Hongereni sana hapa tu ndo tunapowapa hongera zetu kwa jeshi la polisi kwa kutulinda raia na kupambana na waharamia kama hawa. ni mambo ya siasa tu ndo huwa yanawaharibu na kupambana na raia wenzenu wema. lakini kusingekua na mambo ya kisiasa nyinyi ni watu wa maana sana kuwepo. tunawapa hongera kwa kazi kubwa mnayoifanya. Hongereni sana.
@NeemaNnko-t8w4 күн бұрын
Huyo jambazi haonyeshi haha kuogopa.hana woga, afungwe maisha.akirudi uraian anaeza maliza watu.hongera jeshi la police kwa kazi nzuri
@NeemaNnko-t8w4 күн бұрын
Huyo jambazi haonyeshi haha kuogopa.hana woga, afungwe maisha.akirudi uraian anaeza maliza watu.hongera jeshi la police kwa kazi nzuri
@NeemaNnko-t8w4 күн бұрын
Huyo jambazi haonyeshi haha kuogopa.hana woga, afungwe maisha.akirudi uraian anaeza maliza watu.hongera jeshi la police kwa kazi nzuri
@NeemaNnko-t8w4 күн бұрын
Huyo jambazi haonyeshi haha kuogopa.hana woga, afungwe maisha.akirudi uraian anaeza maliza watu.hongera jeshi la police kwa kazi nzuri
@MsAisha-w4o4 күн бұрын
Ahsanten sana jeshi la police mungu aendelee kuwalinda ha awape afya njema
@anenragnesmunis84904 күн бұрын
Hata haogopi anavyoangalia mtu mzima nafanya ujambazi na familia inawatazama
@gassymushi15364 күн бұрын
Mtanda mpenda haki go's bless u
@Pagansmediagrouptv4 күн бұрын
Mkono wa shelia ijukue mkondo wake
@abdallahkiliaki37444 күн бұрын
Wkt unamshukuru Mama Samia, umesahau msimamo mkali alioutoa Rais John Pombe Magufuli kabla yake. Magufuli alikuwa tayari kukata misaada ya nje na kufungia NGOs zilizokuwa zinajihusisha na masuala ya ushoga. Watetea haki za binadamu hapa hapa nchini wakamwona Magufuli km "anti-west". Adui yetu mkubwa ni Watanzania wenzetu anbao ni waajiriwa wa NGOs zinazofadhiliwa na nchi za Magharibi. Wanajua kinachoendelea ndani ya hizo taasisi.
@JosephineMegora4 күн бұрын
Kila chenye mwanzo huwa kina mwisho
@JosephineMegora4 күн бұрын
Kudadadeki
@user-cm2io9vz3v4 күн бұрын
Hongera sana TZ police tunawaombea endeleeni na kazi nzuri sana
@tatuaamuuinyi96334 күн бұрын
Ila mwanza wanaulinzi mkali
@martinkisha63075 күн бұрын
Polisi wetu mimi nawakibari sana kwa kazi hamna mchezo
@masoudalriyamy62985 күн бұрын
Msiwahurumie muuwaji nae auliwe tunaimba serekali isowahurumie hawa wakisibitishwa wameuwa wauwawe wanaumiza watu mpaka polic pia wanaumia wakati wakuwakamata
@masoudalriyamy62985 күн бұрын
Naiyomba serekali polc wakifanya kazi nzuri waengezewe cheo ili wapate moyo wakufanya kazi au wapewe hata zawadi serekali iwafikiria kwa kazi nzury
@masoudalriyamy62985 күн бұрын
Tatizo letu vingozi hatii saini kwa wauwaji wamakusudi tuimba serekali mtu akiuwa kwa makudi ahakumiwe kwa mujibu ya sharia muuwaji nae auliwa sahivi wamekua hawana uwoga