Yan wewe jemedal urakufa kwa wivu mafanikio gan unataka watu wameenda faunal unataka mafanikio gan
@KenedyThabitiАй бұрын
Unata habari unazotaka wewe hakuna vita wanavyo kufa upande mmoja urusi nae anapoteza Wana kesho wake
@bonifacejohnstone4483Ай бұрын
ndo maana alikamwe alikua anawakaangia sumu😊😊😊
@rizikiramadhani7986Ай бұрын
BBC KWELI KIBOKO😂😂😂😂
@MohamedLanga-dg4tfАй бұрын
Unafiki tyu wakenya
@marckmasassi7466Ай бұрын
Ruto anataka kuwa Mbuzi wa Sadaka sababu America haina nafasi tena Africa na jambo baya zaidi America haiko sawa ndani ya Inchi yake ingawaje habari hizo zimebaki kuwa siri kwa muda mrefy
@lemmychai9139Ай бұрын
Akili zenu n duni sana ulimwengu tulio fikia sasa ni ulimwengu wakuangalia dunia inako elekea MM nampongeza sana Ruto mia kwa mia ameangalia mbali sana
@thomaslali705Ай бұрын
Thinking of the USA bringing the best of it's firearms in Kenya is a live daydream.
@yasiniSwedi-qg5ocАй бұрын
Luto Hana akili kibalaka mkubwa kaenda kuchukuwa matatizo malekani atuletee aflika mashaliki
@amanmwamluku9772Ай бұрын
ivi kama nato wanaletasiraha kenya wanaweka kwa ajili yanani
@MpwataOmariАй бұрын
Nilazimatukumbuke biasharakubwa yamarekani ni vita sasa tukaemkaowakuumia.
@HappyAlbatross-us3bgАй бұрын
Ukitafakari kwa kina utagundua KENYA inajiingiza kwenye matatizo na pia marekani anataka kuitumia Kenya kuleta vita east Africa na kwingineko
@hudumablack9339Ай бұрын
Kila siku urusi inachukua miji na vijiji. BBC acheni propaganda zenu
@jacksonodoo1388Ай бұрын
Hehehehe aky sasa sisi kwisha putini sasa anapiga Kenya dakika tano wakileta tu silaha zikifika tu Kenya ndio uwanja wavita kama ukrein 😂😂😂
@CharafimalisalimoAli-qw3hkАй бұрын
NANYINYI WACHAMBUZI NI MABWEGEOIA. ATI USALAMA. KUNA USALAMAGANI UNAOTOKANA NA AMERICA. KUKULETEENI UGAIDI NDIO USLAMA. AU HAMJUWIKIA UGAIDI UNAFADHILIWA NA WAMARECANI MA WASHIRIKINAWENZAKE.
@CharafimalisalimoAli-qw3hkАй бұрын
VIONGOZI WENGI WA AFRICA BADO WANAZFANYA KUA NCHIHIZI ZA AFRICA NI MIKOA YA AMERICA. WASENGEHAWA .AMERICA NI NCHI YAKUAMINI MTU ALIE NA AKILI KWELI.
@user-hk6ls3yw9qАй бұрын
Tafuta rafiki unaefanananae mkenya kuwa Makinina hao.
@lukafbbwebelof3874Ай бұрын
Huyo hawezi kuzuia Urusi hata saa moja .bali Kenya inajiingiza kwenye shida yenyewe. Kama atatumiwa kufanya vita kwenye inchi zingine za Africa. TANZANIA MUWE HANGE NAYE
@mathayomoi9353Ай бұрын
wanakurupuka
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Kwanza urusi anaona ni upuuzi mtupu eti upewe silaha na marekan silaha gani ambayo atawapa nyie aache kuwapa wazungu wenzake sema anachotaka marekan kenya muinhie kwenye vita na msipo kua makini mtaingia na urusi anajua visilaha vya marekani vyote hana silaha bora ya kuizidi urusi sana sana mtapewa magobole mwenzenu ana za kisasa
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Muache huyo marekani ajilete na nyie kenya mtakuja kupigwa na usrusi na huo marekani wala hawasaidia kitu hata mkipewa ghaa la silaha mlale nalo kama atahitaji kupanga mipngo yake na mataifa mengine ya jiran na nyie halafu muskilize marekani
@MasterOil-qm6vwАй бұрын
Kenya mjitambue marekani hana uwezo wowote wa kuwasaidia nyie kwenye upande wa kivita jiulizeni maswali ashindwe kuwasaidia wazungu wenzake wa ukrein aje kuwasaidia nyie weusi na kama marekani angekua ana silaha nzuri kama anavyotuaminisha sie mataifa ya africa na baadhi ya mataifa ya ulaya basi urusi asingeshinda ile vita pale ukrein
@shabanimataka8418Ай бұрын
Umeongea kweli
@martinemifuko71Ай бұрын
Muuuu kwani Urusi ameshinda vita lini ?? Mbona NATO inaendelea kumpiga urusi hadi anatishia kutumia nyukilia
@user-cw8zn2dn6mАй бұрын
Ruto ana shida gani?
@IssaAbdallah-rt2shАй бұрын
Ile ni penalty Haina hata kufikiria kama kapombe angekua sio fiti angelazwa hospital
@AbdallahBakar-oc3ueАй бұрын
Na alshababu zidisheni kuipiga kenya
@margaretmueni4595Ай бұрын
Kenya ni taifa la mungu wewe na hao halshababu mataangamizwa na mungu
@AbdallahBakar-oc3ueАй бұрын
Huyu ruto wampindue tu ataleta vita afrika
@AbdallahMnyiwe-he2zuАй бұрын
Kenya inaingia kwenye vita bila kujua
@mpapaitvАй бұрын
RUTO🙌🙌🙌
@user-lv1ki7nn7tАй бұрын
Sahihi
@user-vv6ox9xh9kАй бұрын
Kenya inatuponza kwakweli, wenzetu wanawafukuza sisi tunawaita, Africa ni kichwa ngumu sana
@mpapaitvАй бұрын
Kuwa nao makini maana IPO na sisi kuunda AFRICA MASHARIKI
@suleimanissa2089Ай бұрын
Huyo anatafuta matatizo tu East Afica
@mpapaitvАй бұрын
Balaa zito
@user-vj9ku6mi6oАй бұрын
Wameshindwa kuzipeleka yukren Bado hawajasema
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂 mpaka waseme
@user-og1kr1nj9rАй бұрын
Mnawazidi nguvu wakati kila siku urusi anachukua vijiji uwongo ndo kazi yenu
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Ай бұрын
@@mpapaitvUnacheka nini hi chanel bhns😅😅😅😅
@isaacksongo9374Ай бұрын
Mnawazidi miji inatekwa vijiji mnawazid nguvu hewa sifa za kijinga wakat mnateketea Ukraine sijui Lin mtaamka mnakufa bure niaba ya watu ajabu sana
@mpapaitvАй бұрын
Wazalendo
@josepheriah5977Ай бұрын
Ukraine uwa wote
@mpapaitvАй бұрын
Waonee huruma kaka
@jumamussantuicheАй бұрын
@@mpapaitvmbona plastina amusapot.muko upande wa israel uwa ukreine na israe yote na washika wote.
@mpapaitvАй бұрын
@@jumamussantuiche duhh
@allyhuyu1892Ай бұрын
Siyo siraha "silaha"
@mpapaitvАй бұрын
@@allyhuyu1892 😂😂😂🔥🔥🔥🔥
@geroldjohn4698Ай бұрын
Aziz huu msimuwake mzuri aujawai kutokea tokea ameanza kucheza mpira😊😊
@mpapaitvАй бұрын
Ni balaa
@jokhaseif893Ай бұрын
Wachenzi wa America wanaiyoneya Iran wanazid8 haki ya bunadam ninani?sindo wawo namayahudi wameuwa elfu yawatu na hawasemi wa America maaduwi wakubwa
@mpapaitvАй бұрын
Ni hatar sana Hawa watu
@mohdyussah825Ай бұрын
Basi hainahaja ya kuruhu wachezaji wakigeni bakini na wachezaji wenu wazawa mnao wa penda
@mpapaitvАй бұрын
Wazawa wanaonewa kuanzia kwenye mikataba mshahara posho na vingine kibao
@bingwaabdallah5011Ай бұрын
Fei toto ndioo mchezaji alikuwa anapendwa sana yanga ,,
@mpapaitvАй бұрын
FEITOTO ndio basi Tena yanga
@rifatibiden8126Ай бұрын
kwenye ushabiki hakuna vya uzalendo
@mpapaitvАй бұрын
Duhhh
@mariammbwana9018Ай бұрын
Wachambuzi wa hovyo kabisa kuwahi kutokea kwenye mpira wetu
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂😂😂wanaleta ubaguzi
@mariammbwana9018Ай бұрын
Wachambuzi na wanahabari machawa
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂😂
@kolosii4351Ай бұрын
Achaneni na uzawa. Waacheni wapambane wenyewe. Hiyo ndio kukomaa.
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂
@pambaboniface1199Ай бұрын
utaomba sana lakini itakula kwako ,,,,,,,hapati hicho usermacho
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂😂
@jumashedafaАй бұрын
Mie kikubwa ikishindikan mikataba mikubwa kuna nyakat inaumiz zaid ni bora aende tuingie sokon tukatafut aziz wengin
@mpapaitvАй бұрын
Sokoni utapata mchezaji wa aina ya azizi KI Kwa sasa???
@mwanangusanaАй бұрын
@@mpapaitvwapo Wala usiwe na wasi wasi Kwan cc tulimpata wapi ?? We ulitegemea kumuona max ? Paccome Zouzoua ? Kwase attolayouh ? Au Ibrahim bacca Baada ya kuondoka mayele , bangala , Shaban djuma na Feisal ....
@mpapaitvАй бұрын
@@mwanangusana ni kweli
@carolinemuli1862Ай бұрын
Ata huyu pia yeye atakufa juu anaon nikongonzi na mungu Chamuchakua aue watu
@mpapaitvАй бұрын
Mzee wa kazi PUTIN
@mwawekomiuda9779Ай бұрын
Kwani wewe una taarifa ya kwamba kuna atakaebaki? Au wewe hutakufa?
@AgenesMugemaАй бұрын
Welcome Jangwani F.Kinzumbi.
@KhatibuSimba-rp4qiАй бұрын
Clus
@worldathleticoАй бұрын
Rais wa Urusi means president of Russia.
@mpapaitvАй бұрын
I meant RAIS WA IRAN 🙏
@shamilamurady8520Ай бұрын
Kunya anye kuku, akinya Bata kaharisha acheni udwanziii nyie viumbe
@mpapaitvАй бұрын
😂😂😂😂
@shamilamurady8520Ай бұрын
Yanga Kw mbinde ila wangeshinda Ihefu je?????
@user-bt6ep3yb2hАй бұрын
Kwa mbinde? kwahiyo kwa mbinde point huwa hazihisabiki?.