I dont care but waziri hapa umeongea sio reality, to be honest idara ya misitu imekufa kabisa haina mbinu mpya na misitu mengi inahifadhiwa na private sector eg Jane ball, na wafanyakazi wengi idara ya misitu wamehamia kwenye michanga na maliasili zisizorejesheka na bandarini na pemba ndio imekufa kabisa pale kizimbani utadhani sio idara na ngezi ndio kabisaaa (ninaushahidi wa hili). Mkurugenzi huyu kazi yake kila fursa anampa mwanae alimtoa uchumi wa blue. na pia profesional wengi wameenda sector binafsi hii ni ushahidi tosha misitu pemba ni nothing. Kwenye maendeleo tupunguze siasa at Mkuu wa hifadh misitu ni HR (simtaji jina). In short we should to open our mind and focus on development and not story telling
@OmarMjakaMshindoАй бұрын
Hongera sana MH wangu Tekeleza kile tulokutuma wana micheweni
@wizarayakilimoumwagiliajim42884 ай бұрын
Kwa wafugaji
@tanzanite99444 ай бұрын
Migomba inastawi vizuri ikiwekewa mbolea ya samadi/mboki. Sasa huko zanzibar Samadi inapatikana wapi?
@Jumaluu602 ай бұрын
Kwa wafugaji
@tajirij.machano56614 ай бұрын
HONGERENI SANA TIMU YETU
@sihamjamal22344 ай бұрын
Hongera serekali yetu mungu awabarimi
@oscarcherogony55864 ай бұрын
Watching from Kenya
@africadreamin5 ай бұрын
What is the average acreage of a shamba in Zanzibar ??
@MustafaKalamulo-zx9ck7 ай бұрын
Mbegu zinapatiksnaje Niko mtwara natamani kulima miwa pia soko lake likoje na mbolea gani zinatumika
@nicksonmasatu72098 ай бұрын
nimeipenda
@yusuphjulius16389 ай бұрын
Heka moja inachukua miche minga ya cabbage
@nelsonngella4185 Жыл бұрын
Naomba namba ako ya simu
@twororeturimekijambere5491 Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏🙏🙏❤❤🇹🇿🇹🇿Love burundi 💪🙏
@JacobRushatsi-gi6wj Жыл бұрын
Mimi ninaekaa mkoan wa KAGERA ambako siyo baridi na siyo joto natakiwa nitumie mbegu ipi sahihi lakini iwe ni kabiji yenye kutoa tundra kubwa
@athumanimsilo5514 Жыл бұрын
leo nimejifunza meng sanaa kuhusu kilimo cha kabej Allah awazidishie nyote mleo tuletea elimu hii
@Jumaluu60 Жыл бұрын
🥊
@wizarayakilimoumwagiliajim4288 Жыл бұрын
ahsante
@stellawanyeki2005 Жыл бұрын
Hongereni Zanzibar 🙏
@wizarayakilimoumwagiliajim4288 Жыл бұрын
Ahsante
@hassaniothmani8549 Жыл бұрын
Safi
@khamishaji9224 Жыл бұрын
Aina ya migomba kimwari bado haizalishwi kwa vingi sana.....
@khamishaji9224 Жыл бұрын
Safi sana tujitahidi kutoa elimu kwa wakulima ili tuzidishe uzalishaji wenye tija...
@abouzeyna1704 Жыл бұрын
Good job vijana
@abouzeyna1704 Жыл бұрын
Good
@shariduidrisa1993 Жыл бұрын
thanks WIZARA YA KILIMO UMWAGILIAJI MALIASILI NA MIFUGO kwa kazi yenu nzuriii
@joshuampagaze8891 Жыл бұрын
♥️🤝
@wizarayakilimoumwagiliajim4288 Жыл бұрын
thanks for watch please subscribe for get new education
@fahmafahma6715 Жыл бұрын
Asante sana
@sebastianbanagi1439 Жыл бұрын
Mnatumia mbolea ganii ktk mua?
@tanzanite9944 Жыл бұрын
Nice... Hii ni kilimo organic kabisa hiki hakitumii madawa makali ya viwandani. Kudos!
@tanzanite9944 Жыл бұрын
Hiyo migomba huko nyoma yenu ,bona haikatiwi na badala yake imeaa makuti tena hata ndizi zenyewe zitazaliwa hafifu kwa makuti hayo. Kwani watu wa Wizara ya kilimo hamuoni hiyo mkawashauri wenye migomba hiyo walime migomba kwa tija?
@WaGGTv2 Жыл бұрын
tulime pamoja, kudos
@khamismkamba59002 жыл бұрын
Good juma mama
@Jumaluu602 жыл бұрын
👍
@yasalaam5902 жыл бұрын
Subhanallah Shukran ukhty kwa ufafanuzi 😍😍😍allah akuhifadhi mtaalam wetu