Huyu mutu kiongozi ccm zenjibar ni mmbara dugh 😂😂😂
@user-om2ur5by9nСағат бұрын
Nenda kwenu Bara uko kasemee uko bara
@salyali78073 сағат бұрын
Zanzibar imekwisha imekua sasa tunapangiwa na watu wa Tanganyika .. hayo ma flyover wanavutiwa wageni wazanzibari tunazidi kukisaga .. Hasbiyallah waneemal wakeel 😢😢😢
@ednamachocho30593 сағат бұрын
Leo mimi mchoyo kumbe wakwetu wewe halafu umepotelea huko kwa wenyewe RUDI NYUMBANI SHEIKH OTHMAN MAALIM
@fatmasaid97653 сағат бұрын
Jamani kwani lazima ziwekwe picha za watu weupe
@HalidMuhammad-gi9qy3 сағат бұрын
Uyo hana uchungu na wazanzibar .jina leke nani na iyo lafudhi habari kwisha apo Balabala tena mmmmh
@HalidMuhammad-gi9qy3 сағат бұрын
Hio imeenda
@MuhammadiSungy3 сағат бұрын
MashaaAllah shukran
@AlkafaaMarket4 сағат бұрын
Umaski ni huu utaishalini wa kuonewa waimarisheni watu kwaza halafu muvunnje
@mwanaidkhamis4 сағат бұрын
Speechless Rashid leo 😂😂😂
@MwajumaZubeir4 сағат бұрын
We love u somo
@MohamedAbdalla-tq8qo5 сағат бұрын
Leo ccm zanzibar inasemewa na mtu kutoka bara kwel zanzibar ishavamiwa
@zainabuali99155 сағат бұрын
❤❤❤
@Grataaaaa5 сағат бұрын
Ccm bana hatar
@FatmaSaid-g3m5 сағат бұрын
Asimkope mwenzake eeeeh
@FatmaSaid-g3m5 сағат бұрын
Power of papernote wanajua wanafunzi tu🤗
@user-hm5jl1kh2t6 сағат бұрын
Naona Leo umeachwaa nyumaa Rashid 😂😂😂 hayaa kamataa zako tatu uzifanyie kazi
@ChainesBoufee6 сағат бұрын
Ccm hawaaminiki at kdg haswa kwnye pesa nd kbsa.
@ibrahimame98057 сағат бұрын
Paspoti muhimu.minyamwezi warudi kwao
@harithwhite5897 сағат бұрын
Vunjeni vibanda ivo maneno mengi ya nini,mji umekaa kama jalala
@harithwhite5897 сағат бұрын
0:06 jamani kweli hapa ndo mjini
@Allybinamour7 сағат бұрын
hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzur
@denislaswai94257 сағат бұрын
Jamani duu inauma pole Sana dada kabh ujaf ujaumbika mshukiru mungu tu
@muhammedbakari28678 сағат бұрын
Arthi imekuwa ya ccm sasa sio tena ya wananchi... Hapo ndio tumefikishwa wazanzibar.. twenden tutafika.. juwen kuwa Zanzibar tumekwisha.. Catholic church movement (ccm) imetumaliza..
@hajiabdalla57728 сағат бұрын
Fly overs ila pembeni kumezukwa na vibanda havina hata mpangilio patapendeza kweli
@user-yn4di1lj7f10 сағат бұрын
Awo watu nao wapumbavu
@awatifalghanim110613 сағат бұрын
Marco 😮 mtu wa wapi huyu????
@NoufelSalim6 сағат бұрын
Pemba
@awatifalghanim11063 сағат бұрын
@@NoufelSalim 😂😂😂 kwa jina lake tuu siyo kutoka Pemba ….
@kassimjuma615116 сағат бұрын
Tunaomba huyu mzee aletwe tena atuelezee historia ya mapinduzi.
@saidhamad750413 сағат бұрын
Haijui atatupakia tu
@kassimjuma615113 сағат бұрын
@@saidhamad7504 wewe unaeijuwa nipatie namba yako nikufuate ili nijifunze
@user-rv2gb2gi7q16 сағат бұрын
Mimi namkubali mwandishi nguli Salim jinsi anavyoelezea mambo hongera Al Fatah ALLAH awalipe
@husseynomar952318 сағат бұрын
Sawaaa😅😅😂😂😂
@MajidiTailaniКүн бұрын
Amin🙏🙏🙏🙏
@mangofish9079Күн бұрын
Hio michezo sie wa rika la 80s ndio kizazi cha mwisho kuicheza na tmpaka miaka ya early 90s ipo inachezwa imeanza kupotea kuanzia late 90s hivyo kuanzia vizazi vya 2000 kwao wao hayo ni hadithi tu.
@fatmasaid9765Күн бұрын
Shukran kwa kipindi hichi kinatukumbusha mbali
@fatmasaid9765Күн бұрын
Historia nzuri sana
@user-qo8uj1ym4mКүн бұрын
Shekh salim said salim,umezungumza mambo mzr,kijuki penya penya,majani ya mdimu saga saga,njugu nilembwe,kweli mambo yameenda arijojo hata hio Zanzibar ipo arijojo,
@mangofish9079Күн бұрын
Ndugu mtangazaji una umri gani hata mchezo wa maji ya mdimu uwe hukuusikia au ulikuja bada ya kumaliza darasa la 7 upande wa pili? Dont take it personal ni maoni tu na kufurahishana.
@GrataaaaaКүн бұрын
Aslam alikum apo shekh rashid nakupa mauwa yako wallah
@nasirhamadi8027Күн бұрын
Wapemba wenzangu gonga like apa
@MrKhatibuКүн бұрын
Hii kibibi nipe maji, imenikumbusha mbali sana. Kweli ni kipima imani ya mtoto 😅😅😅😂😂😂
@theteacherchance6750Күн бұрын
"MTU JINA LAKE HALIJUI." 😢😭
@user-zl3we4si9qКүн бұрын
Zamani watu wanajali sana katika kitika kila nyumba kuna kuana uwanja katikati kwa ajili ya kulea watoto na kucheza michezo mbali mbali na wazee wakituangalia ukifanya kosa unagombwa na mzazi yeyote ilikua raha sana na uwanja ikitokea shughuli yoyote iwe msiba au harusi watu wote hujumuika kwa ushirikiano wote
@ummuhammad7571Күн бұрын
Inasikitisha kwakweli
@ummuhammad7571Күн бұрын
😭
@user-zl3we4si9qКүн бұрын
Kinyuki kipenya ilikua raha sana
@juhudiyaislamiya2660Күн бұрын
Vitu hivi vya asili sio rahisi kuvipata mpaka kwa wazee wa busara kama hawa
@user-zl3we4si9qКүн бұрын
Nilicheza michezo hiyo yote mashaa Allah umenikumbusha mbali mzee