Nikiwa kipalapala Tabora aksante sana Baba kwa kutu risha neno zuri
@charlesmoshi4411Күн бұрын
Ametufungua wengi.
@BerthaKinabo-n9jКүн бұрын
N
@winnicbrito4172Күн бұрын
Rest In Peace 😢
@eutropiachami24922 күн бұрын
Àsnte Yesu bado tuna hazina kubwa natamani mahubiri haya yawafikie wakatoliki wote na yatuingie kabla hatujachelewa zaidi
@PhidelisMdahila2 күн бұрын
Amina fr Mungu akuongezee taarifa mengi na hekima
@kazawadibeturabusha38222 күн бұрын
Mungu amulehemu
@tumaininyoni57252 күн бұрын
Pumzika kwa amani dada
@marygachau38792 күн бұрын
Bwana akuongeze hekima uzidi kutufundisha.
@FRWPresscom2 күн бұрын
Ameen...tuombeane
@mapendoglory162 күн бұрын
Ee Mungu mlaze mwanao Pema mbinguni.
@harounclaude22632 күн бұрын
Ubarikiwe sana Fr. Rwechungura
@MwalimuRop3 күн бұрын
Asante sana Padre. Ubarikiwe
@umtv92243 күн бұрын
Mkandidati Margreth apumzike kwa Amani mbinguni
@umtv92243 күн бұрын
Poleni sana Masista pamoja na wakandidati wote
@sr.jovithavincent41193 күн бұрын
Asante sana baba kwa mafundisho.
@user-xh1bw3eu4t4 күн бұрын
Amina
@deusbarnabas90604 күн бұрын
Ubarikiwe sana, Father kwa neno la Mungu, kweli mda mwingi tunautumua kuangaika na mambo ya kidunia.
@FRWPresscom2 күн бұрын
Kweli.. Baba Mchungaji...tuombeane na tubadilike
@GeraldinaGerard-xy6pl4 күн бұрын
Hivi wewe utakuwa na hamu ya mwanaume,unapindisha acha hapo watu wana akili sasa ubaenda chaka ndugu
@GeraldinaGerard-xy6pl4 күн бұрын
Unaenda chaka hayo yoyote ya nini?waambie watu ukweli
@MjumbeAgano4 күн бұрын
Hakuna awezaye kufasiri Neno isipokuwa Mjumbe wa agano duniani,acheni uongo wa fasiri.
@MariaJtvine4 күн бұрын
4,4,4...🙏🙏
@beatricenangale54394 күн бұрын
Hivi huyu ni yule Padre Kashinje wa Parokia ya huko kijijini Nindo? Jimbo la Shinyanga? Mbona waumini wa huko Wana assert nzuri sana. Maana nilimsikiliza pia akihubiri juu ya Ekaristi Takatifu nilijifunza sana. Jamani ukweli tuna mapadre na mashemasi waliodhamiria hasa kuifanya kazi ya Bwana. Yatupasa tubadilike kutokana na mafundisho haya.
@JamooUrio4 күн бұрын
Huyu ni Pd John Kulwa(kurwa) wa Tabora Jimbo Kuu
@deusurio90565 күн бұрын
Wacha uongo, ukitenda dhambi Kwa kusudi ukijua nitakwenda kuungama ,bado hiyo dhambi hujaomdolewa
@josephlango55914 күн бұрын
Hebu tuambie dhambi ya mauti inaondokaje kama si toba na maungamo?
@benedictinebusanda3306Күн бұрын
Sikiliza uelewe usikurupuke kujaji
@user-fd4lw7xo7i5 күн бұрын
❤
@Montana12-v2c5 күн бұрын
Kwakosa la adam aridhi ndo ililaaniwa na sio Adam hapa watumishi mnashindwa kufafanua vizuri kwanini lana ya Adam ilibidi kulaaniwa Aridhi na sio yeye kwanini hapo hampaweki sawa ?? Mwanaume amepewa adhabu hao wengine wamepewa laana hapo lazima ieleweke vizuri
@user-nq5pl9ev7p5 күн бұрын
My favourite Father...daah bonge la somo
@LinathGodfrey5 күн бұрын
Mungu azidi kukutangulia na tuendelee kupata ukweli kupitia wewe
@JoyceNdunguru-lg1ug5 күн бұрын
Asante Fr kwa majibu ujumbe uliotangulia niliuandika kabla ya majibu yako.MAKANISA MENGI YA KIKATOLIKI HAWATUPATII DAMU YA YESU WANADAI IKO KWENYE MWILI WA YESU,HALAFU HIYO KAULI WAMEIPANDA NA KWA VIONGOZI WA KANISA,,SIJUI MAANA YAKE NINI,NILISHAULIZA DIVAI INAUZWA BEI GANI?INAMAANA NI GHALI SANA HADI KANISA LINASHINDWA KUNUNUA? NA WAUMINI WAMESHINDWA?JUMUIYA NAZO ZIMESHINDWA HATA KUCHOVYA MWILI TU?MAKANISA YA ANGILIKANA YOTE UWE MJINI AU VIJIJINI WAAMINI WANAPEWA MWILI NA DAMU.MAKANISA YA KIKATOLIKI TUNAOMBA MAPADRE WAZINGATIE JAMBO HILO.. FR ASANTE SANA KWA MAHUBIRI MUNGU AKUBARIKI SANA.PIA NAOMBA MAPADRE WAJITAHIDI SANA KUSOMA NENO LA MUNGU ,SALA , MAOMBI,WANA KITU KIKUBWA SANA AMBACHO MUNGU AMEWEKA NDANI YAO,,WAKIFANYA BIDIII HASA YA KUACHANA NA DUNIA HII WAKATOLIKI HAWATATANGATANGA,,WAAMINI WANAKWENDA HUKU NA HUKU KWA KUKOSA CHAKULA HAWASHIBI,WAKO SAWASAWA NA WATOTO WANAOKULA KWA WATU KUMBE KWAO NI MLO MMOJA.,,MAKANISA YAWE WAZI KWA AJILI YA KUWAFUNDISHA WAAMINI NENO LA MUNGU.,ILI WAPATE KUTUA MIZIGO WALIYONAYO KWA BWANA YESU NA KUOKOKA ,.HAPO NDIPO TUTAKAPOONA UZURI NA UTAMU WA YESU.NENO LA MUNGU NI UPONYAJI TOSHA,.
@JoyceNdunguru-lg1ug5 күн бұрын
Baba Padri kwanini tunapewa mwili wa Yesu tu (ekaristi),vipi kuhusu divai(damu ya Yesu),,shida iko wapi hapo? Sijaelewa bado,ingependeza sana MWILI NA DAMU YA YESU,,kama miaka ya nyuma .Sasa tunasikiliza tu.FANYENI HIVI KWA UKUMBUSHO WANGU hafu tunakula mwili tu,nilimuuliza Fr mmoja akanijibu mwili wa Yesu una damu ndani yake,,sasa kwani Yesu hakujua kama mwili wake una damu ?kwanini alitwaa mkate na divai akageuza kuwa mwili na damu?majibu ya Fr hayakuniingia akilini nimekuwa najiulizaulizatu,,NIELEWESHE HAPO.
@JoyceNdunguru-lg1ug5 күн бұрын
Mungu akubariki sana FR.Asante kwa mafundisho mazuri,.Sifa kwa Yesu Kristo
@JoyceNdunguru-lg1ug5 күн бұрын
Wakatoliki tuna cha kujifunza hapa,, Mungu atusaidie sana.
Binti yetu apumzike kwa amani mungu ampokee mbinguni..
@benmattowo8 күн бұрын
Asante Baba kwa mafundisho yako mazuri. Ndugu analazwa Hospitali halafu wanaokwenda kumjulia hali ni wachache sana mfano ndugu wa karibu pamoja na wale watu baki tena kwa gharama ndogo tu. Sasa inafikia msiba kwa yule mgonjwa gharama zinakuwa kubwa kwa maana ya Michango na kujitokeza majina makubwa ili kupata sifa. Ajabu pengine mgonjwa angepona kwa gharama ndogo kama wangemtembelea yapo mifano mingi inayofanana na mifano yako kuonyesha jinsi gani utu, ukarimu ,upendo n.k vinavyotutesa. Amina
@beatricekapotwe22788 күн бұрын
Amina
@user-yj2ki5fd3p8 күн бұрын
Asante sama father . Amina kunwa
@rosemaryemily3118 күн бұрын
Karibu Fullugosple
@EmanuelLohay-n9c8 күн бұрын
Amina mahubiri mazuri ubarikiwe padri
@clementinalotary49138 күн бұрын
Poleni sana kwa msiba mkubwa
@user-xh1bw3eu4t9 күн бұрын
Amen
@SoniMwenebonjwa9 күн бұрын
Asante sana padiri jonh kulwa ,ubarikiwe KWA SOMO lako utuombee ILI tuwe nanasfi safi ktk maisha yetu ya kiroho,
@SoniMwenebonjwa9 күн бұрын
Asante sana padiri KWA SOMO lako, mungu azidi kuongeza elimu yako ya kiroho, tupatie kushinda zambi zetu za asili,
@user-ci9lj2vq9n9 күн бұрын
Amina
@MaryMfoi9 күн бұрын
Pumzika kwa Amani Magreth
@uncertgosbertuncertgosbert83629 күн бұрын
Mkuu mkuu nakupa kutokea Goweko city
@PauloKagolo9 күн бұрын
Asante sana mkuu
@uncertgosbertuncertgosbert83629 күн бұрын
Kushukuru ni kuomba tena baba
@avelinabaluhya280410 күн бұрын
Mungu atukuzwe ktk yote🙏
@siliviakokubanza-dz6qf10 күн бұрын
Amina. Ahsante Baba kwa tafakari. Mungu atujalie tuwe watu wa shukrani.
@NicholasNalianya10 күн бұрын
Heko Padre Mungu akutie nguvu na akufunulie zaidi kwenye mahubiri yako.