jaman hongleni shilika la kipipa abalikiwe na walimu wenu kwa kujitowa
@lusajomwakalinga5813Күн бұрын
Shetan anayesali ni hatari sana
@YohanaMbanoКүн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@angelomfilinge86623 күн бұрын
Mungu akubariki baba askofu
@salomemtandauya-ey5uv3 күн бұрын
Asante kwa kwa kutuelezea maana halisi ya Litrujia. Barikiwa sana Fr.
@salomemtandauya-ey5uv3 күн бұрын
Tumekupata Fr.
@judithsalvatory28923 күн бұрын
Amina mimi japo ni mdhambi sijakamirika Ekaristi naiamini sana❤❤❤❤
@mekyussanga53824 күн бұрын
Ahsante kwa somo zuri. Kwanini apewe jimbo la heshima?.....na hii ina maana gani? Natanguliza shukrani
@FestoJackson-k3l4 күн бұрын
Hongera sana baba asikofu kwa wimbo nzuri.
@stanslauskyando76145 күн бұрын
Amina
@mbatatakiazi16785 күн бұрын
Naupata wapi ule wimbo wao MATENDO YA MUNGU wa miaka ya 2010+. unanikumbusha nikiwa chuo pale SUA (youtube kwa Computer)
@mbatatakiazi16785 күн бұрын
sound engineer, tafadhali. Jitahidi.
@rehemaothuman37646 күн бұрын
Napenda sana kilimo
@shabanally69736 күн бұрын
Comment hazifiki50 ingalikuwa ni mambo yetu Yale bas hapa pasengetosha
@ayubuAbdallah-w9e7 күн бұрын
Samahani nisaidie namba zako ili tuwasiliane vzr kiongoz 10:29
@ayubuAbdallah-w9e7 күн бұрын
Samahani nisaidie namba zako ili tuwasiliane vzr kiongoz
@ayubuAbdallah-w9e7 күн бұрын
DOctor mim nimeshaa tumia kila dawa ya u.t.i pia na sindano lakin bado nimeenda kupima naambiwa na utii shid nn
@Thedy-tp5ei10 күн бұрын
Nimewapnda bure watt❤❤❤❤
@AminaTanzania11 күн бұрын
Mjomba tware Mungu akutangurie bibi nakuona unampa osia tware
@Pendo-cg8bt12 күн бұрын
🎉🎉
@MartinChawangula13 күн бұрын
Bravo
@AndrewNgassa13 күн бұрын
Aminaaaaaa
@MelchiorMwamnyanyi-vd8bb13 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤damu yayesu iwaongoze
@AkwilinaKimati15 күн бұрын
Hongera sana Baba kwa utume Uliotukuka MUNGU akulinde kila uamkapo na urudipo
@daviddsouza73516 күн бұрын
Dah kwa upande moja namshukuru kwa kuweza kufuatila vipande vya ibada hii ya misa kwa njia ya mtandao. Kwa upande mwingine ninatamani waandaaji wajifunze zaidi kuhusiana na, na kama watahitaji kukata wanachokirusha hewani, ni kipi kinachofaa zaidi kukatwa na kupunguzwa na kipi kinachotakiwa kutunzwa kwaajili ya kurusha kwaajili manufaa ya wote.
@aristidesdanda829017 күн бұрын
Tumshukuru Mungu.
@PatrickMringo-ij4tt17 күн бұрын
Hongera askofu mkuu yuda tadei shayo kwa utumishi ulio tukuka
@PatrickMringo-ij4tt17 күн бұрын
Hongera sana mhashamu askofu mkuu yuda tadei ruwaich shayo kwa utume wako uliotukuka
@childrenincrisisfoundation56217 күн бұрын
Hongera sana Baba Askofu Mkuu Thadeus Ruwa'aichi kwa utumishi uliotukuka! Uliitika vema "Nitume mimi Bwana" Baba utuombee na sisi tuthubutu kuitika mwito wa Mungu kama wewe!
@AnnaMilaba17 күн бұрын
Amina baba mungu akutie nguvu
@josephlorri43117 күн бұрын
Hongera familia ya Kilema kwa malezi ya mtoto wenu hatimaye ni Askofu mkuu, mhashamu Yuda Thadei Ruwaichi;tunda jema la Kanisa
@paulsylvester787717 күн бұрын
Mtumish wa bwana ni nani Saut aliyotumia kama kwenye igizo la Yesu😊
@user-jc1do5gf3w17 күн бұрын
Hongera sana Baba Askofu,Mungu akujalie tena mingine kama hiyo
@cyprianaugustino526618 күн бұрын
Tumsifu Yesu KRISTU Mbona tafakari ya Leo jumatano hamjaipost 🤔🤔🤔 @Tumaini_Tv
@assensiaphilmon384418 күн бұрын
Nzuri sana
@PascratesRugemalira18 күн бұрын
Hongereni wapendwa.
@PascratesRugemalira18 күн бұрын
Hongereni wapendwa. 2:16
@PascratesRugemalira18 күн бұрын
Hongereni wapendwa.
@PascratesRugemalira18 күн бұрын
Hongereni wapendwa.
@TinaBalama18 күн бұрын
Wako poa saaana
@TinaBalama18 күн бұрын
Wako poa saaana
@deograsiambilinyi633419 күн бұрын
Hongera sana kwao
@user-jc1do5gf3w19 күн бұрын
Hongereni sana kwa kupata daraja Takatifu la Upadre,Roho Mt.awaongoze daima katika Utume wenu katika Kanisa La Mungu
@YohanaMbano19 күн бұрын
Amiiina
@VicentMauka19 күн бұрын
MUNGU wetu mwema awazidishie hekima katika utume wenu
@user-jc1do5gf3w19 күн бұрын
Amina
@dominickmsangi438919 күн бұрын
Nimempenda bure mtoto huyu asee daaah
@staminacastory532219 күн бұрын
Hongera dada unalia kwasababu wewe unajua kumtumikia Mungu kuna mitihani mingi ktk maisha lakini usijali Mungu atakuongoza