Mtu anajitambulisha ni wakili na anashindwa kujibu swali kwa usahihi, hawa kina Nkuba wamewahi kushinda hata kesi moja kweli??😂
@issacallando62224 сағат бұрын
Mdahalo huu unathibitishia umma aina ya viongozi tulionao, ifike pahala kiongozi yoyote apitishwe kwanza mmkwa mdahalo ili atakapo pata ridhaa aitendee haki.
@farajabinamsimchimba6 сағат бұрын
Mwambukusi anafaa kua rais
@peterkissiri98218 сағат бұрын
Nadhani Mwabukusi anastahili kuongoza TLS yupo tofauti sana na wagombea wenzake ktk hoja zake na pia sio muoga.
@justinalonda82208 сағат бұрын
Mwabukusa anafaha sana tu ni moto
@boblatino389922 сағат бұрын
Usiombe ukutane na odemba kwenye maojiano ni kama umekutana na bwana Pepsi utakunywa soda mpaka ukojoe
@sundaymushi9640Күн бұрын
Uyo muga ni janja janja tu😅😅😅😅
@sundaymushi9640Күн бұрын
Kwann interview za kazi zisifanyike kams ivi
@user-zs8de1os7qКүн бұрын
Mwabukusi
@user-zs8de1os7qКүн бұрын
Mwabukusi
@ExaudyMassaweКүн бұрын
Mwabukusi nimekuelewa sana unawajali wananchi kupitia mawakili wakati huo mawakili wakinufaika na kazi yao pamoja na kuifanya kwa furahi
@ExaudyMassaweКүн бұрын
Mwabukusi wewe ni nomaaa
@ExaudyMassaweКүн бұрын
Mpeni tu mwakubusi hayo mawazo ya wengine atayafanyia kazi
@vonmedia1024Күн бұрын
HIVI NDIVYO VITU VINAVYO TAKIWA KUFANYWA. BRAVO STAR TV, VEMA SANA
@YohanaThadeo-ki2qgКүн бұрын
Brother k mbona sasahiv simuoni kwenye futui
@NkwabiMasanjaКүн бұрын
ODEMBAAAAAAA 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 MUNGU AKUBALIK XANAAAA
@harunamtiko117Күн бұрын
Hapo kura ni kwa mwabukusi wengine msubr kidogo tafdhali 🎉
@lusetheshadow2821Күн бұрын
Mwabukusi hajabanwa kwenye maswali vipi kwamba alikuwa sahihi sana ee?
@NtuliMwakyusa-o4wКүн бұрын
Mwambukusi
@jaymacodejaymacodeКүн бұрын
Mwabukusi
@JumaAmos-rt8eyКүн бұрын
mwabukusi ❤
@DeborahMafuruКүн бұрын
Mwabukusiiiiiiii
@florangido202Күн бұрын
Mwabuguds Anastahili
@emmasonanjawe90422 күн бұрын
Huyu ndo mwandishi
@davidmpiluka52242 күн бұрын
Hapo mimi ningemchagua Boniface Mwabukusi.
@leonardmartine6622 күн бұрын
Mwabukusi ameshajitanabiasha kuwa ni mtu nanusu
@jacobthobias89012 күн бұрын
Kuna watu wanajua kuongea kidogo harafu vitu vya msingi (Mwambuksi)
@JamesAbel-ig8wb2 күн бұрын
Nakupongeza sana ODEMBA wewe ni mzalendo kweli hauna upendeleo. Ila huwezi kupata kazi TBC
@NkwabiMasanjaКүн бұрын
Asiede kbxa pale
@jumannemwakalinga25862 күн бұрын
Midahalo iliisha kufa kifo cha mende katika vyuo Vikuu vyote nchini, hatuna critical thinkers tena. Ndiyo maana Odemba unapongezwa, umeenda kuamsha hicho kitu hapo UDSM
@leonardmbeho77852 күн бұрын
Mwabugusi
@jumannemwakalinga25862 күн бұрын
Mtangazaji Odemba tunakupenda kwa kuendesha huo mdahala vizuri, endelea hivyo hivyo ukiwa umenyooka vizuri, tafadhari usipinde tafadhari
@avinrwegasira34482 күн бұрын
Shida odemba hawapi watu mda wa kuuliza maswal anauliza yeye peke ake
@mossesherman8830Күн бұрын
Yuko vizuri tena sana, lakini mapungufu ni kwenye kuhakikisha kila swali lililoulizwa linajibiwa.
@owdenlukuwi46962 күн бұрын
Mdahalo mzuri sana
@issanyoka56412 күн бұрын
Mwabukusi super sana
@issanyoka56412 күн бұрын
Watu wanatema cheche htr
@emmanuelfarleedalingo73072 күн бұрын
Mdahalo nmeupenda ikiwa hvi Tanzania tutafka mbali sana
@herbertjoz46552 күн бұрын
Huyu mwamba anajua kuhoji🔥
@calvinkiluswa4392 күн бұрын
odemba anajua sana tena sana
@tobiasisanga37572 күн бұрын
Mwabukusi ndio mwamba na uchungu wakweli na masilai ya inchi yetu uyo ana tufaa
@johnmabula882 күн бұрын
Mwabukusi
@maulidmichael49392 күн бұрын
Jitahid moderator uwe na MTU maalumu wa Ku note maswali ili yajibuwe Bila kusahaulika
@joshuarose67562 күн бұрын
Mwabukus winner
@SalhaRamadan2 күн бұрын
Kutoka mzee huyo wa pili na watatu ni machawa wa fisiemu tuuuuuu
@SalhaRamadan2 күн бұрын
Huu ni mwaka wa mwakabusu🎉🎉🎉🎉 Go baba huenda utatusaidia nchi yetu kuilinda kisheria na huenda haki ikawepo❤❤❤
@namsifubwana21522 күн бұрын
Kuli we utatumika na serekali hebu jiengue mwenyewe😅😅😅
@namsifubwana21522 күн бұрын
MAKOFI KWA WAGOMBEA YAMESHAONYESHA KIPENZI CHA WATANGANYIKA HAPO NI NANI. OLE WENU TLS MLETE FIGISU
@user-ei4gj1zx3d2 күн бұрын
Ok
@user-ei4gj1zx3d2 күн бұрын
Ok
@user-pv8iu6em6l2 күн бұрын
Mwabukusi tunaomba uwaongoze mawakili wenzako ukasimamie nchi na malizake nahali yawanyonge kulayangu nakupa
@namsifubwana21522 күн бұрын
TUNAOMBA PIA MUPAMBANISHE WANASIASA WA PANDE ZOTE MBILI