Vitumbua haviwekwi mayai kabisa . Mayai huwekwa kwenye keki na maandazi
@salamamana4 ай бұрын
MashaAllah
@user-jf1eg2mi4i4 ай бұрын
Nina swali mfano ukapikia na chungu
@mapishitanga98614 ай бұрын
Pia sawa…kwasababu frying pan za cku hzi kama ugae
@faudhiakazinja69134 ай бұрын
Nimetengeza chapati kwa muongozo wako na MashaAllah zimetoka vizuri sana… asante😍
@mapishitanga98614 ай бұрын
Shukran…Jazakallah khair❤️❤️❤️
@nanamohamed60934 ай бұрын
❤❤❤wow mashallah Mzuri mno. 🎉
@mapishitanga98614 ай бұрын
Thankyou❤️
@neemalyimo89215 ай бұрын
Naweza pika kwa jiko la mkaa
@mapishitanga98615 ай бұрын
Ndio unaweza
@user-lt5uq8mf1g5 ай бұрын
1
@mohamedaayda60605 ай бұрын
Maziwa ya pakti ya 500
@mohamedaayda60605 ай бұрын
Kwa maziwa ya 500 mayai, waeza weka 4 ama?
@mapishitanga98615 ай бұрын
Unaweza kueka…ila itakuwa ngumu kdogo
@user-dl3ep1ow3y5 ай бұрын
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR. I AM PROUD OF YOU MY SISTER FROM TANGA .I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA. BUT I AM PROUD PEOPLE OF TZ .JUMA MUBARAK AND EID MUBARAK FROM BOTTOM OF MY HEART ❤️ 💙 💜 💖 💗 UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON WS. ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@mapishitanga98615 ай бұрын
Shukran, It means a lot really❤.
@mms91586 ай бұрын
Nimenda mmmm wau thanks❤
@mapishitanga98615 ай бұрын
Karibu❤
@AnnaEzekiel-zc3vf6 ай бұрын
Unaweza kupika kwenye mkaa?
@mapishitanga98616 ай бұрын
Yess ndio.....kwanza inabid uweke maji kidogo ata nusu au kikombe kizima alafu akishakauka maji unampalilia moto wa juu na chini.
@user-fk2ls5nt5h6 ай бұрын
nimependa ulivyo elekeza lakini pia huwezi kumtumia maji na maziwa pee
@mapishitanga98616 ай бұрын
Shukran❤.....Ila ukiweka maji unakuwa mgumu.... kwhyo nakushauri bora utumie nazi tuh
@littlepie59146 ай бұрын
Maashallah pambe
@user-fr1be4jo7v6 ай бұрын
Vizuri sanatorium 😍😍
@RacherBakari-qh2gx7 ай бұрын
Sasa hili ndio pishi sio futari inawekwa hoho karoti tangawizi. Kila kitu viungo boo
@mapishitanga98617 ай бұрын
Asanteee... Mapishi asili yetu😁
@DanAlves-jz8cm4 ай бұрын
Haha
@user-hi1nj6tw5n7 ай бұрын
Mayai umewek mangap
@mapishitanga98617 ай бұрын
Ipo kwenye video
@winifridalaswai19217 ай бұрын
Je hatuweki sukari?
@mapishitanga98617 ай бұрын
Unaweza kuweka lakn hapo itabid usiweke vitunguu
@KurusumuMossi-df1gg8 ай бұрын
Ma Shaa ALLAH mamy🥰. ALLAH akulipe kheir 🤲. Nimetaka kuulizia vp km hauna samli inakuaje ?🙏
@mapishitanga98618 ай бұрын
Amiin Amiin kwa soteee😊....kama huna samli unaweza kutumia ata mafuta..ila samli ndo inaongeza hizo kurasa kwenye chapati..shukran