Dini yako sio dini ya snura endelea Tu mpk fie huko Hakuna wa kukuzuia
@dismasmariananga47765 сағат бұрын
Yaani Nyerere angeamka uko aliko aje akute riziwan kikwete ni waziri na mwanae ni kinyago dah angerud huko huko araka stvini hitambue ata upewe uc
@BlackFly-r2w6 сағат бұрын
😂
@user-ll7np8td7x11 сағат бұрын
❤❤
@mussafelix108512 сағат бұрын
Kwni kusoma hajui , mbna kama ana ngonjera
@FrankChalula-hz6dn14 сағат бұрын
Uchoko tu, yaani sauti kama mizimu ndo inaongea , ndo maana wenzetu wanatushinda
@jamilaathumani548115 сағат бұрын
Ila sijapenda swala la kumsema mkeo kuwa anamadhaifu sijapenda...apo kwel kuhusu yanga nimependa...usipokuwa yanga kwel juha🤣🤣🤣🤣Aya majuha mpooo??
@jamilaathumani548115 сағат бұрын
Mashalah..mara nyingi majina ya herufi ya z ni waaminifu na wanawivu Sana na wakipenda wanapenda kwel..napia herufi ya z wanabahati Sana yakuolewa
@mtukwao577516 сағат бұрын
Wewe mwehu tuuu ushazeeeka
@lilianmungure837416 сағат бұрын
Ila Manara Mungu akusaidie sana,unasifia mkeo badae unamwacha,acha tabia ya kuoa na kuacha Mungu hapendi hiyo tabia,Nawaombea maisha mazuri Mungu awatunze
Amechukua Hela kwa sababu haikuwa mara yake yakwanza, umeeuzika sana shishi mpaka Sasa, ndio biashara.
@menshitunze23 сағат бұрын
si ndio biashara zako, imekuwaje unatoa Siri zako.
@nangukidasu804023 сағат бұрын
Huyu dada kwani hana anayemlea kiroho?
@KenyanDailyGossip23 сағат бұрын
Poor sound engineers
@samiryomary1643Күн бұрын
Nawamasai wasemaje
@lulurubby2235Күн бұрын
Huyu nae ana mdomo mpaka anaongea utumbo
@baderal_ofi1804Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤😂😂😂
@verobecamfipa8655Күн бұрын
Huo mdomo na meno ya manara kumkiss Mimi kama mimi Cwez dah!!!
@niceygeorge8042Күн бұрын
Mbona kama huyubdada analazimisha furaha ?
@chalzesqueКүн бұрын
Mwambaa katishaa
@ElizabethFrank-r4nКүн бұрын
Jaman kazainabu kapole❤❤❤❤
@Kuminamoja1995Күн бұрын
🤣🎉🙌🫸✋️💯
@user-zj1ep6hn4pКүн бұрын
Kuwa na akba ya maneno uta zalilika hawa viumbe hawajawah aminika bro
@user-hy9pp5rp9iКүн бұрын
Filta shikamoo kumbe zai siomweupe uso tu mikonoo meusi kujichubua usoni tu mwilini aaaaa😅😅😅
@aminamwivita7690Күн бұрын
Oh my goodness 🤣🤣
@frankmichael411Күн бұрын
Jezi yangu nitumie
@khamismuhammadКүн бұрын
Fikiria na kufa pia usifkirie kuwa bibi tu ivi unaijua kesho yako itakuwaje ata ujipe matumaini kama utafikia kuwa bibi!! Ivi ni mara ngapi mauti yashaingia nyumbani kweni yakawanyakuwa wengine yakakuacha wewe!
@khamismuhammadКүн бұрын
Fikiria na kufa pia usifkirie kuwa bibi tu ivi unaijua kesho yako itakuwaje ata ujipe matumaini kama utafikia kuwa bibi!! Ivi ni mara ngapi mauti yashaingia nyumbani kweni yakawanyakuwa wengine yakakuacha wewe!
@nishaabdula5015Күн бұрын
Manara atadumu na uyu mke kwa sababu zai hn mappepe na sio muongeaji sn
@ISSASULEIMAN-ub1ziКүн бұрын
Ukristo ni dini ya shetani watu wote wa ajabu wnakimbilia kanisani
@shanimbaruku2071Күн бұрын
Jo❤🎉
@franklinmganga736Күн бұрын
Wandishi mnauliza maswali ya kiseng
@SuuhPreciousКүн бұрын
Huyuu zay anakupenda xanaaaaaaaa mwanamke mwenye wivu nimapenz
@dannienimrod8713Күн бұрын
Shida ya sound engineers wa comedy za Tz wao hupick sound za video from the cameras badala ya kupick from the sound control system. Inafanya iwe vigumu kumkiza comedian with all the noise from the crowd
@maymbeyu545823 сағат бұрын
Kabisaaa...ata siskii kitu
@charleschristian9241Күн бұрын
It's Good to plunder hell with gospel,she has done a recommendable thing. More grace my sister .
@HhBbh-tn5uhКүн бұрын
Zai nikutafutie dawa ya sugo ya vidole😂😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t2 күн бұрын
Zaylisa acha kujichubua sugu zinakuumbua jmn😂😂😂😂😂
@ChritinaMasenga2 күн бұрын
Ukipata kujaliwa ,na kuheshimiwa na mtoto wa ma mkwe ushukuru,maana Pesa inatafutwa lakini faraja inapatikana kwa mtu,deka zai wangu,tulia na ndoa yako mama.