Habari Ninashida na mawasiliano ya namba za huyu mkaka tafadhali 🙏
@redeemer06NewsalerttzАй бұрын
TFRA Kazi iendelee😊
@Ledawemsafari2 ай бұрын
Nahitaji mbolea za kuuza
@Kevomadvd3 ай бұрын
Makofi matatu Kwa Samia 🎉🎉🎉
@user-yk2ns6sk7v3 ай бұрын
Ahsante kwa ushauri mzuri Hongera kwa kilimo Bora
@fianeshoo54134 ай бұрын
Very well spoken mkurugenzi!
@PrudenceZoeGloriousPR4 ай бұрын
Super woman indeed ⭐️⭐️
@MteleShadia-lc6gi5 ай бұрын
Piaa mweshimiwaa ,,tunakuomba Kuna kampuni ambayo inatowa mbolea kama vile DAAP PLUS,,na CAAN PLUS,,mbolea zote jamii ya hzi ni fekii wakulma wa huku kigoma tunaliaa baada ya kununua mboleaaa hizii,,,mahindii baada ya kubadilka kuwa mazur ,,yamekuwaa yakihrbika kbsaa,,,Mana mbolea haijayeyuka hadii saiz ipoo alizin,, imeganda kwenye udongo ,,alafu mahindii ,,,hadii hayajakuwaa ,,mweshimiwaa tunakuomba ,,nass huku kigoma utusaidie ,,mbolea hzi za DAAP PLUS and CAAN PLUS,,NI MBOLEA FEKI ,,TUPOI TUNALIAA
@ceohasna99408 ай бұрын
Iyo ni mbinu ya kuua biashara super gro ni kwel sio mbolea ila ni nzur sana tunaitumia mashambani Haina shida yoyote.....na mashamba makubwa ya vigogo wanatumia sana ....sasa basi elezeni madhara yake tuone.....
@liliandonge93198 ай бұрын
Haina viwango au nini shida?
@maggie6588 ай бұрын
Elezeni ina kasoro gani
@petermwanguku87849 ай бұрын
kazi iendelee!!
@georgekamau985511 ай бұрын
T Praise the Lord. This is wonderful, now that we will soon have plenty of food, what will " wale wa sufuria " say next?.