Mungu alitaka uende pale ili watu wake wasikie neno na kumjua kupitia wewe.Yesu alikuja kwa wakosefu ili wamjue so ulitimiwa na mungu katikati ya waovu sioni kwanini unaomba msamaha kwa kufanya kazi ya mungu.
@user-mb3zq1jr1q23 минут бұрын
Ule ubaya sasa unabwela 😊
@HaruniGerald-g8l27 минут бұрын
Sawa
@martingelard712133 минут бұрын
Mtetezi cku zote huwa adui kwa wambaya, mungu atamulida ,awe na afya njema...❤❤ kioo cku zote kinatazamwa hata kipofu hutamani kukiangalia hata kukishika japo haoni...Watazania tunakuombea afya njema.....
@YvonneNjeri-cb7yw46 минут бұрын
Jipe moyo dada, umeshinda hili jaribu kwa sababu ulikua umefika mbele ya hili tukio kukupata kupitia wimbo wako" Niangukapo Mimi nitasimama tena".
@BarakaKawanaraСағат бұрын
Kweli kuna mamb dunian ya uchawi
@sakysaky1800Сағат бұрын
Dah Sad....
@mvullamanaseСағат бұрын
Hii ni ya kipindi cha Magu. Ndio maana Magu aliwatumbua
@user-go6ht5vv8r2 сағат бұрын
Jambalaya hili
@PreciousLilian-f9n2 сағат бұрын
Kanisa lako lipo wapi nije kula
@festinamwakipale39192 сағат бұрын
Makonda ni kiungo Tanzania
@aishajumanne26982 сағат бұрын
Mungu sijawahi kukutana wala kumuona live makonda .niliwahi kukuomba kipindi ukimya wa JP Mungu Baba ila ukaona aje kwako .niliumia sana Baba.ila nakuomba sana Baba Mungu please.mpe uhai na uzima Paul Makonda uwiii naumia sana nitaumia nihurumie Mungu baba..hii iwe turn kwao wanaotaka akufe waumize wao now
@SuleAmber-lw2tx2 сағат бұрын
Siasa makanisani sio nzuri ,Makonda piga kazi mkuu tunakuombea upone urudi kazin
@bahatishaisiagi42032 сағат бұрын
Hii record ya mwaka gan, maana nasikia anatajwa mkapa amemuabia!! 😢
@user-uo3jl7jb6x3 сағат бұрын
NAKUOMBEA sana Paul sana mkuu wa mkoa wetu wa Arusha upone haraka
@EliaMhile4 сағат бұрын
Kumbe mzee wa upako sio mkristo.. Mmh kumbe watumishi vilaza ni wengi namna hii
@basilisamsaka84694 сағат бұрын
Jamn Nchi hii ina watu wa namna gani,ina maana wamemfanya kama Magufuli,jamn msimuue maana mbona alishaacha siasa, inamaana kupewa ukuu wa mkoa ndio tayari, uwiiiiiiiii.
@AdijaSeleman4 сағат бұрын
IKO VIZURU ALLA AMUWEKEYE WEPES POPOTE ALIPO
@maximilianishanyangi14154 сағат бұрын
kama itatokea na makonda kufa nchi hii daa
@AndrewShola-ts5lp5 сағат бұрын
Je kosa lake liko wapi,? Ila nao Hawa wa haki ya kibinadam hamnazo kweri. Je makonda anamtetea binadam wao wanamtetea mtu..
@dicksonkilupa22585 сағат бұрын
Tunaomba ufahamu juu ya aina ya msalaba unaoutumia na ikiwa wewe ni mtu mwema mbona unatumia nguvu nyingi ki hivyo? Je hupendi kushauriwa?
@SarahLegonda-c8w5 сағат бұрын
Piga goti muombe msamaha mungu achana na binadam
@gisellekavira89665 сағат бұрын
Mungu akukemeye wewe.
@salimnzomo17046 сағат бұрын
Try Kenya and you will see for yourself
@mwanawamfalmetz6 сағат бұрын
Pole Mama mi naamini wewe sio mtu wa mitandao raiti ungekuwa nimtu wa mitandao ungekuwa unamfahamu sana huyo mtu❤
@devotamutayoba93736 сағат бұрын
Makonda uko wapi? Ebu jitokeze utusalimie tumekumiss jembe letu
@hanskidd22906 сағат бұрын
Mbona hii clip ktambo sana tangu magu yupo mzma
@tertulashio7 сағат бұрын
Huyo alikiwa ni nani? Membe???
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly7 сағат бұрын
Mwacheni NAPE jamani, Kwani kutoka madarakani ni ajabu?? Uchaguzi halali ni ULAYA tu siyo AFRIKA,kwa hapo tumefail.
@tertulashio7 сағат бұрын
Uongo Uongo ndio menu ya Maisha
@antoniaseif24807 сағат бұрын
Mungu asimame nawewe atete na wanao Tena nawe apigane na wanao pigana naweee❤😢
@gracemtonga32637 сағат бұрын
Atakuwa anamharibi kazi zake kiuchawi so kiboko ya vigagula kambaini😂😂😂😂
@DevothaMahajile7 сағат бұрын
Acha kujitetea
@FrankhabibuLunenge-vp8ho8 сағат бұрын
Unawasaidia au unawadhalilisha tumia hekima
@Moses-ur8cr8 сағат бұрын
Nape,makamba na kinana ni mafisadi wanatak kuhujumu nchi kwa kutumiwa na mabeberu wa magharibi watanzania tuwe macho tujifunze kwa traole wa bukina faso miaka miwili tu bukinabe neema
@PiusKimaro8 сағат бұрын
Kaz nzuri mno.kwa wale machawa wajitathmin.hii tz yetu mungu anajua unyonge wetu.atatumia machawa kama mfano kwa waovu wakisiasa
@minyoosho18608 сағат бұрын
Ndugu okoka umjue Yesu
@user-sh6ch6ex1h8 сағат бұрын
Your best friend could be your worse enemy, R.IP Nesta Robert Marley
@catherinekeli74039 сағат бұрын
Hujakosa ulihudumia watu. Tuliitwa kwa ajili ya Dunia na Yesu alikufa kwa ajili ya hao. TUnafaa tufikie hao ndio wa nahitaji Mungu.
@simonmwambene44419 сағат бұрын
Vita Gani tena wewe umeomba msamaha kaa kimya hayo maombi magumu ya Nini tena je wewe usingefanya haya yote wangepost hivyo vitu?
@MarthaLungwa-sr4er9 сағат бұрын
Unajuwa mi nasemaje haijalish mmeliwa hamjaliwa wpo walioponywa kwa iman zao na ndio maana wanajaa pale nasemaje anaesifia mvuwa imemnyeshea. Manabiii wangapi washenziwashenz huku dar hamuwaongelei leo kiboko ndio kawa wimbo uzur hakuna mtu aliwaita palemlienda wenyewe kama uliskia bei huiwezi kwanini usipande gar urud kwako ?? Inakuuma hela ya jirani yako unajitangaza kabisa shika biblia mama soma omba funga uone kama yesu atakutupa kwa jambo lolote lile ukimwamini.
@user-uj5wg9mm2t9 сағат бұрын
Hakuna mkamilifu sisi wote ni wakosefu mbele zke,,Allah akusamehe dada😢😢
@nasrasewando71529 сағат бұрын
Mungu anasemaga kwanza,so Roho Mtakatifu ajakuambia bac ww unaenda kimwili
@marykarebeti94109 сағат бұрын
Dada upendo!! Yamkini Mungu aliruhusu uende ili uwajie maadui zako. Wasamehe na usonge mbele. Kwangu sijaona kama ni kosa ila ni njia ya kujifunza. Ubarikiwe
@JumaNjiku-df1fd10 сағат бұрын
Mwandishi rudi shule ukasome! Ajiudhuru ni kitendo ambacho hakipo! Neno sahihi ni jiuzulu- ajiuzulu.
@maryr403310 сағат бұрын
Hapo umedanganya Yesu yupo uchawi upo!!
@RoseNailo11 сағат бұрын
Hauna kosa hapo ulipoendà sio kubaya maana Mungu ni wetu wote wabaya na waluo wema kikubwa injiri ifuke mabaya yao haya kuhusu
@user-wj6zj1ly4e11 сағат бұрын
Mpina anajibu kwa takwimu na vigezo lkn bodi ya sukali inajibu kwa mdomo na takwimj ambazo hajahoji mpina
@AnthonyVitalis-iy5su11 сағат бұрын
Watu wanashida wewe unawaimbia
@mwambaimara195012 сағат бұрын
Awekae sumu ni gaidi kama wewe unakanusha, tuambie wew