Tunashukuru mungu kwa wema wake kwa kile alichokipanda ndani ya mtumishi huyu F,Kamgisha na aendelee kuwa dawa ya maisha yetu ya liroho, sifa na utukufu wa mungu utawale.
@francismigongwa41469 күн бұрын
Atukuzwe Mungu milele
@husha637214 күн бұрын
HAWANA changaa changaa ni pombe haramu kule pwani
@MithiaruChristine15 күн бұрын
Be blessed
@nasb69318 күн бұрын
Amina
@godwinsekhaosia832719 күн бұрын
Hakika unyenyekevuu unatujalia Neema 👍👍
@PATRICKMSWAZI19 күн бұрын
😊😊😊
@user-fv6ru4ln6e20 күн бұрын
Jameni naomba nijue hiçhi kitabu nitakipata wapi kenya?
@user-jp1nr4dq5x22 күн бұрын
Ahsante baba kamgisha mungu akutunze uenderee kutufundisha.
@EdinaRutela-xv9sv26 күн бұрын
Amina
@EdinaRutela-xv9sv26 күн бұрын
Ubarikiwe sana
@dominicblass431926 күн бұрын
Tyk baba, nakutakia utume mwema
@henrikalenus579327 күн бұрын
Ahsante father nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏
@HilariaJosephАй бұрын
ASANTE KWA MAFUNDISHO MAZURI
@irenemakuta1719Ай бұрын
Padre Kamugishe mahubiri yako yananitia moyo na nguvu ya kusinga mbele.ubarikiwe sana.siku nitakuona nitabarikiwa zaidi.
@MrPiece-vk4ywАй бұрын
Hivi unakitabu chochote ulichoandika
@baloziwaghetto814Ай бұрын
Amina father napataje vitabu vyako??
@SelestinFrancis-g5oАй бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho yako MUNGU akubariki.
@atukuzwenoorath4254Ай бұрын
Amina Father. Asante sana kwa mafundisho mazuri..
@MarysianaPeterАй бұрын
Nimekupata na kukuelewa Fr
@AloecyMunyenezaАй бұрын
Fr njoo sumbawanga utupe semina
@anthonyapolinary7201Ай бұрын
Msaada mawasiliano ya fathers
@faustinkamugisha8747Ай бұрын
Tumsifu Yesu Kristu. Namba yangu 0759900112. Ubarikiwe
@anthonyapolinary7201Ай бұрын
@@faustinkamugisha8747 Amina , Namba hii huduma zimezuiliwa. Asante
@anthonyapolinary7201Ай бұрын
@@faustinkamugisha8747 father namba haipo sahihi
@anthonyapolinary720114 күн бұрын
Father happy universal 25yrs Mungu azidi kukujali afya ya Roho na mwili
@anthonyapolinary7201Ай бұрын
Mawasiliano ya father
@anthonyapolinary7201Ай бұрын
Napata vip mawasiliano ya padre kamugisha?
@glorytheodory5053Ай бұрын
Aminaaaa
@uncertgosbertuncertgosbert8362Ай бұрын
Fr.Kamugisha njoo Tabora utupe madini
@MarysianaPeterАй бұрын
Amina
@philibertlwiwa297Ай бұрын
amina
@user-jj6zx1vw9mАй бұрын
Asenta Sana padre mungu akupe hekima zake amina
@salviuskagugu-ou4ngАй бұрын
Asante Fr!
@catherinetairo359Ай бұрын
😂😂😂
@catherinetairo359Ай бұрын
Ameen
@erickmtasingwa7731Ай бұрын
Thanks 🙏
@agathanafula8520Ай бұрын
Tawala Mioyoni mwetu!
@beatuswamara235Ай бұрын
Nashukuru kwa neno hakika nimepata mambo mengi leo.
@ReginaKulwa-zp7wpАй бұрын
Amina. Barikiwa, asante.
@HaroldKawediАй бұрын
Mungu akubariki tena na tena unatulisha neno lenye shibe.
@CatherineLema-o6dАй бұрын
Amen
@MaximillaAkelloАй бұрын
Amina
@happinessgabriel4252Ай бұрын
Father n kweli anaetuhumiwa na mauaji ya albino ni kweli n paroko??tumeumia sana waamini
@ednahnyaega-ig8xlАй бұрын
Naomba namba ya father plz,,niko kenya
@dominicblass4319Ай бұрын
Tyk, mtumishi Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako
@dominicblass4319Ай бұрын
Tyk mtumishi,utume mwema.
@emanuelsalali5557Ай бұрын
Ubarikiwe sanaaaa mtumishi wa MUNGU
@dianamilaji6690Ай бұрын
mungu akubariki sana padre kamugisha,,hakika yesu aingiapo mahari giza hutoweka,kwa kuwa yeye ni nuru ☀️
@dominicblass4319Ай бұрын
Tyk father Dkt k, takutakia utume mwema.
@deogratiuspascal50542 ай бұрын
Mungu akubariki sana kwa mafundisho baba
@anthonyapolinary72012 ай бұрын
Nawezaje kupata mawasiliano ya padre namba yake niliyokuwa nayo muda aipatikani
@user-jj6zx1vw9m2 ай бұрын
Asante sana padre kamugisha kwa kukita imani katoliki.mungu mwenyezi akupe neema ya uenesaji wa injili.amina.