Atutampata raisi Kama magufuri mungu umpokekee ktk makao yake ya milele Amina ❤
@PerpetuaGeorge7 күн бұрын
watoto wa kipapa wako vizuriii
@PerpetuaGeorge7 күн бұрын
kwakweli organist yuko vizuri hongera
@PerpetuaGeorge7 күн бұрын
kwakweli organist yuko vizuri hongera
@user-eg9ne2sb9c7 күн бұрын
Nakumbuka tulikiwasha iyo siku
@ibanzatvonline7 күн бұрын
Pongezi kubwa Kanisa Katoliki kwa Utamadunisho
@deosimba8 күн бұрын
Padre Anania hujarefuka tu?
@ChrisFrancis-hd8sg9 күн бұрын
Vivaa bukumbi hospital ❤❤❤❤❤
@josephatmkomi65739 күн бұрын
Kitomari big up
@Eva-mn8ns9 күн бұрын
Magufuli hoyeee ,
@YohanaMbano10 күн бұрын
Hongereni sana❤❤❤🎉🎉
@WilliamNestory-rn2wh11 күн бұрын
Hongereni sana wana wa kwande umetukumbusha kurud nyumbani mwanza kumenoga pia nimefurah kumuona kaka Derefinus baada ya kupotezana cku nyingi
@buselaelias21112 күн бұрын
Organist japo cjui jina lako hongera sana umeipamba Misa kw setting nzuri ya kinanda na fingering tamu sana
@happymarchiusnjungani113812 күн бұрын
Hongera Sana watoto pia Baba Mlez Fr.Busanda Barikiwa Sana
@user-yi6cf2jh9f15 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@DevinusMabiba15 күн бұрын
Hongera sana
@laurentlugema59317 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@NdamboAgano-hu2ci18 күн бұрын
Pumzika kwa Amani
@DavidZetekaPius18 күн бұрын
❤🎉😊
@TajiliusNdau18 күн бұрын
Pongezi sana baba
@wilbrodtungaraza620419 күн бұрын
Hongereni sana Wana Jimbo kuu la Mwanza Kwa kutembekewa na mgeni mkubwa sana
@user-iy6ot4bd2p19 күн бұрын
Hakika ilikuwa ni Furaha kubwa kwa wana Kirumba na wageni wetu kwa Ujumla, Baba Mwadhama Kardinali Tunakushukuru sana kwa Baraka, Tunakutakukia Utume Mwema.
@happymarchiusnjungani113820 күн бұрын
Mwadhama Kadinal Asante Sana kututembelea parokia ya kirumba Mungu akubariki ktk utume wako
@ROZIMARYLUTEMBEJA-cv6qp22 күн бұрын
Hongereni sana Mungu awatangulie na tnawaombea uaminifu wa kudumu daima,kwani malipo ya kazi zenu ni Uzima wa milele
@JamooUrio26 күн бұрын
Endeleeni kuweka video nyingi na kwenda live...kazi nzuri
@eliasnganira766127 күн бұрын
Kanisa letu lina kauzembe na ushahidi anautoa baba Askofu
@malifezajrdealf898227 күн бұрын
Ahsante baba askofu kwa ukumbusho
@dorothykabora2173Ай бұрын
Safi sana. Kila jema kwenu Vijana
@dorothykabora2173Ай бұрын
Hongereni Watoto, Mungu awasaidie muweze kufanikisha Malengo yenu
@FranciscoAmos-cx2zhАй бұрын
Nilkuwepo,Baba alinipa kipaimara kabla hajalala! Bwana ampe raha ya milele
@KapumbeNnyАй бұрын
woooooooh NYC
@aderickanatorypesha4004Ай бұрын
Huyu ni Baba msomi mchumi ,nimekaa naye Sana . Ningelipata fursa kufanya naye kazi maendeleo
@Boniphace222_trust_GodАй бұрын
Amina sana 🙏🙏
@enockmaige8936Ай бұрын
Tunakumbuka daima baba
@DionizLubango-of2wkАй бұрын
Asante Baba Kwa Maelezo mazuri
@aminamwivita7690Ай бұрын
Congratulations keep it up good job ❤❤
@user-sh9vr2xm9iАй бұрын
Hongereni Sana ,kazi nzuri Sana. Mungu awabariki kwa sadaka hii
@user-zq3zt8yk5sАй бұрын
Barikiwa kwautume wenu na baba apumzike kwa. Aman Amna
@mamangodoki37342 ай бұрын
Hongera Mama mkubwa wa Shirika na wasaidizi wako
@StellahMartine2 ай бұрын
Dunia simama nishuke,nimekua jmn
@emmanuelmogela58712 ай бұрын
Uyu dogo anaweza mwanangu, ila kwanini siku ya magu haipewi kipao mbele Ina mana hawaoni matunda aliyo acha mzee
@user-ks7tr1fd5d2 ай бұрын
Daaaaaaah pumzika kwa Amani baba wa wanyonge. Watanzania bado 2likuwa 2nakuhitaj lakin MUNGU kakuhitaj zaid. Ubarikiwe sana kijana kwa kumuenz baba wa wanyonge piaa hongera sana kwa kipaj chako MUNGU azid kukuina zaid na zaid. R.I.P 😢😢😢😢Magufuli
@VeronickaAdam-jn4rn2 ай бұрын
Kijan hongera sana kwa kumwekti bwana John pombe magufuli, naamini tutamkumbuka kwa mazuri!😊