Nashauri kwa ushauri wa buree tusii pendelee upande wowote tukipa fursa ya kuongea na wazanzibari bali tuuwaammbie mchagieni kiongozi munae mtaka mchagueni kiongozi ambae munahisi atakuleteeni MAMLAKA KAMILI, ambae munahisi mukilala kesko yake hamutojiuliza mutaakula nini hutojiuliza kama sokoni nitafukuzwa na mitumba yangu itachukuliwa nitafukuzw a nchini na kupewa masaa yakuuondoka kwetuu nilipo zaliwa na mengine mengineyo
@user-et9vf2ro2k2 сағат бұрын
Sikiliza ndugu ccm tokea 95 haitakiwi zanzibar Tokea 95 imekua ikijiweka madarakani kwa mabavu Tutafute uchaguzi wa elfumbili pemmba walifanywa nini na ccm wakiwa madarakani kisha 2005 wazee na watoto wao wakikee wali fanywa nini usichana waooo tuambieni ukweli watoto wari nini kiliwakuta iyo ndio kutunza amanii kua na utulivu hayo maneno hayasemwi muda wa uchaguzi tuu hapana sio sahihi bali ii kila muuda kila siku kila tu napokjmbuka maddhila na mateso kwa watesaji wetu
@user-et9vf2ro2k2 сағат бұрын
Jamani hii kauli za ajabu kweli dah ata nashindwa kufahamu mfano, wewe umeamka asubuhi bila ya kuoga wala kupiga mswaki si utatoa harufu mbaya umekutana na wenzio wakakuambia ebwana unanuka hawa walokwambia unanuka wamefanya kosa au wewe kutokamana na uchafu wakooo (MCHAFU MKUBWA WEE)
@user-et9vf2ro2k2 сағат бұрын
Hivi mtu kila mkikutana an akutusi na kukupiga haswa mbele za watu wewe unaumilia jeee huku kuvumilia kwako ndioo kutunza amani ndo utulivuu huooo ndo wanachokimaa nisha ccm au m unasemajee waungwana
@user-et9vf2ro2k2 сағат бұрын
Jamani kwani vp mbona muna haha kikako ni walimu wa madrasa ama kuhusu amani utulivu tunu za taifa ujenzi na huduma za kijamii mbona hatuelewi
@hajiabdalla57723 сағат бұрын
Hebu tizameni hao viongozi waliopita nini wamefanya na Mwinyi amefanya nini Zanzibar imekuwa nzuri na mji msafi unapendeza kama unajifahamu AU macho unayo haitaji kuambiwa mjomba Mwinyi aiongoze Zanzibar mpaka mwisho wake wa maisha mumepata kiongozi mzuri lakini mushazoweya kudanganywa na wapenda pesa na malengo yao kukaa madarakani na kuiba Tu
@user-kv8sq6qz7g6 сағат бұрын
Kigoma je hawa watu wanajiita waha kumbe ni watu kutoka Burundi
@allymaha-tv5lf8 сағат бұрын
Hivi kama munayajua hayo mngeuwa watu kwa Kungangania madaraka kwakua tu hamkuchaguliwa nyinyi wanafiki hivi ndivyo walivyo tumuombe Allah atuepushe nao ukitaka kuwajua wa kweli au waongo tusubiri mwakani inshaallah tutawaona wanavyo ua watu
@natafutamatatizo43829 сағат бұрын
MNAFIQ MKUBWA. MNAANDAA MAUAJI KISGA MNAJIMBILIA MISIKITINI KUOMBEWA DUA! MLAANIWE NA DR MWINYI WAKO
@KhadijaHussein-qn2ge9 сағат бұрын
Mnamaneno matam ila moyoni hamna kitu usoni hamna kitu
@ramzsule76789 сағат бұрын
Naona Sasa mmesha zidiwa mnakwenda kwa watu wa dini lakini mkikosolewa na hao watu wa dini wanakua wachochezi hatutaki amani tunataka haki
@hajiabdalla57723 сағат бұрын
Huna elimu ya kujielewa bado unakula kwenu
@KhadijaHussein-qn2ge9 сағат бұрын
Amani inakuja baada yanyinyi viongozi kutenda haki lakini ukiwa unataka ungozi bilayakuchaguliwa na uma hii utafanya watuu wasiwaelewe na hapandipo amani mnapoiyondosha kiukweli mnapemda kuhubiri amani haliyakua nyinyi ndo wavunjaji wa amani mana mnachukua uwongozi usio wakwenu badilikeni nyinyi kwanza ukiwa umeshindwa uchaguzi ondoka
@user-hh2mg2wc4n9 сағат бұрын
Na Madrasa za Qur'an za hali Mbaya
@amanmohd943510 сағат бұрын
Hemed wewe mnafik tu....
@RamadhaniMussa-xs5uk10 сағат бұрын
UtawapatA wabara wenzio
@omarmohammed515710 сағат бұрын
Kuna watu wakizungumza tu nyoyo zetu zinachafukaaaaaa
@omarmohammed515710 сағат бұрын
Kuna watu wanavyeo vikubwa lakin sura zao zimetoka nuru kutetea uchafu na dhulmaaa
@RamadhaniMussa-xs5uk10 сағат бұрын
Kama amani nyinyi ndo mnaovunja
@ZaidSeifSuleiman10 сағат бұрын
Nyinyi ndio mnaofanya uharibifu mnapiga watu mnawauwa na mengi mabaya hata kusemeka hayasemeki
@sultanmohammed415711 сағат бұрын
Mjinga huyo wao ndio wa uwaji wakubwa.
@lusakaone778211 сағат бұрын
Soma na comment hapo wamefata kula tu huna mtu anayekusikia
@AbdallahJuma-wb8lq11 сағат бұрын
Amani,nautulivu,,tu,haki,mbona,,haisikiki
@natafutamatatizo438211 сағат бұрын
JAMBAZI MKUBWA KUTOKA MKURANGA👁️👁️! JIONGO KAMA SHETANI👁️👁️👀
@HassanMchoro11 сағат бұрын
Unauhakika kama mwamdogo 2025 atashida
@ALIKHAMIS-un4fv11 сағат бұрын
Maneno maxur mukivaa kanzu ila ukifika uchaguzi tu munayasahau
@shaabanmohammed261111 сағат бұрын
Ajira hamna. Maisha magumu. Mlo shida...lakini Mkuu yuko bizi katia pamba masikioni haskilizi la mwazini wala la mtia maji mskitini. Anabomoa na kujenga Barabara for fun kwa pesa za mkopo. Yeye si mlipa Kodi. Anatumia Rasilimali za State ambazo ni pesa za walipa Kodi. Issue hapa ni kwamba anayoyafanya sio priority kwa Walipa Kodi. Barabara Ghorofa Majengo ya Spitali si vitu vigeni kwa Wazanzibari. Watu si malimbukeni. Kama mnadhani huo ujenzi ndio kampeni basi subirini Oct 2025 mtapata majibu mnayostahiki. Acheni kuwasumbua Mashehke na Ukhty. Ratiba yenu inasemaje....kesho mtazungumza na Mapadri na Maaskofu au!!!
@hamadyussuf530711 сағат бұрын
Muna maneno mazuri mukivaa joho la dini lkn kutenda haki hamuwezi 😢
@shaabanmohammed261112 сағат бұрын
Tendeni Haki. Mkuu wa Nchi atende Haki. Aache Ubaguzi. Timizeni ahadi. Mkubali kuwajibishwa. Kwanini Mashehke na Ukhty watumie muda wao kusifia maghorofa na Barabara Tu? Kwanini pia wasiwakosowe pale Mnapokosea, Mnapoiba, Mnapodhulumu, Mnapotumia nguvu isipo halali, Mnapokataa kutimiza ahadi, Mnapovuruga mwenendo wa Uchaguzi. Wazanzibari Majority maisha yao magumu mno hivi wewe hujui hivo? Rais atajenga kila kitu lakini Wananchi hawali maghorofa wala Barabara. Na akiondoka atatuachia Deni kubwa la Nchi. Yeye na wewe hata Kodi hamlipi.
@AbdallahJuma-wb8lq13 сағат бұрын
Uwezo,up,huna,mwizi,utazimika,wewe,
@fayzfadhil592113 сағат бұрын
kwenda uko tapeli
@AbdallahSalim-is3db16 сағат бұрын
Hakuna hata muelekeo wa bandari hapo... mie siioni
@user-lm3lt7xx6l16 сағат бұрын
aman au usemee haki mbona haki hamuisemei.chaguzi watu wanauliwa mskit hautakusaidien kitu msijifanye kuingia ktk iman za watu rekebishen chaguzi
@muslihpandu616 сағат бұрын
Sas kam yeye mvuta bangi ww nan sas maana naon hujielew mtu mzima
@imusalis509217 сағат бұрын
MashaAllah Allah awape kheri walojenga msikiti
@HassanMchoro18 сағат бұрын
Kweli baba kura siku moja t
@user-ty3df8wv1tКүн бұрын
Kweli kabisa mitano tena atumalize
@user-kv8sq6qz7gКүн бұрын
One day yes Mzalendo Jerry
@murattywamuratty9778Күн бұрын
Ajira elfu kumi na saba kwa wazawa au? Maana bila ya wazawa kupata ajira ni swa na buree tu kwa wananchi wenu
@natafutamatatizo4382Күн бұрын
UONGO MTUPU, WAGENI TU NDIO WENYE KIPAUMBELE. WAZANZIBARI WAPO HOI KWA MAISHA MAGUMU, DR MWINYI ULAANIWEEE
@MohamedAhmada-ie7keКүн бұрын
Nikuliz tu kwan ww Muislam au mkiristo
@hajiabdalla5772Күн бұрын
Tatizo wavivu hamupo makini na kufanya kazi.porojo jingi kazini na kuchelewa sehemu ya kazi.na elimu pia ndogo mukaambiwa mukiseme ndio munatafuta maskani mukavuta mabangi.mwisho wa siku munaanza kuwakashifu serekali.kumbe nyie wenyewe
@user-dm4di4rl3nКүн бұрын
Wewe mpumbavu khanisi
@seifmohd5357Күн бұрын
Ccm hamna lenu jambo
@KhadijaHussein-qn2geКүн бұрын
Bandari ipo wapi mlotuahidi
@abrahmankhamis-e3vКүн бұрын
kuna majitu mabumbavu kama haya!!
@DelightfulMacawBird-tl5hfКүн бұрын
Kweli mh tuwe n subra NA fly ovr
@yusuphhamad8494Күн бұрын
Ww ndio unalaana mzee mzima huna aibu mbizi ww
@NoufelSalimКүн бұрын
Kwani ww ndo mungu,wadogo wanakufa na wakubwa pya wanakufa.jidanganyeni tu mpk mukamsahau muumba wenu
@nassorseif7907Күн бұрын
Kweli wanatekeleza zaid ya walioyahidi maana Zanzibar miaka 60 huijui mbele wala nyuma kila siku inarudi nyuma hamna jipyaa nchi inanuka njaa
@ahmedalkiyum7592Күн бұрын
Katika miaka hio 60 walitawala nani vile chama kipi na walizipeleka wapi vile
@natafutamatatizo4382Күн бұрын
WAZANZIBARI HAWAPATIFURZA KTK NCHI YAO, LAKINI WAGENI NDIO WANAOPEWA KIPAUMBELE. KAZI YENU KUVIMBISHA MATUMBO YENU TU NA POROJA NYINGI HUKU MKIANDAA MAUAJI. MLAANIWEEE