн бұрын
Tumbo warangi kondoa Qruan hamtuabi kondoa ❤
@user-xb6tr5vq4b5 күн бұрын
Mbona hutowi aya? Ukuhanibwana na usufi utasumbuasana umat wakislam kutumia majini nauganga kuliko kuifundishadini hamuwezi kutameliwatutu tumishagawabain