Hatumhitaji, akale alikopeleka mboga. Si ameshapata duka au halijatosha. Mwambie akafanye mazoezi Coco beach😅
@patrinraura139714 күн бұрын
Simba ni timu kubwa Wachezaji tulionao ni wachezaji tishio ASANTE Tajiri MO Kama kuna tatizo Acheni kupoteza muda Kama kuna hela alipewa zirudi Simba Simba Nguvu moja
@hamidukimbunga906815 күн бұрын
Cost achani tamaa
@eliashagai792016 күн бұрын
👏👏👏👏👏💯💪
@Edithamathayo18 күн бұрын
Hawa yag VP
@ntegrity27719 күн бұрын
Sasa hapo utakosoa nini? Utakosoa mama yako
@ntegrity27719 күн бұрын
Hapo hata kuna wana ccm wanaumia maana wanatamani kuhamia chadema ila malaya gana haya
@aminaomary556723 күн бұрын
Tunataka wachezaji vijana na wazuri:na viongozi wabovu watolewe: Mgunda awe kocha mkuu. Kwa sababu ameanza kuonesha dalili nzuri mwishon mara tu alipongia.
@user-vr4jp9us8g23 күн бұрын
Yani hapo tupate washambuliji 2 nafasi zinatengenezwa ila hazi fanyiwi KAZI
@MbarakaHuwel23 күн бұрын
Tunataka wachezaji wazuri
@staliamwakalinga701523 күн бұрын
Vunja mkataba wa mayere mlete Simba atatusaidia
@user-fj4kj8xc5x24 күн бұрын
Muongeze na Mabululu ashirikiane na Steven Mukwala tuwe na mastreker wawili halisia
@SylvesterAmbokile-ur2vd24 күн бұрын
Huyu Jemedari hana anachokijua anajinadi tu
@peterotto35824 күн бұрын
iwe timu tishio pia FEI toto awepo
@benadikikoti116726 күн бұрын
Mzamiru hazungumzwi tu Ila ni mwamba kwelikweli
@anithawidambe754326 күн бұрын
Mo tunaomba CHAMA NA MAYELE.
@user-tm7nt8wm1x27 күн бұрын
Nyinyi mafara ni vyura wajangwani chenille kuingilia maswala ya simba lipeni made ni yanga ili ifunguliwe usajili
@Stephano72227 күн бұрын
❤❤❤ ❤ ❤ ❤❤❤
@mzeemambo823829 күн бұрын
Coastal Union mnacho kiherehere. Mlikuwa na mpango tu wa kumbania Yanga harakaharaka ili muwafurahishe makolo. Kwani mlikuwa na haraka gani kumuuza mchezaji wa maana hivyo bila hata hamjasikilizia ofa zingine za nje?. Sasa mnagombana na swahiba zenu buree. Muwe na utulivu mfike mbali. Hapa mmepigwa
@MakambaRashid29 күн бұрын
Nendeni fifa caf watajua nani ana haki au ana makosa wanasheria wa mpira hapa Tanzania Baadhi Yao ni wababaishaji Hawamjui kanuni Sheria za usajiri wa wachezaji kama hao kina Chacha mgongoro mmeona wenyewe sakata ra morisoni mgongoro ndio Arikuwa mwanasheria warisema morisoni Mari ya yanga sawa na hao kina Chacha hata mpangaji kama hajaripa mpe notis
@kamazimamuganyizi6932Ай бұрын
Ww unachoongea ukijui na km ww ni Yanga pls tuachie simba yetu pilipili usiyokula inakuwasha nn
@LassonDominickАй бұрын
Hakuna jipya apo simba watatumiaga akiri sana! Coastal hao niwapuuzi tu
NYIE WAHUNI TU NA UHUNI MLIOUFANYA KWA KULIPA KWA MAFUNGU HUKU MKIJINADI KUWA NA PESA WAKATI MAGUMASHI NA HICHO NDICHO KITAWAGHARIMU....KUKAA KIMYA SIO ISSUE BALI MLIPASWA KULIPA KWA WAKATI...
@user-jo6kb7ee8vАй бұрын
Coasital Union Lizikeni na Mkataba mlioufunga n Timu ya Simba, acheni kuwa na tamaa . C. Masolwa.
@drallan6879Ай бұрын
hata hivyo Kama mo angetoa pesa on time agreed yasingetokea
@drallan6879Ай бұрын
nyie coast hela yetu itawatokea puani
@user-cr7vi4qp9cАй бұрын
Kuna team toka nje ilikuja kujifunza huu mchezo mchafu
@benadikikoti1167Ай бұрын
Hilo ndiyo soka la tanzania na Kwa stahili hii tunategemea nchi zingine zijifundishe kwetu kwa Hali hii weledi unahitajika sana sana