Lazima tuongee initia uchungu sana sana,hashima ya kanisa upande wa muziki wetu.imepotea kabisa,kanisa let sisi ndio walimu wa.muziki,lakini ukiangalia hakuna, tunasubiri sikukuu za uimbaji ndio uone watu wanahangaika,na hata wakati mwingine walimu tunaowaita si wa.kwetu,maadamu tu ajue.kusoma nota,ability ya uimbaji wa kanisa haupo tena,wachungaji wamekaa tu wanaangalia,na ndio wanaosababisha.biashara ya kuwalipa walimu pesa, kwakweli nine mengi ngoja nikae kimya.
@MichaelKingazi-wm7xj3 ай бұрын
Mpiga kinanda anaharibu kabisa,huwezi kupiga piano Wimborne usiokuwa na maandalizi nao,kama Huna.maandishi yake ya nota,unaharibu sana, noted zimewafanya, walimu wengi.washindwe kutunga nyimbo zao na.kuziweka kwenye maandiko ya noten, though Dmp wanajitajidi sana,matokeo yake tumekuwa watumwa,wa kupiga nyimbo za wazungu, japo si vibaya,lakini tumelemaa.
@yusuphalinani54325 ай бұрын
Ameni
@user-hw6dg1cl7d6 ай бұрын
Mungu akuzidishie jamani
@prosperjohn6 ай бұрын
Hongera baba
@estherlemburismollel59016 ай бұрын
Hongera sana baba, una unyenyekevu sana. Mungu asikuache akubebe upande milima yote, amen.
@margaretikongo17827 ай бұрын
Poleni sana kina Shayo wote
@eleuterkihwele396110 ай бұрын
Hongera sana Mhashamu Askofu. Mungu aendelee kukutunza
@visensiakadege660810 ай бұрын
AMINA
@SabathMganga-jm8jf10 ай бұрын
Hongera sana
@theophilromward499610 ай бұрын
Hii protocol vipi?
@juvetv22910 ай бұрын
Kwanini?
@bernadethashiduki693611 ай бұрын
Mungu akutunze baba askofu Ngalalekumtwa .
@romanaolomi299711 ай бұрын
Hongera sana mh.Baba Askofu Tarsisius,Mungu akutunze uendelee kumzalia matunda.Nimefahamu utendaji wako nikiwa Jeshini Iringa 1985/1986.Nakutakia maisha ya furaha na Amani
@blandinamalenda896811 ай бұрын
Hongera sana baba mungu 🎉🎉🎉
@wernerkahemela919711 ай бұрын
Hongera Sana baba askofu, Mungu atutunzie baraka yake hii kwetu
@josephlupasha622811 ай бұрын
Mrusha matangazo mpangilio wa matukio ya Misa upo hovyo.
@yohanambano87211 ай бұрын
MUNGU awasimamie ktk imani
@user-ki4sg8yz9j11 ай бұрын
Mama fundi si mchezo😂
@user-ki4sg8yz9j11 ай бұрын
Madam Samia, umeongea neno fupi lakini umeeleweka. Kazi iendelee na Mungu pamoja na Watanzania tulio wengi sana, tuko pamoja na wewe.
@starshinedigital935511 ай бұрын
Tunakushiku Kwa hudumu nzuri unayotuletea mungu akubariki