Leo nimejifunza jambo ambalo kwa uhakika sikujua kulifanya
@user-uk6vv8ug1gАй бұрын
Safi sana nimekuelewa
@bellaali254Ай бұрын
Jeee jee 😂😂😂
@OmarChai-tj3klАй бұрын
Ujumbe mzuri kwa madereva,mwenye kusikia na kujirekebisha faida kwake.ni jukumu la kila mtumizi wa barabara ajijali na ajali wenzake.
@firdausfumo7637Ай бұрын
😂😂😂
@basaidahbillionaire2 ай бұрын
Washa video hii kila ukienda safari yako na Allah atakuhifadhi utaenda na kurudi salama
@hemedyabdallah1582Ай бұрын
Assalam aleikum mzee wangu nakufwatilia sana
@hemedyabdallah1582Ай бұрын
Dereva mwenzako mimi , naeza Pata namba yako tuwasiliane whatsApp kama hutojali lakini Nia ni njema
@hemedyabdallah1582Ай бұрын
Inshaallah
@sisteredwin81262 ай бұрын
Uko vzr maalm
@jenniferowoya73932 ай бұрын
Upo vizuri sana
@HuseniMohamedi3 ай бұрын
Unatoa elimu nzur
@HuseniMohamedi3 ай бұрын
Boss naomba kufundishwa 3:47
@PapyNakumuryango3 ай бұрын
Asant san mim driver alakin sikua najua program
@basaidahbillionaire4 ай бұрын
Lazma tubadiloke sisi wenyewe mwanzo
@basaidahbillionaire4 ай бұрын
Plz usisahau ku coment na ku subscribe plz na kunirekebisha nilipo koseya tafadhali
@ismailmohamed85054 ай бұрын
😂😂😂hakuna hio promotion sheikh
@basaidahbillionaire4 ай бұрын
Plz alopata jawabu anijibu ndio nijuwe ameanza vipi
@nurudinihamisi-le3lq4 ай бұрын
Kaka nimeipenda hiyo kaka shukrani sanaaa 🙏
@suralowgasomalistar65145 ай бұрын
you look like somalia lake habar gidir
@ibraahke43355 ай бұрын
Oya oyaah shukran bro endelea ivo ivo kutuelimisha
@francissoita94276 ай бұрын
Thank you so much
@starlonejadamskp82246 ай бұрын
Ahsante shekh
@AMOSRONOH-pl2gp7 ай бұрын
Hongera sana bro
@alfredibrahim70858 ай бұрын
Toka Tz nakupata na naikubali kazi yako nimejifunza kitu
@antonykibuthu85778 ай бұрын
Good advice
@hanifabdalla81189 ай бұрын
Assalam aleikum yakhy,Niko na tatizo na naomba kufahamishws kwa making sana,Mimi no dereva mtarajiwa wa trailer inshaAllah. Ntakuona vipi ama ntawasiliana nawe vipi? Nitakuwa na mtihani soon,naomba kabla unijuze nifahamu,wa billahitaufiq
@user-ng4vf2kq5c10 ай бұрын
💪💪💪💪💪
@josephclety10 ай бұрын
Teacher ilikuwa umesahau kidogo hapo kwenye .... Manual and auto 🙏
@josephclety10 ай бұрын
Teacher uko sawa endelea na mafunzo bt nilikuwa naendesha Scania, sahv nipo Eldoret Kenya naendesha Tank Benz Across nimepata mafundisho kwako👍🙏
@josephclety10 ай бұрын
Nimekupendaaa
@AbdulMadjidiNkurunziza-gs3iu10 ай бұрын
Safisana
@AbdulMadjidiNkurunziza-gs3iu10 ай бұрын
Nimeipenda hiyoo
@AlphaCeloh Жыл бұрын
Inaitwa kinembe
@vincentgathoni7618 Жыл бұрын
Basaida mhenga mwenyewe
@fatmaathman5851 Жыл бұрын
Na ni bei gani
@fatmaathman5851 Жыл бұрын
Nitapata vipi
@fatmaathman5851 Жыл бұрын
Nataka hiyo chupa yangu imepotea
@gracekevin807 Жыл бұрын
Ni how much
@sadiamassage9589 Жыл бұрын
Basaida nakupenda uwe mume wangu
@basaidahbillionaire Жыл бұрын
Uko wapi
@sadiamassage9589 Жыл бұрын
Lakini moto wake ni mdogo sana sikama jiko ya utambi
@mosesmoses5203 Жыл бұрын
Kazi poa man👍
@basaidahbillionaire Жыл бұрын
Viongozi wajaribu kumuiga mzee Moody Awori
@peterkamau3142 Жыл бұрын
What about ukitumia engine brake na half brake at a time
@raymondmlay7827 Жыл бұрын
Uko sawa dereva
@elijahsandeh5324 Жыл бұрын
Kazi mzuri bro, lete maelezo kwa wingi husikawie sana
@cheruyotkilel162 Жыл бұрын
Ingine break ni gani onyesha
@cheruyotkilel162 Жыл бұрын
Engine break yaani onyesha kwa iyo gari yako
@bugzakimonki506 Жыл бұрын
Musitake kutudanganya hapa huyo Mr ngugi mwenyewe ni kamlete tu njooni tuwafundishe chuma inavyo endeshwa
@elvismathenge2371 Жыл бұрын
Naeza pata kazi ya Turnboy ?
@basaidahbillionaire Жыл бұрын
KAZI ya siku hizi ndogo wangu mpaka mtu anaekujuwa akudhamini mahali