WAFANYABIASHA WA AMANI WAILILIA CCM.
7:13
9 сағат бұрын
USALAMA FEKI ATIWA MBARONI ZANZIBAR
6:41
16 сағат бұрын
SERIKALI YAFANYA MSAKO WA WAGANGA ZANZIBAR
6:25
HII NDIO NAMNA YA KUFIKA CHUO KIKUU
8:31
16 сағат бұрын
KWANINI PEMBA NI HAZINA? (SEMA NASI)
28:42
21 сағат бұрын
KUWENI MSAADA KWETU TUNUSURIKE
5:00
14 күн бұрын
ZANZIBAR NA OMAN NI NDUGU WA KWELI
7:18
HII KWETU LEO NI ZAIDI YA EID
3:40
Пікірлер
@mohammedbakhresa7139
@mohammedbakhresa7139 25 минут бұрын
Mwangaruka baba
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 54 минут бұрын
Huyu mutu kiongozi ccm zenjibar ni mmbara dugh 😂😂😂
@user-om2ur5by9n
@user-om2ur5by9n Сағат бұрын
Nenda kwenu Bara uko kasemee uko bara
@salyali7807
@salyali7807 3 сағат бұрын
Zanzibar imekwisha imekua sasa tunapangiwa na watu wa Tanganyika .. hayo ma flyover wanavutiwa wageni wazanzibari tunazidi kukisaga .. Hasbiyallah waneemal wakeel 😢😢😢
@ednamachocho3059
@ednamachocho3059 3 сағат бұрын
Leo mimi mchoyo kumbe wakwetu wewe halafu umepotelea huko kwa wenyewe RUDI NYUMBANI SHEIKH OTHMAN MAALIM
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 3 сағат бұрын
Jamani kwani lazima ziwekwe picha za watu weupe
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy 3 сағат бұрын
Uyo hana uchungu na wazanzibar .jina leke nani na iyo lafudhi habari kwisha apo Balabala tena mmmmh
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy 3 сағат бұрын
Hio imeenda
@MuhammadiSungy
@MuhammadiSungy 3 сағат бұрын
MashaaAllah shukran
@AlkafaaMarket
@AlkafaaMarket 4 сағат бұрын
Umaski ni huu utaishalini wa kuonewa waimarisheni watu kwaza halafu muvunnje
@mwanaidkhamis
@mwanaidkhamis 4 сағат бұрын
Speechless Rashid leo 😂😂😂
@MwajumaZubeir
@MwajumaZubeir 4 сағат бұрын
We love u somo
@MohamedAbdalla-tq8qo
@MohamedAbdalla-tq8qo 5 сағат бұрын
Leo ccm zanzibar inasemewa na mtu kutoka bara kwel zanzibar ishavamiwa
@zainabuali9915
@zainabuali9915 5 сағат бұрын
❤❤❤
@Grataaaaa
@Grataaaaa 5 сағат бұрын
Ccm bana hatar
@FatmaSaid-g3m
@FatmaSaid-g3m 5 сағат бұрын
Asimkope mwenzake eeeeh
@FatmaSaid-g3m
@FatmaSaid-g3m 5 сағат бұрын
Power of papernote wanajua wanafunzi tu🤗
@user-hm5jl1kh2t
@user-hm5jl1kh2t 6 сағат бұрын
Naona Leo umeachwaa nyumaa Rashid 😂😂😂 hayaa kamataa zako tatu uzifanyie kazi
@ChainesBoufee
@ChainesBoufee 6 сағат бұрын
Ccm hawaaminiki at kdg haswa kwnye pesa nd kbsa.
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 7 сағат бұрын
Paspoti muhimu.minyamwezi warudi kwao
@harithwhite589
@harithwhite589 7 сағат бұрын
Vunjeni vibanda ivo maneno mengi ya nini,mji umekaa kama jalala
@harithwhite589
@harithwhite589 7 сағат бұрын
0:06 jamani kweli hapa ndo mjini
@Allybinamour
@Allybinamour 7 сағат бұрын
hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzur
@denislaswai9425
@denislaswai9425 7 сағат бұрын
Jamani duu inauma pole Sana dada kabh ujaf ujaumbika mshukiru mungu tu
@muhammedbakari2867
@muhammedbakari2867 8 сағат бұрын
Arthi imekuwa ya ccm sasa sio tena ya wananchi... Hapo ndio tumefikishwa wazanzibar.. twenden tutafika.. juwen kuwa Zanzibar tumekwisha.. Catholic church movement (ccm) imetumaliza..
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 8 сағат бұрын
Fly overs ila pembeni kumezukwa na vibanda havina hata mpangilio patapendeza kweli
@user-yn4di1lj7f
@user-yn4di1lj7f 10 сағат бұрын
Awo watu nao wapumbavu
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 13 сағат бұрын
Marco 😮 mtu wa wapi huyu????
@NoufelSalim
@NoufelSalim 6 сағат бұрын
Pemba
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 сағат бұрын
@@NoufelSalim 😂😂😂 kwa jina lake tuu siyo kutoka Pemba ….
@kassimjuma6151
@kassimjuma6151 16 сағат бұрын
Tunaomba huyu mzee aletwe tena atuelezee historia ya mapinduzi.
@saidhamad7504
@saidhamad7504 13 сағат бұрын
Haijui atatupakia tu
@kassimjuma6151
@kassimjuma6151 13 сағат бұрын
@@saidhamad7504 wewe unaeijuwa nipatie namba yako nikufuate ili nijifunze
@user-rv2gb2gi7q
@user-rv2gb2gi7q 16 сағат бұрын
Mimi namkubali mwandishi nguli Salim jinsi anavyoelezea mambo hongera Al Fatah ALLAH awalipe
@husseynomar9523
@husseynomar9523 18 сағат бұрын
Sawaaa😅😅😂😂😂
@MajidiTailani
@MajidiTailani Күн бұрын
Amin🙏🙏🙏🙏
@mangofish9079
@mangofish9079 Күн бұрын
Hio michezo sie wa rika la 80s ndio kizazi cha mwisho kuicheza na tmpaka miaka ya early 90s ipo inachezwa imeanza kupotea kuanzia late 90s hivyo kuanzia vizazi vya 2000 kwao wao hayo ni hadithi tu.
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 Күн бұрын
Shukran kwa kipindi hichi kinatukumbusha mbali
@fatmasaid9765
@fatmasaid9765 Күн бұрын
Historia nzuri sana
@user-qo8uj1ym4m
@user-qo8uj1ym4m Күн бұрын
Shekh salim said salim,umezungumza mambo mzr,kijuki penya penya,majani ya mdimu saga saga,njugu nilembwe,kweli mambo yameenda arijojo hata hio Zanzibar ipo arijojo,
@mangofish9079
@mangofish9079 Күн бұрын
Ndugu mtangazaji una umri gani hata mchezo wa maji ya mdimu uwe hukuusikia au ulikuja bada ya kumaliza darasa la 7 upande wa pili? Dont take it personal ni maoni tu na kufurahishana.
@Grataaaaa
@Grataaaaa Күн бұрын
Aslam alikum apo shekh rashid nakupa mauwa yako wallah
@nasirhamadi8027
@nasirhamadi8027 Күн бұрын
Wapemba wenzangu gonga like apa
@MrKhatibu
@MrKhatibu Күн бұрын
Hii kibibi nipe maji, imenikumbusha mbali sana. Kweli ni kipima imani ya mtoto 😅😅😅😂😂😂
@theteacherchance6750
@theteacherchance6750 Күн бұрын
"MTU JINA LAKE HALIJUI." 😢😭
@user-zl3we4si9q
@user-zl3we4si9q Күн бұрын
Zamani watu wanajali sana katika kitika kila nyumba kuna kuana uwanja katikati kwa ajili ya kulea watoto na kucheza michezo mbali mbali na wazee wakituangalia ukifanya kosa unagombwa na mzazi yeyote ilikua raha sana na uwanja ikitokea shughuli yoyote iwe msiba au harusi watu wote hujumuika kwa ushirikiano wote
@ummuhammad7571
@ummuhammad7571 Күн бұрын
Inasikitisha kwakweli
@ummuhammad7571
@ummuhammad7571 Күн бұрын
😭
@user-zl3we4si9q
@user-zl3we4si9q Күн бұрын
Kinyuki kipenya ilikua raha sana
@juhudiyaislamiya2660
@juhudiyaislamiya2660 Күн бұрын
Vitu hivi vya asili sio rahisi kuvipata mpaka kwa wazee wa busara kama hawa
@user-zl3we4si9q
@user-zl3we4si9q Күн бұрын
Nilicheza michezo hiyo yote mashaa Allah umenikumbusha mbali mzee
@user-zl3we4si9q
@user-zl3we4si9q Күн бұрын
Kumbe mimi nimepata maadili mazuri Alhamdulillah
@salmasalim6055
@salmasalim6055 Күн бұрын
Duu 😳umepewa kazi ngumu hata Allah hapendi
@vdioali6761
@vdioali6761 Күн бұрын
Good smile kwa mtangazaj