Tokea niliposoma kwa mara ya kwanza kitabu chako cha Timiza malengo yako vitu viwili ambavyo nilivitendea kazi ni hiyo Falsafa ya Choma meli zako zote na Chinese Bamboo… ambavyo mpaka leo hii vimenibadilisha sana postively na mtazamo wangu ulibadilika sana tangu wakati huo na mpaka najishangaa mwenyewe… Barikiwa sana Joel Mungu akutunze uzidi kusaidia watu wengi mimi binafsi nakushukuru sana kunipa elimu ambayo huwezi kuipata kwenye mfumo wa kawaida wa ellimu …
@JohnNdosi-i1yКүн бұрын
Nimekubali anachofundisha Ubarikiwe Sana ndugu
@zuwenayusuph3813Күн бұрын
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@NancySalekwaКүн бұрын
U know bro
@CharlzFilbethКүн бұрын
Unaongea facts Sana broh
@TravoriusShimbaxКүн бұрын
Napitia iyo changamoto
@user-lj4pz4pv8oКүн бұрын
Ubarikiwe sana mental wang
@PaulinaGasto-n8tКүн бұрын
Nipo aruxha nakptaje kitabu
@issakabogo7929Күн бұрын
Nmepata somo shukran
@user-pi1st6pj3wКүн бұрын
Amen
@brackskinyozi3280Күн бұрын
🙏🙏
@brackskinyozi3280Күн бұрын
Barikiwa sana coach Joel nimejifunza
@brackskinyozi3280Күн бұрын
Asante sana nimejifunza
@aminakasim1198Күн бұрын
I am very careful,
@nakaniwaamon80512 күн бұрын
Natamani kusema mengi Kwa namna ninavyobarikiwa na huduma yako,,,ila nashindwa kuandika yote ila ubarikiwe mno MUNGU anakutumia unatusaidia kiroho na kijamii pia Huwa nakufwatilia sana,,,,Msaada Kwa namna ya kupambana na tabia ya hasira😢 iliyopita kiasi
ndio ilivyo lakini tusichoke kutenda mema tutalipwa na Mungu na kama huna usilazimishe akichukia ipo siku ataelewa tu tusiwachukie tuwasamehe na kuwaombea hili nitatizo, mwl asante jambo hili latakiwa maandalizi ni jinsi gani tutatoka kwani haliko kwenye changamoto bali liko kwa tatizo tayari baadhi ya familia tena nyingi
@mjemachannel75912 күн бұрын
MAMBO YA KUEPUKA UNAPOKUWA KAZINi 1]Isitoe ahadi ambazo huwezi kuzitimiza.[kumbe unajua haliwezekani ila unashindwa kusema hapa ndio maana unatoa ahadi za uongo] 2] Zingatia mipaka yako ya kazi 3] Epuka kufanya kazi kwa mazoea jaribu kuwa mbunifu 4]Usiwe unarudia makosa yale yale ]utaonekana una dharau na hautaaminika tena 5]Jiepushe na watu wanaopenda kujadili mambo ya Watu wengine 6]Epuka kuwa mchelewaji [itapelekea watu kukuona haupo makini
@sophiamwasonga52892 күн бұрын
Asante sana,samahan mimi naomba kuonana na wewe nakupataje
@Delphinusdeodatus-xu6nf2 күн бұрын
Barikiwa Sana bro Joel
@EmilyMwalongo-sg4ru2 күн бұрын
This is the knowledge that many Africans want, although only a very few percent know that if they want this knowledge, there are many of them, realize that the comfort zone in the brain is not correct, and the need we have
@kishoshamisungwi2 күн бұрын
Bro Joel, asanaaa
@EmilyMwalongo-sg4ru2 күн бұрын
Bro joel nanauka umechangiya kwa 100% kubadili maisha na fomla nzima ya maisha yangu na shukuru sana kwa kazi nzuri unayo ifanya ya kuandaa hizi content na vitabu vyako vyenye Quality ya juu vinavyo nifanya niwe imara kwenye hatua za kukamilisha ndoto yangu so thank you bro. (If this knowledge I have, if I manage to penetrate and reach even a quarter of Africans, I am sure we will become strong nations or Africa very strong economically. See you at the top my brother.