Ewe mwenyezi mungu unajua udhaifu wangu naomba uniongeze nipe furaha na amani mtu ulie mtuma kwangu naomba tu anisaidie
@ZainaMkambaКүн бұрын
Allah kupitia Dua hii imponye mwanangu sielewi kinacho muuma Kila kitu nimepima ila hakuna ugonjwa ila tumbo linajaa na kutapika nakuharisha
@Zarika-o2z2 күн бұрын
Kupitia dua hii ya Allah nifungulie rizik niepusheie maradhi yote
@KhalfanDotto2 күн бұрын
Ewe mwenyezimungu nijalie mwisho mwema
@KhalfanDotto2 күн бұрын
Kupitia duahii naomba mungu anitakabalie Dua
@JokhakhelefRashid3 күн бұрын
A alykum shkh nina suali ivi iyo njia yakutumia tanga wizi na pili pl manga nikijiko kimoja kwa kila ivo vifaa au nikijiko kimoja mchananyiko? Nahalafu hio glass moja unukunywa mwanzo wa tendo na mwisho unakoroga nyengne ya mwanzo?au unabakisha nusu ile glass ya mara
@ManirakizaSada6 күн бұрын
Amiin ya Raabii kupitiya iyi Dhua nakuwomba unisameh mazhambi yangu ya Allah na unikubaliy Dua yangu
@user-md8gs2mk2m7 күн бұрын
Amiiina
@EnduBoy7 күн бұрын
Ukiota unakula. Ndizi
@user-rs8km4nq2e7 күн бұрын
Mungu ataraisisha inshaallah
@Ibrahim-q1t8 күн бұрын
Sheikh kwa darsa nzuri
@AbdulrazackMussamzee9 күн бұрын
Sheikh nmeota napambana na maadui bsdae nikasema ntaka nipae na nikapaa nikagsnda kule juu nikawa nssoma surat ikhras pia hii inajirudia nsota nspata matatz ucngzn then naota nasoma ayatul qursiyu na ikhras hii inamaanish nn
@AishaAthimani9 күн бұрын
Jazakallah khair ataje mara ngani
@asilahassan996511 күн бұрын
Shukran shekhe wangu
@user-eh7zi5kj4f11 күн бұрын
Mi nimeota naikata ndizi au kuvuna mkungu mzima naukata kwenye ndoto, naomba unitafsirie shehe wangu
@HabibaHemedy-rs8uo11 күн бұрын
Ya Allah Nisameh kwa chochote kisichokupendeza kwako hakika naamini dua hii alahbdulilah lablalamina
@Qian-ei6lx11 күн бұрын
Aminii🙏 Ewee Mwenyezi Mungu mpunguzie adhabu ya kaburi baba ang ,,
@NeemaKizulege12 күн бұрын
Mwenyez nifungulie nipate pesa leo ili niweze kufanikisha safari yng pia nipe wepes safari yang iwe ya kher
@Azuu-rq6te12 күн бұрын
Assalam alaykum warahmatullah, nimeota Kuna paka Watatu Wana rangi mchanyiko Ikiwepo na nyeupe naokota mawe nawapiga nn maana yake
@MsAisha-w4o12 күн бұрын
Maa shaa allah..Allah akuhifadhi shekh wetu..mngu ajaalie KHeri ndoto hizi zitimie...🩵🙏
@lilianali885112 күн бұрын
Ndoto ya mama amekufa
@emmabell339913 күн бұрын
Mimi si mwislamu. Lakini nimeota nafukuzwa na simba nikipanda mlima. Nikaona mwanamme kule juu akininyoshea mkono kuja chini kutoka huko juu kule kwenye kilele. Nikafika kilele, simba akatuliatuli mbele yangu. Na kando yake kulikua na lango kama lile liko kwenye airport. Lile la security check. Halafu nikaota boyfriend yangu akiniambia anatakakuninunulia kitanda kipya. Aty tuko kwenye open ground imejaa vitanda za kila aina, na ananiambia nichague kitanda nimependa anilipie. Kisha nikaamka hivo tu.
@Adamson-u2x14 күн бұрын
Je ukiota usingizini unachuma ndizi ya njano unawapa watu
@ZulfatRamadhani14 күн бұрын
Shekhe samahani mim nimeota tumekata mikungu na wenzangu wa kike na wakiume nawajua.tukapeleka shule.sikujua tulikabidhi nani.swali wanasem ukiota mambo ya shule maisha yako yanarudi chini.
@HassanVicent15 күн бұрын
Aamii mwenyezi mungu naombasa unibaliki kupitia hii dua
@NeemaKizulege15 күн бұрын
Mungu nisaidie nalipukwa na mapigo ya moyo
@SakinaSaidi-qu4wy15 күн бұрын
amin
@nickluckmakundi15 күн бұрын
Sheik umekosea kwa mujibu wa neno la Bwana ukimuta nyoka ujue huyo nyoka ni ibilisi soma ufunuo 12:1-10 uone unyodanganya watu ukimuota nyoka yeyete ujue nishetan nakeziyake nikuuwa TU
@Angel-do2lb16 күн бұрын
Ukiota unafanya mapenz na mwanamke mwenzio
@UpendoChigwasi16 күн бұрын
Mungu nisameee Kwa kila kitu
@noorischmutisch532116 күн бұрын
Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh,,mimi nimeota mti mmja umetoa matunda tofauti tofauti nilipogeuza macho kuangalia hayo matunda nikashangaa na kufurahi sababu nilizungukwa na maembe,mapapai,matikitii maembe ya apple,,na ndizi kisukari mashaallah nikasema nitatunda niwape na majirani wangu pia!
@AbdallahHassan-y2n18 күн бұрын
Kupitia dua hii kwawenzo wako manani niondoshe mabala ya kilaaina
@abdullymalambaya18 күн бұрын
Je sheikh ukinunua duka la dawa. Yanakua Tyr yameshasomewa
@mpondamedia241617 күн бұрын
huwa hayajasimewa wee ukiyanunua nipigie niyasomee
@abdullymalambaya18 күн бұрын
Kwa mfano sheikh hayo mafuta ya miski. Ukiyanunua duka la dawa je yanakua Tyr yameshasomewa
@user-qr6wq9kk6c18 күн бұрын
Ya Allah nakuomba uniondolee matatizo yanngu unifungulie baraka zangu inshaallah😢😢😢😢😢😢😢
@bwanamakakassim365919 күн бұрын
Na mwanamume akiota paka mweupe huwa ina ishara gani.?
@mpondamedia241619 күн бұрын
paka mweupe huyo umemuota afanya nini ?
@KulthumRashidmusa19 күн бұрын
Mashallah
@NaimahKhalifasalim19 күн бұрын
Nimeota nakula tende,mwez uliopita,jana nimeota namwagilia mboga maji kipind cha Ramadhan nilikua naota sana vitanda
@SophiaSalum-tq5re20 күн бұрын
Yarrap nakuomba unipatie mume mwema ,mume mwenye hofu yamung ,atakae nipenda mimi pamoja na family yang eeh mwenyezimung nisaidie kwa hili🤲🤲😢
Ya Allah nakuomba unisamehe makosa yangu ninayo yajua na nisio yajua nakuomba unipe afya njema na mwisho mwema 🤲
@mpondamedia241620 күн бұрын
Aamin
@iradukundamimi421221 күн бұрын
Yarabi niondoleye matatizokatika maisha mwangu yarabi napia mengi muno unipe moyo yasubra
@JasminKibula21 күн бұрын
Ya Allah naomba unisamehe makosa yangu yale niliyo yafanya kwa kuelewa na kwa nisiyo yaelewa Allaha naomb unipe mwisho mwema Ya Allah
@Ali-dv7ds22 күн бұрын
Shurkan sheikh
@shangaza12722 күн бұрын
Yaraby wajaalie wazazi wangu na wazazi wenzangu pamoja na waislam wote tulokuwa hai uzima afya na mwisho mwema amiin amiin amiin
@shangaza12722 күн бұрын
Amiin amiin thumma amiin yaraby wajaalie watoto wangu maisha marefu uzima afya pia waondoshee husda maradhi uwajaalie wasimaishe sala5 nawajaalie kuifata dini yao mambo yao nakuacha makatazo yao pia uwajaalie maisha yenye furaha na aman pia utujaalie mwisho mwema waislam wote amiin amiin rabialamin amiin